< Hosia 5 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Dilia gobele salasu dunu! Goe sia: nabima! Dilia hina bagade sosogo fi dunu! Nabima! Dilia da moloidafa fofada: su hou hamomu da defea galu. Be amane hame hamoiba: le, dilia da se ima: ne fofada: su ba: mu. Dilia da Misiba moilaiga sanisu agoane hamoi amola Da: ibo Goumia efegenisi agoane hamoi dagoi.
“Sikieni hili, enyi makuhani! Kuweni wasikivu, enyi Waisraeli! Sikieni, ee nyumba ya mfalme! Hukumu hii ni dhidi yenu: Mmekuwa mtego huko Mispa, wavu uliotandwa juu ya Tabori.
2 Be odoga: su dunu da dunu eno bagohame fane legesa. Na da dili huluanema se imunu.
Waasi wamezidisha sana mauaji. Mimi nitawatiisha wote.
3 Na da Isala: ili ea hou dawa: E da ea hou Nama wamolegemu hamedei. E da Nama baligi fa: i dagoi. Amola ea fi dunu da Nama nodone sia: ne gadomu da defele hame ba: sa.”
Ninajua yote kuhusu Efraimu, Israeli hukufichika kwangu. Efraimu, sasa umegeukia ukahaba, Israeli amenajisika.
4 Isala: ili dunu da wadela: idafa hou hamobeba: le, ilia Godema sinidigimu hamedei ba: sa. Ilia da loboga hamoi ogogosu ‘gode’ amoga gasawane gagulaligi. Ilia da Hina Gode da Godedafa sia: mu gogolesa.
“Matendo yao hayawaachii kurudi kwa Mungu wao. Roho ya ukahaba imo ndani ya mioyo yao, hawamkubali Bwana.
5 Ilia gasa fi hou fedege agoane ilila: amoma ha: giwane diwaneya udidisa. Ilia da wadela: i hou hamobeba: le, didigabone dafasa. Amola Yuda dunu da ili gilisili dafasa.
Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yao; Waisraeli, hata Efraimu, wanajikwaa katika dhambi zao; pia Yuda atajikwaa pamoja nao.
6 Ilia da ilia sibi amola bulamagau amo Hina Godema gobele salimusa: oule ahoa, be amoga da ilia hou hame fidisa. Ilia da E hogoi helele hame ba: sa. Bai E da ili yolesi dagoi.
Wakati wanapokwenda na makundi yao ya kondoo na ngʼombe kumtafuta Bwana, hawatampata; yeye amejiondoa kutoka kwao.
7 Ilia da Hina Gode amo baligi fa: i dagoi. Ilia mano da Hina Gode Ea mano hame. Amaiba: le, ilia amola ilia soge da hedolowane gugunufinisi dagoi ba: mu.
Wao si waaminifu kwa Bwana; wamezaa watoto haramu. Sasa sikukuu zao za Mwandamo wa Mwezi zitawaangamiza wao pamoja na mashamba yao.
8 Gibia sogega dalabede fulaboma! La: ima sogega dawa: digima: ne ga: ga: ma! Beda: ifane moilaiga bululuga masa! Bediamini dunu! Gegemusa: masa!
“Pigeni tarumbeta huko Gibea, baragumu huko Rama. Paza kilio cha vita huko Beth-Aveni, ongoza, ee Benyamini.
9 Se dabe iasu eso da mana! Amola Isala: ili da wadela: lesi dagoi ba: mu! Isala: ili dunu! Amo hou da dafawanedafa doaga: mu!
Efraimu ataachwa ukiwa katika siku ya kuadhibiwa. Miongoni mwa makabila ya Israeli ninatangaza lile ambalo halina budi kutukia.
10 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da ougi bagade! Bai Yuda ouligisu dunu ilia da Isala: ili soge doagala: le sa: ili, ea soge mogili gegenane lai. Amaiba: le, hano bagade heda: be defele, Na da ilima se bagade imunu.
Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaosogeza mawe ya mpaka. Nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama mafuriko ya maji.
11 Eno soge dunu da Isala: ili dunu ilima se bagade iaha. Bai ilia sogedafa mogili ilia da fisi dagoi. Amo ea bai da ilia da eno dunu ili fidima: ne adole ba: musa: asi. Be eno dunu da Isala: ili dunu fidimu hamedei ba: i.
Efraimu ameonewa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.
12 Na da Isala: ili fi amola Yuda fi ilima wadela: lesisu iasimu.
Mimi ni kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa watu wa Yuda.
13 Isala: ili da hi gasa hame olo ba: beba: le, amola Yuda da hi fa: ginisi ba: beba: le, Isala: ili da Asilia soge amoga Asilia hina bagade e ili fidima: ne adole ba: musa: asi. Be e da ilia olo uhinisimu amola ilia fa: ginisi baholesimu hamedei ba: i.
“Wakati Efraimu alipoona ugonjwa wake, naye Yuda vidonda vyake, ndipo Efraimu alipogeukia Ashuru, na kuomba msaada kwa mfalme mkuu. Lakini hawezi kukuponya, wala hawezi kukuponya vidonda vyako.
14 Na da laione wa: me defele, Isala: ili fi amola Yuda fi elama doagala: mu. Na Nisu da ela dadega: mu amola ela yolesimu. Na da ela mini hiouginana ahoasea, enoga fidimu da hamedei ba: mu.
Kwa maana nitakuwa kama simba kwa Efraimu, kama simba mkubwa kwa Yuda. Nitawararua vipande vipande na kuondoka; nitawachukua mbali, na hakuna wa kuwaokoa.
15 Na da Na fi dunu yolesi dialeawane, ilia da ilia wadela: i hou hamoi defele se nabi dagoiba: le fawane, Na hohogola masea, ilima buhagimu. Amabela: ? Ilia da se nababeba: le, Na hogoma: bela: ?”
Kisha nitarudi mahali pangu mpaka watakapokubali kosa lao. Nao watautafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.”

< Hosia 5 >