< Hosia 13 >

1 Musa: , Ifala: ime fi da sia: beba: le, Isala: ili fi eno da beda: i galu. Ilia da Ifala: ime fi ilima nodone ba: i. Be ilia da Ba: ilema nodone sia: ne gadobeba: le, wadela: le hamoi. Amo hamobeba: le, ilia da bogosu dabe lamu.
Wakati Efraimu alipozungumza, watu walitetemeka, alikuwa ametukuzwa katika Israeli. Lakini alikuwa na hatia ya kumwabudu Baali naye akafa.
2 Ilia da wadela: i hou hamonana. Ilia da loboga ogogole ouli ‘gode’ hamone, ilima nodone sia: ne gadomusa: , hamosa. Ilia silifaga ogogole ‘gode’ hamosa. Amo ilia da asigi dawa: su ganodini dawa: le, loboga hamosa. Amasea, ilia da amane sia: sa, “Amoga gobele salasu hou hamoma!” Mafua dunu da habodane udigili loboga hamoi bulamagau gawali amo nonogoma: bela: ?
Sasa wanatenda dhambi zaidi na zaidi; wanajitengenezea sanamu kutokana na fedha yao, vinyago vilivyotengenezwa kwa uhodari, vyote kazi ya fundi stadi. Inasemekana kuhusu hawa watu, “Hutoa dhabihu za binadamu na kubusu sanamu za ndama.”
3 Amaiba: le, amo dunu da hahabe mobi defele hedolowane geamu. Ilia da hahabe oubi baea geabe defele, hedolo alalolesi dagoi ba: mu. Ilia da hafoga: i gisi amo dadabisu sogebiga foga mini ahoa amola mobi amo da mobi heda: suga ahoabe, agoane ba: mu.
Kwa hiyo watakuwa kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao, kama makapi yapeperushwayo kutoka sakafu ya kupuria nafaka, kama moshi utorokao kupitia dirishani.
4 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da dilia Hina Gode! Na da dili Idibidi sogega esalu fisili masa: ne gadili asunasi. Dilia da eno Gode hame, Na fawane. Nisu da dilia Gaga: su Dunu.
“Bali mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewaleta ninyi toka Misri. Msimkubali Mungu mwingine ila mimi, hakuna Mwokozi isipokuwa mimi.
5 Na da hafoga: i wadela: i soge ganodini dili ouligi.
Niliwatunza huko jangwani, katika nchi yenye joto liunguzalo.
6 Be dilia da soge noga: idafa amo ganodini golili sa: ili, hedolowane sadi dagoi ba: i. Amalalu, dilia da gasa fili, dilia Na gogolei.
Nilipowalisha, walishiba, waliposhiba, wakajivuna, kisha wakanisahau mimi.
7 Amaiba: le, Na da laione wa: me defele, dilima doagala: mu. Na da ‘lebade’ wa: me defele, dilima doagala: musa: logo legei dialumu.
Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba, kama chui nitawavizia kando ya njia.
8 Bea wa: me amo ea mano fisi defele, Na da dilima doagala: le, dilia da: i dudugale fasimu.
Kama dubu aliyenyangʼanywa watoto wake, nitawashambulia na kurarua vifua vyenu. Kama simba nitawala; mnyama pori atawararua vipande vipande.
9 Isala: ili fi dunu! Na da dili wadela: lesimu. Amasea, dili fidima: ne, nowa esalabala?
“Ee Israeli, umeangamizwa, kwa sababu wewe u kinyume nami, kinyume na msaidizi wako.
10 Dilia da hina bagade amola ouligisu dunu lama: ne adole ba: su. Be ilia da habodane dilia fi gaga: ma: bela: ?
Yuko wapi mfalme wako, ili apate kukuokoa? Wako wapi watawala wako katika miji yako yote ambao ulisema kuwahusu, ‘Nipe mfalme na wakuu’?
11 Na da dilima ougiba: le, hina bagade ili dilima i. Amola Na da baligiliwane ougiba: le, amo hina bagade ili fadegai.
Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme na katika ghadhabu yangu nilimwondoa.
12 Isala: ili ea wadela: i hou da dedena sa: i dagoi, amola amo dedena sa: i da noga: le momagele legei diala.
Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.
13 Isala: ili da fifi masunu gala. Be e da gagaouiba: le, fifi masunu da hamedei ba: mu. E da mano dudubu lalelegemu gadenei gala, amo da ea ame ea hagomo yolesimu hihini dialebe, amo agoaiwane gala.
Utungu kama wa mwanamke anayejifungua mtoto humjia, lakini yeye ni mtoto asiyekuwa na hekima; wakati utakapowadia hatatoka katika tumbo la mama yake.
14 Na da amo fi dunu da bogoi soge amoga mae sa: ima: ne amola bogosu ea gasaga mae fama: ne, hamedafa gaga: mu. Bogosu! Dia olo gia: su amo oule misa! Bogoi soge! Dia wadela: su oule misa! Na da amo dunu fi ilima bu hame asigimu. (Sheol h7585)
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol h7585)
15 Be Isala: ili da wadela: i gagalobo defele, hahawane heda: i dagoi ba: sa ganiaba, Na da gia: i bagade gusudili mabe fo hafoga: i sogega misi amo iasili, amo da ilia gu hano bubuga: su amola hano uli dogoi hafoga: mu. Amo fo da ilia noga: i liligi huluanedafa mini fasimu.
hata ingawa Efraimu atastawi miongoni mwa ndugu zake. Upepo wa mashariki kutoka kwa Bwana utakuja, ukivuma kutoka jangwani, chemchemi yake haitatoa maji na kisima chake kitakauka. Ghala lake litatekwa hazina zake zote.
16 Samelia fi da Nama lelei dagoiba: le, ilia da se dabe iasu ba: ma: mu. Samelia fi dunu da gegesu ganodini bogomu. Mano dudubu da osoba gisalugala: i dagoi ba: mu. Amola abula agui uda ilia da: i da dudugai dagoi ba: mu.”
Watu wa Samaria ni lazima wabebe hatia yao, kwa sababu wameasi dhidi ya Mungu wao. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watatupwa kwa nguvu ardhini, wanawake wao walio na mimba watatumbuliwa.”

< Hosia 13 >