< Hosia 10 >

1 Isala: ili fi dunu da waini efe amo da waini fage bagohame legei, amo defele ba: i. Ilia da baligili bagade gaguiwane hamobeba: le, bu oloda bagohame gagui. Ilia soge da ha: i manu bagade heda: beba: le, ilia da sema igi ganumu amo baligili nina: hamoi dagoi.
Israeli alikuwa mzabibu uliostawi sana, alijizalia matunda mwenyewe. Kadiri matunda yake yalivyoongezeka, alijenga madhabahu zaidi; kadiri nchi yake ilivyostawi, alipamba mawe yake ya ibada.
2 Be dunu amo da ilia dogo ganodini ogogosu hou fawane hamonana, amo da wali ilia wadela: i hou hamobeba: le, se bagade nabimu. Gode da ilia oloda gadelale salimu amola ilia sema igi ganumu amo wadela: lesimu.
Moyo wao ni mdanganyifu, nao sasa lazima wachukue hatia yao. Bwana atabomoa madhabahu zao na kuharibu mawe yao ya ibada.
3 Amo dunu da wali hedolowane amane sia: mu, “Ninia da wali hina bagade hame gala. Bai ninia da Hina Godema hame beda: i. Be hina bagade dunu amola da nini fidimu hamedei ba: mu.
Kisha watasema, “Hatuna mfalme kwa sababu hatukumheshimu Bwana. Lakini hata kama tungelikuwa na mfalme, angeweza kutufanyia nini?”
4 Ilia da udigili sia: daha. Amola ilia ogogole sia: ilegesa amola udigili gousa: su hamosa. Dunu ilia da osobo gidinasuga dogosea, bogosu gisi da hedolo heda: mu. Amo defele, moloidafa hou da sinidigili, moloi hame hou agoai ba: sa.
Wanaweka ahadi nyingi, huapa viapo vya uongo wanapofanya mapatano; kwa hiyo mashtaka huchipuka kama magugu ya sumu katika shamba lililolimwa.
5 Dunu amo da Samelia moilai bai bagadegawi esalebe da beda: mu. Ilia da Bedele gouliga hamoi bulamagau gawali fisi dagoiba: le, heawini dimu. Ili amola gobele salasu dunu (ili da amo gouliga hamoi bulamagau ea hawa: hamosa) da heawini dimu. Asilia dunu da ea gouli gadofo houga: sea, ilia da a: iya gusa: mu.
Watu wanaoishi Samaria huogopa kwa ajili ya sanamu ya ndama ya Beth-Aveni. Watu wake wataiombolezea, vivyo hivyo kuhani wake wa kuabudu sanamu, wale waliokuwa wamefurahia fahari yake, kwa sababu itaondolewa kutoka kwao kwenda uhamishoni.
6 Asilia dunu da amo ‘gode’ loboga hamoi ilia hina bagade amoma nodoma: ne, Asilia sogega gaguli masunu. Amola Isala: ili da ga fi ilia sia: amo fa: no bobogebeba: le, gogosiasu ba: mu.
Itachukuliwa kwenda Ashuru kama ushuru kwa mfalme mkuu. Efraimu atafedheheshwa; Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu zake za mti.
7 Isala: ili hina bagade da ifa da: fe hanoga mini ahoabe agoai, gaguli asi dagoi ba: mu.
Samaria na mfalme wake wataelea kama kijiti juu ya uso wa maji.
8 A: ifene moilai bai bagade agolo da: iya sema sogebi (amogawi Isala: ili dunu da loboga hamoi ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadolalebe) da wadela: lesi dagoi ba: mu. Wadela: i gagalobo amola aya: gaga: nomei da ilia oloda dedebomu. Isala: ili dunu da goumi alelaloi amoga amane wele sia: mu, “Nini wamolegema!” amola agolo alelaloi amoga, “Nini dedeboma!” amane wele sia: mu.
Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu pataharibiwa: ndiyo dhambi ya Israeli. Miiba na mibaruti itaota na kufunika madhabahu zao. Kisha wataiambia milima, “Tufunikeni!” na vilima, “Tuangukieni!”
9 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili dunu da Gibia moilai bai bagadega muni wadela: le hamosu, mae yolele wadela: le hamonana wali doaga: i. Amaiba: le, Gibia moilai bai bagadega ilia da gegesu ba: mu.
“Tangu siku za Gibea, mmetenda dhambi, ee Israeli, huko ndiko mlikobaki. Je, vita havikuwapata watenda mabaya huko Gibea?
10 Na da amo wadela: le hamosu fi ilima doagala: le, ilima se imunu. Fifi asi gala ilia da gilisili Isala: ili fi ilima gegemu, amola Isala: ili dunu ilia wadela: i bagohame hamoiba: le, se iasu ba: mu.
Wakati nitakapopenda, nitawaadhibu; mataifa yatakusanywa dhidi yao ili kuwaweka katika vifungo kwa ajili ya dhambi zao mbili.
11 Isala: ili da musa: , waha debe bulamagau aseme amo noga: le olele amola gala: ine dabimusa: momagele amola hamomusa: esalebe agoane ba: i. Be na da fedege agoane ea gonomagi da: iya gasa bagade hawa: hamosu hamoma: ne, youge legemu dawa: i galu. Na da Yuda amo osobo gidinasu hiougima: ne hamoi amola Isala: ili da osobo gagaoudama: ne gisi hiougima: ne hamoi.
Efraimu ni mtamba wa ngʼombe aliyefundishwa ambaye hupenda kupura, hivyo nitamfunga nira juu ya shingo yake nzuri. Nitamwendesha Efraimu, Yuda lazima alime, naye Yakobo lazima avunjavunje mabonge ya udongo.
12 Na da amane sia: i, ‘Dilia noga: le fima: ne, gaheabolo osobo gidinama. Moloidafa hou bugima. Amasea, dilia da Nama asigiwane esalea, dilia da hahawane hou gamisu agoane lamu. Na, dilia Hina Gode, Nama sinidigimu eso da doaga: i dagoi. Amasea, Na da dilima masea, hahawane olofosu dilima sogadigimu.
Jipandieni wenyewe haki, vuneni matunda ya upendo usio na kikomo, vunjeni ardhi yenu isiyolimwa; kwa kuwa ni wakati wa kumtafuta Bwana, mpaka atakapokuja na kuwanyeshea juu yenu haki.
13 Be dilia da amo mae dawa: le, wadela: i hou bugili, amola amo ea gamisu fai. Dilia da fedege agoane, ogogosu ea fage amo mai dagoi. Dilia da dilia gegesu ‘sa: liode’ amola dadi gagui dunu bagohame, amo dilia noga: le gaga: mu dafawaneyale dawa: beba: le,
Lakini mmepanda uovu, mkavuna ubaya, mmekula tunda la udanganyifu. Kwa sababu mmetegemea nguvu zenu wenyewe na wingi wa mashujaa wenu,
14 gegesu da dilia fi dunuma doaga: mu amola dilia gagili sali moilai bai bagade huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Eso afaega, hina bagade Sia: lama: ne da gegene, Bede Abele moilai wadela: lesi. Amola emelali amola ilia manolali da medole dadalega: le sali dagoi ba: i. Dilima misunu hou da amo hou agoane ba: mu.
mngurumo wa vita utainuka dhidi ya watu wako, ili kwamba ngome zako zote zitaharibiwa: kama Shalmani alivyoharibu Beth-Arbeli katika siku ile ya vita, wakati mama pamoja na watoto wao walipotupwa kwa nguvu ardhini.
15 Dilia Bedele dunu! Amo hou da dilima doaga: mu. Bai dilia da baligiliwane wadela: le hamoi dagoi. Gegesu da musia, Isala: ili hina bagade da bogomu.”
Ndivyo itakavyotokea kwako, ee Betheli, kwa sababu uovu wako ni mkuu. Siku ile itakapopambazuka, mfalme wa Israeli ataharibiwa kabisa.

< Hosia 10 >