< Hosia 1 >

1 Hina Gode da Hosia (Bialai egefe) ema sia: adole i. Amo esoha galu, Asaia, Youdame, A:ihase amola Hesigaia da Yuda dunu fi ilima hina bagade galu. Amola Yelouboua: me (Yihoua: se egefe) da Isala: ili fi amo ilia hina bagade esalu.
Neno la Bwana lililomjia Hosea mwana wa Beeri wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na wakati wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi, mfalme wa Israeli.
2 Hina Gode da bisili Hosia ea lafidili Isala: ili fi ilima adomusa: galea, E da Hosiama amane sia: i, “Di da asili uda lama. Be dia uda da di baligi fa: mu, amola dia mano da dia uda ea hou defele, hame nabasu mano ba: mu. Amo defele, Na fi dunu ilia da Na yolesili, baligi fa: i dagoi.
Wakati Bwana alipoanza kuzungumza kupitia Hosea, Bwana alimwambia, “Nenda ukajitwalie mwanamke wa uzinzi na watoto wa uzinzi, kwa sababu nchi ina hatia ya uzinzi wa kupindukia kwa kumwacha Bwana.”
3 Amaiba: le, Hosia da Dibala: ime ea uda mano Gouma amo lai dagoi. Amalalu ela da dunu mano lalelegei.
Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.
4 Amalalu, Hina Gode da Hosiama amane sia: i, “Dia mano ea dio Yeseliele asulima. Bai Na da gadenenewane Isala: ili hina bagade ema se nabasu bagade imunu. Amo se imunu ea bai da ea aowa Yihiu da musa: Yeseliele moilai bai bagadega dunu bagohame medole lelegei. Na da Yihiu ea fi ouligisu hou dagolesimu.
Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli, kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli.
5 Amola amo esoha, Na da Yeseliele Fago ganodini, Isala: ili fi ilia gegemusa: sasanega: nanusu wadela: lesimu.
Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”
6 Gouma da mano eno lalelegei. Waha lalelegei amo da uda mano. Hina Gode da Hosiama amane sia: i, “Ea dio ‘Ema hame asigisa’ asulima. Bai Na da Isala: ili dunu huluanema bu hame asigimu, amola ilia wadela: i hou bu hame gogolema: ne olofomu.
Gomeri akachukua tena mimba akamzaa binti. Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Lo-Ruhama, kwa maana sitaonyesha tena upendo kwa nyumba ya Israeli, kwamba nisije kabisa nikawasamehe.
7 Be Na da Yuda dunuma asigimu. Na, ilia Hina Gode, da ili gaga: mu. Be amo gaga: su hou Na da gegesu amoga amola gegesu dadi amola gegesu gobihei sedade amola hosiga fila heda: le gegesu dunu, amoga hame hamomu.
Hata hivyo nitaonyesha upendo kwa nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa si kwa upinde, upanga au vita, wala kwa farasi na wapanda farasi, bali kwa njia ya Bwana Mungu wao.”
8 Gouma da ea uda mano dodo fisilalu, abula eno agui ba: i. Amalu dunu mano eno lalelegei.
Baada ya Gomeri kumwachisha Lo-Ruhama kunyonya, Gomeri alipata mwana mwingine.
9 Hina Gode da Hosiama amane sia: i, “Mano ea dio ‘Na fi dunu hame’ amo asulima. Bai wali Isala: ili dunu da Na fi dunu hame. Amola Na da ilia Gode hame.”
Kisha Bwana akasema, “Mwite Lo-Ami kwa maana ninyi si watu wangu, nami si Mungu wenu.
10 Isala: ili dunu fi da afadenene hano bega: bosoda: i dialebe agoai ba: mu. Bagadeba: le, idimu da hamedei ba: mu. Wali, Gode da ilima amane sia: sa, “Dili da Na dunu hame,” be eso da misunu amoga E da ilima amane sia: mu, “Dilia da Esalalalusu Gode Ea mano esala.”
“Hata hivyo Waisraeli watakuwa kama mchanga kando ya bahari, ambao hauwezi kupimika wala kuhesabiwa. Mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’
11 Yuda fi dunu amola Isala: ili fi dunu ilia da bu gilisili fi afae hamoi ba: mu. Amola ilia da dunu afae amo ili ouligima: ne ilegemu. Amola ilia fi da bu heda: mu amola ilia soge ganodini hahawane esalumu. Dafawane! Yeseliele ea eso misunu hou da hou bagadedafa ba: mu.”
Watu wa Yuda na watu wa Israeli wataunganishwa tena, nao watamchagua kiongozi mmoja nao watakwea watoke katika nchi, kwa kuwa siku ya Yezreeli itakuwa kuu sana.

< Hosia 1 >