< Ha:ga:iai 1 >

1 Be ode ageyadu amoga, Da: liase da Besia soge amo hina bagade hamone ouligi esalu, amola oubi gafe amoga eso agega, Hina Gode da Ha: ga: iai ema sia: sia: i. Amola Ha: ga: iai da alofele, amo sia: Yuda eagene ouligisu dunu amola Selababele (Sia: lediele egefe) amola gobele salasu ouligisu dunu Yosiua (Yihosada: ge egefe), ilima bu sia: i.
Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
2 Hina Gode Bagadedafa da Ha: ga: iaima amane sia: i, “Isala: ili dunu ilia da amane sia: sa, ‘Debolo Diasu bu gagumu esodafa da hame doaga: i.’”
“Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
3 Amalalu, Hina Gode Ea sia: amo da dunu huluane ilia nabima: ne, balofede dunu Ha: ga: iaima sia: ne i.
Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
4 Hina Gode da amane sia: i, “Na dunu fi abuliba: le ilila: diasu amo noga: le gaguli esala, amola Na Sia: ne Gadosu Diasu amo bu wadela: lesi dagoi ba: sala: ?
“Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
5 Dilia da abuliba: le dilima hou doaga: ga: lalebe amo hame ba: sala: ?
Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
6 Dilia da gagoma bagade sagai galu, be amomane bagade hame fai. Dilia da ha: i manu gala be dili sadini manu defele hame gala. Dilia da waini hano manu gala, be dilia da waini hano hanai gumimu defele hame gala. Dilia da abula gala, be bagahameba: le, dilia da: i hame hougala: sa. Dunu da muni lamusa: hawa: hamosa, be amomane esaloma: ne lamu liligi amo defele hame ba: sa.
Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
7 Di da abuliba: le, amo hou doaga: be hame ba: bela: ?
Bwana wa Majeshi asema haya:
8 Defea, wahadafa agoloba: le heda: le, diasu gagusu ifa lidima, amola Na Debolo Diasu mugului amo bu buga: le gaguma. Amasea Na da dilima nodomu amola dilia da Nama defele nodone sia: ne gadomu.
'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
9 Dilia da ifabi ganodini ha: i manu bagade lamusa: dawa: i galu. Amomane ha: i manu da dadamini aguni manoba, Na da amo dadami fulabole fasi dagoi. Abuliba: le, Na agoane hamobela: ? Bai Na Debolo Diasu da mugululi sia: i dagoiba: le. Be dilia da mae dawa: le, dilia diasu fawane gagulala.
'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
10 Amaiba: le, Na da diligili gibu amola ha: i manu hame iaha.
Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
11 Na da dilia sogega esoi bagade i dagoi. Dilia soge agolo, gagoma sagai, waini sagai, olefe ifa sagai, dilia sagai liligi huluane amola dunu fi amola ohe fi huluane amo da esoi bagade ba: sa.
Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
12 Amalalu, Selababele, Yosiua amola dunu fi huluane (amo da Ba: bilone mugului asili buhagi), ilia Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. Ilia da beda: ne, balofede dunu Ha: ga: iai (Hina Gode Ea Sia: Alofesu dunu) amo ea sia: nabawane hamoi.
Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
13 Amalalu, Ha: ga: iai da Hina Gode Ea sia: amo Isala: ili dunuma alofele adoi, amane, “Na da dafawane ilegesa. Na da dili hamedafa yolesimu.”
Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
14 Hina Gode da Selababele, Yuda eagene ouligisu dunu, gobele salasu ouligisu dunu Yosiua amola dunu huluane amo da mugululi asili buhagi, amo ilia da Debolo Diasu bu gaguma: ne, Hina Gode da ilia a: silibu denesi dagoi. Ilia da ilia Hina Gode Bagadedafa Ea Debolo Diasu gaguma: ne, hawa: hamosu mui.
Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
15 Ilia da oubi gafeale amola eso 24 amo Da: liase ea hina bagade ouligisu eso amoga, amo hawa: hamosu mui.
katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.

< Ha:ga:iai 1 >