< Mui 7 >
1 Amalalu, Hina Gode da Nowa: ma amane sia: i, “Di amola dia sosogo fi huluane, amo dusagai bagade amoga golili sa: ima. Bai waha esalebe fi amo ganodini, Na da di fawane hahawane ba: i.
Yahwe akamwambia Nuhu, “Njoo, wewe na nyumba yako wote, katika safina, kwa kuwa nimeona kuwa wewe ni mwenye haki mbele yangu katika kizazi hiki.
2 Ohe fi hisu hisu liligi ledo hamedei amo gawali amola aseme amo fesuale agoane dusagai ganodini oule masa. Amola liligi ledo gala amo gawali amola aseme aduna aduna fawane oule masa.
Kwa kila mnyama aliye safi utakuja nao saba wa kiume na saba wa kike. Na kwa wanyama wasio safi, lete wawili wawili, wakiume na wakike.
3 Amola sio fi hisu hisu mae bogole osobo bagadega esaloma: ne, amo fesuale gawali amola aseme dusagai ganodini oule masa.
Pia na kwa ndege wa angani, lete saba wa kiume na saba wa kike, ili kuhifadhi kizazi chao juu ya uso wa nchi yote.
4 Eso fesuale aligili, Na da gibu bagade osobo bagadega iasimu. Gibu da eso 40 amola gasi 40 sa: imu. Amoga na da esalebe liligi huluane Na hamoi, amo huluane osobo bagadega mugululi fasimu.
Kwa kuwa ndani ya siku saba nitasababisha mvua kunyesha juu ya nchi muda wa siku arobaini mchana na usiku. Nitaharibu kila kiumbe hai nilichokiumba juu ya uso wa ardhi.”
5 Nowa: da Gode Ea hamoma: ne sia: i liligi huluane hamoi.
Nuhu alifanya yote ambayo Yahwe alimuagiza.
6 Hano bagade da osobo bagadega doaga: loba, Nowa: da ode 600 agoane ba: i.
Nuhu alikuwa na umri wa miaka mia sita wakati gharika ilipokuja juu ya nchi.
7 Amola Nowa: , ea manolali, ea uda amola ea mano ilia uda da hano bagade fisimusa: , dusagai ganodini fila heda: i.
Nuhu, watoto wake wa kiume, mke wake, na wake za watoto wake waliingia katika safina pamoja kwa sababu ya maji ya gharika.
8 Ledo hamedei ohe fi amola ledo gala liligi aduna aduna, sio fi, osoboa sugi ahoasu liligi,
Wanyama ambao ni safi na wanyama ambao si safi, ndege, na kila kitambaacho juu ya ardhi,
9 gawali amola aseme amo huluane Nowa: ma misini, dusagai ganodini fila heda: i. Gode da Nowa: ma hamoma: ne sia: i, amo defele hamoi dagoi ba: i.
wawili wawili mume na mke wakaja kwa Nuhu na wakaingia katika safina, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza Nuhu.
10 Amola eso fesuale aligili galu, hano bagade da moi bagadega doaga: i.
Ikawa kwamba baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya nchi.
11 Nowa: da ode 600 esalu. Amo ode ganodini, oubi ageyadu amola eso 17 - amo esoga, hano osobo hagudu dialu amo da fudagala: i amola mu amo ganodini gibu ea logo ga: su da fudagala: le, doasi dagoi.
Katika mwaka wa mia sita wa maisha yake Nuhu, katika mwezi wa pili, katika siku ya kumi na saba ya mwezi, katika siku iyo hiyo, chemchemi zote za vilindi vikuu zilipasuka na kufunguka, na madirisha ya mbinguni yakafunguka.
12 Eso 40 amola gasi 40 amoga gibu da osobo bagadega sa: i.
Mvua ikaanza kunyesha juu ya nchi kwa siku arobaini mchana na usiku.
13 Amo esoga, Nowa: amola egefe udiana Sieme, Ha: me amola Ya: ifede, ea uda amola egefe ilia uda huluane da dusagaiga fila heda: i.
Katika siku iyo hiyo Nuhu pamoja na watoto wake, Shem, Ham, na Yafethi na mke wa Nuhu, na wale wake watatu wa wana wa Nuhu pamoja waliingia katika safina.
14 Ilia da ohe fi hisu hisu, lai gebo amola sigua amola sania fi ilia osoboga sugi ahoa, amola sio fi huluane ilia da ougiga hagili ahoabe, amo huluane ilia da ganodini oule asi.
Waliingia pamoja na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho juu ya ardhi kwa jinsi yake, na kila aina ya ndege kwa jinsi yake, kila aina ya kiumbe chenye mabawa.
15 Gawali, aseme amola esalebe liligi huluane da mifo laha, amo huluane da Nowa: ma misini, dusagaiga fila heda: i.
Viwili viwili katika kila chenye mwili ambacho kilikuwa na pumzi ya uhai kilikuja kwa Nuhu na kuingia katika safina.
16 Ohe fi da ganodini ahoa amo huluane da gawali, aseme amola esalebe liligi huluanedafa, Gode da Nowa: ma sia: i amo defele. Amalalu, Nowa: da ganodini asi amola Gode da dusagai logo ga: si dagoi.
Wanyama walioingia ndani walikuwa wakiume na kike katika wote wenye mwili; wakaingia kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza. Kisha Yahwe akawafungia mlango.
17 Gibu bagade da osobo bagadega sa: ili, eso 40 amanega dalu. Hano da leda: le, dusagai gaguia gadole bila sedagawane gado heda: i.
Kisha gharika ikaja juu ya nchi kwa siku arobaini, na maji yakaongezeka na kuinua safina juu ya nchi.
18 Hano da bagade hamoi amola bagade heda: i. Dusagai da hano da: iya mae magufale lalu.
Maji yakafunika kabisa nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.
19 Hano da bagade heda: le, goumi huluane mu haguduga dialu da dedeboi dagoi ba: i.
Maji yakaongezeka zaidi juu ya nchi kiasi kwamba milima yote mirefu ambayo ilikuwa chini ya anga ikafunikwa.
20 Hano bagade heda: le, goumi huluane dedebole, bu 7 mida agoane heda: i.
Maji yakaongezeka dhiraa kumi na tano juu ya vilele vya milima.
21 Osobo bagadega esalebe liligi huluane, amo lai gebo, sogega esalu ohe fi, sio fi amola dunu fi huluane da bogogia: i dagoi.
Vitu vyote vyenye uhai ambavyo vilitembea juu ya nchi vilikufa: ndege, mifugo, wanyama wa mwituni, viumbe hai vyote kwa wingi vilivyoishi juu ya nchi, pamoja na watu.
22 Liligi huluane da hafoga: i osobo bagadega esalu amola mifo lasu, amo huluane da bogogia: i dagoi.
Viumbe hai vyote ambavyo vilikaa juu ya ardhi, vilivyo pumua pumzi ya uhai kwa njia ya pua, vilikufa.
23 Osobo bagadega esalebe liligi huluane da fadegale fasi dagoi ba: i. Dunu, ohe fi, osoboga sugi ahoasu liligi amola sio fi osobo bagadega hame ba: i. Be Nowa: hi fawane amola ea sosogo fi dusagai ganodini esalu, ilia fawane esalebe ba: i.
Hivyo kila kilichokuwa hai ambacho kilikuwa juu ya uso wa mchi kilifutwa, kuanzia watu mpaka wanyama wakubwa, mpaka vitambaavyo, na mpaka ndege wa angani. Vyote viliangamizwa kutoka kwenye nchi. Nuhu tu pamoja na wale waliokuwa naye kwenye safina ndio walisalia.
24 Hano bagade da osobo bagade dedeboi dialu eso 150 agoane dialebe ba: i.
Maji haya kuzama chini ya nchi kwa muda wa siku miamoja na hamsini.