< Mui 6 >

1 Osobo bagadega dunu fi idi da bagade heda: i. Uda mano da ilima lalelegeloba,
Ikawa wakati watu walipoanza kuongezeka juu ya uso wa nchi na wana wa kike wakazaliwa kwao,
2 Gode egefelali da dunu fi ilia uda manolali hahawane ba: loba, ilia hanaiga amo uda mano lasu.
wana wa Mungu walipoona kuwa mabinti wa wanadamu ni wenye kuvutia. waliwachukua kuwa wake zao, kila waliye mchagua.
3 Amalalu Hina Gode da amane sia: i, “Na A: silibu da dunu ilima eso huluane hame gegenanumu. Bau osobo bagade dunu ilia bogosu dawa: Ilia da wali ode 120 fawane esalumu.
Yahwe akaema, “roho yangu haitasalia kwa mwanadamu milele, kwa kuwa wao ni nyama. Wataishi miaka 120.”
4 Amo esoga, amola fa: no, dunu bagade amo ilia dio da Nefilime da osobo bagadega esalu. Gode egefelali amola osobo bagade dunu ilia uda manolali da gilisili golaiba: le, amo dunu bagade da lalelegei. Amo dunu da gasa bagade hamobeba: le, dunu huluane da ilia hou nabi dagoi.
Majitu makubwa yalikuwa juu ya uso wa nchi nyakati hizo, na hata baada ya hapo. Hii ilitokea wakati wana wa Mungu walipowaoa binti za wanadamu, na kupata watoto pamoja nao. Hawa walikuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
5 Hina Gode da osobo bagade dunu ilia wadela: i hou bagade amo ba: lalu. Ilia asigi dawa: su da wadela: lesi dagoi. Ilia dogo ganodini wadela: i hou fawane dawa: lalu. Amo Gode da ba: i dagoi.
Yahwe akaona kwamba uovu wa watu umezidi katika nchi, na kwamba mawazo ya mioyo yao daima inaelekea tu katika uovu.
6 Hina Gode da Ea musa: hou amo E da osobo bagadega esaloma: ne dunu fi hamoi, amo E da higale ba: i. Ea dogo ganodini se bagade nabi.
Yahwe akajuta kuwa amemuumba mwanadamu juu ya nchi, na ikamuhuzunisha moyo wake.
7 Amaiba: le Gode da amane sia: i. “Na da dunu fi hamoi dagoi be wali Na da huluane medole legemu. Dunu huluane, ohe fi, sania fi amola sio fi huluane Na da hamoiba: le hahawane hame gala. Amaiba: le, Na da huluane fane legemu.”
Kwa hiyo Yahwe akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu ambaye nimemuumba katika uso wa nchi; mwanadamu na wanyama wakubwa, na vitambaavyo na ndege wa angani, kwa kuwa nimehuzunika kuwa nimeviumba.”
8 Be Hina Gode da dunu afae amo Nowa: , hahawane ba: i. (Amabela: ? Sede egefelali - ilia da lafidili Gode dawa: i udigili sia: bela: ?)
Lakini Nuhu akapata neema ya upendeleo machoni pa Yahwe.
9 Nowa: ea sia: dedei da agoane. Nowa: da hou moloidafa dunu, e da wadela: i hame dawa: i. Ea fi amo ganodini, e da ida: iwane Gode amola gilisili lalu.
Kulikuwa na matukio kumuhusu Nuhu. Nuhu alikuwa mtu mwenye haki, na asiye na lawama miongoni mwa watu wa kipindi chake. Nuhu alitembea na Mungu.
10 Nowa: da dunu mano udiana esalu amo Sieme, Ha: me amola Ya: ifede.
Nuhu akafanyika baba wa wana watatu wa kiume: Shem, Ham na Yafeti.
11 Be osobo bagadega dunu fi huluane ilia hou da wadela: lesi dagoi. Gegene nimi dasu bagade fawane ba: i.
Nchi iliharibika mbele za Mungu, na ikajaa ghasia.
12 Dunu huluane da ilia hou wadela: lesiba: le, Gode da osobo bagade gugunufinisi dagoi ba: i.
Mungu akaiona nchi; tazama, ilikuwa imeharibika, kwa kuwa wote wenye mwili walikuwa wameharibu njia zao juu ya nchi.
13 Amaiba: le, Gode da Nowa: ma amane sia: i, “Na da dunu fi huluane ebelema: ne medole legemu. Ilia hamobeba: le, osobo bagade da nimi bagade hou amola gegesu, amoga nabai gala. Amaiba: le, na da dunu fi amola osobo bagade gilisili gugunufinisimu.
Mungu akamwambia Nuhu, “Nimeona kuwa sasa niwakati wa mwisho kwa wote wenye mwili, kwa kuwa inchi imejaa ghasia kutokana na wao. Hakika, nitawaharibu wao pamoja na nchi.
14 Amaiba: le, di dusagai bagade amo ‘saibalase’ ifa amoga hamoma. Amo ganodini sesei hamoma. Ganodini amola gadili ea gadofo amoga edele agoai legema.
Tengeneza safina ya mti wa mvinje kwa ajili yako. Tengeneza vyumba katika safina, na vifunike kwa lami ndani na nje.
15 Dia dusagai agoane hiougima. Ea afo sedade defei da 133 mida amola ea da: iyamogoa dunumuni defei da 22 mida amola ea da: iyamogoa gado defei 13 mida.
Hivi ndivyo utakavyofanya: urefu wa safina dhiraa miatatu, upana wake dhiraa hamsini, kwenda juu kwake dhiraa thelathini.
16 Gadodili figisu hamoma! Dusagai ea dobea fesa heda: le, figisu mae doaga: le dibi 44 sedamida agoane yolesima. Dusagai la: idi logo ga: su hamoma amola hada: i fa: i udiana agoane hamoma.
Tengeneza paa la safina, na ulimalize kwa kipimo cha dhiraa kutoka juu ubavuni. Weka mlango katika ubavu wa safina na utengeneze dari ya chini, ya pili na ya tatu.
17 Na da esalebe liligi mu hagudu esala amo huluane mifo labe liligi wadela: ma: ne, hano bagade osobo bagadega iasimu. Osobo bagadega esalebe liligi huluane da bogogia: mu.
Sikiliza, nimekaribia kuleta gharika ya maji juu ya nchi, kuharibu wenye mwili wote wakaao ndani ya nchi wenye pumzi ya uhai chini ya mbingu. Kila kitu kilichopo juu ya nchi kitakufa.
18 Be Na da dima gousa: su hamomu. Amalalu, di, dia manolali, dia uda, amola dia mano ilia uda da dusagai bagade ganodini golili sa: ima: mu.
Lakini nitalifanya thabiti agano langu na wewe. Utaingia ndani ya safina, wewe, na wana wako wa kiume, na mke wako, pamoja na wake za wanao.
19 Di esalebe liligi hisu hisu amo aduna - gawali amola aseme, amo esaloma: ne dusagai ganodini oule masa.
Kwa kila kiumbe hai chenye mwili, viwili vya kila aina utavileta ndani ya safina, ili visalie hai pamoja nawe, vya kike na vya kiume.
20 Sio fi hisu hisu aduna aduna, ohe fi huluane aduna aduna, amola fi huluane da osoboga sugi ahoabe, amo huluane da aduna aduna di ouligima: ne, dima doaga: mu.
Katika ndege kwa jinsi yake, na wanyama wakubwa kwa jinsi yake, kila kitambaacho ardhini kwa jinsi yake, viwili viwili vya kila aina vitakuja kwako ili viwe salama.
21 Ha: i manu liligi huluane amola, di amola osobo bagade ohe fi huluane moma: ne, amo gilisima.
Kusanya kila aina ya chakula kinacholiwa kwa ajili yako na ukitunze, ili kwamba viwe chakula chako na chao.”
22 Nowa: da Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, huluane hamoi dagoi.
Kwa hiyo Nuhu akafanya hivi. kulingana na yote ambayo Mungu alimuagiza, ndivyo alifanya.

< Mui 6 >

The World is Destroyed by Water
The World is Destroyed by Water