< Mui 49 >
1 Ya: igobe da egefe huluane misa: ne sia: ne, ilima amane sia: i, “Gadenene gilisima. Na da dilima fa: no misunu hou olelemu.
Kisha Yakobo akawaita wana wake, na kusema: “Jikusanyeni pamoja, ili niwaambie yatakayowapata nyakati zijazo.
2 Ya: igobe egefelali! Gilisima amola nabima! Dilia ada Isala: ili amo ea sia: nabima!
Kusanyikeni ninyi wenyewe na msikilize, enyi wana wa Yakobo. Msikilizeni Israeli, baba yenu.
3 Liubene! Di da na magobo mano amola na gasa gala. Na da asigilaloba, di da na magobo mano lalelegei. Dia gasa da na mano huluane ilia gasa baligi dagoi.
Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, na mwanzo wa uwezo wangu, aliyesalia katika heshima na nguvu.
4 Di da gasa bagade hano neda: i agoane. Be dia hou da baligi bagade hame ba: mu. Bai di da dia eda diaheda: su fafai wadela: lesi. Di da na gidisedagi uda amola gilisili golai.
Asiyezuilika kama maji yarukayo, hautakuwa na umaharufu, kwa sababu ulikwenda juu ya kitanda cha baba yako. Hata ukakitia unajisi; ulikipanda kwa kuvizia.
5 Simiane amola Lifai da eyalali amola olalali fi esala. Ela da ela gegesu liligi amoga gegenana, mi hanane gasa fisa.
Simoni na Lawi ni ndugu. Panga zao ni silaha za vurugu.
6 Na da ela wamolegei sia: dasu gilisisu amoma hame gilisimu. Bai ela da ougiba: le, dunu medole lelegei amola ela da hedemusa: bulamagau gawali ili gasuga: igimusa: emo dina: fi dai.
Ee nafsi yangu, usiingie barazani pao; usiingie katika mikutano yao, kwani moyo wangu unaheshima kubwa kwa ajili yao. Kwani katika hasira yao waliua watu. Iliwapendeza kuwakata visigino ng'ombe.
7 Ela ougi da gia: i bagade amola dodona: gi gala. Amaiba: le, ela ougi amoma na da gagabui aligima: ne ilegesa. Na da ela fi afafane, Isala: ili soge huluane amola Isala: ili fi huluane amo ganodini ela fi da afafane esalebe ba: mu.
Hasira yao na ilaaniwe, kwani ilikuwa kali - na ukali wao, kwani ulikuwa ni katili. Nitawagawa katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.
8 Yuda! Diolalali ili da dima nodomu. Di da dima ha lai dunu amo ilia galogoa gagusu. Diolalali ilia da dima begudumu.
Yuda, ndugu zako watakusifu. Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watainama mbele zako
9 Yuda da laione wa: me defele esala. E da ohe fi fane legelalu, hi diasuga bu asili, golai dialebe ba: sa. Dunu huluane da e didilisimusa: beda: i bagade.
Yuda ni mwana simba. Mwanangu, umetoka katika mawindo yako. Alisimama chini, alijikunyata kama simba, kama simba jike. Je nana atakayejaribu kumwamsha?
10 Yuda da Hina Bagadedafa amo ea dagulu gagui dagoi ba: mu. Egaga lalelegei manolali da eso huluane hina bagade dunu esalumu. Dunu fi eno da ema dabe ima: ne, gaguli misunu, amola nabasu hou hamoma: ne, ema begudumu.
Fimbo haitaondoka katika Yuda, wala fimbo ya utawala kutoka katika miguu yake, hata atakapo kuja Shilo. Mataifa yatamtii.
11 E da ea dougi amo waini efe baligili ida: iwane gala amo ilima la: gisisa. E da ea abula amo waini hano (maga: me agoane ba: sa) amo ganodini dodofesa.
Kumfunga punda wake kwenye mzabibu, na mwanapunda wake katika mzabibu mzuri, amefua mavazi yake katika divai, na kanzu yake katika damu ya vichala vya mzabibu.
12 E da waini bagade nabeba: le, ea si da maga: me agoane ba: sa. E da dodo maga: me nabeba: le, ea bese da ahea: iai agoane ba: sa.
Macho yake yatakuwa mausi kama mvinyo, na meno yake meupe kama maziwa.
13 Sebiulane da hano wayabo bagade bega: esalumu. Dusagai bagade da ea hano bega: hahawane misunu. Ea soge da asili, ea dagomusa: alalo da Saidone moilai bai bagade ba: mu.
Zabuloni atakaa katika fukwe ya bahari. Atakuwa bandari kwa ajili ya meli, na mpaka wake utakuwa hata Sidoni.
14 Isiga ea hou da dougi (amo da udigili ea baligiga legesu esa amo dogoa golai dialebe) ea hou hame baligisa.
Isakari ni punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya kondoo.
15 Be e da helefisu soge hahawane ba: sa. Amola soge huluane da noga: idafa e da dawa: sa. Amaiba: le, e da dioi liligi gaguli masa: ne beguduli ahoa. Dunu eno da ema gasa fili logebeba: le, e da udigili hawa: hamosu dunu ba: mu.
Anaona mahali pazuri pa kupumzikia na nchi ya kupendeza. Atainamisha bega lake kwa mzigo na kuwa mtumishi wake.
16 Da: ne da ea fi ilima ouligisu dunu esalumu. Ea fi dunu ilia da Isala: ili dunu fi eno amo defele ba: mu.
Dani atawaamua watu wake kama mojawapo ya makabila ya Israeli.
17 Da: ne da gasonasu sa: ya: be amo da logo bega: dialebe agoane ba: mu. Amo sa: ya: be da hosi ea emo gufi gasonasea, dunu da hosi da: iya fila heda: i da baligidudili dafamu.
Dani atakuwa nyoka kando ya njia, nyoka mwenye sumu aumaye visigino vya farasi katika njia, hivyo aongozaye farasi huanguka nyuma.
18 Hina Gode! Na da Dia gaga: sudafa ba: ma: ne ouesala.
Ninaungoja wokovu wako, Yahwe.
19 Ga: de! Wamolasu dunu gilisisu da Ga: dema doagala: musa: misunu. Be Ga: de da sinidigili ili se bobogemu.
Gadi - wapanda farasi watamshambulia, lakini yeye atawapiga katika visigino vyao.
20 A: sie ea soge amoga ha: i manu ida: iwane ba: mu. E da ha: i manu hina bagade dunu moma: ne defele, amo sagale faimu. E da sagale nasu dunu noga: iwane ba: mu.
Vyakula vya Asheri vitakuwa vingi, naye ataandaa vyakula vya kifalme.
21 Na: badalai da ‘dia’ ohe fi amo da udigili hehenane lala, amo defele ba: sa. Amo ‘dia’ da mano ida: iwane lalelegesa.
Naftali ni dubu jike asiyefungwa; atakuwa na watoto wa dubu walio wazuri.
22 Yousefe da udigili lalebe dougi amo da gufi hano gadenene esalebe agoane ba: sa. Amola udigili lalebe hosi mano agologa esalebe agoane ba: sa.
Yusufu ni tawi lizaalo, tawi lizaalo karibu na kijito, ambaye matawi yake yako juu wa ukuta.
23 Ema ha lai dunu da nimiwane ema doagala: musa: mabe. Ilia da dadiga gala: musa: ema se bobogesa.
Mpiga mishale atamshambulia na kumrushia na kumsumbua.
24 Be e da ea dadi mae yaguguiwane gagusa. Amola Ya: igobe ea Gode Bagadedafa da Ea Gasaga ea loboga gasa iaha. Gode da Isala: ili fi ilima Fidisu amola Sibi Ouligisu esala.
Lakini upinde wake utakuwa imara, na mikono yake itakuwa hodari kwa sababu ya mikono ya Mwenyenguvu wa Yakobo, kwa ajili ya jina la Mchungaji, Mwamba wa Israeli.
25 Dia ada amo ea Gode da dima Fidisu esala. Gode Bagadedafa da dima hahawane dogolegele fidilala amane. Gibu da gadodili osoboa daha. Gufi hano da osobo hagudu gala. Di da bulamagau bagohame amola mano bagohame gala. Amo da Gode Ea dima hahawane dogolegele fidisu.
Mungu wa baba yako atakusaidia na Mungu Mwenye enzi atakubariki kwa baraka mbinguni juu, baraka za vilindi vilivyo chini, na baraka za maziwa na tumbo.
26 Eno da fage (widi, bali, gagoma, naisi) amola sogea amola hahawane dogolegele fidisu E da dima iaha da musa: hemonega hamoi goumi amola liligi ida: iwane gala amo mae mugululi dialalalumu agolo ganodini gala. Yousefe da amo hahawane dogolegele fidisu hou ba: ma: ne, na da Godema sia: ne gadosa. Yousefe ea hou da hisuba: le, e da yolalali ilima afafai dagoi ba: sa.
Baraka za baba yako ni kuu kuliko baraka za milima ya zamani au vitu vilivyotamaniwa vya milima ya kale. Na viwe katika kichwa cha Yusufu, hata juu ya taji ya kifalme kichwani pa ndugu zake.
27 Bediamini da gasonasu wa: me (wufi) defele esala. Hahabe amola daeya, e da fane legesa amola gasonaha.”
Benjamini ni mbwamwitu mwenye njaa. Wakati wa asubuhi atalarua mawindo, na jioni atagawa mateka.”
28 Gadodili dedei da Isala: ili fi fagoyale galu. Amo sia: dedei da Ya: igobe ea fada: i sia: , ea bogomu gadenenanoba, ea mano afae afae ilima asigibio sia: ma: ne sia: i.
Haya ni makabila kumi na mbili ya Israeli. Hiki ndicho baba yao alichowambia alipowabariki. Aliwabariki kila mmoja kwa baraka iliyomstahili.
29 Ya: igobe da egefe ilima amane sia: i, “Na da wali bogole, na aowalali ilima gilisimu. Amaiba: le, na da: i hodo dilia na eda ilia uli dogosu amo gele gelabo amo Ifalone (Hidaide dunu) ea ifabi ganodini diala, amoga na da: i uli dogone salima.
Kisha akawaelekeza na kuwaambia, “Ninakaribia kwenda kwa watu wangu. Mnizike pamoja na babu zangu katika pango lililoko katika shamba la Efroni Mhiti,
30 Amo soge da Ma: gafila amo Ga: ina: ne soge ganodini amola Ma: melei moilaiga eso maba gusudili amoga diala. A: ibalaha: me da amo gele gelabo, ifabi amola bogoi uli dogosu hamoma: ne, Ifalonema bidi lai dagoi.
katika pango lililo katika shamba la Makpela, karibu na Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba Ibrahimu alilolinunua kwa Efron Mhiti kwa ajili ya eneo la kuzikia.
31 Amogai ilia da A: ibalaha: me amola idua Sela uli dogone sali. Amogai ilia da Aisage amola idua Lebega uli dogoi. Amola amogai na da Lia uli dogone sali.
Pale walimzika Ibrahimu na Sara mkewe; pale wakamzika Isaka na Rebeka mkewe; na pale nikamzika Lea.
32 Amo ifabi amola gele gelabo da Hidaide dunu amoga bidi lai. Amogai na da: i hodo uli dogone salima.”
Shamba na pango lililomo lilinunuliwa kutoka kwa watu wa Hethi.”
33 Ya: igobe da egefe ilima ea fada: i sia: huluane dagoloba, e da diaguduli, bogoi dagoi.
Yakobo alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe, akaiweka miguu yake kitandani, akakata roho, akawaendea watu wake