< Mui 43 >

1 Ga: ina: ne soge ganodini ha: i da bu bagade heda: lebe ba: i.
Njaa ilikuwa kali katika nchi.
2 Ya: igobe ea fi da gagoma huluane Idibidiga lai, amo na dagoloba, Ya: igobe da egefelali ilima amane sia: i, “Dilia Idibidi amoga ha: i manu fonobahadi bidi lamusa: masa.”
Ikawa walipokuwa wametumia chakula chote walichokitoa Misri, baba yao akawambia, “Nendeni tena; mtununulie chakula.”
3 Yuda da ema amane sia: i, “Idibidi ouligisu hina da gasa bagade sisasu ninima sia: i. Ninia da eya hame oule masea, ea odagi hamedafa ba: mu sia: i.
Yuda akamwambia, “Yule mtu alituonya kwa ukali, 'Hamtauona uso wangu ndugu yenu asipokuwa nanyi.'
4 Be di da ninia eya ninia oule masunu defele ba: sea, ninia da ha: i manu bidi lala masunu.
Ikiwa utamtuma ndugu yetu pamoja nasi, tutashuka na kuwanunulia chakula.
5 Be amo di higasea, ninia da hame masunu. Bai ouligisu hina da ninia eya hame oule masea, ea odagi hame ba: mu amane sia: i.”
Lakini usipompeleka, hatutashuka. Kwa maana yule mtu alitwambia, 'Hamtauona uso wangu ndugu yenu asipokuwa nanyi.”
6 Ya: igobe da amane sia: i, “Dilia abuliba: le nama se bagade iaha. Abuliba: le, dilia da eya eno esala amo ema olelebela: ?”
Israeli akawambia, “Kwa nini mlinitendea mimi vibaya hivyo kwa kumwambia mtu huyo kwamba mnaye ndugu mwingine?”
7 Ilia da bu adole i, “Ouligisu hina da ninia sosogo fi ilia hou, bagadewane adole ba: lalu amane, ‘Dilia eda wali esalabala? Dilia da eya eno esalabala?’ Ninia da ema adole hame imunu da hamedei. Ninia da habodane e da ‘Dilia eya guiguda: oule misa’ sia: mu amo dawa: bela: ?”
Wakasema, “Yule mtu alituuliza habari zetu na familia yetu kwa kina. Akasema, 'Je baba yenu bado yuko hai? Je mnaye ndugu mwingine?'Tukamjibu kulingana na maswali haya. Tungejuaje kwamba angetwambia, 'Mleteni ndugu yenu?”
8 Yuda da ea edama amane sia: i, “Na oule masa: ne, goi asunasili ninia wahadafa masunu. Amasea ninia huluane da hame ha: ga bogomu.
Yuda akamwambia Israeli baba yake, “Mtume kijana pamoja nami. Tutainuka na kwenda ili kwamba tuishi tusife, wote sisi, wewe, na hata watoto wetu.
9 E da se hame nabimu, amo na da gasa bagade sia: sa. Na da amo goi hahawane hame bu oule masea, defea, di da nama eso huluane nisu da wadela: le hamoi sia: mu da defea.
Mimi nitakuwa mdhamini wake. Utaniwajibisha mimi. Kama nisipomleta na kumweka mbele yako, basi nibebe lawama daima.
10 Be wali, ninia guiguda: sia: dalebe hame ouesalu ganiaba, ninia da Idibidi sogega aduna asili bu misini hamona: noba.”
Kwani kama tusingekawia, bila shaka hata sasa tungekuwa tumekwisha rudi mara ya pili.”
11 Amalalu, ilia eda Isala: ili da ilima amane sia: i, “Defea! Amai galea dilia agoane hamoma. Dia liligi amo ganodini, ninia soge ha: i manu ida: iwane ouligisu hina ema ima: ne gaguli masa. Amo gamali fonobahadi, agime hano, hedama: ne fodole nasu, molobe, amola ‘alamode’ fage.
Israeli baba yao akawambia, “Kama ni hivyo, basi fanyeni hivi. Chukueni baadhi ya mazao mazuri ya nchi katika mifuko yenu. Mchukulieni yule mtu zawadi: baadhi ya malhamu, asali, viungo na manemane, jozi na lozi.
12 Amola muni dilia musa: gaguli asi amo adunawane gaguli masa. Bai muni da dilia esa amo ganodini sinidigi dagoi ba: i, amo dilia bu gaguli masa. Amabela: ? Ilia giadofale bu iasu.
Chukueni pesa mara mbili mikononi mwenu. Pesa iliyorudishwa katika magunia yenu, muichukue tena katika mikono yenu. Pengine walikosea.
13 Dilia eya lale, hedolo bu masa.
Mchukueni ndugu yenu pia. Inukeni na mwende tena kwa mtu yule.
14 Gode Bagadedafa da amo Idibidi ouligisu dunu nama asigima: ne hamomu da defea. Amasea, e da Bediamini amola dilia ola eno nama bu imunu. Be na da na mano fisimu galea, defea, na da fisimu.”
Mungu Mwenyezi na awape kuona rehema mbele ya huyo mtu, hivyo kwamba awafungulie ndugu yenu mwingine na Benjamini. Kama nikipotelewa na watoto, nimepotelewa.”
15 Amaiba: le, olalali da hahawane udigili iasu liligi amola muni aduna gala gaguli asili, Bediamini amola Idibidi diasuga doaga: musa: asi. Amoga doaga: loba, ilia da Yousefema asi.
Watu wale wakachukua zawadi hii, na katika mikono yao wakachukua mara mbili ya kiasi cha pesa, pamoja na Benjamini. Wakaamka na kushuka Misri na kusimama mbele ya Yusufu.
16 Yousefe da Bediamini da yolalali amo gilisili misi amo ba: beba: le, ea diasu hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunuma amane sia: i, “Di amo dunu na diasuga oule masa. Esomogoa ilia da na amola gilisi ha: i manu. Amaiba: le, fofoi ohe amo medole legele, gobema.”
Yusufu alipomwona Benjamini akiwa nao, akamwambia mtunzaji wa nyumba yake, “Walete watu hao ndani ya nyumba, chinja mnyama na umwandae, kwani watu hawa watakula chakula cha mchana pamoja nami.”
17 Amo hawa: hamosu dunu da Yousefe ea sia: i defele hamoi. E da Ya: igobe manolali amo Yousefe diasuga oule asi.
Mtunzaji wa nyumba akafanya kama Yusufu alivyosema. Akawaleta wale watu nyumbani kwa Yusufu.
18 Ilia da amo diasuga oule asili, bagadewane beda: i galu. Ilia amane dawa: i, “Muni ninia esa amo ganodini bu dialebe ba: beba: le, ilia da nini guiguda: oule ahoa. Amasea, ilia da sinidigili, ninima gasawane doagala: le, ninia dougi lale amola nini udigili hawa: hamosu dunu hamomu.”
Wale ndugu wakaogopa kwa vile walivyoletwa katika nyumba ya Yusufu. Wakasema, “Ni kwa sababu ya pesa iliyorudishwa katika magunia yetu mara ya kwanza tulipoletwa ndani, kwamba atafute nafasi kinyume chetu. Kwamba aweze kutukamata na kutuchukua kama watumwa, na kuchukua punda wetu.” Wakamsogelea mtunzaji wa nyumba ya Yusufu,
19 Amaiba: le, ilia da diasu logo holeiga, hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunuma amane sia: i,
nao wakaongea naye mlangoni mwa nyumba,
20 “Ada! Ninia da musa: guiguda: ha: i manu bidi lala misi.
wakisema, “Bwana wangu, tulikuja mara ya kwanza kununua chakula.
21 Be ninia da ninia diasuga buhagimusa: logoga golamusa: oualigi, ninia esa doasiloba, ninia muni musa: dima i, ninia esa amo ganodini dialebe ba: i. Huluane da galu. Amo ninia da dima bu gaguli misi.
Ikawa, tulipofika katika eneo la kupumzikia, tukafungua magunia yetu, na, tazama, pesa ya kila mtu ilikuwa katika gunia lake, pesa yetu kwa kiasi kamili. Tumeileta katika mikono yetu.
22 Ninia da eno muni amola ha: i manu eno bidi lamusa: , gaguli misi. Nowa da amo muni ninia esa ganodini salibala: ? Amo ninia hame dawa:”
Tumekuja na pesa nyingine pia mikonon mwetu ili kununua chakula. Hatujui aliyeziweka pesa katika magunia yetu.”
23 Be ouligibi hawa: hamosu dunu da amane sia: , “Mae dawa: ma! Mae beda: ma! Dilia Gode - Dilia ada ea Gode amo da dilia muni dilia esa ganodini salibala: ? Na da dilia muni lai dagoi.” Amalalu, e da Simiane ilima oule misi.
Mtunzaji wa nyumba akasema, “Amani iwe kwenu, msiogope. Mungu wenu na Mungu wa baba yenu ndiye aliyeweka pesa katika magunia yenu. Nilipokea pesa yenu.” Kisha mtunzaji wa nyumba akamleta Simoni kwao.
24 Hawa: hamosu ouligisu dunu da olalali huluane diasu ganodini oule asi. E da ilia emo dodofema: ne, hano ilima i. E da ilia dougi ilima ha: i manu i.
Msimamizi wa nyumba akawapeleka watu hao katika nyumba ya Yusufu. Akawapa maji, nao wakaosha miguu yao. Akawalisha punda wao.
25 Ilia da Yousefema hahawane ima: ne, ilia iasu liligi momagei. Bai hawa: hamosu dunu amo da ilia da Yousefe amola gilisili ha: i manu, amo ilima olelei dagoi.
Wakaandaa zawadi kwa ajili ya Yusufu aliyekuwa akija mchana, kwani walikuwa wamesikia kwamba watakula pale.
26 Yousefe da ea diasuga doaga: loba, ilia da hahawane udigili iasu amo diasu ganodini gaguli misini, ema i. Amola ilia da Yousefema osoboga begudui.
Yusufu alipokuja nyumbani, wakaleta nyumbani zawadi iliyokuwa mikononi mwao, nao wakainama mbele yake hata chini.
27 E da ilia hou ilima adole ba: i. Amalalu, e amane sia: i, “Dilia ada da: i hamoi dilia nama adoi? E da hahawane esalabala?”
Akawauliza juu ya hali zao na kusema,”Je baba yenu hajambo, yule mzee mliyemnena? Je bado yu hai?”
28 Ilia da bu adole i, “Dia fonoboi hawa: hamosu dunu ninia ada da hahawane esala.” Amalalu, ilia da muguni bugili, ema begudui.
Wakasema, “Mtumishi wako baba yetu hajambo. Na bado yu hai” Wakajinyenyekeza na kuinama chini.
29 Yousefe da ea eya Bediamini ba: loba, amane sia: i, “Amo da dilia nama adoi dilia fa: no lalelegei eyala: ? Na gofe! Gode da di hahawane dogolegele fidimu da defea.”
Alipoinua macho yake akamwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mamaye, naye akasema, “Je huyu ndiye mdogo wenu mliyemsema?” Na kisha akasema, “Mungu na awe mwenye neema kwako, mwanangu.”
30 Amalalu, Yousefe da hedolowane fisili asi. E da ea dogo ganodini ea eyama bagade asigiba: le, dimusa: dawa: i galu. Ilia da ea dibi ba: sa: besa: le, e da ea sesei amoga asili, dinanu.
Yusufu akaharakisha kutoka chumbani, kwani aliguswa sana kuhusu nduguye. Akatafuta mahali pa kulia. Akaingia chumbani mwake na kulia umo.
31 Fa: no, e da ea odagi dodofelalu amola ea dogo bu denesilalu, e da bu misini, ha: i manu ima: ne sia: i.
Akaosha uso wake na kutoka nje. Akajizuia mwenyewe, akasema, “karibuni chakula.”
32 Yousefe da fafai afae, amola yolalali da fafai enoga ha: i mai. Idibidi dunu da Hibulu dunu ilima gilisili ha: i manu da gogosiasu liligi, Idibidi dunu da dawa: i galu.
Watumishi wakamhudumia Yusufu peke yake na wale ndugu peke yao. Wamisri pale wakala pamoja naye peke yao kwa sababu Wamisri hawakuweza kula mkate na Waebrania, kwani hilo ni chukizo kwa Wamisri.
33 Yolalali da fafai amoga fibi ba: i. Ilia da Yousefe ba: le gusuli esafulubi ba: i. Yousefe da sia: beba: le, ilia lalelegei defele olalali, eyalali, dadalele fi. Idibidi ouligisu hina da ilia lalelegei dadalesu dawa: beba: le dadalesu hamoi, amo ba: beba: le, ilia da bagadewane fofogadigili, enoenoma ba: lafui.
Wale ndugu wakakaa mbele yake, mzaliwa wa kwanza kwa kulingana na haki yake ya uzaliwa, na mdogo kulingana na ujana wake. Wale watu wakashangaa wote.
34 Hawa: hamosu dunu da Yousefe ea fafai amoga ha: i manu lale, ilima i. Amola Bediamini hisu ilia da ha: i manu biyale gala bagade ema i. Amaiba: le, ilia amola Yousefe, da ha: i bagade mai amola waini hano bagade nanu feloabe ba: i.
Yusufu akapeleka sehemu kwao kutoka katika chakula kilichokuwa mbele yake. Lakini sehemu ya Benjamini ilikuwa mara tano zaidi ya kila ndugu zake. Wakanywa na wakamfurahia.

< Mui 43 >