< Mui 42 >

1 Ya: igobe da gagoma Idibidi dialebe amo nababeba: le, egefelali ilima amane sia: i, “Dilia da abuli udigili esalabala?
Wakati Yakobo alipofahamu kuwa kuna nafaka huko Misri, akawaambia wanawe, “Mbona mnakaa tu hapa mnatazamana?”
2 Na da nabi gagoma Idibidi sogega diala. Ninia da ha: iba: le bogosa: besa: le, amoga lala masa.”
Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.”
3 Amaiba: le, Yousefe ea yolalali nabuane gala da Idibidi sogega gagoma bidi lamusa: asi dagoi.
Ndipo wale ndugu kumi wa Yosefu, wakateremka huko Misri kununua nafaka.
4 Be e da se nabasa: besa: le, Ya: igobe da Yousefe eya Bediamini amo hame asunasi.
Lakini Yakobo hakumtuma Benyamini, ndugu yake Yosefu, pamoja na wengine, kwa sababu aliogopa asije akapatwa na madhara.
5 Ga: ina: ne soge da ha: i bagadeba: le, Ya: igobe egefelali da eno dunu gilisili, gagoma ha: i manu bidi lama: ne misi.
Hivyo wana wa Israeli walikuwa miongoni mwa wale waliokwenda Misri kununua nafaka, kwani njaa ilikuwa katika nchi ya Kanaani pia.
6 Yousefe, Idibidi ouligisu hina dunu, da osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ilima gagoma bidi lalu. Amaiba: le, Yousefe yolalali da ema misini, ilia odagi osoboa digimusa: begudui.
Wakati huo Yosefu alikuwa mtawala wa nchi ya Misri, naye alikuwa ndiye aliwauzia watu wote nafaka. Kwa hiyo wakati ndugu zake Yosefu walipofika, wakamsujudia hadi nyuso zao zikagusa ardhi.
7 Yousefe da ea yolalali ba: beba: le, ili dawa: i galu. Be e da ogogole, e da ili hame dawa: i agoane hamoi. E da gasa fiwane ilima adole ba: i, “Dilia da habidili misibala: ?” Ilia da bu adole i, “Ninia da Ga: ina: ne sogega ha: i manu bidi lamusa: misi.”
Mara Yosefu alipowaona ndugu zake, akawatambua, lakini akajifanya mgeni na kuzungumza nao kwa ukali, akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka katika nchi ya Kanaani kuja kununua chakula.”
8 Yousefe da ea yolalali dawa: i. Be e da ilia eya amo ilia da hame dawa: i.
Ingawa Yosefu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.
9 E da ilima musa: simasia ba: su amo bu dawa: i. E ilima amane sia: i, “Dilia da desega ahoasu dunu. Dilia da Idibidi soge amo ninia habidili gasa hame gala amo ba: la misi.”
Ndipo Yosefu alipokumbuka ndoto zake kuwahusu wao, akawaambia, “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”
10 Be ilia bu adole i, “Hame mabu, hina! Ninia da dia udigili hawa: hamosu dunu defele, ha: i manu bidi lamusa: misi.
Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.
11 Ninia huluane da olalali esala. Ninia da desega ahoasu dunu hame. Ninia huluane da moloi dunu.”
Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.”
12 Yousefe bu adole i, “Hame mabu! Dilia da ninia soge amo ea gasa hame hou ba: la misi dagoi.”
Akawaambia, “La hasha! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”
13 Ilia bu amane sia: i, “Ninia da olalali fagoyale galu. Ninia da dunu afae Ga: ina: ne soge ganodini amo ea manolali gala. Be eya afae da bogoi, amola ufi dunu mano da ninia eda amola esala.”
Lakini wakamjibu, “Watumishi wako walikuwa kumi na wawili, wana wa mtu mmoja ambaye anaishi katika nchi ya Kanaani. Sasa mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu na mwingine alikufa.”
14 Yousefe da bu adole i, “Na sia: i defele dilia da desega ahoasu dunu.
Yosefu akawaambia, “Ni sawa kabisa kama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi!
15 Na dilima adoba: su hou hamomu. Felou ea dioba: le, na da agoane sia: sa. Dilia fa: no lalelegei eya da guiguda: hame manoba, dilia da guiguda: hamedafa yolesimu.
Na hivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Hakika kama Farao aishivyo, hamtaondoka mahali hapa mpaka ndugu yenu mdogo aje hapa.
16 Dilia fi dunu afae e lala masa: ma! Dilia eno huluane da guiguda: se iasu diasu ganodini esalumu. Dilia sia: da dafawane o dafawane hame, amo ninia ba: mu.”
Tumeni mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu, wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenu yajaribiwe kuona kama mnasema kweli. La sivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi ni wapelelezi!”
17 Amalalu, e da ili se iasu diasu ganodini sali. Amoga ilia eso udiana esalu.
Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.
18 Eso udiana amoga Yousefe da ilima amane sia: i, “Na da Godema beda: i dunu. Dilia liligi afadafa hamosea fawane, na da dili hame fane legemu.
Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu:
19 Dilia sia: da dafawane olelema: ne, dunu afae fawane da se iasu diasu ganodini esalumu. Dilia eno da dilia ha: i bagade fi ilima ha: i manu dilia lai gaguli masa.
Ikiwa ninyi ni watu waaminifu, mmoja wa ndugu zenu na abaki kifungoni, nanyi wengine pelekeni nafaka kwa jamaa yenu wanaoteseka kwa njaa.
20 Amasea, dilia fa: no lalelegei eya amo guiguda: oule misa. Amasea, dilia da hame ogogoi, na da dawa: mu amola na da dili hame fane legemu.” Amo da defea ilia sia: i dagoi.
Lakini ni lazima mniletee ndugu yenu mdogo hapa, ili maneno yenu yathibitike na kwamba msife.” Wakakubali kufanya hivyo.
21 Ilia gilisili sia: dasu, “Dafawane! Wali ninia se nabasu da dabe agoane ninia eya ema wadela: le hamoiba: le lasa. E da ninima e fidima: ne se nabawane edegei, be ninia da hame nabi. Amaiba: le, ninia wali dabe agoane se naba.”
Wakaambiana wao kwa wao, “Hakika tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu. Tuliona jinsi alivyohuzunika alipokuwa anatusihi kuponya maisha yake, lakini hatukumsikiliza, hiyo ndiyo sababu dhiki hii imetupata.”
22 Liubene da amane sia: i, “Na da goi maedafa wadela: ma: ne sia: i; be dilia da hame nabi. Wali ea bogoi amoga ninia da dabe laha.”
Reubeni akawajibu, “Sikuwaambieni msitende dhambi dhidi ya kijana? Lakini hamkunisikiliza! Sasa ni lazima tuadhibiwe kwa ajili ya damu yake.”
23 Yousefe da ilia sia: huluane dawa: i. Be amo hou ilia da hame dawa: i. Ilia da ema sia: noba, sia: adole iasu dunu, amoga fawane sia: su.
Hawakujua kuwa Yosefu angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.
24 Yousefe da ili yolesili, disu. Amalalu, e da ilima bu misini, ilima sia: dasu. Ea sia: beba: le, ea dadi gagui da Simiane lale, ilia huluane ba: ma: ne lala: gi dagoi.
Yosefu akajitenga nao akaanza kulia, kisha akawarudia na kuzungumza nao tena. Akataka Simeoni akamatwe na kufungwa mbele yao.
25 Yousefe da sia: beba: le, ea hawa: hamosu dunu da ilia esa amo gagoma amoga nabalesi. Ilia da Yousefe yolalali ilia esa afae afae amo ganodini, silifa muni ilia musa: i, amo sali. Amola ilia da ha: i manu ilia logoga ahoasea moma: ne, ilima i.
Yosefu akatoa amri ya kujaza magunia yao nafaka na kuweka fedha ya kila mmoja ndani ya gunia lake, kisha wapewe mahitaji ya njiani. Baada ya kufanyiwa hayo yote,
26 Amalalu, Yousefe yolalali da ilia gagoma lai, amo ilia dougi baligiga ligisili, yolesili asi.
wakapakiza nafaka juu ya punda zao, wakaondoka.
27 Asili, ilia da sogebi amo golamusa: ouesalu, dunu afae da ea dougi amo ha: i manu imunusa: ea esa doasilaloba, ea muni amo gagoma gadodili ligisi dialebe ba: i.
Walipofika mahali pa kulala huko njiani mmoja wao akafungua gunia lake ili amlishe punda wake, akakuta fedha yake kwenye mdomo wa gunia lake.
28 E da yolalalima amane sia: i, “Na muni ilia da nama bu i. Amo da na esa ganodini dialebe ba: sa.” Ilia bagade beda: i galu. Ilia da gilisili amane sia: dasu, “Gode da anima adi hamobela: ?”
Akawaambia ndugu zake, “Fedha yangu imerudishwa. Iko ndani ya gunia langu.” Mioyo yao ikazimia, na kila mmoja akamgeukia mwenzake wakitetemeka, wakaulizana, “Ni nini hiki Mungu alichotufanyia?”
29 Ilia da eda Ya: igobema doaga: loba, ilia da hou huluane ilima misi amo huluane ema amane adoi,
Walipofika kwa Yakobo baba yao katika nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote yaliyowapata. Wakasema,
30 “Idibidi ouligisu hina dunu da ninima gasa bagade ougiwane sia: i. E da nini ea soge wadela: musa: , desega ahoanebe sia: i.
“Huyo mtu ambaye ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi.
31 Be ninia ema bu adole i, ‘Ninia da desega ahoasu dunu hame. Ninia moloidafa dunu.
Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni watu waaminifu, sio wapelelezi.
32 Ninia da olalali fagoyale galu. Ninia dunu afae amo egefelali gala. Ninia eya da bogoi amola fa: no lalelegei eya da ninia eda amola Ga: ina: ne soge ganodini esala.’
Tulizaliwa ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja. Mmoja alikufa, na mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu huko Kanaani.’
33 Amalalu, Idibidi hina da amane sia: i, ‘Dilia da moloidafa dunu o hame, amo ninia da amoga ba: mu. Dunu afadafa da nama ouesalumu. Eno da dilia ha: i bagade fi ilima ha: i manu gaguli masa.
“Ndipo huyo mtu aliye bwana katika nchi hiyo alipotuambia, ‘Hivi ndivyo nitafahamu kuwa ninyi ni watu waaminifu: Mwacheni mmoja wa ndugu zenu pamoja nami hapa, kisha nendeni mpeleke chakula kwa ajili ya jamaa yenu inayoteseka kwa njaa.
34 Dia eya fa: no lalelegei, amo nama oule misa. Amasea, dilia da desega ahoasu dunu hame be moloidafa amo na da dawa: mu. Na da dilia ola dilima bu imunu. Amola dilia da guiguda: bidi lasu hamomusa: ouesalumu da defea.”
Lakini mleteni huyo ndugu yenu mdogo kwangu, ndipo nitajua kuwa ninyi sio wapelelezi, ila ni watu waaminifu. Kisha nitamrudisha ndugu yenu, nanyi mtaweza kufanya biashara katika nchi hii.’”
35 Amalalu, ilia da gagoma esa ganodini sali amo huluane gugudili legeiya, ilia huluane muni ganodini sali dialebe ba: i. Amo ba: beba: le, ilia, amola ilia eda Ya: igobe, da bagade beda: i galu.
Walipokuwa wanamimina nafaka kutoka kwenye magunia yao, ndani ya gunia la kila mtu kulikuwa na mfuko wa fedha! Wakati wao na baba yao walipoona mifuko ya fedha, wakaogopa.
36 Ilia eda da ilima amane sia: i, “Dilia da na mano huluane fisimu, amo dilia da hanabala: ? Yousefe da fisi dagoi. Simiane da fisi dagoi. Wali dilia da Bediamini fadegamusa: dawa: lala. Ni fawane da se naba.”
Yakobo baba yao akawaambia, “Ninyi mmenipokonya watoto wangu. Yosefu hayupo na Simeoni hayupo tena na sasa mnataka kumchukua Benyamini. Kila kitu ni kinyume nami!”
37 Liubene da ea edama amane sia: i, “Na da Bediamini dima bu hame oule masea, di da na dunu mano aduna fane legemu da defea. Na ouligima: ne, Bediamini nama ima. Na da e bu oule misunu.”
Ndipo Reubeni akamwambia baba yake, “Waweza kuwaua wanangu wote wawili, ikiwa sitamrudisha Benyamini kwako. Mkabidhi Benyamini katika uangalizi wangu, nami nitamrudisha.”
38 Be Ya: igobe da amane sia: i, “Na gofe da dili sigi masunu hamedei. Ea ola da bogoi amola hisu da esala. E da logoga se nabasa: besa: le, hamedafa masunu. Na da dunu da: i hamoi dagoi. Di da amo se nabasu nama iasea, na bogomu.” (Sheol h7585)
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol h7585)

< Mui 42 >