< Mui 4 >

1 A: da: me amola idua Ibi da gilisili golai (elesu sogelai). Amalalu Ibi da abula agui ba: i amola ea mano Ga: ine lalelegei. Ibi da amane sia: i, “Hina Gode da fidibiba: le, na da dunu mano lalelegei!”
Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa Bwana nimemzaa mwanaume.”
2 Fa: no Ibi da Ga: ine eya amo A: ibele lalelegei. A: ibele da sibi amola goudi ouligisu. Ga: ine da ifabi ouligisu esalu.
Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake. Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.
3 Asili, Ga: ine da ha: i manu amo ea ifabiga lai, amo Hina Godema gaguli misi.
Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa Bwana.
4 Be A: ibele da ea sibi ilima degabo lalelegei sefena gala, amo lale, ea liligi noga: idafa Hina Godema gaguli misi. Hina Gode da A: ibele amola ea iasu amo hahawane ba: i.
Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. Bwana akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,
5 Be E da Ga: ine amola ea gaguli masu liligi hahawane hame ba: i. Amaiba: le, Ga: ine da mi hanai galu. E da hagusa: ili, ea dialuma fili sa: i.
lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.
6 Amalalu, Hina Gode da Ga: inema amane sia: i, “Di da abuliba: le ougibala: ? Dia odagi da abuliga hagusa: ila: ?
Kisha Bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?
7 Di da hou moloidafa hamoi ganiaba, Na da di lalegagula: loba. Be amai hame galea, wadela: i hou da gasonasu ohe fi defele dia logo holeiga dima doagala: musa: esalebe ba: mu. Wadela: i hou da di osa: le heda: musa: dawa: lala. Be di da wadela: i hou osa: le heda: mu da defea.”
Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”
8 Ga: ine da eya A: ibelema amane sia: i, “Ani sogega ahoa: di!” Ela da sogega asili, Ga: ine da A: ibele sogoba: le, medole legei dagoi.
Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.
9 Amalalu, Hina Gode da Ga: inema adole ba: i, “Dia eya A: ibele da habila: ?” Ga: ine da bu adole i, “Na da hame dawa: ! Na da naeya amo ea ouligisu dunula: ?”
Kisha Bwana akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
10 Hina Gode da amane sia: , “Di da adi hamobela: ? Dia eya amoea maga: me osoboga sogoadigi, amo dabema: ne Nama wele sia: nana.
Bwana akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini.
11 Wali gagabui da dima aligi gala. Di da wali osoboa ifabi hawa: hamomu da hamedei. Bai osobo amoga di da diaeya ea maga: me dia loboga sogadigi, amo fedege agoane mai dagoiba: le.
Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.
12 Di da osobo gidinasea, osobo da dima ha: i manu hame imunu. Di da mae aligili, diasu hamedene, osobo bagadega udigili lalumu.”
Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”
13 Ga: ine da Hina Godema amane sia: i, “Na da amo se iasu lamu da hamedei.
Kaini akamwambia Bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.
14 Wali eso Di da na soge fisili masa: ne sefasilala. Na da Di gadenene esalumu hamedei agoane ba: sa. Na da osobo bagadega mae aligili lalumu. Nowa da na ba: sea, ilia da na medole legemu.”
Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”
15 Be Hina Gode da ema amane sia: i, “Hame mabu! Nowa da Ga: ine fane legesea, Na da ema fesuale agoane dabemu.” Amalalu, Hina Gode da ilegesu dawa: digisu, amo nowa da Ga: ine ba: sea, medole legemu da sema bagade, amo E da Ga: inema ilegei dagoi.
Lakini Bwana akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha Bwana akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue.
16 Amalalu, Ga: ine da Hina Gode amo yolesili, e da soge Node (dawa: loma: ne da ‘Udigili Lala’) amo da Idini sogega gusudili gala, amoga esalumusa: asi.
Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za Bwana akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.
17 Ga: ine da ea udala gilisili golale (soge lalu), e da abula agui, Inage lalelegei. Ga: ine da amo esoga moilai bai bagade gagulalebe ba: i. Amoga e da ea mano Inage, amo ea dio asuli.
Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake.
18 Inage da mano lai amo ea dio Aila: de. Aila: de da mano lai amo ea dio Mihiuya: iele. Mihiuya: iele ea mano da Midiusa: iele amola Midiusa: iele ea mano da La: imege.
Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.
19 La: imege da uda aduna lai. Afae da A: ida, eno da Sila.
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
20 A: ida da mano lai amo ea dio amo Ya: iba: le. Ea manolali da abula diasu ganodini esalu amola ilia da lai gebo fi ouligisu.
Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.
21 Ya: iba: le eya da Yuba: le. Ea mano da gesami hea: su dusu liligi amo sani baidama, fulabosu dusu amola dusu hou eno hamosu.
Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.
22 Sila da mano lalelegei amo ea dio da Diubale-Ga: ine. E da ouli amola balase hahamonanu, hawa: hamosu liligi hahamoi. Diubale-Ga: ine amo ea dalusi da Na: iama.
Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.
23 La: imege da ea uda aduna elama amane sia: i, “A: ida amola Sila! Na sia: nabima! Goi afae amo da na faiba: le, na da amo goi fanelegei dagoi.
Lameki akawaambia wake zake, “Ada na Sila nisikilizeni mimi; wake wa Lameki sikieni maneno yangu. Nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana mdogo kwa kuniumiza.
24 Gode da amane sia: i, ‘Nowa da Ga: ine fasea, e da Gode Ea se iasu baligili fesuale agoane ba: mu.’ Be na sia: da nowa La: imege fasea, e da se baligili 77 agoane ba: mu.”
Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba, basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”
25 A: da: me amola idua bu gilisili golai. Amalalu, idua da dunu mano lai. E da amo manoma Sede dio asuli. E amane sia: i, “Ga: ine da A: ibele amo medole legei. Amaiba: le, ea sogebi lama: ne, Gode da mano eno nama i dagoi.”
Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”
26 Sede amola da dunu mano lalelegei amo ea dio Inosie. Amo esoga, osobo bagade dunu fi da muni Godema dawa: le, Ea Dioba: le nodone sia: ne gadosu.
Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi. Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la Bwana.

< Mui 4 >