< Mui 25 >

1 A: ibalaha: me da uda eno lai amo ea dio da Gedula.
Abrahamu alioa mke mwingine, ambaye jina lake aliitwa Ketura.
2 Gedula da A: ibalaha: mema mano eno lai. Ilia dio da Simala: ne, Yogasia: ne, Mida: ne, Midia: ne, Isaba: ge, amola Siua.
Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
3 Yogasia: ne ea mano da Siba amola Dida: ne. Didane ea mano fifi asi da Asiulaide fi, Ledusaide fi, amola Liumaide fi.
Yokshani alikuwa baba wa Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletushi na Waleumi.
4 Midia: ne ea mano fifi da Ifa, Ife, Ha: noge, Abaida, amola Eleda: ia. Amo huluane da Gedula ea mano fifi asi esalu.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.
5 A: ibalaha: me da bogoloba, ea nana liligi huluane amo Aisagema i.
Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho.
6 Be e da esala, e da mano amo ea uda eno ema lai, ilima e da hahawane iasu liligi i. Amalalu, e da amo manolali, Aisage fisima: ne, gusu soge amoga asunasi.
Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.
7 A: ibalaha: me da ode bagohame amo 175 esalu.
Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175.
8 Amalalu, e da mifo lalusu amo fisili, bogoi. E da ea aowalali dunu ilima buhagi.
Ndipo Abrahamu akapumua pumzi ya mwisho na akafa akiwa mwenye umri mzuri, mzee aliyeshiba siku, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
9 Ea mano aduna (Aisage amola Isiama: ile) da Ma: gafila gele gelabo (Ma: melei amoga gusudili gala) amo ganodini uli dogone Sali. Musa: Ifalone (Hidaide dunu Souha ea mano) da amo sogebi gagui galu.
Watoto wake Isaki na Ishmaeli wakamzika katika pango la Makpela karibu na Mamre, katika shamba lililokuwa la Efroni mwana wa Sohari Mhiti,
10 A: ibalaha: me da musa: amo sogebi, Hidaide dunuma bidi lai. Amoga A: ibalaha: me amola ea uda Sela gilisili uli dogoi ba: i.
Shamba ambalo Abrahamu alilinunua kwa Wahiti. Hapo ndipo Abrahamu alipozikwa pamoja na mkewe Sara.
11 A: ibalaha: me da bogoi dagoi. Amo fa: no, Gode da A: ibalaha: me egefe amo Aisage hahawane dogolegele ilegele fidi. Aisage da amo esoga “Esalebe Gode da na Ba: lala Hano Uli Dou” amo gadenene esalu. Isiama: ile Egaga Fifi Misi
Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu akambariki mwanawe Isaki, ambaye baadaye aliishi karibu na Beer-Lahai-Roi.
12 A: ibalaha: me ea mano eno amo Isiama: ile, da Sela ea udigili hawa: hamosu Idibidi uda amo Ha: iga amoga lai. Ea hou da hagudu dedei diala.
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli mtoto wa Abrahamu, ambaye mjakazi wake Sara, Hagari Mmisri, alimzalia Abrahamu.
13 Isiama: ile egefelali ilia dio da dedei. Hidadea da magobo, amola fa: no magobo bagia, amola dogoa, amola ufi agoane dedei. Magobo mano da Niba: iode, amalu Gide amalu A: dabili, amalu Mibasa: me, amalu
Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, yaliyoorodheshwa kulingana na jinsi walivyozaliwa: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli ni Nebayothi, akafuatia Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
14 Misima amalu Duma amalu Ma: sa amalu
Mishma, Duma, Masa,
15 Ha: ida: de amalu Dima amalu Yide amalu Na: ifisi amalu Gedima.
Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema.
16 Amo da Isiama: ile egefelali. Ilia da fi gidayale gala ilia aowalali fi esalu. Ilia dio amo ilia da ilia moilai amola fisisu amoma asuli dagoi.
Hawa walikuwa wana wa Ishmaeli na haya ni majina ya viongozi wa makabila kumi na mawili kulingana na makao yao na kambi zao.
17 Isiama: ile da ode 137 esalu. Amalalu, e da mifo labe fisili, bogoi dagoi.
Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka 137. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
18 Isiama: ile ea lalelegei fi da soge amo da Idibidi amoma gusu galu amola logo Asilia moilaiga ahoasu gadenene dialu. Amo soge da Hafila soge amola Sioua hafoga: i soge amo dogoa dialebe ba: i. Amo dunu fi da A: ibalaha: me ea mano eno ilima hame gilisi.
Wazao wa Ishmaeli waliishi kuanzia nchi ya Havila hadi Shuri, karibu na mpaka wa Misri, unapoelekea Ashuru. Hao waliishi kwa uhasama na ndugu zao wote.
19 A: ibalaha: me egefe Aisage ea sia: dedei da agoane.
Hivi ndivyo vizazi vya Isaki mwana wa Abrahamu. Abrahamu akamzaa Isaki,
20 Aisage da ode 40 esalu, e da Lebega (Bediuele, A:ila: mia dunu Badane Alame sogega esalu amo ea mano amola A: ila: mia dunu La: iba: ne amo ea dalusi) amo lai dagoi.
Isaki alikuwa na umri wa miaka arobaini alipomwoa Rebeka binti Bethueli Mwaramu kutoka Padan-Aramu, nduguye Labani Mwaramu.
21 Aisage ea uda da aligime esalu. Amaiba: le Aisage da Godema sia: ne gadoi. Gode da amo sia: ne gadosu nabi, amola Lebega da abula agui ba: i.
Isaki akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, kwa sababu alikuwa tasa. Bwana akajibu maombi yake na Rebeka mkewe akapata mimba.
22 Lebega da mano aduna lalelegemu galu. Be amo mano aduna da mae lalelegele, ea hagomo ganodini esala gegenanu. Lebega da fofogadigili Hina Godema amane adole ba: i, “Amo hou da abuli nama doaga: bela: ?”
Watoto wakashindana tumboni mwake, akasema, “Kwa nini haya yanatokea kwangu?” Kwa hiyo akaenda kumuuliza Bwana.
23 Hina Gode da ema bu adole i, “Fi aduna da dia hagomo ganodini esala. Dima da fi aduna lalelegemu. Afae da eno ea gasa baligimu. Magobo mano da eya ea hawa: hamosu dunu ba: mu.”
Bwana akamjibu, “Mataifa mawili yamo tumboni mwako, na mataifa hayo mawili kutoka ndani yako watatenganishwa. Mmoja atakuwa na nguvu zaidi kuliko mwingine, na yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
24 Amalalu, Lebega da dunu mano aduna lalelegei.
Wakati wake wa kujifungua ulipotimia, walikuwepo mapacha wa kiume tumboni mwake.
25 Bisili lai da haliga: me agoane ba: i. Ea gadofo da hinabo bagade galu. Amaiba: le ilia da ema Iso dio asuli.
Wa kwanza kuzaliwa alikuwa mwekundu, mwili wake wote ulikuwa kama mtu aliyevaa vazi lenye nywele; wakamwita jina lake Esau.
26 Fa: no mabe mano da Iso amo ea emo muguni amoga gagui dalebe ba: i. Amaiba: le, ilia da ema Ya: igobe dio asuli. Ela lalelegei eso amoga Aisage da ode 60 lai dagoi.
Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina lake Yakobo. Isaki alikuwa mwenye miaka sitini Rebeka alipowazaa.
27 Ela asigilaloba, Iso da benea ahoasu hou bagade dawa: i. E da gadili odagiabaga lalumu hanai galu. Be Ya: igobe e da asaboi dunu. E da diasuga esalumusa: hanai galu.
Watoto wakakua, naye Esau akakuwa mwindaji hodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa nyumbani.
28 Aisage da Iso ea dadi gala: i liligi manusa: hanaiba: le, Isoma bagade hahawane galu. Be Lebega ea dogolegei mano da Ya: igobe.
Isaki, ambaye alikuwa anapendelea zaidi nyama za porini, alimpenda Esau, bali Rebeka alimpenda Yakobo.
29 Eso afaega Ya: igobe da da: iyene amola hano gilisili gobele, ha: i manu ida: iwane hamoi. Iso logo sedagaga benea ahoabeba: le, bagadewane ha: iba: le, sidimu agoaiwane, diasuga doaga: i.
Siku moja Yakobo alipika mchuzi wa dengu, Esau akarudi kutoka porini akiwa na njaa kali.
30 “Hedolo! Na bogosa: besa: le, amo yoi ha: i manu nama ima,” Iso da Ya: igobema amane sia: i. (Amaiba: le, ilia da ema Idome [Yoi] dio asuli.)
Esau akamwambia Yakobo, “Haraka, nipe huo mchuzi mwekundu! Nina njaa kali sana!” (Hii ndiyo sababu pia aliitwa Edomu.)
31 Ya: igobe da ema amane sia: i, “Defea! Be hidadea dia magobo mano lamu nana liligi ilegei, amo nama lama: ne sia: ma.”
Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
32 Iso e bu adole i, “Defea! Amo lama! Na bogosea, amo liligi da hamedei liligi agoane ba: mu. Be ha: i manu ima!”
Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”
33 Ya: igobe da bu adole i, “Hidadea di da magobo mano nana liligi ilegei amo nama imunu gasa bagade ilegele sia: ma!” Amaiba: le, Iso da amo magobo mano lamu nana liligi ilegei huluane Ya: igobema ima: ne, gasa bagade ilegele sia: i.
Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Hivyo Esau akamwapia, akamuuzia Yakobo haki yake ya kuzaliwa.
34 Amalalu, Ya: igobe da agi amola da: iyene hano amo Isoma i. E da amo nanu, wa: legadole yolesili asi. Iso da ea magobo mano lamu nana hahawane liligi ilegei amo hamedei liligi agoane dawa: beba: le, udigili fisi.
Ndipo Yakobo akampa Esau mkate na ule mchuzi wa dengu. Akala na kunywa, kisha akainuka akaenda zake. Kwa hiyo Esau alidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.

< Mui 25 >