< Mui 21 >

1 Hina Gode da Ea ilegele sia: i defele Selama hahawane hamoi.
Yahwe akamsikiliza Sara kwa umakini kama alivyo kuwa amemwambia, Yahwe akamfanyia Sara kama alivyo kuwa amemwahidi.
2 Amo eso defei, Gode da sia: i defele, Sela da abula agui amola dunu mano lalelegei. A: ibalaha: me da da: i hamone, amo esoga Sela da ema dunu mano lai.
Sara akachukua mimba na akamzalia Abraham mtoto wa kiume katika uzee wake, katika muda ule ule ambao Mungu alikuwa amemwambia.
3 Amo dunu mano Sela da ema lai, A:ibalaha: me da dio asuli amo Aisage.
Abraham akamwita jina mwanawe, ambaye alizaliwa kwake, na Sara, Isaka.
4 Aisage da eso godoane esalu, A:ibalaha: me da Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, ea gadofo damui.
Abraham akamtahiri mwanawe Isaka alipofikisha siku nane, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza.
5 Aisage da lalelegeloba, A:ibalaha: me ea ode esalu da ode 100 ba: i.
Abraham alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwanawe Isaka anazaliwa kwake.
6 Sela da amane sia: i, “Gode da nama hahawane ousu i. Dunu huluane amo hou nabasea da hahawaneba: le, ilia da na amola gilisili oumu.”
Sara akasema, “Mungu amenifanya nicheke; kila mtu atakaye sikia atacheka pamoja na nami.”
7 E eno amane sia: i, “Dunu da Sela da manoma dodo maga: me imunu hamedei liligi agoane sia: mu galu. Be na da A: ibalaha: me ea da: i hamoi esoga ema dunu mano lai.”
Pia akasema, “Nani angesema kwa Abraham kwamba Sara atalea mtoto, na sasa kweli nimemzalia mtoto wakiume katika uzee wake!”
8 Aisage da asigilalasi amola ea: me ea dodo nasu fisi. Amo esoga, A:ibalaha: me da lolo nasu bagade hamoi.
Mtoto akakua na akaachishwa kunyonya, na Abraham akafanya sherehe kubwa katika siku ambayo Isaka aliachishwa.
9 Isiama: ile (amo Idibidi hawa: hamosu uda Ha: iga ea mano) da Aisagema habosesele hedei.
Sara akamwona mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abraham, akidhihaki.
10 Sela da amo hou ba: beba: le, A:ibalaha: mema amane sia: i, “Amo udigili hawa: hamosu uda amola ea mano sefasima. Amo uda ea mano da dia nana liligi amola muni la: idi lamu da defea hame galebe. Nagofe Aisage hi fawane lamu da defea.”
Kwa hiyo akamwambia Abraham, “Mfukuze huyu mwanamke huyu mtumwa pamoja na mtoto wake: kwa kuwa mtoto huyu wa mwanamke mtumwa hawezi kuwa mrithi pamoja na mwanangu Isaka.”
11 Amo sia: nababeba: le, A:ibalaha: me da se bagade nabi. Bai Isiama: ile amola da ea mano galu.
Jambo hili likamuhuzunisha sana Abraham kwa sababu ya mwanawe.
12 Be Gode da A: ibalaha: mema amane sia: i, “Isiama: ile amola dia udigili hawa: hamosu uda Ha: iga ela hou dawa: beba: le, mae da: i dioma. Sela ea sia: defele hamoma. Dia fidafa da Aisagema lalelegemu.
Lakini Mungu akamwambia Abraham, “Usihuzunike kwa sababu ya kijana huyu, na kwa sababu ya mwanamke huyu mtumwa wako. Sikiliza maneno asemayo Sara juu ya jambo hili, kwa sababu itakuwa kupitia Isaka kwamba uzao wako utaitwa.
13 Be Na da udigili hawa: hamosu uda ea mano ema mano bagohame imunu. E amola da fi bagade hamomu. Bai e amola da dia mano.”
Nitamfanya pia mtoto wa mjakazi kuwa taifa, kwa sababu ni uzao wako.”
14 Aya hahabedafa, A:ibalaha: me da ha: i manu amola gadofo houga: i hano nasu hano amoga nabai, amo Ha: igama i. E da Isiama: ile amo Ha: iga ea baligi da: iya ligisili, ela asunasi. Ha: iga da asili, Biasiba wadela: i hafoga: i soge ganodini udigili lalu.
Abraham akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji, akampatia Hajiri, akiweka juu ya bega lake. Akamtoa kijana akampatia Hajiri na akawaondoa. Hajiri akaondoka akapotea katika jangwa la Beerisheba.
15 Hano amo da gadofo houga: i dialu amo huluane da ebele ba: loba, e da mano ifa fonobahadi hagudu ligisili,
Maji yalipokwisha kwenye kiriba akamtelekeza kijana katika moja ya vichaka.
16 asili, dadi gala: i ea defei amoga asili, fi galu. E amane dawa: i, “Na da na mano bogomu ba: mu higasa.” E da muni esala dinanu.
Kisha akaondoka, na akakaa umbali kidogo na yule kijana, umbali kama wa kutupa mshale, kwa vile alisema, “Na nisitazame kifo cha mtoto.” Alipokuwa amekaa kumkabili, akapaza sauti yake akalia.
17 Gode da mano ea dibi nabi dagoi. Gode Ea a: igele dunu da Hebene amoga Ha: igama welalu, amane sia: i, “Ha: iga! Di da abuli da: i diobela: ? Mae beda: ma! Gode da mano ea dibi nabi dagoi.
Mungu akasikia kilio cha kijana, na malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, “Nini kinakusumbua? Usiogope, kwa kuwa Mungu amesikia kilio cha kijana mahali alipo.
18 Di da dia mano lobolele wa: lesima. Na da ea lalelegemu fi bagade hamomu.”
Inuka msimamishe mtoto, na umtie moyo; kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.”
19 Amalalu, Gode da Ha: iga ea si fadegale, e da hano uli dou ba: i. Amaiba: le, e da asili gadofo houga: i amo hanoga nabalu, ea manoma i.
Kisha Mungu akayafunua macho ya Hajiri, natazama akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, na akampatia kijana akanywa.
20 Asili, amo mano da asigilaloba, Gode da noga: le fidi. E da hano hame wadela: i soge ganodini esalu. E da dadiga gala: su hou bagade dawa: i.
Mungu akawa pamoja na kijana, na akakua. Akaishi jangwani akawa mwindaji.
21 E da Balane wadela: i hafoga: i soge amo ganodini esalea, ea: me da Idibidi uda Isiama: ile lama: ne hogole, ema i.
Akaishi katka jangwa la Parani, na mama yake akampatia mke kutoka Misri.
22 Amo esoga, Abimelege amola ea dadi gagui ouligisu dunu amo Faigole, da A: ibalaha: mema amane sia: i, “Dia hou huluane amo ganodini Gode da noga: le fidilala.
Ikawa kwamba katika wakati ule Abimeleki na Fikoli kamanda wa jeshi lake akamwambia Abraham, akisema, “Mungu yuko pamoja na wewe katika yote uyatendayo.
23 Amaiba: le, wali nama gousa: su hamoma. Gode ba: ma: ne, moloidafa sia: ma! Di da na mano amola nagaga fi ilima hame ogogomu amola hame hohonomu, amane ilegele sia: ma! Di da nama amola na soge amo di da sofe misi defele ganodini esala, amoma asigi hou na da dima olelei defele hamoma.”
Sasa niapie kwa Mungu kwamba hutanifanyia baya, wala mwanangu, wala uzao wangu. Onesha kwangu na kwa nchi ambayo umekuwa ukikaa agano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonesha wewe.”
24 A: ibalaha: me da amane sia: i, “Na da amane dafawane ilegesa!”
Abraham akasema, “Nina apa.”
25 Amalalu, A:ibalaha: me da Abimelegema egai. Bai Abimelege ea hawa: hamosu dunu ilia da hano uli dou gegene gasawane lai. Amola A: ibalaha: me da amo hou higale ba: i.
Abraham pia akamlalamikia Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya.
26 Be Abimelege da bu adole i, “Na da hame dawa: ! Nowa da hamobela: ? Di da nama hame adoi. Na da wahadafa nabi.”
Abimeleki akasema, “Sijui ni nani amefanya jambo hili. Hukuniambia mapema; na sijalisikia ila leo hii.”
27 Amaiba: le, A:ibalaha: me da sibi amola bulamagau lale Abimelegema i. Ela da gousa: su hamoi dagoi.
Kwa hiyo Abraham akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki, na wawili hawa wakafanya agano.
28 A: ibalaha: me da sibi mano aseme fesuale gala ea sibi gilisisu amoma afafai.
Kisha Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba pekeyao.
29 Amola Abimelege da A: ibalaha: mema amane adole ba: i, “Amo sibi mano aseme fesuale gala di da afafai, amo ea bai da adila: ?”
Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga pekeyao?”
30 A: ibalaha: me da bu adole i, “Amo sibi mano fesuale gala, di lama! Amo da na amo hano uli dou nisu dogoi, amo dafawane dawa: ma: ne, amo sibi da ba: su ilegei gala.”
Akajibu, “Hawa wanakondoo wa kike saba utawapokea kutoka mkonono mwangu, ili kwamba uwe ushahidi kwangu, kuwa nichimba kisima hiki.”
31 Amaiba: le, amo hano uli dou ea dio da Biasiba. Bai amo dunu aduna da gasa bagade gousa: su amogai hamoi galu.
Kwa hiyo akaita mahali pale Beerisheba, kwa sababu mahali pale wote wawili wali apa kiapo.
32 Biasiba amoga ilia gousa: su hamonanu, Abimelege amola ea dadi gagui ouligisu dunu amo Faigole, da Filisidini fi ilia sogega buhagi.
Walifanya agano hapo Bersheba, kisha Abimeleki na Fikoli, amiri wa jeshi, wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
33 A: ibalaha: me da ‘da: malisigi’ ifa Biasiba sogega bugi. Amoga e da Hina Gode, Eso huluane Esalalalusu Gode, Ema nodone sia: ne gadoi.
Abraham akapanda mti wa mkwaju katika Beerisheba. Na pale akamwabudu Yahwe, Mungu wa milele.
34 Amola A: ibalaha: me da Filisidini soge amo ganodini ode bagohame esalu.
Abraham akasalia kuwa mgeni katika nchi ya Wafilisti kwa siku nyingi.

< Mui 21 >