< Mui 15 >

1 Amo hou fa: no, A:ibala: me da Gode sia: esala ba: su ganodini nabi. Gode da amane sia: i, “A: ibala: me! Mae beda: ma! Na da dima Gaga: su esala. Na da dima baligili bidi ida: iwane imunu.”
Baada ya jambo hili, neno la Bwana likamjia Abramu katika maono: “Usiogope, Abramu. Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.”
2 Be A: ibala: me da bu adole i, “Ouligisu Hina Bagadedafa! Di da nama habodane ima: bela: ? Na da mano hame lai. Na bogosea, na hawa: hamosu dunu, Dama: sagase dunu amo Elia: isa amo da na nana liligi huluane lamu.”
Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?”
3 Amola A: ibala: me amane sia: i, “Di da mano nama hame iba: le, na hawa: hamosu dunu fawane da na nana liligi huluane lamu.”
Abramu akasema, “Hukunipa watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu ndiye atakuwa mrithi wangu.”
4 Amalalu, Hina Gode Ea sia: ema amane misi, “Amo dunu da dia nana liligi hamedafa lamu. Be diagofedafa amo dia da: i hodo hamoi, hi fawane da dia nana liligi lamu.”
Ndipo neno la Bwana lilipomjia: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.”
5 Gode da A: ibala: me gadili oule asili, amane sia: i, “Muagado ba: legadoma! Gasumuni idima! Be huluane idimu da hamedei.” Amalalu, E da ema amane sia: i, “Dia mano ilia da amo gasumuni ilia idi defele ba: mu.”
Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu kuelekea mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”
6 A: ibala: me da Hina Gode dafawaneyale dawa: i galu. Amaiba: le, Gode da A: ibala: me ea hou moloidafa hamoi defele ba: i.
Abramu akamwamini Bwana, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.
7 E da bu A: ibala: mema amane sia: i, “Na da Hina Godedafa. Na da di Ga: ladia fi moilai bai bagade E, amoga fisili masa: ne, amo soge lalegagumusa: guiguda: oule misi.”
Pia akamwambia, “Mimi ndimi Bwana, niliyekutoa toka Uru ya Wakaldayo nikupe nchi hii uimiliki.”
8 Be A: ibala: me amane sia: i, “Hina Gode Ouligisudafa! Na da amo soge lalegagumusa: habodane dawa: ma: bela: ?”
Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kuimiliki?”
9 Amaiba: le, Hina Gode da ema amane sia: i, “Di bulamagau aseme, goudi amola sibi gawali amo huluane da ode osodoyale baligi, amo gaguli misa. Amola ‘dafe’ sio amola musuni sio gaguli misa.
Ndipo Bwana akamwambia, “Niletee mtamba wa ngʼombe, mbuzi na kondoo dume, kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na kinda la njiwa.”
10 A: ibala: me da amo liligi huluane gaguli misini, dogoa oudahida: le, la: idi afae la: idili ligisili, eno afae eno la: idili legei. Be sio e da dogoa hame oudahida: i.
Abramu akamletea hivi vyote, akampasua kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo ndege, hakuwapasua vipande viwili.
11 Amalalu, gasa bagade sio buhiba eno ilia da amo liligi wamolamusa: misi. Be A: ibala: me da amo sio sefasi.
Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.
12 Eso da daloba, A:ibala: me da golai nanabunina asi ba: i. Amoga e da gasi dunasi bagade ba: beba: le, bagadewane beda: i galu.
Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramu akashikwa na usingizi mzito, giza nene na la kutisha likaja juu yake.
13 Amalalu, Hina Gode da ema amane sia: i, “Hou noga: le dawa: ma! Dia fa: no lalelegemu fi da eno dunu ilia soge ganodini, udigili hawa: hamosu dunu agoane esalumu. Ode 400 agoane, ilia da amo soge ganodini se nabawane esalumu.
Kisha Bwana akamwambia, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.
14 Be Na da fa: no ilima se iabe dunu fi ilima se iasu bidi imunu. Dia fi da fa: no amo soge yolesili, gadili masunu. Ilia da liligi bagade gagumu.
Lakini nitaliadhibu taifa lile watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka huko na mali nyingi.
15 Be di da ode bagohame esalu, gagoalumu, olofoiwane dia aowalali amoga bu masunu. Dia da: i hodo da bogole, uli dogoi ganodini ba: mu.
Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee mwema.
16 Be dia fi da asili, fi biyaduyale fifilai dagosea, ilia da guiguda: bu misunu. A: moulaide dunu ilia wadela: i hou da Na se iasu defei lama: ne amoga hame doaga: iba: le, dia fi da ode agoane aligili, bu misunu.
Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafikia kipimo kilichojaa.”
17 Eso da gudu sa: i dagoi, amola gasi da doaga: loba, ganagu amoga mobi heda: lebe ba: i amola hanu gadodili nene, amo da lai gebo hu dadega: i gilisisu amo ganodini udigili asi.
Wakati jua lilipokuwa limezama na giza limeingia, tanuru la moshi na mwali wa moto unaowaka vikatokea na kupita kati ya vile vipande vya nyama.
18 Amo esoga, Hina Gode da A: ibala: mema gousa: su hamoi. E amane sia: i, “Soge amo ea defei da Idibidi hano asili hano bagadedafa ea dio amo Iufala: idisi amoga doaga: le, amo soge huluane Na da dia mano fi ilima iaha.
Siku hiyo Bwana akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri hadi mto ule mkubwa, Frati,
19 Amo soge ganodini dunu fi esalebe da Ginaide, Genisaide, Gadamunaide,
yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,
20 Hidaide, Belisaide, Lefa: ide,
Wahiti, Waperizi, Warefai,
21 A: moulaide, Ga: ina: naide, Gegasaide amola Yebusaide - amo dunu fi huluane ilia soge, Na da digaga fi ilima imunu.”
Waamori, Wakanaani, Wagirgashi na Wayebusi.”

< Mui 15 >