< Mui 13 >

1 A: ibala: me da Idibidi yolesili, gano asili, Ga: ina: ne soge amo ga (south) la: idi doaga: i. E da ea uda amola Lode oule, ea liligi huluane aguni asi.
Hivyo Abramu akakwea kutoka Misri kwenda Negebu, yeye na mkewe na kila kitu alichokuwa nacho, pia Loti akaenda pamoja naye.
2 A: ibala: me da bagade gagui dunu esalu. E da sibi, goudi, bulamagau, silifa amola gouli bagohame gagui galu.
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
3 Amalalu, amo soge yolesili asili, e da eno soge eno soge amoga asili, Bedele moilaiga doaga: musa: logo amoga asi. E da sogebi amo Bedele amola A: iai dogoa dialu, amoga e da musa: abula diasu moilai gaguia, amoga doaga: i dagoi.
Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai
4 Amo sogebi e da musa: oloda gagui galu. E da amo sogebi Hina Godema nodone sia: ne gadoi amola Hina Gode Ea Dioba: le Ema wei.
hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la Bwana.
5 Lode da sibi, goudi, amola bulamagau gaguiwane, A:ibala: mela lalu. Ea sosogo fi dunu amola ea hawa: hamosu dunu amogawi esalebe ba: i.
Basi Loti, ambaye alikuwa anafuatana na Abramu, alikuwa pia na makundi ya mbuzi, kondoo, ngʼombe na mahema.
6 Amaiba: le, lai gebo bagohame esalebeba: le, ela da gilisili esaloma: ne sogebi amola gisi da fonabahadi ba: i.
Lakini nchi haikuwatosha kukaa pamoja kwa ajili ya wingi wa mali zao.
7 Amaiba: le, A:ibala: me ea lai gebo ouligisu dunu amola Lode ea lai gebo ouligisu dunu da sia: ga gegei. (Amo esoga, Ga: ina: ne fi amola Bilese fi da amo soge ganodini esalu)
Ukazuka ugomvi kati ya wachunga mifugo wa Abramu na wale wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.
8 Amalalu, A:ibala: me da Lodema amane sia: i, “Ani da fidafa. Amaiba: le, ania hawa: hamosu dunu sia: ga gegemu da defea hame galebe.
Hivyo Abramu akamwambia Loti, “Pasiwe na ugomvi wowote kati yangu na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.
9 Ania afafamu da defea. Di fawane sia: ma! Dia hanai soge, di ilegema. Di da guma: soge lamusa: dawa: sea, defea, na da gusu lamu. Di da gusu lamusa: dawa: sea, na da guma: lamu.”
Je, nchi yote haiko mbele yako? Tutengane. Kama ukielekea kushoto, nitakwenda kulia; kama ukielekea kulia, mimi nitakwenda kushoto.”
10 Lode da la: ididili amola la: ididili ba: lalu, e da Yodane Hano bega: soge huluane amo asili Soua moilaiga doaga: i. Amo hano la: ididili umi ida: iwane soge da hano bagade dialu, Idini Ifabi amola Idibidi soge amo defele ba: i. (Amo esoga Gode da Sodame amola Goumola hame wadela: lesi)
Loti akatazama akaona lile bonde lote la Yordani kuwa lilikuwa na maji tele, kama bustani ya Bwana, kama nchi ya Misri, kuelekea Soari. (Hii ilikuwa kabla Bwana hajaharibu Sodoma na Gomora.)
11 Amaiba: le, Lode da Yodane Hano umi soge lamusa: ilegei. E da eso maba la: ididili amoga asili, A:ibala: mema afafai.
Hivyo Loti akajichagulia bonde lote la Yordani, akaelekea upande wa mashariki. Watu hao wawili wakatengana:
12 A: ibala: me da Ga: ina: ne sogega esalu. Be Lode da moilale gagai amo Yodane Hano umiga dialu, amo dogoa fi galu. E da Sodame moilai bai bagade gadenenewane fi.
Abramu akaishi katika nchi ya Kanaani, wakati Loti aliishi miongoni mwa miji ya lile bonde na kupiga mahema yake karibu na Sodoma.
13 Sodame dunu da Gode Ea hou higa: iba: le, wadela: i bagade hamosu dunu fi ba: i.
Basi watu wa Sodoma walikuwa waovu, wakifanya sana dhambi dhidi ya Bwana.
14 Lode da afafane asi ba: loba, Hina Gode da A: ibala: mema amane sia: i, “Defea! Di soge huluane ba: ma! Eso maba la: ididili amola eso dabe gududili huluane ba: ma.
Baada ya Loti kuondoka Bwana akamwambia Abramu, “Ukiwa hapo ulipo, inua macho yako utazame kaskazini na kusini, mashariki na magharibi.
15 Amo soge huluanedafa Na da di amola digaga lalelegemu fi ilima imunu. Amo soge da di amola dia fi eso huluane mae yolesili dilia soge dialumu.
Nchi yote unayoiona nitakupa wewe na uzao wako hata milele.
16 Na da dima mano bagohame imunu. Osobo bagade dunu da ilia idi idimu hamedeiwane ba: mu. Osobo dou afae afae idimu da hamedei. Amo defele digaga mano lalelegemu amo idimu da hamedei ba: mu.
Nitaufanya uzao wako uwe mwingi kama mavumbi ya nchi, hivyo kama kuna yeyote awezaye kuhesabu mavumbi, basi uzao wako utahesabika.
17 Na da amo soge huluane dima imunu. Amaiba: le, amo soge huluane abodela masa.
Ondoka, tembea katika marefu na mapana ya nchi, kwa maana ninakupa wewe.”
18 Amalalu, A:ibala: me da ea abula diasu mugululi, asili amo sema ifa ea dio amo Ma: malei amo Hibalone moilai bai bagade gadenene fi galu. Amogai e da Godema gobele salasu fafai (oloda) hamoi.
Basi Abramu akaondoa mahema yake, akaenda kuishi karibu na mialoni ya Mamre huko Hebroni, huko akamjengea Bwana madhabahu.

< Mui 13 >