< Mui 10 >

1 Hano bagade da yolesili, Nowa: ea mano Sieme, Ha: me amola Ya: ifede da manolali lai.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 Ya: ifede egefelali da agoane lalelegei. Ya: ifede ea mano da Goume, Ma: igoge, Ma: dai, Ya: ifa: ne, Diubale, Misege amola Dila: se.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Goume ea dunu mano da A: segena: se, Laifa: de amola Dougama.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Ya: ifa: ne egefelali da Ilaisia, Dasise, Gidimi amola Loudanimi.
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 (Amo mano ilia fi da dusagai ouligisu hou hamone ilia fifi asi gala asili sia: hisu hisu hamosu).
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Ha: me egefelali da Gusia, Misala: ime, Fade amola Ga: ina: ne.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Gusia egefelali da Seba, Ha: fila, Sa: bada, Lama amola Sa: bediga. Lama egefela da Siba amola Dida: ne.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Gusia ea mano eno da Nimilode. E da asigilaloba, nimi bagade gegesu dunu hamoi.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 E da Hina Gode ba: ma: ne benea ahoasu dunu gasa bagade hamoi. Amaiba: le, musa: dunu da amane sia: su, “Hina Gode da di benea ahoasu dunu Nimilode defele hamomu da defea.”
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 Moilai bai bagade ea soge Siaina ganodini da Ba: bilone, Elege, A:ga: de amola Ga: lene.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 Amo soge yolesili, e da Asilia sogega asi. Amoga e da moilai bai bagade eno hahamone gagai amo Ninefe, Lihoubode, Ga: ila,
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
12 amola Lisene. La: idi da Ninefe, la: idi da Ga: ila amola Lisene da moilai bai bagadedafa dogoa galu.
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 Misala: ime ea mano da Ludaide fi, Anamaide fi, Lehabaide fi, Na: baduhaide fi,
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
14 Badalusaide fi, Gasaluhaide fi (amo fi amoga Filisidini fi da misi) amola Ga: fadolaide fi.
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Ga: ina: ne ea mano da Saidone (ea magobo mano), Hidaide fi,
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 Yebiusaide fi, A:moulaide fi, Gegasiaide fi,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
17 Haifaide fi, Agaide fi, Sainaide fi,
Mhivi, Mwarki, Msini,
18 Afadaide fi, Semalaide fi, Ha: imadaide fi. Fa: no Ga: ina: ne fi dunu huluane da afafai.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 Ga: ina: ne fi ilia soge olei da asili amo Saidone moilai bai bagade asili Gela asili Ga: isa moilai bai bagadega doaga: i. Amalalu, soge olei da Sodame moilai bai bagadega asili, Goumola moilai bai bagade amola A: dama moilai bai bagade amola Siboimi moilai bai bagade baligili, La: isia moilai bai bagadega doaga: i.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 Amo dedei da Ha: me ea mano - ilia fi amola sia: hisu hisu amola sogebi da sosogo bagade ba: i.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 Sieme da Ya: ifede ea ola esalu. Sieme da Hibulu dunu fi huluane amo ilia aowalali eda.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 Sieme egefelali da Ila: me, A:sie, Afa: gasa: de, Lade amola A: ila: me.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 A: ila: me egefelali da Ase, Hale, Gidie amola Misiege.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 Afa: gasa: de ea mano da Sila amola Sila ea mano da Ibe.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 Ibe da dunu mano aduna lai. Afae ea dio amo Bilege (Bai e esalea osobo bagade da afafai ba: i). Bilege ea eya dio amo Yogada: ne.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 Yogada: ne ea mano da A: lamouda: de, Silefe, Ha: isama: ifede, Yila,
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Hadoula: me, Usa: le, Digala,
Hadoram, Uzali, Dikla,
28 Ouba: le, Abima: ile, Siba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 Oufe, Ha: fila amola Youba: be. Amo huluane da Yogada: ne ea mano.
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Ilia esalebe soge da goumi gusudi soge ea ole da Misia alalo asili Sifa doaga: i.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 Amo dedei da Sieme ea mano - ilia fi, sia: hisu hisu, ilia sogebi amola ilia soge da bagade ba: i.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 Huluane da Nowa: ea mano ilia fi amo ilia sosogo fi amo ganodini amola fi gilisisu ilia hamoi. Amo fi amoga fi gilisisu huluane da hano bagade fa: no hamone, afafane osobo bagade nabasu.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.

< Mui 10 >