< Gala:isia 1 >

1 Na, Bolo, amo meloa dedesa. Na da asunasi dunu. Be amo hawa: hamomusa: , osobo bagade dunu da hame sia: i, amola hame fidi. Be Yesu Gelesu amola Ea bogoi wa: lesili uhinisisu Dunu Gode, da nama wele sia: beba: le, na da asunasi dunu hawa: hamosa.
Mimi Paulo mtume,
2 Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu huluane guiguda: esala, ilia amola na da gilisili dilia Gala: isia Yesu Ea fa: no bobogesu fi huluane dilima asigi sia: adosisa.
na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
3 Ninia Ada Gode amola Hina Gode Yesu Gelesu, da hahawane dogolegele iasu amola olofosu hou dilima imunu da defea.
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
4 Yesu Gelesu da osobo bagade dunu ilia wali hou hamobe, amo ninia yolesima: ne, Ea esalusu yolesi dagoi. E da ninia wadela: i hou gogolema: ne olofomusa: , ninia Ada Gode Ea sia: nabawane, bogoi dagoi. (aiōn g165)
Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa. (aiōn g165)
5 Gode da eso huluane hadigiwane, mae dagole esalalalumu. Amo dawa: ma: ne, ninia Godema nodone sia: mu da defea. Ama. (aiōn g165)
Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina. (aiōn g165)
6 Na da dilia hou ba: beba: le, bagadewane fofogadigisa. Dilia da Yesu Gelesu Ea hahawane dogolegele iasu ilegele sia: i liligi lalegaguma: ne, na da Ea sia: moloidafa olelei. Be dilia hedolowane yolesili, sia: hisu eno amoma dawa: lala.
Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
7 Be Sia: dafa eno hame. Afadafa fawane diala. Be eno dunu da dilia hou wadela: ma: ne, Yesu Gelesu Ea Sia: Ida: iwane Gala afadenemusa: dawa: lala. Amaiba: le, na dilima sia: sa.
Lakini hakuna “Habari Njema” nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
8 Be ninia o Hebenega esalebe a: igele dunu da ogogole sia: dilia musa: nabi liligi amoga hisu agoane liligi amo olelesea, amo olelesu dunu da fofada: lalu, ema gagabusu eso huluane mae fisili aligimu da defea.
Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
9 Ninia musa: adoi na da wali bu adosa. Nowa da dilia musa: lalegagui Sia: Ida: iwane Gala mae dawa: le, sia: eno hisu olelesea, amo da fofada: lalu, gagabusu eso huluane mae fisili aligimu da defea.
Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
10 Na da osobo bagade dunu ilia nodosu sia: lama: ne, gasa agoane sia: sala: ? Hame mabu! Gode Hifawane da nama nodomusa: , amo fawane na da hanai galebe. Na da osobo bagade dunu ilima na: iyado hamomusa: na da agoane hamosala: ? Hame mabu! Amane hamonanebe ganiaba, na da Yesu Gelesu Ea hawa: hamosu dunu hame esalala: loba.
Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
11 Na fi dunu! Na da dafawane sia: sa! Sia: na dilima olelesu liligi da osobo bagade fi dunu olelesu hame.
Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
12 Osobo bagade dunu da amo sia: nama hame olelei. Yesu Gelesu Hi fawane da musa: wamolegei liligi nama olelei dagoi.
Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
13 Dilia da na musa: hou nabi dagoi. Na da Yu Gode Ea fi dunu ilia hou lalegagui. Na Gode Ea fa: no bobogesu fi medomusa: , ilima mae asigili, se bagade iasu.
Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
14 Na da Yu Gode Ea fi dunu ilia hou gasawane hamobeba: le, Yu dunu eno amola na amo da ode afadafa galu lalelegei dunu, na hou da ilia hou baligi dagoi. Na da ninia aowalali ilia hou nabawane hamonanu.
Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
15 Be Gode da nama asigiba: le, na da na: me ea hagomo ganodini esaloba, E da Ea hawa: hamomusa: gini, na ilegei dagoi.
Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
16 Asili, Gode da Ea Manodafa nama olelei dagoi. Na da Gode Ea Sia: Ida: iwane Gala amo Dienadaile dunuma olelemusa: , Gode da amo hou nama ilegei Amo esoga, na da fada: i sia: adole ba: musa: , eno dunuma hame doaga: i.
Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
17 Na da musa: hamoi asunasi dunu adole ba: musa: , Yelusaleme moilai bai bagadega hame asi. Be na da hedolowane Ala: ibia sogega asili, esalu, Dama: sagase moilai bai bagadega buhagi.
na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
18 Ode udiana gidigili, na da Bidama hou adole ba: musa: , Yelusaleme moilai bai bagadega asi. Na da hi aduna ea diasuga esalu.
Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
19 Na da Hina Gode ea eya Ya: mese, amola ba: i dagoi. Be na da eno asunasi dunu hame ba: i.
Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20 Amo sia: da dafawane. Na da hame ogogosa, amo Gode da dawa:
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
21 Fa: no na da Silia soge amola Silisia sogega asi.
Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
22 Amo esoga, Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu Yudia soge ganodini esalu, ilia da na odagi hame dawa: i galu.
Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
23 Eno dunu ilia sia: dasu amane, “Dunu da musa: ninima se bagade iasu amola Yesuma dafawaneyale dawa: su hou wadela: musa: dawa: su, amo dunu da sinidigili, bu Yesuma dafawaneyale dawa: su hou olelelala.” Ilia da amo sia: dasu fawane dawa: i galu.
Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: “Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza.”
24 Amaiba: le, ilia da na gaheabolo hou ba: beba: le, Godema nodone sia: su.
Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

< Gala:isia 1 >