< Esela 9 >

1 Amalalu, Isala: ili fi ouligisu dunu mogili da nama sia: na misini, gobele salasu dunu amola Lifai dunu da dunu fi ilima na: iyado soge amo A: mone, Moua: be, Idibidi, Ga: ina: ne dunu, Hidaide dunu, Belisaide dunu, Yebiusaide dunu amola A: moulaide dunu ilima hame afafasu ilia sia: i. Ilia da amo dunu ilia wadela: idafa hou hamosu amoma fa: no bobogei dagoi.
Baada ya mambo haya kutendeka, viongozi walinijia na kusema, “Watu wa Israeli, wakiwemo makuhani na Walawi, hawakujitenga na majirani zao katika kufanya machukizo, kama yale ya Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.
2 Yu dunu da ga fi uda labeba: le, Gode Ea hadigi fi dunu da wadela: lesi dagoi ba: i. Be Yu ouligisu dunu amola ouligisu hina dunu, ilia amola da ga fi uda laiba: le, ilia da amo wadela: i hou amo ganodini baligili wadela: i hamosu dunu agoai ba: i.
Wamewaoa baadhi ya binti zao kuwa wake zao na wake za wana wao, nao wamechanganya taifa takatifu na watu waliowazunguka. Nao viongozi na maafisa wamekuwa mstari wa mbele katika njia hii potovu.”
3 Na da amo sia: nababeba: le, se bagade nabi. Na abula gadelale, na dialuma hinabo amola mayabo mogili golole fasili, da: i dioi bagadewane esalu.
Niliposikia jambo hili nilirarua koti langu na joho langu, nikazingʼoa nywele za kichwa changu na ndevu zangu na kuketi nikishangaa.
4 Na da amanewane da: i dione esaloba, daeya galu Godema gobele salasu da doaga: i. Amalalu, dunu da na esaloba, na guba: le sisiga: le aligi. Ilia da Isala: ili Godema bagade beda: i. Bai Gode da mugululi asi buhagi dunu ilia wadela: i hou ba: i dagoi, amola Ea sia: ilia da nabi.
Kisha kila mmoja aliyetetemeshwa na maneno ya Mungu wa Israeli alikusanyika kunizunguka kwa sababu ya upotovu huu wa hao watu waliorudi kutoka utumwani. Nami niliketi pale nikishangaa mpaka wakati wa dhabihu ya jioni.
5 Daeya gobele salasu hou da doaga: loba, na da ni musa: udigili esalua amoga da: i dione esalu, amoga wa: legadole, amola na abula gadelai ga: i amola na da muguni bugili, na Hina Godema lobo ligia gadole, Ema sia: ne gadoi.
Ndipo wakati wa kutoa dhabihu ya jioni nikainuka kutoka kujidhili kwangu nikiwa na koti na joho langu lililoraruka, nikapiga magoti mikono yangu ikiwa imeinuliwa kwa Bwana Mungu wangu.
6 Na da amane sia: i, “Na Gode! Na da bagadewane gogosia: iba: le, Dia hadigi amoma na dialuma molole gadomu hamedei agoane ba: sa. Ninia wadela: i hou da bagadedafa, fedege agoane bi hamone ninia dialuma baligili muagado heda: sa.
Nami nikaomba: “Ee Mungu wangu, natahayari na kuona aibu kukuinulia uso wangu Mungu wangu, kwa sababu dhambi zetu zimejikusanya hata kupita juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imefika mbinguni.
7 Musa: aowalali ilia fifi mana, wali wadela: i hou bu baligili bagadedafa ninia hamonana. Ninia wadela: i houba: le, ninia hina bagade dunu amola ninia gobele salasu dunu da ga fi hina bagade ilia baiga dafai dagoi. Ga fi dunu da ninia fi dunu medole legele, ilia liligi wamolai amola mogili udigili hawa: hamomusa: mugululi oule asi. Ninia wadela: i hou hamoiba: le, bagadewane gogosiasu, amola waha da amomane diala. Ninia Hina Gode!
Tokea siku za babu zetu mpaka sasa, hatia yetu imekuwa kubwa. Kwa sababu ya dhambi zetu, sisi na wafalme wetu na makuhani wetu tumekabiliwa na vita, utumwa, kutekwa na kudhiliwa katika mikono ya wafalme wa kigeni, kama ilivyo leo.
8 Waha, eso fonobahadi amoga, Di da ninima asigiba: le, ninia se iasu diasuga fisili masa: ne gadili asunasi, wali ninia da Dia hadigidafa soge amoga gaga: iwane esala. Di da wali ninima hadigi ganodini udigili lalusu amola gaheabolo esalusu ninima i dagoi.
“Lakini sasa, kwa muda mfupi, Bwana Mungu wetu amekuwa na neema kwa kutuachia mabaki na kutupa mahali imara katika mahali pake patakatifu, hivyo Mungu wetu atupa mwanga machoni petu na unafuu katika utumwa wetu.
9 Nini da udigili se iasu diasua esalebe hawa: hamosu dunu agoai galu, be di da nini se iasu diasua esalebe hawa: hamoma: ne hame yolesi. Di da Besia hina bagade dunu ilia asigi dawa: su olelebeba: le, ilia da ninima asigisu. Ilia da nini hame fane legei. Be ninia da Dia Debolo musa: wadela: lesi dagoi, amo bu gagumusa: amola ninia Yuda soge amola Yelusaleme amo ganodini gaga: iwane esaloma: ne, ilia da logo doasi dagoi.
Ingawa tu watumwa, Mungu wetu hajatuacha katika kufungwa kwetu. Ametuonyesha huruma mbele ya wafalme wa Uajemi: Ametujalia maisha mapya kwa kujenga upya nyumba ya Mungu wetu na kukarabati magofu yake, naye ametupa ukuta wa ulinzi katika Yuda na Yerusalemu.
10 Be wali, Na Gode! Amo hou da doaga: beba: le, ninia da adi sia: ma: bela: ? Ninia da Dia sema amola hamoma: ne sia: i bu hame nabasu.
“Lakini sasa, Ee Mungu wetu, tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa maana tumedharau maagizo
11 Di da ilima olelebeba: le, Dia hawa: hamosu dunu amo balofede dunu, da amo sema amola hamoma: ne sia: i ninima olelei. Ilia da ninima adoi amane, soge amo ninia da gesowale fimu da ledo bagade soge. Ga: ina: ne dunu fi amo ganodini da wadela: i hou bagade hamobeba: le, soge huluanedafa da ledo bagade ba: i.
uliyoyatoa kupitia watumishi wako manabii uliposema: ‘Nchi mnayoiingia kuimiliki ni nchi iliyochafuliwa na uovu wa watu wake. Kwa matendo yao ya machukizo wameijaza nchi kwa unajisi wao kutoka mwisho mmoja hadi mwingine.
12 Ilia da ninima amane sia: i, ‘Dilia da amo soge ganodini hahawane esalumusa: dawa: sea, amola amo ganodini diligaga fi da eso huluane hahawane esaloma: ne ilima imunusa: dawa: sea, dilia amo soge fi ilia uda maedafa lama, amola ilia muni labe hou amola hou huluanedafa mae fidima,’ balofede dunu da amane sia: i.
Kwa hiyo, msiwaoze binti zenu kwa wana wao wala binti zao kwa wana wenu. Msitafute mkataba wa urafiki nao kwa wakati wowote. Ndipo mtakapofanikiwa na kula mema ya nchi na kuwaachia watoto wenu nchi hiyo kama urithi wao wa milele.’
13 Ninia da wadela: i hou bagade hamobeba: le, se dabe iasu bagade lai. Be ninia Gode, ninia dawa: Di da nini hame fane legei, amola ninia wadela: i hou se dabe iasu defele ninima hame i.
“Yale yaliyotupata ni matokeo ya matendo yetu mabaya, pia hatia yetu kubwa. Hata hivyo, wewe Mungu wetu, umetuadhibu kidogo kuliko dhambi zetu zilivyostahili na umetupa mabaki kama haya.
14 Amaiba: le, ninia da abuliba: le da Dia hamoma: ne sia: i bu mae nabawane, amo wadela: i fi ilia uda lama: bela: ? Agoane hamosea, Dia ougi da heda: sea, nini huluane wadela: lesi dagoi ba: mu. Dunu afadafa esalebe hamedafa ba: mu.
Je, tutavunja maagizo yako tena na kuoana na watu ambao hufanya mambo ya machukizo? Je, hutakuwa na hasira ya kutosha juu yetu na kutuangamiza, bila kutuachia mabaki wala atakayenusurika?
15 Isala: ili Hina Gode! Di da moloidafa fofada: su dunu! Di da nini bogoma: ne hame fane legei! Ninia wadela: i hou Dima fofada: ne iaha! Ninia da Dia hadigi amoga misunu da ninima hamedei liligi agoai,” Esela da amane sia: ne gadoi.
Ee Bwana, Mungu wa Israeli, wewe ni mwenye haki! Leo hii tumeachwa kama mabaki. Tupo hapa mbele zako na hatia yetu, ingawa katika hali hii hakuna hata mmoja wetu anayeweza kusimama mbele zako.”

< Esela 9 >