< Esela 7 >
1 Ode bagohame gidigili, Adasegesisi da Besia hina bagade esalea, dunu afadafa ea dio amo Esela da esalu. Ea aowalali aowa da musa: gobele salasu hina ea dio amo Elane. Esela ea aowa fi da agoane esalusu.
Sasa baada ya hili, kipindi cha kutawala Artashasta mfalme wa Uajemi, Ezra akaja kutoka Babeli. Watangulizi wa Ezra walikuwa: Seraya, Azaria, Hilkia,
2 Elane amoea mano da Elia: isa, amoea mano da Finia: se amoea mano da Abisiua amalu Bugai, Usai, Selahaia, Mila: iode, A:salaia, A:malaia, Ahaidabe, Sa: idoge, Sia: lame, Hiligaia, A:salaia, Sila: iya amalu Esela.
Shalumu, Sadoki, Ahitubu,
Amaria, Azaria, Merayothi,
Abishaua, Fineasi, Eliazari ambaye ni mtoto wa Haruni kuhani mkuu.
6 Esela da Isala: ili Hina Gode amo Ea sema Mousesegili dedene i, amo noga: ledafa dawa: i galu. Esela ea Hina Gode da e hahawane dogolegele fidisu. Amaiba: le, Besia hina bagade da ea adole ba: i liligi ema iasu. Ode fesuale amo Adasegesisi da Besia ouligi, Esela da Ba: bilone soge fisili Yelusaleme sogega gobele salasu dunu, Lifai dunu, Debolo diasu gesami hea: su dunu, Debolo sosodo aligisu dunu amola Debolo hawa: hamosu dunu, amo mogili gilisili oule asi.
Ezra akaja kutoka Babeli na alikuwa mtalaam mwandishi wa sheria ya Musa, ambayo Yahwe, Mungu wa Israel aliwapa. Mfalme akampatia kila kitu alichooomba kwa kuwa mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye.
Baadhi ya wazao wa Israel, na makuhani, walawi, waimbaji, walinzi, na wale waliochaguliwa kuhudumu katika Hekalu pia wakaenda Yerusalem katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta.
8 Ilia da Ba: bilone soge yolesili asi eso magobo amola oubi magobo amoga, Gode Ea fidibiba: le, eso magobo amola oubi biyadu amoga Yelusalemega doaga: i.
Naye akafika Yerusalem mwezi wa tano kama mwaka huo.
Naye akaondoka Babeli siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza. Ilikuwa siku ya kwanza ya mwezi wa tano ambapo alifika Yerusalem, kwa kuwa mkono mzuri wa Mungu ulikuwa pamoja naye.
10 Esela da eno liligi mae dawa: le, eso huluane Hina Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i huluane idilalu, amola defele hawa: hamosu. Amola Isala: ili dunu ilia noga: le dawa: ma: ne, e da Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i ilima olelesu.
Ezra alikuwa ametoa moyo wake kusoma, kutenda, na kufundisha maagizo na sheria za Yahwe.
11 Esela da gobele salasu dunu amola bagade dawa: su dunu. E da sema amola hamoma: ne sia: i amo Hina Gode da Isala: ili dunuma i, amo huluane bagade dawa: i. Adasegesisi da Eselama amo meloa dedene i.
Hii ndio amri ambayo mfalme Artashasta alimpa Ezra kuhani na mwandishi wa sheria za Yahwe na maagizo kwa Israeli.
12 “Na da Adasegesisi, Besia hina bagade. Na da di, Esela, gobele salasu dunu amola Hebene Gode Ea sema bagade dawa: su dunu, dima meloa dedene iaha.
Mfalme wa wafalme Artashasta, kwa kuhani Ezra, mwandishi wa sheria za Mungu wa mbinguni.
13 Na sia: da na soge huluane ganodini, nowa Isala: ili dunu, gobele salasu dunu amola Lifai dunu, nowa da dima sigi masusa: dawa: sea, ilia da masunu da defea.
Ninatoa amri kwamba mtu yeyote Israel katika ufalme wangu pamoja na makuhani na walawi ambao wanatamani kwenda Yerusalem, wanaweza kwenda pamoja na wewe.
14 Na amola na gasolo dunu fesuale gala da di Yelusaleme amola Yuda soge amoea hou abedema: ne asula ahoa. Di da dia Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i amoma ouligisu dunu. Amaiba: le, amo dunu ilia sema amoma nabasu hou ba: la masa.
Mimi mfalme na washauri wangu saba, tunawatuma wote kwenda kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu, ambayo iko mkononi mwako.
15 Na amola na gasolo dunu da gouli, silifa amola eno iasu liligi, Isala: ili Gode amo Ea Debolo diasu da Yelusalemega diala amoga legemusa: , dilima imunusa: dawa: lala. Amaiba: le, amo liligi, di lale, gaguli masa.
Itakupasa kuleta Dhahabu na fedha ambazo walitoa kwa ajili ya Mungu wa Israel, ambaye makazi yake ni Yerusalem.
16 Di ahoasea, gouli amola silifa dia Ba: bilone sogega lidi amo Godema imunusa: Isala: ili dunu amola gobele salasu dunu amola ilia da ilia Gode Ea Debolo diasu Yelusaleme ganodini amoma i, amo amola gaguli masa.
Fedha iliyotolewa kwa hiari na Dhahabu yote iliyotolewa Babeli pamoja na matoleo ya hiari waliotoa watu na makuhani kwa ajili ya nyumba ya Mungu katika Yerusalem.
17 Amo muniga, dawa: iwane bidi lama. Di bulamagau, sibi gawali, sibi mano, gagoma amola waini, amo Yelusaleme Debolo diasu ganodini oloda da: iya gobele salasu hamoma: ne, bidi lama.
Basi ununue vyote sadaka ya kondoo, beberu, kondoo, unga na kinywaji, uvitoe kwenye madhabahu ambayo ni nyumba ya Mungu wako katika Yerusalem.
18 Di da liligi gouli amola silifa hame lai oda mogili dialebe ba: sea, dia fi dunu ilia hanaiga, Gode Ea hanai defele, liligi lamu da defea.
Fanya hivyo pamoja na sehemu ya fedha na dhahabu, vyovyote utakavyoona inakupendeza wewe na ndugu zako, kumpendeza Mungu.
19 Di da ofodo huluane debolo diasu amo ganodini hawa: hamoma: ne dima i, amo Yelusalemega doaga: sea, Godema ima.
Viweke vitu vilivyotolewa kwa hiari mbele yako kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu Yerusalem.
20 Amola adi liligi eno dia Debolo diasu amogili lamusa: hanai galea, amo liligi di hina bagade ea muni lelegesu amoga lama.
Kitu chochote kingine ambacho kinahitajika kwenye nyumba ya Mungu wako ambacho unahitaji, Gharama yake itatoka kwenye hazina yangu.
21 Amola na da eagene muni ouligisu dunu Guma: dini Iufala: idisi soge amo ganodini ilima amane sia: sa. ‘Esela gobele salasu dunu amola Hebene Esalebe Gode Ea sema bagade dawa: su dunu amo da dilima liligi adole ba: sea, hedolowane ema ima.
Mimi mfalme Artashasta, natoa amri kwa wotunza hazina wote mjini ngambo ya mto, chochote Ezra atakachoomba kwenu anapaswa kupewa chote,
22 Huluane ima. Be silifa ea dioi defei 3,400 gilogala: me, widi ea dioi defei 10,000 gilogala: me, waini ea defei 2,000 lida amola olife susuligi ea defei 2,000 lida amo defei mae baligima. Be deme ilia hanai defele ima.
hata zaidi ya talanta mia moja za fedha, vipimo mia vya ngano, bathi mia za divai na bathi mia za mafuta, pia na chumvi isiyo na kikomo.
23 Noga: le dawa: ma! Liligi huluane Hebene Esalebe Gode da Ea Debolo diasu ganodini legemusa: dawa: sea, amo ima. Bai, agoane hamosea, E da hobea nama, amola fa: no mabe Besia hina bagade dunu ilima hame ougimu.
Chochote ambacho kimeamriwa kutoka kwa Mungu wa mbinguni, kifanye hicho kwa utukufu wa nyumba yake. Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?
24 Dilia eagene dunu! Dilia gobele salasu dunu, Lifai dunu, gesami hea: su dunu, sosodo aligisu dunu amola debolo hawa: hamosu dunu huluane ilima eagene su (da: gisi) maedafa lama.
Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru wowote au kodi kwa kuhani, mlawi, mwimbaji, mlinzi au kwa mtu aliyechaguliwa kwenye huduma ya Hekalu na mtumishi katika nyumba ya Mungu.
25 Di, Esela! Gode da dima bagade dawa: su ia dagoiba: le, di ouligisu dunu amola fofada: su dunu ilegema. Ilia da dunu huluane Guma: dini Iufala: idisi soge ganodini Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i amoma fa: no bobogesa, amo ouligima: ne sia: ma. Amola nowa da Gode Ea sema hame dawa: sa, ilima amo sema olelema.
Ezra, kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa kuwahudumia watu katika mji ngambo ya mto na kusaidia yeyote anayejua sheria za Mungu wako. Pia inakubidi ufundishe wale ambao hawajui sheria.
26 Nowa dunu da Gode Ea sema o Besia eagene sema amo hame nabasea, amo dunuma hedolowane se dabe ima. Ema agoane se dabe ima. Medole legema o mugululi masa: ne, sefasima o ea liligi huluane lama o se iasu diasu amo ganodini salima.” Adadegesisi da amo meloa dedene, Eselama i.
Toa adhabu kwa yeyote asiyetii sheria ya Mungu au sheria ya mfalme, ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
27 Esela e amane sia: i, “Ninia aowalali ilia Hina Godema nodoma! Gode da Besia hina bagade ea dogo ganodini olelebeba: le, e da Hina Gode Ea Debolo diasu Yelusaleme amo ganodini amo nodone fidisu.
Atukuzwe, Yahwe, Mungu wa watangulizi wetu, ambaye aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kutuza Nyumba ya Yahwe Yerusalem,
28 Gode da nama asigidafa hou hamobeba: le, Besia hina bagade, ea gasolo dunu amola ea gasa bagade ouligisu dunu huluane da nama hahawane gala. Na Hina Gode da na dogo denesiba: le, Isala: ili fi ouligisu dunu bagohame da na sia: beba: le mugululi asi fisili, na sigi bu Isala: ili sogega buhagisa.
ambaye akaendeleza agano kwangu kwa uaminifu mbele ya mfalme, na washauri wake na wakuu wake wenye mamlaka, nilitiwa nguvu na mikono ya Yahwe, Mungu wangu, nami nikawakusanya viongozi kutoka Israel kwenda pamoja nami.