< Esela 10 >
1 Esela da Debolo midadia beguduli, dinanawane Isala: ili dunu ilia wadela: i hou fofada: nanu, amalu Isala: ili fi gilisisu bagade amo dunu, uda amola mano da guba: le sisiga: le ha: giwane didigia: lalu.
Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.
2 Amalalu, Sieganaia (Yihaiele egefe amola Ilame fi dunu) da Esela ema amane sia: i, “Ninia da Godema dafawaneyale dawa: su yolesi dagoi. Bai ninia da ga fi uda lasu hou hamosu. Be Gode da Isala: ili dunu hame fisimu.
Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.
3 Waha, ninia da Godema dafawaneyale ilegele sia: mu da defea, amo ninia da amo uda amola ilia mano fisiagamu da defea. Di amola eno dunu da Gode Ea Sema amoga noga: le fa: no bobogesa. Amaiba: le, ninia da dilia sia: defele hamomu. Ninia Gode Ea sema amola hamoma: ne sia: i amoma noga: le fa: no bobogemu.
Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.
4 Be di fawane da amo hou olelema. Ninia da dia baligia aligili fuligala: mu. Amaiba: le, amo defele masa: ne hamoma.
Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
5 Amaiba: le, Esela da amo hou hamoi. Ea hamoma: ne sia: beba: le, gobele salasu ouligisu huluane, Lifai fi ouligisu dunu huluane amola dunu eno huluane da Gode Ea Dioba: le, Sieganaia ea sia: i amo defele ilegele hamomu sia: i.
Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.
6 Amalalu Esela da Debolo midadi fisili asili, Ilaiasibi egefe Yihouha: ina: ne amo ea diasu ganodini golili sa: ili, mugululi asi buhagi dunu ilia wadela: i hou dawa: beba: le, amo gasia ha: i amola hano mae nawane dinanu.
Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
7 Ilia da Yelusaleme amola Yuda soge huluane amoga, sia: amane lalaba lai, mugululi asi buhagi dunu huluane da Yelusalemega gegedoma: ne sia: si.
Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.
8 Amo da Isala: ili ouligisu dunu ilia sia: i. Eso udiana aligili, nowa dunu da hame masea, ea liligi huluane enoga lai dagoi ba: mu, amola e da Isala: ili fi amoga fadegai dagoi ba: mu.
Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
9 Eso udiana mae aligili, oubi sesege amola eso 20 amoga, dunu huluane Yuda soge amola Bediamini soge amo ganodini esalu da Yelusalemega gegedole, Debolo gagoi amo ganodini gilisili esalebe ba: i. Gibu bagadewane dasu amola dunu huluane da yagugui. Bai ilia da gibuga anegagi amola gilisisu bai da bagadeba: le, ilia da beda: i.
Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.
10 Gobele salasu dunu Esela da wale gadole, ilima amane sia: i, “Dilia da dafawaneyale hame dawa: su hou hamoi dagoi. Dilia da ga fi uda lai dagoiba: le, Isala: ili fi amo ganodini wadela: i hou bagade dialebe ba: sa.
Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.
11 Amaiba: le, waha dilia wadela: i hou amo dilia aowalalia Hina Godema fofada: ma! Amasea, E da dilima hahawane ba: mu. Dilia ga fi dunu dilia soge ganodini esala ilima afafama. Amola dilia ga fi uda huluane fisiagama!”
Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
12 Dunu huluane da ha: giwane wele sia: i, amane, “Ninia da dia hamoma: ne sia: i defele hamomu!”
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.
13 Be ilia da eno amane sia: i, “Dunu gilisi da bagadedafa amola gibu bagade daha. Ninia da udigili hamega gadili lelemu da hamedei. Ninia da dunu bagohame amo wadela: i hou hamoi dagoi. Amaiba: le, eso afaega o adunaga hahamomu da hamedei.
Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.
14 Ninia ouligisu dunu da Yelusalemega esalu amo hou ouligimu da defea. Amasea, eso afae ilegemu da defea. Amoga, nowa dunu da ga fi uda lai galea, e amola ea moilai ouligisu dunu amola fofada: su dunu gilisili misunu da defea. Amasea, Gode da amo ninia wadela: i hou hamobeba: le ougisa, amo E da yolesimu.”
Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”
15 Dunu huluane ilia da amo hou da defea sia: i. Be A: sahele egefe Yonada: ne, Digifa egefe Yasiaia, Misiala: me amola Sia: bidai (Lifai dunu), ilia da hame fuligala: su.
Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
16 Be mugululi asi buhagi dunu huluane da amo hou fuligala: beba: le, gobele salasu dunu Esela da fi ouligisu dunu mogili ilegele, ilia dio dedei dagoi. Eso age oubi nabuane amoga, ilia da amo hou muni abodesu.
Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.
17 Oubi udiana fa: no amoga ilia da dunu huluane amo da ga fi uda lai, amo ilia hou abodei.
Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
18 Dunu da ga fi uda lai amo ilia dio da hagudu dedei. Gobele salasu dunu da ga fi uda lai ilia fi dio da Yosiua amola ea yolalali (Yihosada: ge egefe) fi. Amo dunu ilia ga fi uda lai ilia dio da Ma: iasiai, Eleisa, Ya: ilibe amola Gedalaia.
Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.
19 Amo dunu ilia uda fisiagamusa: sia: i, amalu ilia sibi gawali Godema gobele salasu hamoi, ilia wadela: i hou dodofema: ne. Eno dunu da ga fi uda lai amo ilia fi dio amola ilia dio da hagudu dedei diala: -
(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
20 Ime fi...Hana: inai amola Sebadaia.
Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.
21 Ha: ilime fi...Ma: iasiai, Ilaidia, Siema: iya, Yihaiele amola Asaia.
Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
22 Ba: sie fi...Eliounai, Ma: iasisi, Isiama: iele, Nida: niele, Yosaba: de amola Elasa.
Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
23 Lifai fi dunu...Yosaba: de, Simiai, Gila: iya (eno dio da Gelida), Bedahaia, Yuda amola Eleisa.
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
24 Gesami Hea: su fi...Ilaiasibi Debolo sosodo aligisu fi...Sia: lame, Dileme amola Uli
Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.
25 Eno dunu amo da ga fi uda lai da amo, Ba: ilose fi...Lamaia, Isaia, Ma: lagaia, Midiamini, Elia: isa, Ma: lagaia amola Bina: ia
Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
26 Ilame fi...Ma: danaia, Segalia, Yihaiele, A:badai, Yelemode amola Ilaidia
Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
27 Sa: du fi...Eliounai, Iliasibi, Ma: danaia, Yelemode, Sa: iba: de amola Asaisa
Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
28 Biba: iai fi...Yihoha: ina: ne, Ha: nanaia, Sa: ba: yai amola A: dalai
Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
29 Ba: inai fi...Misiala: me, Ma: lage, Ada: iya, Ya: isiabe, Sia: le amola Yelemode
Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
30 Ba: iha: de Moua: be fi...A: dana, Gila: le, Bina: ia, Ma: iasiai, Ma: danaia, Bisa: liele, Binuai amola Ma: na: se
Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,
32 Ha: ilime fi...Eleisa, Isiya, Ma: lagaia, Siema: iya, Simiane, Bediamini, Ma: lage amola Siemalaiya
Benyamini, Maluki, na Shemaria.
33 Ha: isiame fi...Ma: dina: yai, Ma: dada, Sa: iba: de, Ilifelede, Yelemai, Ma: na: se amola Simiai
Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
34 Ba: inai fi...Ma: yada: yai, A:mala: me, Iuele, Bina: ya, Bidiya, Giluhi, Fana: ya, Melimode, Ilaiasibi, Ma: danaia, Ma: dena: yai amola Ya: ya: su.
Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,
Vania, Meremothi, Eliashibu,
Matania, Matenai na Yaasu.
38 Binuai fi...Simiai, Sielemaia, Na: ida: ne, Ada: iya, Ma: gana: dibai, Sia: isiai, Siala: yai, Asa: iliele, Sielemaia, Siemalaiya, Sia: lame, A:malaia amola Yousefe
Kutoka wazao wa Binui: Shimei,
Shelemia, Nathani, Adaya,
Maknadebai, Shashai, Sharai,
Azareli, Shelemia, Shemaria,
Shalumu, Amaria na Yosefu.
43 Nibou fi...Yiayele, Ma: didaia, Sa: iba: de, Sibaina, Ya: dai, Youele amola Bina: ia
Kutoka wazao wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
44 Amo dunu huluane da ga fi uda lai dagoi. Ilia da amo uda fisiagale, amo uda amola ilia mano ga asunasi. Sia: ama dagoi
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.