< Isigiele 9 >

1 Na da Gode Ea Isala: ili ha lai dunuma wele sia: be nabi, amane, “Yelusalemema se dabe imunu dunu! Dilia goeguda: misa! Dilia gegesu liligi amo gaguli misa.”
Kisha akalia kwa sauti kubwa nikasikia kwenye masikio yangu, huku akisema, “Waache walinzi waje kwenye mji, kila mmoja na silaha yake ya uharibifu kwenye mkono wake.”
2 Amo galuwane, dunu gafeale gala da Debolo diasu logo ga: i gadi (north) amo gadili misi. Ilia defegagale gegesu liligi gaguli misi. Amo iliga afae da dunu abula ahea: iai ga: ne, dedesu liligi gaguli manebe ba: i. Ilia huluane misini, balase oloda amo bega: dadafulili lelefulu.
Kisha tazama! watu wanne watakuja kutokea njia ya lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuchinjia kwenye mkono wake. Kulikuwa na mtu mmoja miongoni mwao alikuwa amevaa nguo ya kitani pamoja na kifaa cha uandishi ubavuni mwake. Hivyo waliingia na kusimama karibu na madhabahu ya shaba.
3 Isala: ili Gode Ea nenemegi hadigi da esalebe liligi ougia galebe, amo da: iya dialebe ba: i. Gode Ea hadigi da amoga heda: le, Debolo logo holeiga aligila asi. Hina Gode da abula ahea: iai ga: i dunu ilima amane wele sia: i,
Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli ukapanda juu kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa kwenye kisingiti cha nyumba. Akamwita yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani na kifaa cha uandishi ubavuni mwake.
4 “Yelusalemedi golili asili, nowa dunu da moilai amo ganodini wadela: i hou hamonanebe amo ba: beba: le da: i dioi galea, amo ea odagigia, ilegele dedema.”
Yahwe akamwambia, “Pita kati ya mji-kati ya Yerusalemu-na weka alama katika vipaji vya uso vya wale waliolemewa na kuona kuhusu machukizo yote yanafanyika kati ya mji.”
5 Amalalu, Gode da dunu eno ilima sia: be na nabi, “Amo dunu moilaidi ahoanebe ilima fa: no bobogema. Dunu huluane medole legema. Mae asigili, huluanedafa medole legema.
Kisha akaongea na wengine kupitia kusikia kwangu, “Pita kwenye mji baada ya yeye na kuua. Msiache macho yenu yawe na huruma, na msiogope kuharibu
6 Dunu da: i, amola ayeligi amola uda a: fini amola ame amola mano huluanedafa, medole legema. Be nowa da ea odagigia ilegele dedei galea, amo mae medole legema. Na Debolo diasua muni medole legema!” Amaiba: le, ilia da Yelusaleme ouligisu dunu Debolo diasua lelefulu, amo hidadea medole lelegei.
iwe mzee, kijana, msichana, mtoto mdogo au wanawake. Waueni watu wote! Lakini msimkaribie mtu yeyote ambaye mwenye alama kwenye kichwa chake. Anzeni katika patakatifu pangu!” Hivyo wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba.
7 Gode da ilima amane sia: i, “Debolo diasu amo ledo fima: ne hamoma. Bogoi da: i hodo bagohame ea gagoi ganodini afagogoma. Hawa: hamoma!” Amaiba: le, moilai amo ganodini, ilia da muni dunu medole lelegelalu.
Akawaambia, “Najisi nyumba, na kujaza zio zake kwa waliokufa. Endeleeni!” Hivyo wakaenda na kuushambulia mji.
8 Medole legesu da hamonanoba, nisu fawane lelu. Na da midadi odagi guduli, diasa: ili, ha: giwane wele sia: i, “Ouligisudafa Hina Gode! Di da Yelusaleme fi dunu ilima baligili ougiba: le, Di da Isala: ili dunu hame bogoi esalebe, amo huluanedafa medole legema: bela: ?”
Walipokuwa wakiushambulia, nikajikuta mwenyewe na nikaangukia kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?”
9 Gode da bu adole i, “Isala: ili fi dunu amola Yuda fi dunu ilia da wadela: i hou baligilidafa hamoi. Ilia Isala: ili soge huluane amo ganodini, medole legesu hou bagade hamosu. Amola Yelusaleme amo ganodini wadela: i hou bagade heda: i. Ilia da ogogole agoane sia: sa, ‘Hina Gode da ninia soge fisi dagoi, amola E da ninia hou hame ba: sa.’
Akanambia, “Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda unaongezeka sana. Nchi imejaa damu na mji umejaa upotovu, tangu waliposema, 'Yahwe ameisahau nchi; na Yahwe haoni!'
10 Be Na da ilima hame asigimu. Ilia da eno dunuma hamoi, amo defele Na da ilima dabe imunu.”
Hivyo kisha, macho yangu hataangalia kwa huruma, na sintoacha kuwaharibu. Badala yake nitaileta juu ya vichwa vyao.”
11 Amalalu, ahea: iai abula ga: i dunu da Hina Godema buhagili, amane olelei, “Na da Dia sia: i didili hamoi dagoi.”
Tazama! yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani aliyekuwa na kifaa cha uandishi kwa uapende wa ubavuni mwake. Alitoa taarifa na kusema, “Nimemaliza yale yote uliyoniamuru.”

< Isigiele 9 >