< Isigiele 9 >

1 Na da Gode Ea Isala: ili ha lai dunuma wele sia: be nabi, amane, “Yelusalemema se dabe imunu dunu! Dilia goeguda: misa! Dilia gegesu liligi amo gaguli misa.”
Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”
2 Amo galuwane, dunu gafeale gala da Debolo diasu logo ga: i gadi (north) amo gadili misi. Ilia defegagale gegesu liligi gaguli misi. Amo iliga afae da dunu abula ahea: iai ga: ne, dedesu liligi gaguli manebe ba: i. Ilia huluane misini, balase oloda amo bega: dadafulili lelefulu.
Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.
3 Isala: ili Gode Ea nenemegi hadigi da esalebe liligi ougia galebe, amo da: iya dialebe ba: i. Gode Ea hadigi da amoga heda: le, Debolo logo holeiga aligila asi. Hina Gode da abula ahea: iai ga: i dunu ilima amane wele sia: i,
Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo Bwana akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,
4 “Yelusalemedi golili asili, nowa dunu da moilai amo ganodini wadela: i hou hamonanebe amo ba: beba: le da: i dioi galea, amo ea odagigia, ilegele dedema.”
akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”
5 Amalalu, Gode da dunu eno ilima sia: be na nabi, “Amo dunu moilaidi ahoanebe ilima fa: no bobogema. Dunu huluane medole legema. Mae asigili, huluanedafa medole legema.
Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.
6 Dunu da: i, amola ayeligi amola uda a: fini amola ame amola mano huluanedafa, medole legema. Be nowa da ea odagigia ilegele dedei galea, amo mae medole legema. Na Debolo diasua muni medole legema!” Amaiba: le, ilia da Yelusaleme ouligisu dunu Debolo diasua lelefulu, amo hidadea medole lelegei.
Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.
7 Gode da ilima amane sia: i, “Debolo diasu amo ledo fima: ne hamoma. Bogoi da: i hodo bagohame ea gagoi ganodini afagogoma. Hawa: hamoma!” Amaiba: le, moilai amo ganodini, ilia da muni dunu medole lelegelalu.
Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.
8 Medole legesu da hamonanoba, nisu fawane lelu. Na da midadi odagi guduli, diasa: ili, ha: giwane wele sia: i, “Ouligisudafa Hina Gode! Di da Yelusaleme fi dunu ilima baligili ougiba: le, Di da Isala: ili dunu hame bogoi esalebe, amo huluanedafa medole legema: bela: ?”
Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”
9 Gode da bu adole i, “Isala: ili fi dunu amola Yuda fi dunu ilia da wadela: i hou baligilidafa hamoi. Ilia Isala: ili soge huluane amo ganodini, medole legesu hou bagade hamosu. Amola Yelusaleme amo ganodini wadela: i hou bagade heda: i. Ilia da ogogole agoane sia: sa, ‘Hina Gode da ninia soge fisi dagoi, amola E da ninia hou hame ba: sa.’
Bwana akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘Bwana ameiacha nchi, Bwana hauoni.’
10 Be Na da ilima hame asigimu. Ilia da eno dunuma hamoi, amo defele Na da ilima dabe imunu.”
Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”
11 Amalalu, ahea: iai abula ga: i dunu da Hina Godema buhagili, amane olelei, “Na da Dia sia: i didili hamoi dagoi.”
Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”

< Isigiele 9 >