< Isigiele 8 >
1 Eso bi, amola oubi gafe amo ninia mugululi misi ode gafe amoga, Yuda mugululi misi ouligisu dunu da nana gilisili, na diasu ganodini esalu. Hedolodafa, Ouligisudafa Hina Gode Ea gasa da nama doaga: i.
Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa Bwana Mwenyezi ulikuja juu yangu.
2 Na da ba: le gadole ba: loba, dunu lalu agoane hamoi ba: i. Ea bulu ga: suanini guduli da lalu agoane ba: i. Be ea bulu ga: suanini gadole, e da balase ela: mei agoai ba: i.
Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto.
3 Ea lobo agoai amoga molole gale, na dialuma hinaboga gaguli, dialuma hiougia guda: i. Amalu, na esala ba: la: lusu amo ganodini, Gode ea A: silibu da na fo da: iya gado oule heda: le, Yelusalemema oule asi. E da na oule, Debolo diasu logo ga: i ga (north) amodi, ganodini logo ga: su amoga oule heda: i. Amogai da ogogole loboga hamoi ‘gode’ amo dunu hulu dawa: digi amo dialu. Gode da amo liligi bagade higa: i.
Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu.
4 Amogawi, na ba: loba, nenemegi hadigi (amo da Isala: ili Gode da esalebe olelesa), amo na da musa: Giba Hano bega: ba: i, na da bu ba: i dagoi.
Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.
5 Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Ga (north) amoma ba: ma.” Na ba: le galoba, amola oloda amo logo holei gadenene, amo dafulili dialebe ogogosu ‘gode’ amo Gode da bagade higasu, amo lelebe ba: i.
Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.
6 Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Amo hou doaga: be di da ba: bela: ? Isala: ili dunu ilia baligili wadela: i hou hamosa ba: ma. Amo hou da Na hadigi sogebi amoga Na sefasisa. Be di da eno baligiliwane gogosiama: ne wadela: i hou ba: mu.”
Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”
7 E da na oule asili, Debolo diasu gadili gagoi ea logo holei amoga oule asili, gagoi ganodini gelabo olelei.
Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.
8 E da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Dobea fei guidili, gelabo agene masa.” Na da gelabo doasanawene, golili asili, logo holei ba: i.
Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.
9 Gode da nama amane sia: i, “Golili sa: ili, ilia wadela: i hou bagadedafa hamonanebe, amo ba: ma.”
Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”
10 Amaiba: le, na da golili sa: ili, ba: i. Dobea damana da sania amola eno ledo galebe ohe liligi adoba: le dedei, amoma Isala: ili dunu da giadofale nodone sia: ne gadolalebe ba: i.
Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli.
11 Isala: ili ouligisu dunu 70 amo ganodini esalebe ba: i. Afae da Ya: ia: sanaia (Sia: ifa: ne egefe). Huluane afae afae da gabusiga: manoma gobele salasu hanu gaguli lelu. Amola amoga mobi heda: lebe ba: i.
Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.
12 Gode da nama amane adole ba: i, “Dunu egefe! Di Isala: ili ouligisu dunu ilia wamo hamobe hou ba: sala: ? Ilia huluane da sesei amo da loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi amoga nabai dagoi, amo ganodini nodone sia: ne gadolala. Ilia da agoane dedebole sia: sa, ‘Hina Gode da nini hame ba: sa. E da ninia sogega fisiagai dagoi.”
Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘Bwana hatuoni, Bwana ameiacha nchi.’”
13 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i, “Di da eno baligiwane gogosiama: ne wadela: i hou ilia hamobe, amo ba: mu.”
Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”
14 Amalalu, E da na ga (north) Debolo logo holei amoga oule asili, uda amo ilia da ogogosu ‘gode’ Da: mase bogoiba: le, dinanebe ba: i.
Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.
15 Gode da nama adole ba: i, “Dunu egefe! Di da amo hou ba: sala: ? Di da eno baligiliwane gogosiama: ne wadela: i hou ilia hamobe, amo ba: mu.”
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
16 Amaiba: le, E da na Debolo ganodini gagoi amoga oule asi. Amogawi, Debolo logo holei gadenene, oloda amola logo amo dogoa da dunu 25 agoane lelebe ba: i. Ilia da Gode Ea Debolo diasu baligifa: le, eso mabe amoga ba: le gusuli, esoma nodone sia: ne gadolalebe ba: i.
Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya Bwana, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la Bwana na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.
17 Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Amo dia ba: sala: ? Yuda fi dunu da wadela: i hou di da waha ba: i, amola bidi hamosu bagadedafa ilia soge ganodini hamonanebe. Be ilia hanai da hame gumiba: le, ilia da amo wadela: i hou Na Debolo diasu ganodini hamonanebe. Amaiba: le, Na da baligiliwane mi hanasa. Ba: ma! Ilia da Nama bagadewane lasogosa.
Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka!
18 Ilia da Na gasa bagade ougi hou nabimu. Na da ilima mae asigili se dabe imunu. Ilia da Nama ha: giwane sia: ne gadomu, be Na da ilia sia: hame nabimu.
Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”