< Isigiele 6 >
1 Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia kusema,
2 “Dunu egefe! Isala: ili fi goumidi ba: legusuma. Amalu, Na sia: i amo ilima sia: ma.
“Mwanadamu, elekeza uso wako kukabili milima ya Israeli, utabiri dhidi yake
3 Di amane sia: ma, ‘Isala: ili goumi! Dilia Ouligisudafa Hina Gode Ea Sia: nabima! E da goumi, amola agolo, amola fago, amola adobo, amoma amane sia: sa. Na da gegesu bagade, sogebi amoga dunu ilia da loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosa, amo sogebi wadela: lesima: ne asunasimu.
na useme: ‘Ee milima ya Israeli, sikia neno la Bwana Mwenyezi. Hili ndilo Bwana Mwenyezi aliambiayo milima na vilima, magenge na mabonde: Ninakaribia kuleta upanga dhidi yenu, nami nitapaharibu mahali penu pote pa juu pa kuabudia miungu.
4 Gegena mabe dunu da wadela: i oloda, amola gabusiga: manoma gobesu oloda amo huluane mugululi fasimu. Ilia da dunu huluane goega esalebe, amo ilia ogogole ‘gode’ ilia midadini amo dunu fane legemu.
Madhabahu yenu yatabomolewa na madhabahu yenu ya kufukizia uvumba yatavunjavunjwa, nami nitawachinja watu wenu mbele ya sanamu zenu.
5 Na da Isala: ili dunu ilia bogoi da: i hodo amo afagogomu. Ilia gasa Na da gobele salasu oloda sisiga: le afagogolesimu.
Nitazilaza maiti za Waisraeli mbele ya sanamu zao, nami nitatawanya mifupa yenu kuzunguka madhabahu yenu.
6 Isala: ili moilai huluane da gugunufinisi dagoi ba: mu. Ilia ogogosu ‘gode’ amola wadela: i oloda amola gabusiga: gobele salasu oloda da gagoudai dagoi ba: mu. Ilia loboga hamoi liligi da mugululi hamedafa ba: mu.
Popote mnapoishi, miji hiyo itafanywa ukiwa na mahali pa juu pa kuabudia miungu patabomolewa, ili madhabahu yenu ifanywe ukiwa na kuharibiwa, sanamu zenu zitavunjavunjwa na kuharibiwa, madhabahu yenu ya kufukizia uvumba yatabomolewa na kila mlichokifanya kitakatiliwa mbali.
7 Dunu bagohame bogogia: lasi ba: mu. Amola nowa da mae bogole esalea, ilia da Na da Hina Gode dafawaneyale dawa: le sia: mu.
Watu wenu watachinjwa katikati yenu, nanyi mtatambua Mimi ndimi Bwana.
8 Na da oda enoga mae medole legema: ne, gaga: le, fifi asi gala eno ganodini afagogolesimu.
“‘Lakini nitawabakiza hai baadhi yenu, kwa kuwa baadhi yenu watanusurika kuuawa watakapokuwa wametawanyika katika nchi na mataifa.
9 Amo ganodini ilia mugululi misi esalumu. Amogawi ilia da Na bu dawa: mu, amola Na da ilima se iasu amola ilima gogosiama: ne se iasu, amo ilia da bu dawa: mu. Bai ilia da Nama mae dawa: le, hohonone, loboga hamoi ‘gode’ ilima dafawaneyale dawa: su. Amola ilia wadela: i hou hamoi amola hohonoi hou bu dawa: beba: le, ilia da gogosiane, ilila: hou bagade higamu.
Ndipo katika mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka, wale ambao watanusurika watanikumbuka, jinsi ambavyo nimehuzunishwa na mioyo yao ya uzinzi, ambayo imegeukia mbali nami na macho yao ambayo yametamani sanamu zao. Watajichukia wenyewe kwa ajili ya uovu walioutenda na kwa ajili ya desturi zao za kuchukiza.
10 Na da Hina Gode! Amo ilia da dawa: mu. Amola Na sisasu da udigili hame, be dafawane fofada: ma: ne sisasu, amo ilia da dawa: mu.
Nao watajua kuwa Mimi ndimi Bwana, sikuwaonya bure kuwa nitaleta maafa hayo yote juu yao.
11 Ouligisu Hina Gode da nama amane sia: i, “Disa lobo fama! Emo gogosa: lima! Asigili dima! Bai Isala: ili dunu da wadela: i hou baligili hamoi dagoi. Ilia da gegesuga, amola ha: ga, amola ologa bogogia: mu.
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Piga makofi, kanyaga chini kwa mguu na upige kelele, “Ole!” kwa sababu ya maovu yote na machukizo yote yanayofanywa na nyumba ya Israeli, kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa na tauni.
12 Badilia fi da olole bogogia: mu. Gadenene fi da gegenana, bogogia: mu. Nowa da mae bogole esalebe, amo da ha: ga geloga: le bogogia: mu. Ilia da Na gasa bagade ougi ba: mu.
Yeye aliye mbali sana atakufa kwa tauni, naye aliye karibu atauawa kwa upanga, naye yule atakayenusurika na kubaki atakufa kwa njaa. Hivyo ndivyo nitakavyotimiza ghadhabu yangu dhidi yao.
13 Bogoi da: i hodo da loboga hamoi ‘gode’ ilia ligisisu ganodini afagogole ligisi ba: mu. Ilia da agolo sedade ba: le amola goumi da: iba: le amola mola: iya: i ifa huluane hagudu amola “ouge” ifa hagudu amola ogogole ‘gode’ ilima gobele salasu sogebi amoga ilia bogoi da: i hodo da afagogoi dialebe ba: mu. Amasea, dunu huluane ilia da Na da Hina Godedafa, amo ilia da dawa: mu.
Nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana, wakati maiti za watu wao zitakapokuwa zimelala katikati ya sanamu zao kuzunguka madhabahu yao, juu ya kila kilima kilichoinuka na juu ya vilele vyote vya milima, chini ya kila mti uliotanda na kila mwaloni wenye majani, yaani, sehemu walizofukizia uvumba kwa sanamu zao zote.
14 Ma! Na da Na lobo molole gale, ilia soge huluane wadela: lesimu. Soge huluane amo ganodini Isala: ili fi da esalebe ba: sea, Na da wadela: lesimu. Na da soge huluane amo ga (south) hafoga: i soge asili Libala moilai bai bagade ga (north) amoga doaga: le, dogo amo huluane wadela: lesimu. Amasea, dunu huluane ilia da Na da Hina Godedafa, amo ilia da dawa: mu.”
Nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yao na kuifanya nchi yao ukiwa, kuanzia jangwani hadi Dibla, kila mahali wanapoishi. Ndipo watakapojua ya kwamba Mimi ndimi Bwana.’”