< Isigiele 5 >
1 Hina Gode da amane sia: i, “Dunu egefe! Gegesu gobihei sedade mei lale, dia mayabo amola dialuma hinabo huluane gesema. Amasea hinabo da dioi ba: su da: iya defelalu udiana mogima.
“Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo.
2 Doagala: su da dagosea, dia dialuma hinabo udiana momogi, amo mogi afae moilai bai bagade ganodini gobele salima. Mogi eno lale, di da moilai gadili sisiga: le ahoasea, dia gobiheiga dadamuni salima. Eno osoda mogi dialebe, fo madi heda: su gufunane fisima. Amasea, Na da Na gegesu gobihei gaguli, amo sefasimu.
Wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji. Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa.
3 Dialuma hinabo afae afae lale, dia abula fega bione gadoba: le legema.
Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako.
4 Gadoba: i amoga mogili lale, laluma ha: digili, gobele salima. Amo laluga, lalu da nene asili, Isala: ili fi huluane ilima doaga: mu.”
Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.
5 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Yelusaleme goe ba: ma! Na da Yelusaleme fi osobo bagade dogoadafa amoga ligisi. Amola fifi asi gala eno huluane e sisiga: le ligisi.
“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Huu ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote.
6 Be Yelusaleme (Isala: ili fi) da Na sia: higale, odoga: le hamoi dagoi. Ea wadela: i hou amola ea hame nabasu hou da eno fifi asi gala ilia wadela: i hou baligi dagoi. Yelusaleme fi da Na malei amo higa: i, amola Na sema amoma hame fa: no bobogei.
Lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka. Umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu.
7 Be wali dilia Yelusaleme fi dunu, Na (Ouligisudafa Hina Gode) Na sia: nabima! Dilia da Na malei sema amola hame nababeba: le, dilia bidi hamosu da eno fifi asi gala, dili sisiga: le amo ilia bidi hamosu baligi dagoi. Dilia da eno osobo bagade fi ilia wadela: i hou amoma fa: no bobogei dagoi.
“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka.
8 Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da dilima amane sia: sa, ‘Na da wali dilia ha lai dunu esala. Na da fifi asi gala huluane ba: ma: ne, dilima se dabe ima: ne fofada: mu.
“Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa.
9 Dilia da baligili agoane hou (amo Na bagade higa: i) amo hamonanebeba: le, Na da Yelusaleme fi ilima se dabe baligili imunu. Amo se imunu da musa: se iasu bagade baligimu, amola agoaiwane se iasu bu hame ba: mu.
Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena.
10 Se iabeba: le, ada amola ame ilia da ilila: mano fane manu, amola mano da ilia ada amola ame fane manu. Na da dilima se imunu amola nowa da hame bogoi esala amo Na da la: di la: di huluane amoga afagogomu.
Kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia.
11 Na da esalebe Godedafa! Amo sia: da Ouligisudafa Hina Gode Ea Sia: ! Dilia da wadela: idafa gogosiasu hou baligili hamobeba: le, Na Debolo diasu wadela: lesi dagoi. Amaiba: le, Na da dilima mae asigili, hedofamu.
Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu.
12 Dilia fi dunu mogi udiana amoga afae da oloiba: le amola ha: iba: le, moilai bai bagade ganodini bogogia: mu. Mogi udiana amoga eno afae da moilai bai bagade gadili gegesu gobiheiga hedofale, medole legei dagoi ba: mu. Amola mogi udiana eno mae bogole esalebe, amo Na da foga mini masa: ne amola afagogoma: ne, gegesu gobihei gaguli sefasimu.
Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa.
13 Dilia da Na gasa bagade se ima: ne ougi hou nabalumu. Na mi hanai amo gumiba: le fawane yolemu. Dilia da amo hou huluane ba: sea, Na, Hina Gode, da dilima sia: i dagoi, amo dilia da dafawaneyale dawa: mu. Bai dilia da hohonobeba: le, Na da bagadewane mi hanane fofogadigisa.
“Ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi Bwana nimenena katika wivu wangu.
14 Fifi asi gala dunu huluane da dili esalea bobaligisia, ilia da dilima ba: sola: le masunu, amola dilima hame gadenena misunu.
“Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka, machoni pa watu wote wapitao karibu nawe.
15 Na da dilima ougili se iasea, fifi asi gala dili sisiga: i amo huluane da bagade beda: mu. Ilia dili ba: le, higale ba: sola: le, oufesega: mu.
Utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali. Mimi Bwana nimesema.
16 Na dilia ha: i manu logo hedofale, dilia da ha: beba: le bogomu. Dilia da ha: beba: le se bagade, souga gala: iga se nababe defele ba: mu.
Nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako.
17 Na da dili ha: ma: ne ha: i manu logo hedofamu. Na da dilia mano fuga: ma: ne, sigua ohe asunasimu. Na da olo amola mi hanane fane legesu amola gegesudafa amoga dili medole legema: ne asunasimu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
Nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga juu yenu. Mimi Bwana nimenena haya.”