< Isigiele 48 >

1 Ga (north) alalo fifi da Mededela: inia wayabo amoga gusudili heda: le, Hedelone moilai bai bagade, amola Ha: ima: de Adobo Gigadofa Ahoasu baligili, Ha: isalina: ne moilai bai bagade amola Dama: sagase soge amola Ha: ima: de soge afafasu alalo fifi amoga doaga: sa. Fi afae afae huluane da soge alalo fi dogoa fi afadafa lamu. Amo soge fifilisi afae afae da gusu alalo fifi amoga muni, gududili asili, Mededela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: mu. Da: ne fi da gadafa (north) soge fifilisi lamu. Amo ga (south) asili, fi eno da dogoa alalo fi afae afae agoane lamu: - Da: ne A: sie Na: fadalai Ma: na: se Ifala: ime Liubene Yuda
Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
2
Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
3
Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
4
Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
5
Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
6
Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
7
Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
8 Dilia soge dogoa alalo fi eno hou hisu hamoma: ne, modale ligiagama. Ea ba: de defei ga (north) asili ga (south) doaga: le da 16 gilomida amola ea seda defei amo da soge fifilisi fi dunu afae afae amoma i ea seda defele ba: i. Amo fi soge fifilisi sogebi ea modoga Debolo Diasu gagui dialebe ba: mu.
Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
9 Amo fi soge fifilisi ea modoga, sogebi Hina Godema modale ligiagamusa: ilegema. Amo ea seda defei da 16 gilomida amola ea ba: de da 12 gilomida ba: mu.
Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
10 Amo modale ligiagai sogebi la: idi amo gobele salasu dunu da lamu. Amo sogebi ea defei da gusudili asili gududili doaga: sa amo 16 gilomida ba: mu amola ga (north) asili ga (south) amo defei da 6 gilomida ba: mu. Amo fi soge fifilisi sogebi ea modoga Debolo Diasu gagui dialebe ba: mu.
Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
11 Amo sogebi da Hadigi hamoi ba: mu. Amola gobele salasu dunu amo Sa: idoge egaga fi fawane da amoga esalumu. Bai Lifai fi dunu eno da Isala: ili fi dunu ilima gilisili wadela: le hamonoba, Sa: idoge egaga fi da ilima hame gilisi.
Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
12 Amaiba: le, ilia da soge fifilisi sogebi hisu agoane, Lifai fi ili sogebi dafulili lale, amo da baligili Hadigi sogebi ba: mu.
Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
13 Lifai dunu amola da fifilisi sogebi gobele salasu ilia sogebi amoga ga (south) lamu. Amo sogebi ea defei da gobele salasu sogebi ea defei defele ba: mu.
Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
14 Be soge fifilisi sogebi amo Hina Godema modale ligiagai, amo da sogebi bisidafa ba: mu. Amo fifili enoga bidilamu o enoma imunu da sema bagade. Bai amo sogebi da Hadigi amola Hina Gode Ea:
Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
15 Amo sogebi hame fifili i, diala, da hadigi soge agoai hame ba: mu. Ea seda defei da 16 gilomida amola ea ba: de defei da 3 gilomida. Amoga, Isala: ili dunudafa da udigili fili, soge huluane bugili manu. Yelusaleme moilai bai bagade da amo sogebi dogoa gagui dialebe ba: mu.
Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
16 Moilai da la: idi la: idi defele ononone disi, ea la: idi la: idi defei afae afae da 2,250 mida agoane ba: mu.
Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
17 Moilai huluane sisiga: le, la: idi la: idi da dibifufu amo ea ba: de defei da 125 mida.
Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
18 Moilai da hadigi sogebi amoga ga (south) diala amo da gagui dagosea, soge eno (ea defei da gusudili sogebi - seda 6 gilomida amola ba: de 3 gilomida amola gududili sogebi - seda 6 gilomida amola ba: de 3 gilomida) amo da Isala: ili dunu ilia ha: i manu bugisu ba: mu.
Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
19 Nowa dunu da moilai bai bagade ganodini esalebe ba: sea (fi huluane defele ba: mu), e da amo sogega ha: i manu bugimu da defea.
Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
20 Amaiba: le, amo soge fifi ononone disi ea defeidafa da la: idi la: idi amo defele 16 gilomida defei fawane ba: mu. Amola amo ganodini da moilai bai bagade gagui dialebe ba: mu.
Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
21 Amo modale ligiagai sogega (amo ganodini da Debolo amola gobele salasu sogebi amola Lifai dunu ilia soge) gusudili amola gududili hame lai soge diala da ouligisu hina dunu ea soge ba: mu. Amo soge da gusudili amonini asili gusu alalo fifi amoga doaga: le, amola gududili asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: sa. Amo soge ea ga (north) alalo fifi baligisia, Yuda soge da ba: mu amola ea ga (south) alalo fifi baligisia da Bediamini ea soge ba: mu.
Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
23 Modale ligiagai sogebi ga (south) amodili Isala: ili fi musa: soge hame lai, amo da soge fifilisi fifi soge lamu. Amo soge fifilisi afae afae da gusu alalo fifi amoga muni gududili asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: mu. Bediamini fi da gadafa (north) soge fifilisi lamu. Amo ga (south) asili, fi eno da agoane lamu: - Simiane Isaga Sebiulane Ga: de
Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
28 Ga: de soge fifilisi fi lai amo ea ga (south) la: idi, alalo fifi da Da: ima amoga ga (south) amola gududili amola asili, hafoga: i sogega Ga: idese baligili, amasea, delegili ga (north) amola gududili, Idibidi soge ea alalo fifi amoga asili, Medidela: inia Hano Waiyabo Bagadega doaga: sa.
Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
29 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Dilia Isala: ili dunu ilia soge lale fima: ne, agoane fifili sagoma.”
Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
30 Yelusalemega golili sa: ima: ne, gagili dasu fagoyale gala. Ea gagoi biyaduyale gala afae afae ea seda defei da 2,250 mida. Gagoi afae afae ganodini, logo holei ga: su udiana dialebe ba: sa. Ilia dio afae afae da Isala: ili fi ilia dio afae afae asuli. Logo holei ga: su amo ga (north) gagoi ganodini dialebe, ilia dio da Liubene amola Yuda amola Lifai. Logo holei ga: su amo gusu gagoi ganodini dialebe ilia dio da Yousefe amola Bediamini amola Da: ne. Logo holei ga: su amo ga (south) gagoi ganodini dialebe, ilia dio da Simiane amola Isaga amola Sebiulane. Logo holei ga: su amo guma: gagoi ganodini dialebe, ilia dio da Ga: de, amola A: sie amola Na: fadalai.
Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
35 Amo gagoi huluane gilisi ilia seda defei da 9 gilomida agoane. Wali amonini amo moilai bai bagade ea dio asuli da ‘Hina Gode da Goegami Esala.’ amo ba: mu. Sia: ama dagoi
Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”

< Isigiele 48 >