< Isigiele 41 >
1 Amalalu, amo dunu da sesei dogoa dialebe, ea dio da Hadigi Malei Sesei, amoga oule golili sa: i. E da amoga ahoasu logo defele, ea seda defei da 3 mida,
Kisha yule mtu akanileta mahali patakatifu pa hekalu na mihimili-dhiraa sita upana pande zote.
2 amola ea ba: de da 5 mida defei. Ea dobea gadugagi defei da 2 1/2 mida. E da Hadigi Malei Sesei amola defei. Ea seda defei da 20 mida ba: i amola ea ba: de defei da 10 mida ba: i.
Upana wa maingilio ulikuwa dhiraa kumi; ukuta kila upande dhiraa tano urefu kila upande. Kisha yule mtu akapima ukubwa wa mahali patakatifu-dhiraa arobaini upana urefu na dhiraa ishirini upana.
3 Amalalu ea da fa: nogadafa hagano sesei, amoga asi. E da amoga ahoasu logo defei. Ea seda defei da 1 mida ba: i, amola ea ba: de da3 mida ba: i. Amola amo ahoasu la: idi la: idi da dobea ilia gadugagi 3 1/2 mida ba: i.
Kisha yule mtu akaenda hata mahali patakatifu sana na kuipima miimili ya matokeo-dhiraa mbili-kuta pande zote zilikuwa dhiraa saba upana.
4 E da amo sesei defei. Ea la: dila la: dilale huluane defei da 10 mida fawane. Amo sesei da dogoa sesei baligili, asili fa: nogadafa ba: i. E nama amane sia: i, “Amo sesei da Hadigidafa Momei Sesei.”
Kisha akapima urefu wa vyumba-dhiraa ishirini. Upana wake-dhiraa ishirini hata mbele kwenye ukumbi wa hekalu. Kisha akanambia, “Hapa ndipo mahali patakatifu sana.”
5 Amo dunu da Debolo Diasu ganodini dobea ilia ba: de defele, ilia defei da 3 mida ba: i. Amo dobea danoma: ne, sesei fonobahadi 30 agoane ilia ba: de defei da 2 mida, amoga gagui dialebe ba: i.
Kisha yule akapima kuta za nyumba-zilikuwa dhiraa sita unene. Upana wa kila upande wa chumba kuzunguka nyumba dhiraa nne upana.
6 Amo sesei da gagagula heda: le, udiana agoane ba: i. Amola fifisa heda: i afae afae amoga sesei 30 agoane ba: i. Debolo dobea gududili da ba: de amola gadodili heda: le, bu fonoboi ba: i. Amaiba: le, amo sesei fifisa heda: i da afae afae Debolo dobea da: iya gagui.
Kulikuwa na pande tatu za vyumba, chumba kimoja juu ya kingine, vyumba thelathini, kulikuwa na kibao kitokezacho ukutani kuzunguka ukuta wa nyumba, kusaidia pande zote za vyumba, kwa kuwa hapakuwa na msaada uliokuwa umewekwa kwenye ukuta wa nyumba.
7 Agoane hamobeba: le, Debolo dobea fei da gadodili ba: loba, ea ba: de da bai ea ba: de amo defele ba: i. Dobea gadili danoma: ne, fa: gu dili sali ba: i, sesei gagagula heda: i amoga heda: ma: ne.
Hivyo mbavu za nyumba zilipanuka na kuzunguka kwenda juu, kwa kuwa nyumba ilizunguka kwenda juu, na ngazi kuelekea juu hata sehemu ya juu, kupitia sehemu ya katikati.
8 Amo sesei gadili dobea ea defei da 2 1/2 mida ba: i. Amo sesei Debolo ea ga (north) la: idi gagui amoga golili sa: ima: ne logo afae da ba: i. Amola sesei Debolo ea ga (south) la: idi gagui amoga golili sa: ima: ne, logo eno dialebe ba: i. Debolo Diasu hamega gadili, osobo hamone sisiga: le bi agoane gagui ba: i. Ea ba: de da 2 1/2 mida. Amo bi da 3 mida defei agoane gagagula heda: i. Amo bi gadili hamega amonini da gobele salasu ilia diasuga asili, ea ba: de da 10 mida ahoasu agoane, Debolo la: ididili, dialebe ba: i.
Kisha nikaona sehemu iliyoinuka kuzunguka nyumba, msingi kwa ajili ya pande za vyumba; ikapimwa fimbo nzima urefu-dhiraa sita.
Upana wa ukuta wa vyumba vya pembeni kwa upande wa nje ulikuwa dhiraa tano. Kulikuwa na sehemu ya wazi kwa upande wa nje wa hivi vyumba katika patakatifu.
Kwa upande mwingine wa hii sehemu ya wazi kulikuwa na vyumba vya makuhani upande wa nje; hii sehemu ilikuwa na dhiraa ishirini upana kupazunguka patakatifu.
Kulikuwa na milango kwenye vyumba vya pembeni kutoka sehemu ya wazi nyingine-njia ya mlango moja uliokuwa upande wa kaskazini, na mwingine upande wa kusini. Upana wa hili eneo la wazi ulikuwa na dhiraa tano kupazunguka.
12 Amo ahoasu bidiga gadili, Debolo ea guma: dini la: idi, diasu eno gagui dialebe ba: i. Ea defei seda da 45 mida amola ba: de da 35 mida. Ea dobea huluane ilia gadugagi defei da 2 1/2 mida.
Lile jengo lililokuwa limeelekea kwenye ua upande wa magaribi dhiraa sabini upana. Ukuta wake ulipimwa dhiraa tano pande zote, na ilikuwa dhiraa tisini urefu.
13 Amo dunu da Debolo gadili defei. Debolo ea seda defei da 50 mida ba: i. Debolo ea baligi amonini asili diasu guma: dini gagui amoga doaga: le, amo defei da 50 mida amola ba: i.
Kisha yule mtu akapapima patakatifu-dhiraa mia moja urefu. jengo lililokuwa limetengeka, kuta zake, na kwenye ua pia palipimwa dhiraa mia moja urefu.
14 Debolo ea midadini amola hamega la: idi la: idili, ea defei gilisili amola da 50 mida.
Upana wa mbele kwenye ua mbele ya patakatifu pia kulikuwa dhiraa mia moja.
15 E da diasu guma: dini gagui amola ea henesu logo la: idi la: idi diala, amo ea seda gilisili defele, ea defei da 50 mida ba: i. Debolo Diasu ea logo holei sesei amola Hadigi Malei Sesei amola Hadigidafa Momei Sesei,
Kisha yule mtu akapima urefu wa jengo karibu na patakatifu, kwa upande wake wa magharibi, na juu ya baraza pande zote-dhiraa mia moja. Mahali patakatifu na varanda,
16 amo huluane da hada: i fa: i amonini fo logo holei ea baiga asili, ifa gaga: i amoga gaga: i ba: i. Ilia da fo misa: ne agenesi uligimusa: dawa: i.
kuta za ndani na madirisha, pamoja na madirisha madogo, na baraza za pande zote kwenye pande tatu, zilikuwa zimefungwa kwa mbao.
17 Debolo Diasu ganodini dobea, da hada: i fa: i amonini, logo ga: su gadodili doaga: le, da gumudi agoane amola esalebe liligi ougia gala amo adoba: le ifaga osole dedei. Agoane dedei, gumudi osole dedei, fa: no da esalebe liligi eno baligia mogodigili, sesei sisiga: le disi ba: i. Esalebe liligi afae afae da odagi aduna aduna ba: i. Afae da dunu ea odagi amo da gumudi la: di afaega ba: lebe ba: i. Afae eno da laione wa: me odagi, amo da la: ididili gumudi eno dialebe, amoma ba: lebe ba: i. Amo da sesei dobea amoi amane musa: sisiga: le disi ba: i. Hadigi Malei Sesei logo holei mosomo ifa da fi dadafui hamoi ba: i. Hadigidafa Momei Sesei amo ea logo holei midadi da liligi amo da oloda ifaga hamoi defele ba: i.
Juu ya lango la kuingilia hata patakatifu pa ndani na kuwekwa karibu na kuta kulikuwa na pazia lililokuwa limepimwa.
Palikuwa pamepambwa na makerubi mitende; pamoja na mitende kati ya kerubi na kerubi, na kila kerubi lilikuwa na nyuso mbili:
uso wa mtu aliyekuwa ameelekea mtende mmoja, na uso wa mwana simba ulitazama kuelekea mtende kwa upande mwingine. Vilifunikwa kuzunguka malango ya kuingia yote ya nyumba.
Kutoka chini hata juu kwenye njia ya mlango, makerubi na mtende vilifunikwa na ukuta wa nje ya nyumba.
Mihimili ya lango la mahali patakatifu lilikuwa mraba. Umbo lao lilikuwa kama umbo la
22 Amo ea gadole seda da 1 1/2 mida amola ea ba: de da 1 mida ba: i. Ea hegomai bugi amola ea bai amola ea duni sasagai da ifaga hamoi. Amo dunu da nama amane sia: i, “Amo da fafai amo da Hina Gode Ea midadi lela.”
kwanza madhabahu ya mbao mbele ya mahali patakatifu, ambapo kulikuwa na dhiraa tatu kwenda juu na dhiraa urefu kwa kila upande. Pembe zake mihimili, kitako, na kiunzi kilitengenezwa kwa mbao. Kisha yule mtu akanambia, “Hii ni meza ambayo itakuwa kwa ajili ya Yahwe.”
23 Logo ahoasu amo da Hadigi Malei Sesei amoga ahoasu ea dibiga logo ga: su ba: i. Amola logo ahoasu amo da Hadigidafa Momei Sesei amoga ahoasu, ea dibiga logo ga: su eno ba: i.
Kulikuwa na milango miwili kwa ajili ya mahali patakatifu na mahali patakatifu sana.
24 Ela da logo aduna mogoadi logo ga: su agoane ba: i.
Hii milango ilikuwa na bawaba mbili kila mlango paneli, paneli mbili kwa ajili ya mlango mmoja na paneli mbili kwa ajili ya mwingine.
25 Gumudi agoane amola esalebe liligi ougia gala amo dobea damana osole dedei amo defele da Hadigi Malei Sesei logo ga: suga osole dedei ba: i. Amola logo holei sesei amo ea logo holeiga gadili, ifa dedebosu dialebe ba: i.
Ilifunikwa-juu ya milango ya mahali patakatifu ambapo makerubi na mti wa mtende kama kuta ilipambwa, kulikuwa na paa ya mbao juu ya varanda kwa mbele.
26 Amo sesei dobea ganodini da fo misa: ne agenesisi dialebe ba: i, amola amo dobea damana nina: hamoma: ne, gumudi agoane da osole dedei ba: i.
Kulikuwa na madidsha madogo miti ya mitende kwenye varanda pande zote. Hivyo vilikuwa vyumba vya pembeni ya nyumba, na pia ilizielekea dari.