< Isigiele 34 >

1 Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Dunu egefe! Isala: ili sibi ouligisu dunu ilima mimogoa fofada: ma. Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: ilima adosima, ‘Dilia Isala: ili sibi ouligisu dunu! Dilia da wadela: lesi dagoi ba: mu. Dilia da dilila: hou noga: le ouligisa be sibi hamedafa ouligisa.
“Mwanadamu, tabiri juu ya wachungaji wa Israeli, tabiri na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wa wachungaji wa Israeli ambao hujitunza wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kutunza kundi la kondoo?
3 Dilia da sibi dodo maga: me naha. Dilia da ilia hinabo amoga abula hamoi ga: sa amola sibi noga: idafa medole naha. Be sibi hamedafa ouligisa.
Mnakula mafuta ya wanyama, mnavaa mavazi ya sufu na kuchinja kondoo walionona, lakini hamlitunzi kundi.
4 Dilia gasa hamedei sibi hame ouligisu. Dilia da oloi galea hame uhinisisu amola fofa: ginisi amo hame la: gisu, amola udigili ahoasu bu hame oule masu, amola sibi fisi amo hame hogoi helesu. Be amomane, dilia da sibi mi hanane sediginisisa ouligisu.
Hamkuwatia nguvu walio dhaifu wala hamkuwaganga wenye maradhi wala kuwafunga waliojeruhiwa. Hamkuwarudisha waliotangatanga wala kuwatafuta wale waliopotea. Badala yake mmewatawala kwa ukali na kwa ukatili.
5 Dilia sibi noga: le hame ouligibiba: le, ilia da afagogole, amola sigua ohega medole mai dagoi ba: i.
Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwepo mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama wa mwitu wote.
6 Amaiba: le, Na sibi da hisu agologa amola goumiba: le udigili doulasi. Ilia da osobo bagade da: iya afagogole asili, amola enoga ili hame hogole ba: i.
Kondoo wangu walitawanyika, wakatangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu. Kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wa dunia yote bila kuwa na yeyote wa kuwaulizia wala wa kuwatafuta.
7 Wali, sibi ouligisu dilia! Nabima! Na, Hina Gode, Na sia: be amo nabima.
“‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la Bwana:
8 Na, Dafawanedafa Fifi Ahoanusu Gode da Na Dioba: le, dilima nabima: ne sia: sa. Na sibi da ouligisu hameba: le, sigua ohega fane mai dagoi ba: i. Na sibi ouligisu dunu da Na sibi amo hame hogosu. Ilia da ilila: musu, ilia hou fawane ouligisu amola sibi gogolei.
Kwa hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, kwa sababu kondoo zangu wamekosa mchungaji na hivyo wametekwa nyara na kuwa chakula cha wanyama wote wa mwituni na kwa sababu wachungaji wangu, hawakuwatafuta kondoo zangu, bali wachungaji wamejitunza wenyewe, nao hawakuwalisha kondoo zangu,
9 Amaiba: le, dilia sibi ouligisu dunu, Na sia: nabima!
kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la Bwana:
10 Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na da dilia ha lai dunu sia: sa. Na da Na sibi diliga bu samogemu. Amola dilia ouligisu logo Na da hedofamu. Dilia da bu hamedafa Na sibi ouligimu. Amola dilila: musu ouligisu hou, amo Na da hedofamu. Dilia da agoane bu hamedafa hamomu. Na da Na sibi dili bu hame fane moma: ne, dilima fadegale, gaga: mu.”
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na wachungaji nami nitawadai kondoo zangu mikononi mwao. Nitawafukuza kutoka kwenye kuchunga kundi langu, ili wachungaji wasiendelee kujitunza wenyewe. Nitaokoa kondoo zangu kutoka kwenye vinywa vyao, nao kondoo hawatakuwa tena chakula chao.
11 “Na, Ouligisudafa Hina Gode, da dilima amane sia: sa, ‘Na Nisu fawane da Na sibi hogole ba: sea, noga: le ouligimu.
“‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta.
12 Sibi ouligisu da ea sibi amo afagogoi amo gilisili, bu oule ahoanu, noga: le ouligisa, amo defele Na da Na fi dunu huluane amo da gasi bidi hamosu esoga, sogebi huluane amoga afagogoi ba: i, amoga lale, bu oule misini, noga: le ouligimu.
Kama vile mchungaji atafutavyo kundi lake lililotawanyika wakati akiwa pamoja nalo, hivyo ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawaokoa kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyikia katika siku ya mawingu na giza nene.
13 Na da ga fi soge amoga ili fadegale, ili gilisili, ilia sogedafa amoga bu oule misunu. Na da Isala: ili goumi amola hano noga: i amoga oule misunu, amola gisi noga: i ili moma: ne olelemu.
Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mbalimbali, nami nitawaleta katika nchi yao wenyewe. Nitawalisha kwenye milima ya Israeli, katika mabonde na mahali pote panapokalika katika nchi.
14 Ilia da mae beda: iwane gaga: iwane, goumia amola fagoga amola umiga hahawane gisi moma: ne, Na da ili ouligimu.
Nitawachunga kwenye malisho mazuri na miinuko ya mlima wa Israeli patakuwa mahali pao pa malisho. Huko watajipumzisha kwa amani katika nchi ya malisho mazuri, nao watajilisha huko katika malisho tele katika milima ya Israeli.
15 Na, Nisu fawane da Na sibi ouligisu dunu esalumu. Amola, ilia helefima: ne, Na da soge hogole ba: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
Mimi mwenyewe nitawachunga kondoo zangu na kuwafanya wapumzike, asema Bwana Mwenyezi.
16 Na da sibi fisi amo hogole ba: mu. Na da udigili dadoulasi sibi bu oule misunu. Na da oloi galea sibi uhinisimu. Be sibi amo da sefena amola gasa bagade, amo Na da gugunufinisimu. Bai Na da moloidafa hamobe sibi ouligisu dunu esala.
Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.
17 Wali, Na sibi wa: i! Na, Ouligisudafa Hina Gode, da dilima Na hamomu olelemu. Na da dili afae afae amoma fofada: nanu dili afafamu. Noga: i mogili gamu, amola wadela: i na: iyado mogili gamu. Sibi da mogili gamu amola goudi da hisu na: iyado mogili gamu.
“‘Kwa habari yenu, enyi kundi langu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo dume na mbuzi.
18 Dilia mogili da gisi noga: idafa nabeba: le, hame sadisa. Be gisi noga: i amo dilia hame mai gala, amo dilia da emoga osa: gili, wadela: lesisa. Dilia da hano noga: i amo nanu, bu hano diala amo uba: genesili, wadela: lesisa.
Je, haiwatoshi ninyi kujilisha kwenye malisho mazuri? Je, ni lazima ninyi kuyakanyaga pia malisho yenu yaliyobaki kwa miguu yenu? Je, haiwatoshi ninyi kunywa maji safi? Je, ni lazima kuyachafua maji mengine kwa miguu yenu?
19 Na sibi eno da gisi amo dilia da osa: gili wadela: lesi amo fawane naha, amola hano amo dilia uba: genesili wadela: lesi amo fawane nasu dawa:
Je, ni lazima kundi langu wajilishe kwa yale mliyoyakanyaga na kunywa maji mliyoyachafua kwa miguu yenu?
20 Amaiba: le, wali, Na, Ouligisudafa Hina Gode da dilima amane sia: sa, ‘Na da dili gasa fi sibi dilima amola gasa hamedei sibi ilima afaeafae fofada: mu.
“‘Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi awaambialo: Tazama, mimi mwenyewe nitahukumu kati ya kondoo wanono na waliokonda.
21 Dilia gasa fi sibi da oloi gasa hamedei sibi amo sibi wa: i bega: fuli fasi dagoi.
Kwa sababu mmewapiga kikumbo na kuwapiga kwa pembe zenu kondoo wote walio dhaifu mpaka wakawafukuza,
22 Be Na da Na sibi gaga: mu, amola eno ilima bu mae wadela: ma: ne gaga: mu. Na da Na sibi ilima afaeafae fofada: nanu, noga: i mogili gamu amola wadela: i na: iyado mogili gamu.
nitaliokoa kundi langu na hawatatekwa nyara tena. Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo.
23 Na da ilima hina bagade, Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi defele, ilima imunu. E da ili noga: le ouligimu.
Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga na kuwa mchungaji wao.
24 Na, Hina Gode, da ilia Gode esalumu, amola hina bagade, Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi agoai, da ilia ouligisu esalumu. Na da sia: i dagoi.
Mimi Bwana nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi Bwana nimenena.
25 Na da ilima gousa: su, amo da ili dafawane gaga: ma: ne, hamomu. Amola Na sibi da soge ganodini gaga: iwane esaloma: ne, amola iwila ganodini hahawane golama: ne, Na da nimi bagade sigua ohe soge ganodini esala, amo huluane fadegale sefasimu.
“‘Nitafanya nao Agano la amani na kuwaondoa wanyama wa mwitu kutoka nchi yao ili kondoo wangu waweze kupumzika nyikani na msituni kwa salama.
26 Ilia da Na sema agolo hahawane sisiga: le esaloma: ne, Na da ilima hahawane hamomu. Ilima hahawane hamoma: ne, Na da ilia hanai defele, gibu sasafugi ilima imunu.
Nitawabariki wao pamoja na maeneo yanayozunguka kilima changu. Nitawanyeshea mvua kwa majira yake, kutakuwepo mvua za baraka.
27 Ifa huluane da dulu legemu. Ifabi da ha: i manu legemu. Amola dunu huluane da gaga: iwane hina: sogea esalumu. Eno dunu da Na dunu afugili asili, ilia udigili hawa: hamosu dunu hamoi. Be Na da ilia lala: gilisi amo fadegale fasili, ilia da hahawane halegale lalumu.
Miti ya shambani itatoa matunda yake na ardhi itatoa mazao yake, watu watakaa salama katika nchi yao. Watajua kuwa Mimi ndimi Bwana, nitakapovunja vifungo vya nira zao na kuwaokoa kutoka mikono ya wale waliowafanya watumwa.
28 Gode Ea hou hame lalegagui fifi asi gala da ili bu hame wadela: lesimu. Amola sigua ohe da ili bu hame fane manu. Ilia da gaga: iwane, amola eno dunuma mae beda: ne esalumu.
Hawatatekwa tena nyara na mataifa, wala wanyama pori hawatawala tena. Wataishi kwa salama, wala hakuna yeyote atakayewatia hofu.
29 Na da osobo nasegagi ilima imunu. Amola ilia sogega ha: su hame ba: mu. Amola fifi asi gala eno fi dunu da ilima bu hame ba: sola: mu.
Nitawapa nchi yenye sifa kutokana na mazao yake, hawatapatwa na njaa katika nchi tena wala hawatadharauliwa na mataifa.
30 Dunu huluanedafa da Na da Isala: ili fi gaga: lala amola ilia da Na fi dunu esala, amo dawa: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
Ndipo watakapojua kuwa Mimi, Bwana, Mungu wao, niko pamoja nao, na kwamba wao, nyumba ya Israeli, ni watu wangu, asema Bwana Mwenyezi.
31 Dilia, Na sibi, sibi wa: i amoga Na da ha: i manu iaha, dilia da Na: , amola Na da dilia Gode,” Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa.
Ninyi ni kondoo wangu, kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wangu, nami ni Mungu wenu, asema Bwana Mwenyezi.’”

< Isigiele 34 >