< Isigiele 28 >

1 Hina Gode da nama amane sia: i,
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “Dunu egefe! Daia hina bagade ema, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da ema amane sia: sa, amo ema adosima, ‘Di da gasa fifili, di da ‘gode’ dina: sia: sa. Di da ‘gode’ defele, dia fisu da: iya fili amola hano wayabo bagade huluane da dia fisu sisiga: sa, amo dina: di sia: sa. Di da ogogole,’ na da ‘gode’ sia: sa, be di da ‘gode’ hame. Di da osobo bagade dunu fawane.
“Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
3 Di da dia asigi dawa: su da Da: niele ea asigi dawa: su baligisa, amo dia dawa: sa. Di da dunu huluane ilia wamolegei hou ba: sa, amo disu dawa: lala.
unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
4 Dia dawa: lai amola hahamosu dawa: amoga hawa: hamobeba: le, di da gouli amola silifa bagade lale, bagade gagui agoane ba: sa.
Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
5 Di da bidi lasu hou hamobeba: le, muni baligili lalu. Di da dia bagade gagui hou dawa: beba: le, hidale dawa: lala.
Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
6 Be wali, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa,’ Dia da dia dawa: lai da ‘gode’ ea dawa: lai defele gala dawa: beba: le,
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
7 Na da ougi nimi bagade ha lai dunu dima doagala: musa: oule misunu. Ilia da dia liligi noga: iwane di da dia dawa: lai amola hahamosu dawa: amoga lai, amo huluane wadela: lesimu.
kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
8 Ilia da di medole legele, hano wayabo bagadega sanasimu.
Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
9 Ilia da di famusa: masea, di da ‘na da gode’ sia: ma: bela: ? Amo esoha, di medole legesu dunu odagi gadenesea, di da ‘gode’ hame be osobo bagade dunu fawane esala, amo noga: le dawa: mu.
Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
10 Di da wa: me ea bogoi amo defele, Gode Ea hou hame lalegagui ga fi dunu ilia lobo da: iya bogomu. Na, Ouligisudafa Hina Gode, da ilima amo hamoma: ne sia: beba: le, ilia da di medole legemu.”
Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
11 Hina Gode da bu nama amane sia: i,
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 “Dunu egefe! Daia hina bagade da dafamuba: le, gogolole dawa: ma. Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa, amo ema adosima, ‘Di da musa: eno dunu dawa: digima: ne, moloidafawane esalu. Di da bagade dawa: su amola ayeligi da: da: loiwane ba: su esalu.
“Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
13 Di da Gode Ea ifabi amo Idini soge ganodini esalu. Di da igi ida: iwane gala gaga: si amo (lubi amola daimode, douba: se, belole, ganiliane, ya: seba, sa: faia, emelalede amola ganedi). Di da nina: hamoi liligi gouliga hamoi galu. Na da amo liligi dia hahamoi eso amoga digili i.
Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
14 Na da a: igele (amoga dunu da beda: i), di sosodo ouligima: ne, amogawi leloma: ne asunasi. Di da Na hadigi goumia esalu, nenema: gi igi ida: iwane dialebe amo ganodini golili ahoasu.
Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
15 Di da dia hahamoi eso amogainini moloidafa hou hamosu. Be di da bu wadela: i hou muni hamosu.
Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 Di da bidi lasu bagade hamobeba: le, bu ogogosu amola bidi hamoi hamosu. Amaiba: le, Na da di Na hadigi goumi amoga fadegai. Amola a: igele amo da di sosodo ouligi lelu, da di igi nenemigi sogebiga sefasi.
Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
17 Dia ba: su da isisima: goiba: le, di da hidale hamoi. Amola, eno dunu da dima nodoiba: le, di da gagaoui ba: i. Amaiba: le eno hina bagade dunu dawa: digima: ne, Na da di osobo gudu gisalugala: i. Ilia da amo sisasu ba: ma: ne.
Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
18 Di da wadela: ledafa bidi lasu hou hamobeba: le, dia nodone sia: ne gadosu sogebi huluane da ledo bagade ba: i. Amaiba: le, Na da dia moilai huluane laluga ulagisili, nene sa: i dagoi. Dunu huluane wali dima ba: sea, da nasubu fawane ba: sa.
Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
19 Di da bu mae ba: ma: ne, asi dagoi. Amola fifi asi gala huluane da di dawa: i, amo da beda: gia: sa. Bai dima doaga: i hou da ilima doaga: sa: besa: le, ilia da beda: i.”
Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
20 Hina Gode da nama amane sia: i,
Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
21 “Dunu egefe! Saidone moilai bai bagade amoma se ima: ne mimogoa diwaneya udidima!
“Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
22 Saidone fi ilima Na, Ouligisudafa Hina Gode da ilia hou olelema: ne amane sia: sa, amo adosima, ‘Saidone! Na da dia ha lai. Na da dima se bidi iasea, dunu eno da Nama nodomu. Na da di amo ganodini esala dunu ilima Na hadigi olelema: ne se bidi iasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
23 Na da dima olo iasimu. Amola Na hamobeba: le, maga: me da dia logo ganodini bagade a: iahoabe ba: mu. Eno dunu da la: di huluane amoga misini dima doagala: mu, amola dia fi dunu da medole legei dagoi ba: mu. Amasea, di da Na da Hina Gode dawa: mu.”
Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
24 Hina Gode da amane sia: i, “Fifi asi gala amo Isala: ili sisiga: i, ilia da Isala: ili fi amo higabeba: le, ilima se bagade iasu. Be ilia agoaiwane bu hamedafa hamomu. Amola ilia da Na da Ouligisudafa Hina Gode dawa: mu.”
Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
25 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Na da Isala: ili fi dunu amo fifi asi gala amoga, Na da ili afagogoi, amoga lale, ilia sogedafa buhagima: ne oule misunu. Amasea, fifi asi gala huluane da Na da Hadigi dawa: mu. Isala: ili fi dunu da ilia sogedafa amo Na da musa: Na hawa: hamosu dunu Ya: igobema i, amo ganodini esalumu.
Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
26 Ilia da amo ganodini hahawane gaga: lewane esalumu. Ilia da diasu gagumu amola waini efe sagamu. Ilia na: iyado fi dunu amo da ilima higasu, ilima Na da se bidi imunu. Amola Isala: ili fi da gaga: i dagoi ba: mu. Amasea, ilia da Na da ilia Hina Gode dawa: mu.”
Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'

< Isigiele 28 >