< Isigiele 24 >
1 Eso nabuga amola oubi nabuga amola ode sesege ninia mugululi misi eso amoga, Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
2 “Dunu egefe! Wali eso ea doaga: i defei dedema! Bai wali eso, Ba: bilone hina bagade da Yelusaleme amoma muni doagala: mu.
“Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
3 Na fi lelesu dunu ilima amo fedege sia: olelema. Na, Ouligisudafa Hina Gode da ilima amane sia: sa, ‘Gobele nasu gaga amo hano dili nabalesilalu, lalu didi da: iya ligisima.
Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
4 Hu dadamui noga: idafa amo ganodini salima. Ougia hu amola emo hu amola gasa dadamui noga: idafa sasalima.
Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
5 Sibi hu ida: iwane fawane salima. Gobele nasu gaga hagudu, lalu noga: le didima. Amalu, hano dubu heda: le, gasa amola hu sasali nadima: ma.”
Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
6 Ouligisu Hina Gode da amane sia: sa, “Moilai bai bagade da fane legesu dunu amoga nabai gala, amola moilai bai bagade da wadela: lesi dagoi ba: mu. Amo da bua: iai gelabo doasasali gobele nasu gaga ilia da hamedafa dodofesu, amo defele ba: sa. Hu dadamui afae afae da amoga fadegabe, ebelei ba: sa.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
7 Moilai amo ganodini, medole legesu bagadewane ba: su. Be amo heale da guluga hame dedeboi. Ilia da amo heale magufu da: iya soga: digi.
Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
8 Na da amo heale amogawi yolesi. Bai amo wamolegemu Na higa: i. Maga: me sa: iba: le, dabe imunu gala.”
hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
9 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Fane legesu moilai bai bagade da wadela: mu. Na Nisu da lalu habele gaguli heda: mu.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
10 Lalu habei eno gaguli misa! Lalu fulaboma! Hedolo nadima! Gasa gobema!
Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
11 Amasea, balasega hamoi gobele nasu ofodo gelabai amo gia: i lalu oso amo da: iya ligisili, nenowama: ma. Gobele nasu ofodo da bu nenowane ledo hame ba: ma: ne, agoane hamoma.
Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
12 Be ledo da hame dogasi dialebe ba: mu. Laluga dugimu da hamedei.
Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
13 Yelusaleme fi! Dilia wadela: i adole lasu hou da dili ledodafa hamoi dagoi. Dilia da Na ougi bagadedafa amo nababeba: le fawane fofoloi dagoi ba: mu.
Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
14 Na, Ouligisudafa Hina Gode, da sia: i dagoi. Na se imunu eso da doaga: i dagoi. Na da dilia wadela: i hou hame gogolemu amola dilima hame asigimu. Dilia wadela: i hou hamobeba: le, Na da dilima se bidi imunu.” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
15 Hina Gode da nama amane sia: i,
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
16 “Dunu egefe! Na da afae fawane fane, dia dogolegei uda amo dima samogemu. E da bogomu. Di da mae egane amola mae dini amola si hano mae sa: ili esaloma.
“mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
17 Mae didigia: ma. Dia da: i dioi amo eno dunuma mae olelema. Dia emo salasu mae gisa: le fasili amola habuga mae gisa: le, amola mae gogolole masa. Dia odagi mae dedeboma amola ha: i manu amo didigia: su dunu da naha, amo di mae moma.”
Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
18 Amalalu, hahabe, na da dunu ilima sia: dalu. Amo daeya na uda bogoi. Diahabe, na da Gode Ea adoi defele hamoi.
Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
19 Dunu ilia da nama amane adole ba: i, “Abuliba: le di da agoane hamosala: ?”
Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
20 Amalalu, na da ilima amane sia: i,” Hina Gode da nama amane adoi,
Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
21 ‘Isala: ili dunu ilima amane adosima, Dilia da Debolo Diasu amo ea gasaba: le nodosa. Dilia amo ba: musa: hanasa amola amo ba: la masusa: hanasa. Be Hina Gode da Debolo wadela: lesili, ledo agoane hamomu. Amola dilia sosogo ayeligi huluane da gegesu ganodini, medole lelegei dagoi ba: mu.
'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
22 Amasea, dilia da na hamobe defele hamomu. Dilia da dilia odagi hame dedebomu, amola ha: i manu didigia: su dunu ilia nasu, amoga dilia da hame manu.
Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
23 Dilia da emo salasu mae sanawane amola habuga mae figiliwane amola gogonomone diwane hame masunu. Dilia da wadela: i hou hamobeba: le, geloga: gia: mu, amola dilia dunu enoma gogonomomu.
Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
24 Amasea, na da dilima dawa: digima: ne olelesu agoane ba: mu. Dilia da na hamoi huluane defele hamomu. Hina Gode da amane sia: sa, dilia amo hou huluane ba: sea, E da Ouligisudafa Hina Gode dawa: mu.’”
Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
25 Hina Gode da amane sia: i, “Dunu egefe! Gasa bagade Debolo Diasu amoma ilia bagade nodosu, amola amoga hahawane nodone ba: musa: masu. Amo Na da ilima samogemu. Amola Na da ilia mano huluane sasamogemu.
“Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
26 Amo esoga Na da agoane hamosea, dunu afae da amo wadela: su amoba: le hobeale ahoasea, da amo hou dima olelela misunu.
siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
27 Amo eso amo galawane, di da sia: dasu hou (amo di da musa: fisi) amo bu lale, ali da sia: sa: imu. Amo hamobeba: le, di da dunu ilima dawa: digima: ne olelesu agoane ba: mu, amola ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.”
Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.