< Isigiele 22 >

1 Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Dunu egefe! Yelusaleme da fane legesu dunu amoga nabaiba: le, di da ema fofada: musa: momagebela: ? E da noga: le dawa: ma: ne, ea wadela: i hou amo ema bu olelema.
“Mwanadamu, je, wewe utauhukumu? Je, utauhukumu huu mji umwagao damu? Basi uujulishe juu ya matendo yake yote ya machukizo
3 Yelusaleme fi ilima, Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: ilima olelema, amane, ‘Dilia da dilila: fi dunu bagohame medole lelegei dagoiba: le, amola ogogosu ‘gode’ ilima dilia hou ledo hamoma: ne, nodone sia: ne gadoiba: le, dilia wadela: mu eso da mana.
uuambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee mji ule ujileteao maangamizi wenyewe kwa kumwaga damu ndani yake na kujinajisi wenyewe kwa kutengeneza sanamu,
4 Dilia da amo medole legesu hou hamobeba: le, amola ogogosu ‘gode’ loboga hamoiba: le dilila: hou ledo hamoiba: le, dilima wadela: mu eso da gadenene doaga: i dagoi. Amaiba: le, Na da eno fifi asi gala dilima lalasogole oufesega: ma: ne, logo doasi dagoi.
umekuwa na hatia kwa sababu ya damu uliyomwaga na umetiwa unajisi kwa sanamu ulizotengeneza. Umejiletea mwisho wa siku zako na mwisho wa miaka yako umewadia. Kwa hiyo nitakufanya kitu cha kudharauliwa kwa mataifa na kitu cha mzaha kwa nchi zote.
5 Dilima gadenene fifi asi gala, amola badilia fifi asi gala da dilia sema hame nabasu hou ba: beba: le, dilima ba: sola: le oufesega: sa.
Wale walio karibu na wale walio mbali watakudhihaki, Ewe mji wenye sifa mbaya, uliyejaa ghasia.
6 Isala: ili ouligisu dunu huluane da ilila: gasa da defele dawa: beba: le, medole legesu hou hamonanebe.
“‘Ona jinsi kila mkuu wa Israeli aliyeko ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.
7 Yelusaleme amo ganodini, mano huluane da ilia edalalima hame nodosa. Dilia da ga fi ilima ogogosa. Amola, dilia da didalo amola guluba: mano ilima da: da: losa.
Ndani yako wamewadharau baba na mama, ndani yako wamewatendea wageni udhalimu na kuwaonea yatima na wajane.
8 Dilia da hadigidafa sogebi amoma hame nodosa, amola Sa: bade sema hame hamosa.
Mmedharau vitu vyangu vitakatifu na kuzinajisi Sabato zangu.
9 Dilia mogili da eno dunu, ilia bogoma: ne se bidi lama: ne, ilia hou ogogole sia: sa. Dilia mogili da ohe amo ogogosu ‘gode’ ilima gobele sali, amo ea hu naha. Mogili da ilia wadela: i hanai gumimusa: dawa: lala.
Ndani yako wako watu wasingiziaji, watu walio tayari kumwaga damu, ndani yako wako wale wanaokula vyakula vilivyotolewa mahali pa ibada za miungu kwenye milima, na kutenda matendo ya uasherati.
10 Mogili ilia da ilia eda ea uda amo gilisili golasa. Mogili da uda da sioi fisia, ilima gasa fili lelele logesa.
Ndani yako wako wale wanaovunjia heshima vitanda vya baba zao, ndani yako wamo wale wanaowatendea wanawake jeuri wakiwa katika hedhi, wakati wakiwa si safi.
11 Mogili da inia uda adole laha. Mogili da ilila: nawi amola gawia adole lasa.
Ndani yako mtu hufanya mambo ya machukizo na mke wa jirani yake, mwingine kwa aibu kubwa hukutana kimwili na mke wa mwanawe, mwingine humtenda jeuri dada yake, binti wa baba yake hasa.
12 Mogili da bidi lamusa: , dunu medole legesa. Mogili da fa: no dabema: ne muni bu lama: ne, eno dunuma iasea, ilia amo muni bagade baligiwane bu laha. Amola ilia eno dunuma da: da: lobeba: le, muni bagade gagusa. Ilia da Na gogolei dagoi.” Ouligisu Hina Gode da sia: i dagoi.
Ndani yako watu hupokea rushwa ili kumwaga damu, mnapokea riba na faida ya ziada na kupata faida isiyokuwa halali kutoka kwa jirani ili kupata faida kubwa kupita kiasi. Nawe umenisahau mimi, asema Bwana Mwenyezi.
13 “Na da Na loboga dilia wamolasu dunu amola medole legesu dunu banenesimu.
“‘Hakika nitapiga makofi kwa ajili ya faida isiyo halali uliyojipatia na kwa damu uliyoimwaga ndani yako.
14 Na da dilima se ia dagosea, dilia da gasa hamedei ba: mu. Dilia da gasa hameba: le, dilia lobo gaguia gadomu hamedei ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi. Amola, Na da ogogosu hame dawa:
Je, ujasiri wako utadumu au mikono yako itakuwa na nguvu siku hiyo nitakapokushughulikia? Mimi Bwana nimesema na nitalifanya.
15 Na da dilia wadela: i hamobe dagolesima: ne, Na da dili fifi asi gala fi huluane amo ganodini esaloma: ne, dili afagogolesimu.
Nitakutawanya miongoni mwa mataifa na kukutapanya katika nchi mbalimbali nami nitakomesha unajisi wako.
16 Amola eno fifi asi gala da dilima mae nodone, banenesimu. Be dilia da Na da Hina Gode amo dafawaneyale dawa: mu.”
Ukiisha kunajisika mbele ya mataifa, utajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
17 Hina Gode da nama amane sia: i,
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
18 “Dunu egefe! Isala: ili dunu da Nama hamedei liligi agoai. Ilia da fedege agoane, silifa da gobesu lalu amo ganodini adoba: ma: ne gobesea, isui ouli amo dialebe agoai ba: sa.
“Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa kwangu takataka ya chuma, wote kwangu wamekuwa shaba, bati, chuma na risasi iliyoachwa kalibuni. Wao ni taka ya madini ya fedha tu.
19 Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da wali ilia da amo isui ouli defele, hamedei liligi, ilima adosa. Na da ili huluane gilisili, Yelusalemega oule misunu.
Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: ‘Kwa kuwa wote mmekuwa takataka ya chuma, nitawakusanya Yerusalemu.
20 Dunu da igi (amo ganodini da silifa, gula, balase, lede amola dini gala) amo gilisili, gobesu laluga gaguli maha, amo defele Na da Isala: ili dunu oule misunu. Amola, lalu da amo liligi daeabe defele, Na ougi bagadedafa da ili daeamu.
Kama vile watu wakusanyavyo fedha, shaba, chuma, risasi na bati kalibuni ili kuyeyusha kwa moto mkali, ndivyo nitakavyowakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu kuwaweka ndani ya mji na kuwayeyusha.
21 Dafawane! Na da ili gagadole, Yelusaleme amoma oule misini, ili hagudu lalu didili, Na ougiga ili daeamu.
Nitawakusanya na kupuliza juu yenu moto wa hasira yangu na ghadhabu yangu nanyi mtayeyushwa ndani ya huo mji.
22 Dunu ilia da silifa amo lalu gobesu amo ganodini silifa daeabe, amo defele Na da ili Yelusaleme ganodini daeamu. Amasea, ilia da Hina Gode Ea ougi nabaha, amo noga: le dawa: mu.”
Kama fedha iyeyukavyo kalibuni, ndivyo mtakavyoyeyuka ndani ya huo mji, nanyi mtajua kuwa Mimi Bwana nimemwaga ghadhabu yangu juu yenu.’”
23 Hina Gode da nama bu amane sia: i,
Neno la Bwana likanijia tena kusema:
24 “Dunu egefe! Isala: ili dunu amo ilia soge da ledo bagade, hadigi hame, amo ilima sia: ma. Amaiba: le, Na da ougili, ilima se imunu.
“Mwanadamu, iambie nchi, ‘Wewe ni nchi ambayo haijapata mvua wala manyunyu katika siku ya ghadhabu.’
25 Ilia ouligisu dunu da laione wa: me amo da ohe ilia fai amo enoga lasa: besa: le, gesenebe agoai gala. Ilia dunu eno medole legesa, ilia soge amola muni amo ilia hanai defele laha. Amalu, didalo bagohame esalebe ba: sa.
Kuna hila mbaya ya wakuu ndani yake kama simba angurumaye akirarua mawindo yake, wanakula watu, wanachukua hazina na vitu vya thamani na kuongeza idadi ya wajane ndani yake.
26 Gobele salasu ouligisu dunu da Na sema fili, hadigi liligi amoma hame dawa: digisa. Ilia da hadigi liligi amola ledo liligi, amo afafamusa: hame dawa: Ilia da foloai amola ledo da hisu hame olelesa. Amola ilia da Sa: bade eso sema amoma higasa. Amaiba: le, Isala: ili dunu da Nama hame nodosa.
Makuhani wake wameihalifu sheria yangu na kunajisi vitu vyangu vitakatifu, hawatofautishi kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida. Wanafundisha kuwa hakuna tofauti kati ya vitu vilivyo najisi na visivyo najisi, nao wanafumba macho yao katika kutunza Sabato zangu, hivyo katikati yao nimetiwa unajisi.
27 Eagene ouligisu dunu da wufi gasonasu wa: me da ilia medole legei ohe liligi dodosa: sa, amo defele hamosa. Ilia muni bagade lamusa: , medole legesu hou hamosa.
Maafisa wake walioko ndani yake ni kama mbwa mwitu wararuao mawindo yao, wanamwaga damu na kuua watu ili kupata faida ya udhalimu.
28 Ogogosu balofede dunu da dunu ilia gagoi damana ahea: iai ulasuga ulasu defele, amo wadela: i hou dedebosu. Ilia da ogogosu esala ba: su olelesa, amola ogogosu ba: la: lusu hamosa. Ilia da Ouligisu Hina Gode Ea sia: olelelala, ilisu sia: sa. Be Na, Hina Gode, da ilima hamedafa sia: i.
Manabii wake wanapaka chokaa matendo haya kwa maono ya uongo na utabiri wa udanganyifu. Wanasema, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo,’ wakati Bwana hajasema.
29 Bagade gagui dunu da ogogosu amola gegene lasu hou hamosa. Ilia da hame gagui dunu amola ga fi dunu ilima da: da: losa.
Watu wa nchi wanatoza kwa nguvu na kufanya unyangʼanyi, wanawatenda jeuri maskini na wahitaji na kuwaonea wageni, wakiwanyima haki.
30 Na da gaga: su dunu, amo da gagoi gadelale sa: i sogebi amo gaga: le, Na soge Na ougiga wadela: mu gadenesa amo gaga: musa: aligima: ne, agoai dunu hogoi helele hame ba: i.
“Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, ambaye angejenga ukuta na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka kwa ajili ya watu wa nchi ili nisije nikaiangamiza, lakini sikumwona mtu yeyote.
31 Amaiba: le, Na da Na ougi bu hame bugimu. Na ougi da ilima lalu agoane doagala: mu. Na da ilima se imunu. Ilia wadela: le hamoiba: le, Na da ili wadela: lesimu.” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwateketeza kwa moto wa hasira yangu, nikiyaleta juu ya vichwa vyao yale yote waliyotenda, asema Bwana Mwenyezi.”

< Isigiele 22 >