< Isigiele 20 >

1 Eso nabu amola oubi bi amola ode fesu ninia mugululi misi esoga ba: i. Isala: ili fi ouligisu dunu mogili da Hina Gode Ea hamomu hanai bai nama adole ba: musa: misini, na midadi bulagi.
Ikawa ikaja katika mwaka wa saba, siku ya kumi ya mwezi wa tano, wazee wa Israeli wakaja kumuuliza Yahwe na kuketi mbele yangu.
2 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i,
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
3 “Dunu egefe! Amo dunuma amane sia: ma, ‘Ouligisu Gode da amane sia: sa, Dilia da Na hamomu hanai adole ba: musa: misibala: ? Na da dafawane Ouligisudafa Hina Gode, amola Na da dili Nama adole ba: su logo hedofamu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.’
“mwanadamu, tangaza kwa wazee wa Israeli na uwaambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Je! Mmekuja kuniuliza swali? Kama niishivyo, sitaulizwa swali na ninyi! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
4 Dunu egefe! Di da ilima fofada: ma: bela: ? Defea! Ilima fofada: ma! Ilia eda ilia wadela: i hou hamoi, amo ilia dawa: ma: ne, ilima olelema.
Je! Utawahukumu? Utamuhukumu, mwanadamu? Wajulishe kuhusu machukizo ya baba zao.
5 Ilima amane sia: ma, ‘Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, Na da Isala: ili fi ilegeloba, amo esoha Na da Ya: igobe egaga fi Idibidi soge ganodini esalu ilima misini, Na lobo gaguia gadole, amane dafawane sia: i, ‘Na da dilia Hina Godedafa.’
Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku niliyoichagua Israeli na kuinua mkono wangu kuapa kiapo kwa uzao wa nyumba ya Yakobo, na kufanya kujulikana mimi mwenyewe kwao katika nchi ya Misri, wakati nilipoinua mkono wangu kuapa kiapo kwao. Nalisema, “Mimi ni Yahwe Mungu wenu”-
6 Amo esoha Na da ili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasili, soge amo Na da ilima ima: ne hogole ba: i (soge ida: iwane fedege agoane bulamagau dodo maga: me amola agime hano bagadedafa galebeba: le, hano agoane a: iahoa) amoga oule masa: ne, dafawanedafa ilegele sia: i.
siku hiyo niliinua mkono wangu kuapa kiapo kwa ajili yao kwamba nitawatoa kutoka nchi ya Misri kwenye nchi ambayo niliyokuwa nimeichagua kwa umakini kwa ajili yao. Ilikuwa ikitiririka maziwa na asali; ilikuwa nzuri sana utukufu miongoni mwa nchi mbali mbali.
7 Amola Na da ilima amane sia: i, ‘Dilia afae afae wadela: idafa loboga hamoi ‘gode’ liligi dilia ba: lala, amo galagama. Idibidi loboga hamoi ‘gode’ liligi da dilia hou ledo hamosa: besa: le, amo bu maedafa dawa: ma. Na da dilia Hina Gode esala.’
Nikawaambia, “Kila mtu atupilie mabli mambo ya machukizo kutoka mbele ya macho yake na sanamu za Misri. Msijitie unajisi; mimi ni Yahwe Mungu wenu.”
8 Be ilia da Na sia: hame nabi amola Nama odoga: i. Ilia da ilia wadela: idafa loboga hamoi ‘gode’ hame galagai. Amola Idibidi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu hou hame yolesi. Na da Idibidi sogega, Na ougi hou bagade ilima olelemusa: dawa: i galu.
Lakini wameasi juu yangu hawakuwa tayari kunisikiliza. Kila mtu hakutupilia mbali mambo ya machukizo kutoka mbele ya macho yake wala kwa ajili ya sanamu za Misri, hivyo nikaona nimwage ghadhabu yangu juu yao kukamilisha hasira yangu miongoni mwao katikati ya nchi ya Misri.
9 Be Na da amane hame hamoi. Bai Na Dio wadela: sa: besa: le, hame hamoi. Na da Idibidi dunu ba: ma: ne, Na da Isala: ili dunuma ili Idibidi sogega fisili masa: ne, Na da ili ga oule masa: ne sisia: i dagoi. Amaiba: le, Na da ogogosu dunu ilia dawa: sa: besa: le, ilima ougi se bidi hame i.
Nilifanya kwa ajili ya jina langu ili lisinajisiwe katika macho ya mataifa ambao walikaa pamoja nao. Nilijifanya mwenyewe kujulikana kwao, katika macho yao, kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.
10 Amaiba: le, Na da Isala: ili dunu Idibidi sogega fisili masa: ne, ili hafoga: i sogega oule asi.
Basi nikawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta kwenye jangwa.
11 Na hamoma: ne sia: i amola sema da nowa dunu da nabawane hamosa, amoma esalusu iaha. Amo malei amola sema Na da Isala: ili dunuma olelei.
Kisha nikawapa amri zangu na kufanya maagizo yangu kujulikana kwao, kwa kila mwanadamu atakayezishika ataishi.
12 Na da Sa: bade eso sema ilima i. Sa: bade eso da Na gousa: su hamoi, amoma dawa: digima: ne olelesu, amola Na da ilia hou bu hadigima: ne hamomu, amo dawa: digima: ne hamoi.
Pia nikawapatia Sabato zangu kama ishara kati yangu na wao, ili wajue kwamba mimi ni Yahwe niwafanyao wawe watakatifu.
13 Be ilia da hafoga: i sogea amowane, Nama higale lelesu. Na hamoma: ne sia: i amola Na sema (amo da nowa dunu da nabawane hamosa, ema esalusu iaha) huluane higale fi dagoi. Ilia da Sa: bade eso sema wadela: lesidafa. Na da hafoga: i sogega, ilima ougi bagade se bidi imunusa: , amola ili wadela: lesimusa: momagei galu.
Lakini nyumba ya Israeli imeasi dhidi yangu jangwani. Hawakuenenda katika amri zangu; badala yake, wameyakataa maagizo yangu, ambayo mwanadamu ataishi kama akiyatii. Wamezinajisi Sabato zangu sana, basi nikasema nitamwaga hasira yangu juu yao jangwani ili kuwamalliza.
14 Be Na da amane hame hamoi. Bai fifi asi gala amo da Na Isala: ili fi Idibidi sogega fisili masa: ne, gadili asunasi, amo ba: i, ilia da Na Dio amoma hame nodosa: besa: le, Na amane hame hamoi.
Lakini nilifanya kwa ajili ya jina langu hivyo lisinajisiwe katika macho ya mataifa, ambao niliwatoa mbele ya macho yao kutoka Misri.
15 Amo dawa: beba: le, Na da hafoga: i soge ganodini, Na da dilia eda amo soge Na da ilima i dagoi (amo soge da gugui amola nasegagi, baligili noga: idafa) amoga hame oule masunusa: ilegei.
Basi mimi mwenyewe pia nimeinua mkono wangu kuapa kiapo kwao jangwani sitawarudisha kwenye nchi ile niliyokuwa naenda kuwapatia, nchi inayotiririkayo maziwa na asali, ambayo ilikuwa nzuri sana ambayo ni nzuri kati ya nchi zote.
16 Bai ilia da Na hamoma: ne sia: i hame nabi, amola Na sema fi, amola Sa: bade eso sema wadela: lesi, amola Na fisili, ilia da ogogosu ‘gode’ ilima sia: ne gadomusa: hanai galu.
Nimeapa hivi kwa sababu walikataa maagizo yangu na kutotembea katika amri zangu, na wazikufuru Sabato zangu.
17 Be amalalu, Na da ilima bu asigisu. Na da ili hafoga: i sogega medole legemusa: dawa: i bu yolesi.
Lakini jicho langu likawahurumia kutokana na uharibifu na sikuwaangamiza jangwani.
18 Be amomane, Na da ayeligi amola a: fini ilia gilisisu ganodini sisane amane i, ‘Dilia aowalalia sema hamoi amola ilia hou amoma mae fa: no bobogema. Dilia ledo hamoi ba: sa: besa: le, ilia loboga hamoi ‘gode’ ilima mae nodone sia: ne gadoma.
Nikawaambia watoto wao jangwani, “Msitembee kutokana na amri za wazazi wenu; msiweke maagizo yao au kujinajisi wenyewe kwa sanamu.
19 Na da dilia Hina Godedafa. Na hamoma: ne sia: i amola Na sema nabawane hamoma.
Mimi ni Yahwe Mungu wenu, tembeeni katika amri zangu; tunzeni maagizo yangu na kuyatii.
20 Sa: bade eso da hadigi eso, amola gousa: su Na dilima hamoi da dawa: digisu ilegesu gala. Amola Na da dilia Hina Godedafa. Amo huluane dilia bu dawa: ma: ne, Sa: bade eso sema noga: le ouligima.
Zitunzeni Sabato zangu takatifu ili kwamba zitakuwa ishara kati yangu na ninyi, hivyo basi mtajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wenu.”
21 Be amo fifi misi amola da Na higasu. Ilia da Na sema fi amola Na hamoma: ne sia: i (amo da nowa dunu da nabawane hamosea, ema esalusu iaha) amo hame nabi. Ilia da Sa: bade eso sema wadela: lesi. Na da hafoga: i sogega ilima ougi se bidi imunusa: , amola ili huluane medole legemusa: dawa: i galu.
Lakini watoto wao waliniasi. Hawakutembea kwenye sheria zangu au kushika maagizo yangu, ambazo mwanadamu ataishi kama akizitii. Wamezinajisi Sabato zangu, hivyo nimeamua kumwaga ghadhabu yangu juu yao kutimiza ghadhabu yangu dhidi yao katika jangwa.
22 Be Na da amane hame hamoi. Bai fifi asi gala amo da Na Isala: ili fi Idibidi sogega fisili masa: ne, gadili asunasi, amo ba: i, ilia da Na Dio amoma hame nodosa: besa: le, Na da amane hame hamoi.
Lakini niliurudisha mkono wangu na kutenda kwa ajili ya jina langu, hivyo lisitiwe unajisi katika macho ya mataifa ambao mbele ya macho yao niliwatoa Waisraeli.
23 Amaiba: le, Na da hafoga: i sogega ilima eno ilegei. Na da ili osobo bagade fifi asi gala huluane, amo ganodini afagololesima: ne, dafawane ilegele sia: i.
Mimi mwenyewe pia nimeuinua mkono wangu kuapa juu yao jangwani, kwamba nitawatawanya kati ya maifa na kuwatawanya miongoni mwa nchi mabali mbali.
24 Ilia da Na sema fiba: le, amola Na hamoma: ne sia: i nabawane hame hamobeba: le, amola Sa: bade eso sema fiba: le, amola ogogosu ‘gode’ (amoma ilia aowalalia da fa: no bobogei) ilima nodone sia: ne gadobeba: le, Na da amane hamoi.
Nimeamua kufanya hivi kwa kuwa hawakuzitii amri zangu, na tangu walipo zikataa sheria zangu na kuzinajisi Sabato zangu. Macho yao yalizitamani sanamu za baba zao.
25 Amalalu, Na da noga: i hame sema ilima i, amola hamoma: ne sia: i amo da esalusu hame iaha, ilima i.
Kisha niliwapa amri ambazo hazikuwa nzuri, na maagizo ambayo hawakuweza kuishi kwayo.
26 Ilia da ilila: gobele salasu amoga ledo hamoma: ne, Na da logo doasi. Amola ilia da ilila: magobo mano medole legele, gobele salimusa: , Na da logo doasi. Amo da ilima se ima: ne, amola Na da Hina Godedafa ili dawa: musa: amo olelema: ne, Na da amane hamoi.
Nikawafanya unajisi kwa zawadi zao wakati walipofanya dhabihu za kila limbuko la tumbo la uzazi na kutupa kwenye moto. Nalifanya hivi ili kuwaogofya hivyo wangeweza kujua kwamba mimi ni Yahwe!'
27 Wali, dunu egefe! Isala: ili dunuma, Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: ilima adosima. Ilia aowalalia da eno agoane Nama gadesu.
Kwa hiyo, mwanadamu, waambie nyumba ya Israeli na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika hili pia baba zenu walinikufuru wakati walipokuwa sio waaminifu kwangu.
28 Na da soge amo Na da ilima imunusa: ilegei, amoga ili oule misi. Ilia da goumi sedade amola gahe ifa ba: beba: le, huluane amogai gobele salasu hamosu. Ilia da gobele salasu hamobeba: le, amola waini hano ogogosu ‘gode’ ilima imunusa: gaguli misiba: le, Na da ougi bagade ba: i.
Wakati nilipowaleta kwenye nchi ambayo niliyokuwa nimewaapia kuwapatia, na kisha popote walipoona jiwe lolote refu na mti wenye majani, walitoa sadaka zao, walinikasirisha kwa sadaka zao, na huko pia walichoma ubani wao wa kunukia na kumwaga sadaka zao za kinywaji.
29 Na da ilima amane adole ba: i, ‘Amo gadodafa sogebi amoga dili ahoa, ilia bai da adila: ?’ Amaiba: le, ilia da amo sogebi fa: noga ‘Gadodafa Sogebi’ dio sia: sa.
Kisha nikawaambia, “Nini maana ya mahali palipoinuka ambapo mmeleta sadaka huko?” Hivyo jina lake linaitwa Bana hata leo.'
30 Wali, Isala: ili dunuma, Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: be ilima adosima. ‘Dilia abuliba: le, dilia aowalalia ilia wadela: i hou defele, ogogosu ‘gode’ ilima hehenaia fa: no bobogesala: ?
Kwa hiyo waambie nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Je! Kwa nini unajinajisi mwenyewe kwa njia za baba zako? Kwahiyo kwa nini unatenda kama makahaba, kutafuta kwa ajili ya mambo ya machukizo?
31 Waha amolawane, dilia da ili defele gobele salasu hamosa. Dilia da dilia mano ogogosu ‘gode’ ilima laluga gobele salabeba: le, dilila: hou ledo hamosa. Abuliba: le dilia Isala: ili dunu da Na hamomu hanai adoleba: la mahabela: ? Na, Ouligisudafa Hina Gode da Fifi Ahoanusu Gode! Amaiba: le, Na da amane dafawane sia: sa. Na da dilia Nama adole ba: su logo hedofamu.
Kwa kuwa wakati mtoapo zawadi zenu na kuwaweka watoto wenu kwenye moto, siku hii mnajitia unajisi pamoja na sanamu zenu zote. Kwa hiyo kwa nini niwaache mniulize mimi, nyumba ya Israeli? Kama niishivyo-Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-Sitawaacha mniulize swali.
32 Dilia da eno fifi asi gala huluane ilia hou defele hamomusa: hanai gala. Ilia da ifa amola igi amoma nodone sia: ne gadosu hou hamosa. Be Na fi ilia da agoane hamomu da hamedei.
Mawazo yanayoumbika kwenye moyo wako hayatatokea kamwe. Mmesema, “Ngoja tuwe kama mataifa mengine, kama koo za nchi nyingine waabuduo mti na jiwe.”
33 Na da Ouligisudafa Hina Gode! Amola na da Fifi Ahoanusu Gode esalebeba: le, Na da dafawane dilima sisane iaha. Na da ougiba: le, Na gasa bagade defele, dilima gasa fili ouligimu.
Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-Nitatawala hakika juu yenu kwa mkono wenye nguvu, mkono ulionyooshwa, na ghadhabu itakayomwagwa juu yenu.
34 Na da dili fifi asi gala enoenoi amoga afagogoi dagoi. Be Na da dilia sogega dili buhagima: ne gagadosea, Na da Na gasa bagade hou amola Na ougi hou dilima olelemu.
Nitawatoa kutoka kwa watu wengine na kuwakusanya kutoka kwenye nchi mlizotawanyika ndani mwao. Nitafanya hivi kwa mkono hodari na kwa ghadhabu iliyomwagika.
35 Na da dili fifi asi gala eno amoga oule asili, dilia odagia ba: ma: ne se imunusa: fofada: mu. (Amogai esalea, dilia da amo fifi asi gala ‘Hafoga: i Soge Fifi Asi Gagai’ defele ba: mu).
Kisha nitawaleta kwenye jangwa la watu, na huko nitawahukumu uso kwa uso.
36 Na da Sainai hafoga: i sogega dilia aowalalia ilima fofada: nanu, se iasu. Amo defele, Na da dilima fofada: mu,” Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa.
Kama nilivyo wahukumu baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, hivyo pia nitawahukumu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
37 “Na da dili gasawane ouligimu amola dilia Na gousa: su nabawane hamoma: mu.
Nitawafanya mpite chini ya fimbo yangu, na nitawafanya kutii maagizo yangu ya agano.
38 Nowa da lelelewane wadela: i hou hamosea, Na da dilia mugululi misi gilisisu amoga fadegale fasimu. Ilia wali esalebe soge amoga Na da fadegamu. Be ilia da Isala: ili sogega hame buhagimu. Amasea, Na da Hina Gode, amo dilia da dawa: mu.”
Nitawasafisha kutoka miongoni mwenu maasi na wale ambao walionichukiza. Nitawatoa kutoka nchi ambayo wanayoishi kama wageni, lakini hawataingia kwenye nchi ya Israeli. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Yahwe.
39 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Defea! Dilia Isala: ili dunu huluane! Dilia hanaiga hamoma! Dilia ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogema! Be Na da dilima sisane sia: sa. Dilia fa: no dilia hanai yolesili, Nama nabawane hawa: hamonanebe ba: mu. Amola dilia da ogogosu ‘gode’ ilima iasu yolesimuba: le, dilia da Na Dio bu hame lasogolalumu.
Basi kwenu, nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Kila mmoja wenu ataenda kwa sanamu zake mwenyewe. Muwaabudu kama mtakataa kunisikiliza, lakini hamtalikufuru tena jina langu takatifu kwa zawadi zenu na sanamu zenu.
40 Isala: ili soge ganodini, Na hadigi gadodafa goumi amo da: iya, Isala: ili dunu dilia da Nama nodone sia: ne gadomu. Na da dilima hahawane ba: mu. Amasea, Na da dilia gobele salasu liligi amola hahawane hadigi iasu amo huluane Nama gaguli misa: ne sia: mu.
Kwa kuwa juu ya mlima wangu mtakatifu, juu ya kilele cha mlima wa Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-wote wa nyumba ya Israeli mtaniabudu huko katika nchi. Nitabarikiwa kwa kutaka sadaka zenu huko, na pia malimbuko yenu ya shukrani pamoja na vitu vyenu vyote vitakatifu.
41 Na da dili fifi asi gala enoenoi amo ganodini esaloma: ne, amoga afagogoi dagoi. Be Na da dilia sogega dili buhagima: ne gagadosea, amo fa: no Na da liligi dilia gobele salimusa: gaguli maha, amo nodone lamu. Amasea, fifi asi gala huluane da Na da hadigidafa ba: mu.
Nitawapokea kama harufu nzuri ya ubani wakati nitakapowatoa kutoka wale watu na kuwakusanya toka nchi ambazo mlizotawanyika. Nitajifunua mimi mwenyewe kama mtakatifu ndani yenu kwa ajili ya mataifa waone.
42 Na da Isala: ili soge amo dilia aowalalima imunusa: ilegele sia: i. Na da dili amogawi bu oule masea, dilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
Kisha, wakati nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, kwenye nchi ambayo niliuinulia mkono wangu kuapa kuwapatia baba zenu, mtajua yakwamba mimi ni Yahwe.
43 Amasea, dilia da wadela: i hou hamoi amola dilia hou ledo hamoi, amo dilia da bu gogosiane dawa: mu. Dilia da dilia musa: wadela: i hou dawa: beba: le, dilila: hou higamu.
Kisha mtazikumbuka njia zenu mbaya huko, na matendo yenu yote machafu mliyoyafanya wenyewe, na mtajichukia wenyewe katika macho yenu kwa matendo yenu yote maovu mliyoyafanya.
44 Amola Na da Na hadigi hou gaga: musa: hamosea, dilia Isala: ili dunu da Na da Hina Gode dawa: mu. Bai Na da dilia wadela: idafa hou hamoi defele, dilima se hame iaha.” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
Hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe nifanyapo haya kwenu kwa ajili ya jina langu, sio kwa njia zenu mbaya au matendo yenu mabovu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
45 Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe!
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
46 Ga (south) ba: le gale, amo soge amola iwila amoma fofada: ma.
“Mwanadamu, weka uso wako kuelekea nchi za kusini, na kuongea juu ya kusini; tabiri juu ya msitu wa Negebu.
47 Ga (south) iwila amoma e da Ouligisudafa Hina Gode Ea sia: nabima: ne amane sia: ma, ‘Ba: ma! Na da lalu didisa. Amo lalu da dia ifa huluane, gahe amola bioi, huluane nemu. Ha: ba: domu da hamedei ba: mu. E da gadili nene ahoasea, dunu huluane da lalu sawa: ga fane dogolomu.
Uuambie msitu wa Negebu, 'Hivi ndivyo Yahwe asemavyo-Bwana Yahwe asema hivi: Tazama, nitaweka moto ndani yako. Utakula kila mti mbichi na kila mti mkavu ndani yako. Miali ya moto haitazimika; na kila uso utokao kusini hata kaskazini utateketezwa kwa moto.
48 Ilia huluane da Na, Hina Gode, Ni fawane da lalu ulagisiba: le, enoga ha: ba: domu hamedei ba: mu.’”
Kisha watu wote wenye mwili watajua yakwamba mimi ni Yahwe nimeuwasha moto, na hautazimika.”'
49 Be na da Godema gagabole sia: i, “Ouligisudafa Hina Gode! Nama agoane hamoma: ne, mae sia: ma! Dunu huluane da na da fedege idinamasu sia: fawane sia: sa, amo ilia hihini sia: daha.”
Kisha nimesema, Ee! Bwana Yahwe, Wananisema mimi, 'Je! yeye sio mwenye kusema mafumbo?”'

< Isigiele 20 >