< Isigiele 20 >

1 Eso nabu amola oubi bi amola ode fesu ninia mugululi misi esoga ba: i. Isala: ili fi ouligisu dunu mogili da Hina Gode Ea hamomu hanai bai nama adole ba: musa: misini, na midadi bulagi.
Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano siku ya kumi, baadhi ya wazee wa Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwa Bwana, wakaketi mbele yangu.
2 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i,
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
3 “Dunu egefe! Amo dunuma amane sia: ma, ‘Ouligisu Gode da amane sia: sa, Dilia da Na hamomu hanai adole ba: musa: misibala: ? Na da dafawane Ouligisudafa Hina Gode, amola Na da dili Nama adole ba: su logo hedofamu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.’
“Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa nini mmekuja? Je, ni kutaka ushauri kwangu? Hakika kama niishivyo, sitawaruhusu mtake ushauri toka kwangu, asema Bwana Mwenyezi.’
4 Dunu egefe! Di da ilima fofada: ma: bela: ? Defea! Ilima fofada: ma! Ilia eda ilia wadela: i hou hamoi, amo ilia dawa: ma: ne, ilima olelema.
“Je, utawahukumu? Je, mwanadamu, utawahukumu? Basi uwakabili kwa ajili ya machukizo ya baba zao
5 Ilima amane sia: ma, ‘Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, Na da Isala: ili fi ilegeloba, amo esoha Na da Ya: igobe egaga fi Idibidi soge ganodini esalu ilima misini, Na lobo gaguia gadole, amane dafawane sia: i, ‘Na da dilia Hina Godedafa.’
na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Siku ile nilipochagua Israeli, niliwaapia wazao wa nyumba ya Yakobo kwa mkono ulioinuliwa nami nikajidhihirisha kwao huko Misri. Kwa mkono ulioinuliwa niliwaambia, “Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
6 Amo esoha Na da ili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasili, soge amo Na da ilima ima: ne hogole ba: i (soge ida: iwane fedege agoane bulamagau dodo maga: me amola agime hano bagadedafa galebeba: le, hano agoane a: iahoa) amoga oule masa: ne, dafawanedafa ilegele sia: i.
Siku ile niliwaapia wao kwamba nitawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta katika nchi niliyowachagulia, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kupita zote.
7 Amola Na da ilima amane sia: i, ‘Dilia afae afae wadela: idafa loboga hamoi ‘gode’ liligi dilia ba: lala, amo galagama. Idibidi loboga hamoi ‘gode’ liligi da dilia hou ledo hamosa: besa: le, amo bu maedafa dawa: ma. Na da dilia Hina Gode esala.’
Nami nikawaambia, “Kila mmoja wenu aondolee mbali sanamu za chukizo ambazo mmekazia macho, nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za Misri. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
8 Be ilia da Na sia: hame nabi amola Nama odoga: i. Ilia da ilia wadela: idafa loboga hamoi ‘gode’ hame galagai. Amola Idibidi ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu hou hame yolesi. Na da Idibidi sogega, Na ougi hou bagade ilima olelemusa: dawa: i galu.
“‘Lakini waliniasi na hawakunisikiliza, hawakuondolea mbali sanamu za machukizo ambazo walikuwa wamezikazia macho, wala kuondolea mbali sanamu za Misri. Ndipo nikasema, nitawamwagia ghadhabu yangu na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko Misri.
9 Be Na da amane hame hamoi. Bai Na Dio wadela: sa: besa: le, hame hamoi. Na da Idibidi dunu ba: ma: ne, Na da Isala: ili dunuma ili Idibidi sogega fisili masa: ne, Na da ili ga oule masa: ne sisia: i dagoi. Amaiba: le, Na da ogogosu dunu ilia dawa: sa: besa: le, ilima ougi se bidi hame i.
Lakini kwa ajili ya Jina langu nilifanya kile ambacho kingelifanya lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa waliyoishi miongoni mwao na ambao machoni pao nilikuwa nimejifunua kwa Waisraeli kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.
10 Amaiba: le, Na da Isala: ili dunu Idibidi sogega fisili masa: ne, ili hafoga: i sogega oule asi.
Kwa hiyo nikawaongoza watoke Misri na kuwaleta jangwani.
11 Na hamoma: ne sia: i amola sema da nowa dunu da nabawane hamosa, amoma esalusu iaha. Amo malei amola sema Na da Isala: ili dunuma olelei.
Nikawapa amri zangu na kuwajulisha sheria zangu, kwa kuwa mtu anayezitii ataishi kwa hizo.
12 Na da Sa: bade eso sema ilima i. Sa: bade eso da Na gousa: su hamoi, amoma dawa: digima: ne olelesu, amola Na da ilia hou bu hadigima: ne hamomu, amo dawa: digima: ne hamoi.
Pia niliwapa Sabato zangu kama ishara kati yangu nao, ili wapate kujua kuwa Mimi Bwana niliwafanya kuwa watakatifu.
13 Be ilia da hafoga: i sogea amowane, Nama higale lelesu. Na hamoma: ne sia: i amola Na sema (amo da nowa dunu da nabawane hamosa, ema esalusu iaha) huluane higale fi dagoi. Ilia da Sa: bade eso sema wadela: lesidafa. Na da hafoga: i sogega, ilima ougi bagade se bidi imunusa: , amola ili wadela: lesimusa: momagei galu.
“‘Lakini watu wa Israeli waliniasi Mimi jangwani. Hawakufuata amri zangu, bali walikataa sheria zangu, ingawa mtu yule anayezitii ataishi kwa hizo sheria, nao walizinajisi Sabato zangu kabisa. Hivyo nilisema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwaangamiza huko jangwani.
14 Be Na da amane hame hamoi. Bai fifi asi gala amo da Na Isala: ili fi Idibidi sogega fisili masa: ne, gadili asunasi, amo ba: i, ilia da Na Dio amoma hame nodosa: besa: le, Na amane hame hamoi.
Lakini kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kitalifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.
15 Amo dawa: beba: le, Na da hafoga: i soge ganodini, Na da dilia eda amo soge Na da ilima i dagoi (amo soge da gugui amola nasegagi, baligili noga: idafa) amoga hame oule masunusa: ilegei.
Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba nisingewaingiza katika nchi niliyokuwa nimewapa, yaani, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kuliko zote,
16 Bai ilia da Na hamoma: ne sia: i hame nabi, amola Na sema fi, amola Sa: bade eso sema wadela: lesi, amola Na fisili, ilia da ogogosu ‘gode’ ilima sia: ne gadomusa: hanai galu.
kwa sababu walikataa sheria zangu na hawakufuata amri zangu na wakazinajisi Sabato zangu. Kwa kuwa mioyo yao iliandama sanamu zao.
17 Be amalalu, Na da ilima bu asigisu. Na da ili hafoga: i sogega medole legemusa: dawa: i bu yolesi.
Lakini niliwahurumia wala sikuwaangamiza wala hakuwafuta kabisa jangwani.
18 Be amomane, Na da ayeligi amola a: fini ilia gilisisu ganodini sisane amane i, ‘Dilia aowalalia sema hamoi amola ilia hou amoma mae fa: no bobogema. Dilia ledo hamoi ba: sa: besa: le, ilia loboga hamoi ‘gode’ ilima mae nodone sia: ne gadoma.
Niliwaambia watoto wao kule jangwani, “Msifuate amri za baba zenu wala kushika sheria zao au kujinajisi kwa sanamu zao.
19 Na da dilia Hina Godedafa. Na hamoma: ne sia: i amola Na sema nabawane hamoma.
Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, fuateni amri zangu tena kuweni waangalifu kushika sheria zangu.
20 Sa: bade eso da hadigi eso, amola gousa: su Na dilima hamoi da dawa: digisu ilegesu gala. Amola Na da dilia Hina Godedafa. Amo huluane dilia bu dawa: ma: ne, Sa: bade eso sema noga: le ouligima.
Zitakaseni Sabato zangu ili ziwe ishara kati yangu nanyi. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
21 Be amo fifi misi amola da Na higasu. Ilia da Na sema fi amola Na hamoma: ne sia: i (amo da nowa dunu da nabawane hamosea, ema esalusu iaha) amo hame nabi. Ilia da Sa: bade eso sema wadela: lesi. Na da hafoga: i sogega ilima ougi se bidi imunusa: , amola ili huluane medole legemusa: dawa: i galu.
“‘Lakini watoto hao wakaniasi: Hawakufuata amri zangu, wala hawakuwa waangalifu kushika sheria zangu, ingawa mtu anayezitii anaishi kwa hizo sheria, nao wakazinajisi Sabato zangu. Hivyo nikasema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko jangwani.
22 Be Na da amane hame hamoi. Bai fifi asi gala amo da Na Isala: ili fi Idibidi sogega fisili masa: ne, gadili asunasi, amo ba: i, ilia da Na Dio amoma hame nodosa: besa: le, Na da amane hame hamoi.
Lakini nikauzuia mkono wangu na kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kingelifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.
23 Amaiba: le, Na da hafoga: i sogega ilima eno ilegei. Na da ili osobo bagade fifi asi gala huluane, amo ganodini afagololesima: ne, dafawane ilegele sia: i.
Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba ningewatawanya miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali,
24 Ilia da Na sema fiba: le, amola Na hamoma: ne sia: i nabawane hame hamobeba: le, amola Sa: bade eso sema fiba: le, amola ogogosu ‘gode’ (amoma ilia aowalalia da fa: no bobogei) ilima nodone sia: ne gadobeba: le, Na da amane hamoi.
kwa sababu hawakutii sheria zangu lakini walikuwa wamekataa amri zangu na kuzinajisi Sabato zangu, nayo macho yao yakatamani sanamu za baba zao.
25 Amalalu, Na da noga: i hame sema ilima i, amola hamoma: ne sia: i amo da esalusu hame iaha, ilima i.
Pia niliwaacha wafuate amri ambazo hazikuwa nzuri na sheria ambazo mtu hawezi kuishi kwa hizo sheria.
26 Ilia da ilila: gobele salasu amoga ledo hamoma: ne, Na da logo doasi. Amola ilia da ilila: magobo mano medole legele, gobele salimusa: , Na da logo doasi. Amo da ilima se ima: ne, amola Na da Hina Godedafa ili dawa: musa: amo olelema: ne, Na da amane hamoi.
Nikawaacha wanajisiwe kwa matoleo yao, kuwatoa wazaliwa wao wa kwanza kafara kwa sanamu, yaani, kule kuwapitisha wazaliwa wao wa kwanza kwenye moto, nipate kuwajaza na hofu ili wajue kwamba Mimi ndimi Bwana.’
27 Wali, dunu egefe! Isala: ili dunuma, Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: ilima adosima. Ilia aowalalia da eno agoane Nama gadesu.
“Kwa hiyo, mwanadamu, sema na watu wa Israeli na uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika hili pia, baba zenu walinikufuru kwa kuniacha mimi:
28 Na da soge amo Na da ilima imunusa: ilegei, amoga ili oule misi. Ilia da goumi sedade amola gahe ifa ba: beba: le, huluane amogai gobele salasu hamosu. Ilia da gobele salasu hamobeba: le, amola waini hano ogogosu ‘gode’ ilima imunusa: gaguli misiba: le, Na da ougi bagade ba: i.
Nilipowaleta katika nchi ile ambayo nilikuwa nimeapa kuwapa na kuona kilima chochote kirefu au mti wowote wenye majani mengi, huko walitoa dhabihu zao, wakatoa sadaka ambazo zilichochea hasira yangu, wakafukiza uvumba wenye harufu nzuri na kumimina sadaka zao za kinywaji.
29 Na da ilima amane adole ba: i, ‘Amo gadodafa sogebi amoga dili ahoa, ilia bai da adila: ?’ Amaiba: le, ilia da amo sogebi fa: noga ‘Gadodafa Sogebi’ dio sia: sa.
Ndipo nikawaambia: Ni nini maana yake hapa mahali pa juu pa kuabudia miungu mnapopaendea?’” (Basi jina la mahali pale panaitwa Bama hata hivi leo.)
30 Wali, Isala: ili dunuma, Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: be ilima adosima. ‘Dilia abuliba: le, dilia aowalalia ilia wadela: i hou defele, ogogosu ‘gode’ ilima hehenaia fa: no bobogesala: ?
“Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Je, mtajinajisi kama vile baba zenu walivyofanya na kutamani vinyago vyao vya machukizo?
31 Waha amolawane, dilia da ili defele gobele salasu hamosa. Dilia da dilia mano ogogosu ‘gode’ ilima laluga gobele salabeba: le, dilila: hou ledo hamosa. Abuliba: le dilia Isala: ili dunu da Na hamomu hanai adoleba: la mahabela: ? Na, Ouligisudafa Hina Gode da Fifi Ahoanusu Gode! Amaiba: le, Na da amane dafawane sia: sa. Na da dilia Nama adole ba: su logo hedofamu.
Mnapotoa matoleo yenu, yaani, wana wenu kafara katika moto, mnaendelea kujinajisi na sanamu zenu zote hadi siku hii ya leo. Je, niulizwe neno na ninyi, ee nyumba ya Israeli? Hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, mimi sitaulizwa neno na ninyi.
32 Dilia da eno fifi asi gala huluane ilia hou defele hamomusa: hanai gala. Ilia da ifa amola igi amoma nodone sia: ne gadosu hou hamosa. Be Na fi ilia da agoane hamomu da hamedei.
“‘Lile lililoko mioyoni mwenu kamwe halitatokea, mnaposema, “Tunataka tuwe kama mataifa mengine, kama watu wengine wa dunia, wanaotumikia miti na mawe.”
33 Na da Ouligisudafa Hina Gode! Amola na da Fifi Ahoanusu Gode esalebeba: le, Na da dafawane dilima sisane iaha. Na da ougiba: le, Na gasa bagade defele, dilima gasa fili ouligimu.
Hakika kama niishivyo asema Bwana Mwenyezi, nitatawala juu yenu kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.
34 Na da dili fifi asi gala enoenoi amoga afagogoi dagoi. Be Na da dilia sogega dili buhagima: ne gagadosea, Na da Na gasa bagade hou amola Na ougi hou dilima olelemu.
Nitawatoa toka katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlikotawanywa, kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.
35 Na da dili fifi asi gala eno amoga oule asili, dilia odagia ba: ma: ne se imunusa: fofada: mu. (Amogai esalea, dilia da amo fifi asi gala ‘Hafoga: i Soge Fifi Asi Gagai’ defele ba: mu).
Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.
36 Na da Sainai hafoga: i sogega dilia aowalalia ilima fofada: nanu, se iasu. Amo defele, Na da dilima fofada: mu,” Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa.
Kama nilivyowahukumu baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, ndivyo nitakavyowahukumu ninyi, asema Bwana Mwenyezi.
37 “Na da dili gasawane ouligimu amola dilia Na gousa: su nabawane hamoma: mu.
Nitawafanya mpite chini ya fimbo yangu, nami nitawaleta katika mkataba wa Agano.
38 Nowa da lelelewane wadela: i hou hamosea, Na da dilia mugululi misi gilisisu amoga fadegale fasimu. Ilia wali esalebe soge amoga Na da fadegamu. Be ilia da Isala: ili sogega hame buhagimu. Amasea, Na da Hina Gode, amo dilia da dawa: mu.”
Nitawaondoa miongoni mwenu wale wanaohalifu na wale wanaoasi dhidi yangu. Ingawa nitawatoa katika nchi wanazoishi, hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
39 Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: i, “Defea! Dilia Isala: ili dunu huluane! Dilia hanaiga hamoma! Dilia ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogema! Be Na da dilima sisane sia: sa. Dilia fa: no dilia hanai yolesili, Nama nabawane hawa: hamonanebe ba: mu. Amola dilia da ogogosu ‘gode’ ilima iasu yolesimuba: le, dilia da Na Dio bu hame lasogolalumu.
“‘Kwa habari zenu ninyi, ee nyumba ya Israeli, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nendeni mkatumikie sanamu zenu, kila mmoja wenu! Lakini baadaye hakika mtanisikiliza mimi nanyi hamtalinajisi tena Jina langu takatifu, kwa matoleo yenu na sanamu zenu.
40 Isala: ili soge ganodini, Na hadigi gadodafa goumi amo da: iya, Isala: ili dunu dilia da Nama nodone sia: ne gadomu. Na da dilima hahawane ba: mu. Amasea, Na da dilia gobele salasu liligi amola hahawane hadigi iasu amo huluane Nama gaguli misa: ne sia: mu.
Kwa kuwa katika mlima wangu mtakatifu, mlima mrefu wa Israeli, asema Bwana Mwenyezi, hapo katika nchi nyumba yote ya Israeli itanitumikia mimi, nami huko nitawakubali. Huko nitataka sadaka zenu na matoleo ya malimbuko yenu, pamoja na dhabihu zenu takatifu zote.
41 Na da dili fifi asi gala enoenoi amo ganodini esaloma: ne, amoga afagogoi dagoi. Be Na da dilia sogega dili buhagima: ne gagadosea, amo fa: no Na da liligi dilia gobele salimusa: gaguli maha, amo nodone lamu. Amasea, fifi asi gala huluane da Na da hadigidafa ba: mu.
Nitawakubali ninyi kama uvumba wenye harufu nzuri wakati nitakapowatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlipokuwa mmetawanyika, nami nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwenu na machoni mwa mataifa.
42 Na da Isala: ili soge amo dilia aowalalima imunusa: ilegele sia: i. Na da dili amogawi bu oule masea, dilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana, nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, nchi niliyokuwa nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu.
43 Amasea, dilia da wadela: i hou hamoi amola dilia hou ledo hamoi, amo dilia da bu gogosiane dawa: mu. Dilia da dilia musa: wadela: i hou dawa: beba: le, dilila: hou higamu.
Hapo ndipo nitakapokumbuka mwenendo wenu na matendo yenu yote ambayo kwayo mlijitia unajisi, nanyi mtajichukia wenyewe kwa ajili ya maovu yote mliyokuwa mmetenda.
44 Amola Na da Na hadigi hou gaga: musa: hamosea, dilia Isala: ili dunu da Na da Hina Gode dawa: mu. Bai Na da dilia wadela: idafa hou hamoi defele, dilima se hame iaha.” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
Nanyi mtajua kuwa mimi ndimi Bwana, nitakaposhughulika nanyi kwa ajili ya Jina langu na wala si sawasawa na njia zenu mbaya na matendo yenu maovu, ee nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.’”
45 Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe!
Neno la Bwana likanijia kusema:
46 Ga (south) ba: le gale, amo soge amola iwila amoma fofada: ma.
“Mwanadamu, uelekeze uso wako upande wa kusini, hubiri juu ya upande wa kusini na utoe unabii juu ya msitu wa Negebu.
47 Ga (south) iwila amoma e da Ouligisudafa Hina Gode Ea sia: nabima: ne amane sia: ma, ‘Ba: ma! Na da lalu didisa. Amo lalu da dia ifa huluane, gahe amola bioi, huluane nemu. Ha: ba: domu da hamedei ba: mu. E da gadili nene ahoasea, dunu huluane da lalu sawa: ga fane dogolomu.
Waambie watu wa Negebu: ‘Sikieni neno la Bwana. Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kukutia moto, nao utateketeza miti yako yote, mibichi na iliyokauka. Miali ya moto haitaweza kuzimwa na kila uso kutoka kusini mpaka kaskazini utakaushwa kwa moto huo.
48 Ilia huluane da Na, Hina Gode, Ni fawane da lalu ulagisiba: le, enoga ha: ba: domu hamedei ba: mu.’”
Kila mmoja ataona kuwa mimi Bwana ndiye niliyeuwasha huo moto, nao hautazimwa.’”
49 Be na da Godema gagabole sia: i, “Ouligisudafa Hina Gode! Nama agoane hamoma: ne, mae sia: ma! Dunu huluane da na da fedege idinamasu sia: fawane sia: sa, amo ilia hihini sia: daha.”
Ndipo niliposema, “Aa, Bwana Mwenyezi! Wao hunisema, ‘Huyu si huzungumza mafumbo tu?’”

< Isigiele 20 >