< Gadili Asi 6 >
1 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Wali Na Felouma gasa fili logesea, e da Na fi dunu ilia logo doasimu, amo di da ba: mu. Na da e logemuba: le, e da ili ea sogega fisili masa: ne sefasimu.”
Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
2 Amola Gode da Mousesema amane sia: i, “Na da Hina Gode.
Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
3 Na da A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima misini, ilia da Na Dio Gode Bagadedafa dawa: i galu. Be Na da Na Dio Hina Gode (Hibulu sia: Yawe) amo ilima hame olelei.
Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
4 Be Na da ilima gousa: su hamoi. Ilia da Ga: ina: ne soge amo ganodini ga fi agoane esalu. Be Na da Ga: ina: ne soge huluane ilima imunu ilegele sia: i.
Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
5 Idibidi dunu da Isala: ili fi amo udigili hawa: hamosu dunu hamoi dagoi. Wali Na da ilia gogonomasu amola se nabasu nabi dagoi. Na musa: gousa: su Na da bu dawa: lala.
Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
6 Amaiba: le, dia Na sia: Isala: ili dunuma olelema, amane, ‘Na da Hina Gode. Na da dili gaga: mu amola dili Idibidi dunuma udigili hawa: hamosu amo fisima: ne logo doasimu. Na da Na gasa bagade lobodafa ligia gadole, ilima bagadedafa se nabasimu. Amola Na da dili gaga: mu.
Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
7 Na da dili Na fi hamomu amola Na da dilia Gode esalumu. Na da dilia Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu amo logo doasisia, dilia da Na da Hina Godedafa amo dawa: mu.
Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
8 Na da dili amo soge Na da hemonega A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima ima: ne ilegele sia: i, amo sogega Na da dili oule masunu. Na da amo soge dili lalegaguma: ne, dilima imunu. Na da Hina Gode!’”
Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
9 Mousese da amo sia: huluane Isala: ili dunuma olelei. Be ilia da gasa bagade udigili hawa: hamosu hamobeba: le, ilia a: silibu da gasa hame ba: i. Amaiba: le, ilia da Mousese ea sia: dafawaneyale hame dawa: i.
Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
10 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
11 “Di Felouma e da Isala: ili dunu ilia gadili masunu logo doasima: ne amo sia: na masa!”
“Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
12 Be Mousese da bu adole i, “Isala: ili dunu huluane da na sia: hame naba. Amaiba: le, Idibidi hina bagade dunu da abuliba: le na sia: nabima: bela: ? Na sia: da dioi bagade, noga: i hame.”
Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
13 Be Hina Gode da gasa bagade Mousese amola Elane elama amane hamoma: ne sia: i, “Isala: ili dunu amola Felou ilima Na dima hamoma: ne sia: da agoane, ‘Na da gasa bagade dima adoi dagoi. Di Isala: ili dunu amo Idibidi soge yolesili gadili masa: ne bisili oule masa.’”
Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
14 Ya: igobe ea magobo mano Liubene da egefe biyaduyale lalelegei amo Ha: inoge, Ba: liu, Heselane amola Gami. Iligaga fi da ilia dio lai dagoi.
Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
15 Simiane egefe da gafeyale galu amo Yemiuele, Ya: imini, Ouha: de, Ya: igini, Souha amola Sia: iule (amo da Ga: ina: ne uda ea mano). Iligaga fi da ilia dio lai dagoi.
Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
16 Lifai egefe da osodayale galu amo Gesiome, Gouha: de amola Milalai. Iligaga fi da ilia dio lai dagoi. Lifai da ode 137 esalu bogoi.
Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
17 Gesiome egefe da aduna galu. Ela da Libinai amola Simia: i. Elama da elegaga fi dunu bagohame lalelegei.
Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
18 Gouha: de egefe da biyaduyale galu amo A: mala: me, Isaha, Hibalone amola Asaiele. Gouha: de da ode 133 esalu, bogoi.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
19 Milalai egefe da aduna galu amo Malai amola Musiai. Amo dedei da Lifai ea fi amola iligaga fi.
Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
20 A: mala: me da ea ada dalusi amo Yogebede lai dagoi. E da egefe Elane amola Mousese lalelegei. A: mala: me da ode 137 esalu bogoi.
Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
21 Isaha egefe da osodayale galu amo Goula, Nifege amola Sigalai.
Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
22 Asaiele da egefe osodayale galu. Ilia dio da Misia: ili, Elasa: ifa: ne amola Sidala: i.
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
23 Elane da Ilisiba (A: minada: be idiwi amola Nasione ea dalusi) amo lai dagoi. E da egefe biyaduyale lalelegei amo Na: ida: be, Abaihu, Elia: isa amola Idima.
Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
24 Goula da egefe osodayale galu amo A: se, Elaga: ina amola Abaia: sa: fe. Ilia da Goula fi ilima aowalali esalu.
Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
25 Elane egefe Elia: isa da Budiele idiwi lai dagoi. E da ema egefe Finia: se lalelegei. Amo dunu dedei da Lifai ea fi dunu ilima ada esalu.
Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
26 Gode da Mousese amola Elane elama amane sia: i dagoi, “Ali bisili Isala: ili dunu fi huluane Idibidi sogega gadili oule masa.”
Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
27 Ela da Idibidi hina bagade (Felou) amoma e da Isala: ili dunu gagui amo fisidigili, ili masa: ne logo doasima: ne sia: i.
Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
28 Hina Gode da Idibidi soge ganodini Mousesema sia: noba,
Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
29 E da amane sia: i, “Na da Hina Gode! Na dima sia: mu huluane, amo Felouma alofele adoma!”
alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
30 Be Mousese da bu adole i, “Di dawa: ! Na da sia: adole iasu noga: i hame dunu. Felou da abuliba: le na sia: nabima: bela: ?”
Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”