< Gadili Asi 6 >
1 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Wali Na Felouma gasa fili logesea, e da Na fi dunu ilia logo doasimu, amo di da ba: mu. Na da e logemuba: le, e da ili ea sogega fisili masa: ne sefasimu.”
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Sasa utaona kitu nitakachomfanyia Farao: Kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawaachia watu waende; kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”
2 Amola Gode da Mousesema amane sia: i, “Na da Hina Gode.
Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi Bwana.
3 Na da A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima misini, ilia da Na Dio Gode Bagadedafa dawa: i galu. Be Na da Na Dio Hina Gode (Hibulu sia: Yawe) amo ilima hame olelei.
Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
4 Be Na da ilima gousa: su hamoi. Ilia da Ga: ina: ne soge amo ganodini ga fi agoane esalu. Be Na da Ga: ina: ne soge huluane ilima imunu ilegele sia: i.
Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.
5 Idibidi dunu da Isala: ili fi amo udigili hawa: hamosu dunu hamoi dagoi. Wali Na da ilia gogonomasu amola se nabasu nabi dagoi. Na musa: gousa: su Na da bu dawa: lala.
Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.
6 Amaiba: le, dia Na sia: Isala: ili dunuma olelema, amane, ‘Na da Hina Gode. Na da dili gaga: mu amola dili Idibidi dunuma udigili hawa: hamosu amo fisima: ne logo doasimu. Na da Na gasa bagade lobodafa ligia gadole, ilima bagadedafa se nabasimu. Amola Na da dili gaga: mu.
“Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi Bwana, nami nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.
7 Na da dili Na fi hamomu amola Na da dilia Gode esalumu. Na da dilia Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu amo logo doasisia, dilia da Na da Hina Godedafa amo dawa: mu.
Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri.
8 Na da dili amo soge Na da hemonega A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima ima: ne ilegele sia: i, amo sogega Na da dili oule masunu. Na da amo soge dili lalegaguma: ne, dilima imunu. Na da Hina Gode!’”
Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi Bwana.’”
9 Mousese da amo sia: huluane Isala: ili dunuma olelei. Be ilia da gasa bagade udigili hawa: hamosu hamobeba: le, ilia a: silibu da gasa hame ba: i. Amaiba: le, ilia da Mousese ea sia: dafawaneyale hame dawa: i.
Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu makuu ya moyoni na utumwa wa kikatili.
10 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
11 “Di Felouma e da Isala: ili dunu ilia gadili masunu logo doasima: ne amo sia: na masa!”
“Nenda, mwambie Farao mfalme wa Misri awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.”
12 Be Mousese da bu adole i, “Isala: ili dunu huluane da na sia: hame naba. Amaiba: le, Idibidi hina bagade dunu da abuliba: le na sia: nabima: bela: ? Na sia: da dioi bagade, noga: i hame.”
Lakini Mose akamwambia Bwana, “Ikiwa Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa kigugumizi?”
13 Be Hina Gode da gasa bagade Mousese amola Elane elama amane hamoma: ne sia: i, “Isala: ili dunu amola Felou ilima Na dima hamoma: ne sia: da agoane, ‘Na da gasa bagade dima adoi dagoi. Di Isala: ili dunu amo Idibidi soge yolesili gadili masa: ne bisili oule masa.’”
Ndipo Bwana akanena na Mose na Aroni kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka Misri.
14 Ya: igobe ea magobo mano Liubene da egefe biyaduyale lalelegei amo Ha: inoge, Ba: liu, Heselane amola Gami. Iligaga fi da ilia dio lai dagoi.
Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.
15 Simiane egefe da gafeyale galu amo Yemiuele, Ya: imini, Ouha: de, Ya: igini, Souha amola Sia: iule (amo da Ga: ina: ne uda ea mano). Iligaga fi da ilia dio lai dagoi.
Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.
16 Lifai egefe da osodayale galu amo Gesiome, Gouha: de amola Milalai. Iligaga fi da ilia dio lai dagoi. Lifai da ode 137 esalu bogoi.
Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.
17 Gesiome egefe da aduna galu. Ela da Libinai amola Simia: i. Elama da elegaga fi dunu bagohame lalelegei.
Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.
18 Gouha: de egefe da biyaduyale galu amo A: mala: me, Isaha, Hibalone amola Asaiele. Gouha: de da ode 133 esalu, bogoi.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.
19 Milalai egefe da aduna galu amo Malai amola Musiai. Amo dedei da Lifai ea fi amola iligaga fi.
Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.
20 A: mala: me da ea ada dalusi amo Yogebede lai dagoi. E da egefe Elane amola Mousese lalelegei. A: mala: me da ode 137 esalu bogoi.
Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.
21 Isaha egefe da osodayale galu amo Goula, Nifege amola Sigalai.
Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.
22 Asaiele da egefe osodayale galu. Ilia dio da Misia: ili, Elasa: ifa: ne amola Sidala: i.
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
23 Elane da Ilisiba (A: minada: be idiwi amola Nasione ea dalusi) amo lai dagoi. E da egefe biyaduyale lalelegei amo Na: ida: be, Abaihu, Elia: isa amola Idima.
Aroni akamwoa Elisheba binti wa Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
24 Goula da egefe osodayale galu amo A: se, Elaga: ina amola Abaia: sa: fe. Ilia da Goula fi ilima aowalali esalu.
Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.
25 Elane egefe Elia: isa da Budiele idiwi lai dagoi. E da ema egefe Finia: se lalelegei. Amo dunu dedei da Lifai ea fi dunu ilima ada esalu.
Eleazari mwana wa Aroni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo.
26 Gode da Mousese amola Elane elama amane sia: i dagoi, “Ali bisili Isala: ili dunu fi huluane Idibidi sogega gadili oule masa.”
Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao Bwana aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.”
27 Ela da Idibidi hina bagade (Felou) amoma e da Isala: ili dunu gagui amo fisidigili, ili masa: ne logo doasima: ne sia: i.
Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.
28 Hina Gode da Idibidi soge ganodini Mousesema sia: noba,
Bwana aliponena na Mose huko Misri,
29 E da amane sia: i, “Na da Hina Gode! Na dima sia: mu huluane, amo Felouma alofele adoma!”
akamwambia, “Mimi ndimi Bwana. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”
30 Be Mousese da bu adole i, “Di dawa: ! Na da sia: adole iasu noga: i hame dunu. Felou da abuliba: le na sia: nabima: bela: ?”
Lakini Mose akamwambia Bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”