< Gadili Asi 31 >

1 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Yahweh akasema na Musa,
2 “Na da Bisa: liele (Uli egefe amola He ea aowa), Yuda fi dunu, amo ilegei.
“Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda
3 Na da Na A: silibu amoga ema gasa nabaiwane i. Na da ema bagade dawa: su hou i dagoi. Na da e hawa: hamosu noga: iwane hamoma: ne, ema gasa i.
Nami nimemjaza Bezaleli na roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina,
4 E da gouli, silifa amola balase amoga liligi noga: iwane hamosu dawa:
ili abuni kazi za ustadi, kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba,
5 E da igi noga: iwane hamone liligi ida: iwane hahamosu dawa: E da ifa hedofale, ida: iwane liligi hamomusa: dawa: Bai Na da amo hawa: hamomusa: gini, Na A: silibu Ea gasa ema i dagoi.
na kukata vito kwa kutiwa mahali, na kuchora miti, na kufanya kazi ya ustadi iwayo yote.
6 Amola Na eno dunu afae e fidima: ne ilegei. E da Ouhoulia: be, Ahisama: ge ea mano (Da: ne fi dunu). Amola Na da eno noga: i hawa: hamosu dunu, ilia da Na sia: i liligi noga: le hahamoma: ne, ilima gasa i dagoi.
Tena, nimemchagua, awe pamoja naye Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila ya Dani. Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima, ili wapate kufanya vyote nilivyokuagiza. Hii ni,
7 Na Hadigi Abula Diasu, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili, ea ga: lu, liligi huluane Abula Diasu ganodini,
hema ya kukutania na sanduku la ushuhuda, na kiti cha rehema kilicho juu yake, na vyombo vyote vya Hema;
8 fafai amola ea liligi, gouliga hamoi gamali bai amola ea genonesisu liligi, gabusiga: manoma gobesisu oloda,
na meza, na vyombo vyake, na kinara cha taa safi pamoja na vyombo vyake vyote,
9 ohe gobele salasu oloda amola ea liligi, dodofesu ofodo amola ea bai,
na madhabahu ya kufukizia uvumba; na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote, na birika na tako lake.
10 Elane amola egefelali ilia abula ida: iwane gala amo ilia da Na hawa: hamosea salimu,
Pia mavazi yenye kufumwa kwa uzuri, na mavazi matakatifu ya Haruni kuhani, na mavazi ya wanawe, ili kutumika katika kazi ya ukuhani.
11 ilegesu susuligi amola gabusiga: manoma Hadigidafa Momei Sesei amo ganodini gobesimusa: , amo liligi huluane hahamosea, hawa: hamosu dunu ilia da Na dima hamoma: ne sia: i defele, noga: le hahamoma: ne sia: ma.”
Pia mafuta ya kutiwa, na uvumba wa manukato mazuri, kwa ajili ya mahali patakatifu; sawasawa na yote niliyokuagiza ndivyo watakavyofanya wao.
12 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
akasema na Musa,
13 “Isala: ili dunu ilima amane adoma, ‘Sa: bade eso da Na helefisu eso. Amaiba: le, Sa: bade eso noga: le dawa: ma. Bai Sa: bade eso da dunu huluane ba: ma: ne, dawa: digima: ne olelesu diala. Amo ilegei da Na, Hina Gode da dili Na fidafa hamoi dagoi amo olelesa.
“Waambie wana wa Israeli, 'Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi.
14 Amo eso da hadigi hamoiba: le, noga: le dawa: ma. Nowa da amo eso mae dawa: le, udigili hawa: hamosea, amo dunu medole legema.
Basi mtaishika hiyo Sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.
15 Dilia da eso gafeyale gala amoga dilia hawa: hamosu hamomu da defea. Be eso fesu da hadigi eso - Na esodafa. Nowa da amo esoga hawa: hamosea, amo dunu da fanelegei dagoi ba: mu.
Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika yake atauawa.
16 Amo eso da Na Gousa: su amo dawa: digima: ne olelesu gala. Amaiba: le, Isala: ili dunu! Dilia amo sema noga: le dawa: ma!
Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato. Kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele.
17 Amo dawa: digima: ne olelesu da eso huluane dialumu. Bai Na, Hina Gode, da eso gafeyale gala amoga osobo bagade amola mu hahamoi dagoi. Be eso fesu amoga, Na da hawa: hamosu yolesili, helefi.’”
Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita Yahweh alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika.
18 Gode da Sainai Goumia Mousesema Ea sia: dagoloba, E da igi gasui aduna amoga E da Hisu Ea hamoma: ne sia: i dedei, amo Mousesema i dagoi.
Hapo Mungu alipokuwa amekwisha zungumza na Musa katika mlima wa Sinai, akampa hizo mbao mbili za ushuhuda, mbao mbili za mawe, zilizoandikwa kwa mkono wake.

< Gadili Asi 31 >