< Gadili Asi 29 >

1 Hina Gode da eno amane sia: i, “Di da Elane amola egefelali, Nama gobele salasu hawa: hamoma: ne, agoane momogili gagale ilegema. Bulamagau gawali afadafa waha debe amola sibi gawali aduna amo da aiya o eno ledo hamedei, amo lama.
Sasa Hivi ndivyo wapaswa kufanya kuwatenga ili wanitumikie kama makuhani. Chukuwa mtoto wa ng'ombe dume na kondoo bila lawama,
2 Widi falaua noga: idafa (yisidi hame sali) amo lale, mogili olife susuligi gilisili ga: gi hamoma. Mogili olife susuligi mae salawane ga: gi hamoma. Mogili belawagi agoane hamone, olife susuligi amoga ulasima.
mkate bila hamira, na keki bila hamira iliyo changanywa na mafuta. Pia chukuwa maandazi bila hamira yalio pakwa mafuta. Fanya maandazi kwa unga mzuri wa ngano.
3 Amo daba ganodini salima. Dilia da bulamagau gawali amola sibi gawali aduna Nama gobele salasu hamosea, amo ga: gi hamoi Nama ima.
Lazima uweke kwenye ndoo moja, leta kwenye ndoo, na kuleta pamoja na ng'ombe dume na wana kondoo wawili.
4 Elane amola egefelali Na Abula Diasu Holeiga oule misa. Ilia da hanoga ulima: ne sia: ma.
Lazima nawe umlete Aruni na wana wake wawili katika lango la kuingilia hema la kukutania. Lazima uwasafishe Aruni na wana wake kwenye maji.
5 Amasea, Elane amoma gobele salasu abula huluane gasisa: lima. Amo da da: i salasu, abula da ‘ifode’ hagudu sala, ‘ifode’, Bidegi Gaga: su amola bulu.
Kisha twaa hayo mavazi na kumvika Haruni; itie kanzu, na joho ya naivera, na naivera, na kifuko cha kifuani, na kumkaza kwa huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
6 Abula habuga ema figisima amola hadigi nina: hamoi liligi (amoga dedei da “Hina Godema hadigi hamoma: ne mogili gagai dagoi”) amo habuga amoga lala: gilisima.
Nawe mvike kile kilemba kichwani, na ile taji takatifu utaitia katika kile kilemba.
7 Amasea, olife susuligi (Gobele salasu dunu ilegesu liligi) amo lale, amo ea dialuma da: iya sogadigili, gobele salasu dunu ligiagale ilegema.
Ndipo utakapotwaa hayo mafuta ya kutiwa, na kummiminia kichwani mwake, na kumtia mafuta.
8 Elane egefelali oule misini, ilima da: i salasu gasisa: lima.
Kisha walete hao wanawe na kuwavika kanzu.
9 Ilia hagomo sisiga: musa: , abula bulu legema amola habuga ilia dialumaga lala: gilisima. Di Elane amola egefelali amola iligaga fi da Nama mae yolesili gobele salasu hawa: hamonanoma: ne, ili momogili gagale ilegema.
Nawe uwakaze mishipi, Aruni na wanawe, na kuwavika kofia. Nao watakuwa na huo ukuhani kwa amri ya milele. Nawe utawaweka Haruni na wanawe kwa kazi takatifu.
10 Bulamagau gawali amo Abula Diasu ea ba: le gaidiga oule misini, Elane amola egefelali da ea dialuma da: iya ilia lobo ligisima: ne sia: ma.
Kisha utamleta huyo ng’ombe mbele ya hema ya kukutania; na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo ng’ombe.
11 Abula Diasu holei gadenene, Na, Hina Gode Na ba: le gaidiga amogai bulamagau gawali fanelegema.
Kisha utamchinja huyo ng’ombe mbele ya Yahweh pa hema ya kukutania. BWANA,
12 Bulamagau gawali ea maga: me mogili lale, dia lobosogo amoga oloda ea ‘hono’ amoga legema. Maga: me oda huluane amo oloda ea bai amoga sogadigima.
Kisha twaa baadhi ya damu ya ng’ombe, uitie katika pembe za madhabahu kwa kidole chako; na kuimimina damu yote chini ya madhabahu.
13 Amasea, bulamagau ea oso sefe amo da iga dedebosa, habe noga: i la: di amola fogome ganumu aduna ela sefe amo lale, oloda da: iya gobesima.
Kisha chukuwa mafuta yote yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo juu yake, uyateketeze yote juu ya madhabahu.
14 Be bulamagau gawali ea hu, ea gadofo amola ea iga huluane dilia abula diasu gilisisu (fisisu) amoga gadili gaguli asili, gobesima. Amo da gobele salasu Nama iaha amo gobele salasu dunu ilia wadela: i hou fadegale fasima: ne hamosa.
Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake, utayachoma kwa moto nje ya marago; ni sadaka kwa ajili ya dhambi.
15 Sibi gawali afadafa lale, Elane amola egefelali ilia lobo amo ea dialuma da: iya ligisima: ne sia: ma.
Pia mtwae kondoo mume mmoja; na Aruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo mume.
16 Amasea, amo sibi medole legele, ea maga: me amo oloda ea la: di biyaduyale gala amoga adagala: ma.
Kisha utamchinja huyo kondoo mume, na kuitwaa damu yake, na kuinyunyiza katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
17 Sibi gawali amo ea da: i hodo dasega: ma. Ea iga amola baligidu emo dodofelalu, ea hodo dasega: i amola dialuma amo da: iya ligisima.
Kisha utamkata-kata kondoo vipande vyake, na kuyaosha matumbo yake na miguu yake, na kuiweka pamoja na vipande vyake na kichwa chake,
18 Amo sibi gawali oloda da: iya gobele salasu Nama iasu hamoma: ne, amo gobesima. Na da amo gobele iasu ea gabusiga: hahawane nabimu.
nawe mteketeze kondoo mzima juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yaYahweh; ni harufu nzuri, sadaka iliyosongezwa kwa Yahweh kwa njia ya moto.
19 Sibi gawali eno (gobele salasu dunu mogili gagale hamoma: ne sibi) amo lale, Elane amola egefelali ilia lobo amo ea dialuma da: iya ligisima: ne sia: ma.
Kisha mtwae huyo kondoo mwingine; na Aruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo.
20 Amasea amo sibi medole legele, ea maga: me mogili amo Elane amola egefelali ilia ge hedefo lobodafa la: didili, ilia lobodafa ea bi amola ilia emodafa ea bi amoga legema. Maga: me oda amo oloda ea la: di biyaduyale gala amoga adagala: ma.
Kisha utamchinja kondoo, na kuitwaa damu yake, na kuitia katika ncha ya sikio la Aruni la upande wa kuume, na katika ncha za masikio ya kuume ya wanawe, na katika vyanda vya gumba vya mikono yao ya kuume, na katika vidole vikuu vya miguu yao ya kuume, na kuinyunyiza hiyo damu katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
21 Maga: me oloda da: iya diala amo mogili lale, ilegesu susuligi mogili lale, amo Elane amola egefelali ilia da: i hodo amola ilia abula amoga adagala: ma. Amasea, e amola egefelali da Nama momogili gagai dagoi ba: mu.
Kisha twaa katika hiyo damu iliyo juu ya madhabahu, na katika hayo mafuta ya kutiwa, na kumnyunyizia Aruni, juu ya mavazi yake, na wanawe, na mavazi yao pia, pamoja naye; naye atatakaswa, na mavazi yake, na wanawe, na mavazi ya wanawe, pamoja naye.
22 Sibi gawali ea sefe la: go, oso sefe amo da iga dedebosa, habe noga: i la: di, fogome ganumu aduna amola ela sefe dedebosu amola emodafa amo gobiheiga damuni fasima.
Tena yatwae mafuta ya huyo kondoo mume, na mkia wake wa mafuta, na mafuta yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo katika hizo figo, na paja la kuume; kwani ni kondoo ambaye ni wa kuwekwa kwa kazi takatifu.
23 Daba amo ganodini agi ga: gi da Nama iasu diala, amoga agi afae olife susuligi gilisi, agi afae susuligi hame sali amola agi afae belowagi agoane hamoi, amo lama.
Utwae na mkate mmoja wa unga, na mkate mmoja ulioandaliwa kwa mafuta, na kaki moja katika kile kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, kilichowekwa mbele ya Yahweh.
24 Amo ha: i manu huluane amo Elane amola egefelali ilia lobo ganodini ligisima. Ilia da amo Nama iasu ida: iwane gala modale ligiagama: ne sia: ma.
Nawe utavitia hivi vyote katika mikono ya Aruni, na katika mikono ya wanawe; nawe utavitikisa-tikisa viwe sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
25 Amasea, amo ha: i manu ilima bu lale, oloda da: iya, musa: gobele iasu amo gadodili gobesima. Amo da Nama ha: i manu gobele iasu. Na da ea gabusiga: hahawane nabimu.
Kisha uvitwae vile vitu mikononi mwao, na kuviteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa, viwe harufu nzuri mbele yangu; ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto.
26 Amo sibi gawali ea bidegi lale, Nama iasu baligili noga: i hamoma: ne momodale ligiagama. Amo bidegi di moma: ne lama.
Kisha twaa kidari cha huyo kondoo wa kuwekwa kwake Haruni kwa kazi takatifu, na kukitikisa-tikisa kiwe sadaka ya kutikiswa mbele za Yahwe nacho kitakuwa ni sehemu yako.
27 Dilia da gobele salasu dunu gobele salasu hawa: hamoma: ne momogili gagasea, sibi gawali dilia gobele salasu dunu ilegemusa: gobele sala amo ea bidegi amola ea maseledafa, dilia Nama hahawane ima: ne ilegema. Amasea, gobele salasu dunu ilia da amo moma: ne la: didili ligisima.
Nawe kitakase kile kidari cha ile sadaka ya kutikiswa, na lile paja la sadaka ya kuinuliwa, lililotikiswa, na lililoinuliwa juu, vya yule kondoo wa kuwekwa kwa kazi takatifu, huyo aliyekuwa kwa ajili ya Aruni na wanawe.
28 Na da Na asigi dawa: su hame afadenemu. Na fi dunu da ilia gobele iasu hamosea, ilia da bidegi amola maseledafa amo gobele salasu dunuma imunu. Amo da Na fi dunu ilia Nama hahawane iasu gala.
Navyo vitakuwa vya Haruni na wanawe posho ya lazima sikuzote itokayo kwa hao wana wa Israeli; kwa kuwa ni sadaka ya kuinuliwa; nayo itakuwa ni sadaka ya kuinuliwa itokayo kwa hao wana wa Israeli katika dhabihu zao za sadaka za amani, ni sadaka yao ya kuinuliwa kwa ajili ya Yahweh.
29 Elane da bogosea, ea gobele salasu abula amo egefelali ilia gobele salasu ilegesea salima: ne, ilima ima.
Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake, wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu.
30 Elane nowa egefe da ea sogebi labeba: le, Abula Diasu Hadigi Malei Sesei amo ganodini hawa: hamomusa: gini golili daha, amo da Elane ea abula eso fesuale salawane esalumu.
Huyo mwanawe atakayekuwa kuhani badala yake atayavaa muda wa siku saba, hapo atakapoingia ndani ya hiyo hema ya kukutania, ili atumike ndani ya mahali patakatifu.
31 Sibi gawali amo Elane amola egefelali ilegemusa: medole legei, amo ea hu lale, hadigi sogebi amoga egema.
Nawe twaa huyo kondoo mume aliyekuwa wa kuwekwa kwa kazi takatifu, na kuitokosa nyama yake katika mahali patakatifu.
32 Ilia da amo amola agi daba ganodini dialebe, Na Abula Diasu amo ea logo holeiga moma: ne sia: ma.
Na Aruni na wanawe wataila ile nyama ya kondoo, na mikate iliyo katika kile kikapu, hapo mbele ya mlango wa hema ya kukutania.
33 Ha: i manu amo ilia gobele salasu ilegesu gilisisu ganodini hamoi, amo ilia da manu. Amo ha: i manu da hadigi hamoiba: le, gobele salasu dunu fawane da manu.
Nao watakula vile vitu ambavyo upatanisho ulifanywa kwa hivyo, ili kuwaweka kwa kazi takatifu na kuwatakasa; lakini mgeni asivile, maana, ni vitu vitakatifu.
34 Be aya hahabe doaga: sea, hu o agi mogili hame mai dialebe ba: sea, amo gobele salima. Amo da hadigi hamoiba: le, manu da sema bagade.
Na kwamba kitu cho chote cha ile nyama, iliyo kwa ajili ya kuweka kwa kazi takatifu, au cho chote cha hiyo mikate, kikisalia hata asubuhi, ndipo utavichoma kwa moto hivyo vilivyosalia; havitaliwa, maana, ni vitu vitakatifu
35 Elane amola egefelali gobele salasu dunu momogili gagama: ne, amo hou Na sia: i defele eso fesuale amoga noga: le hamoma.
Ni hivyo utakavyowatendea Aruni na wanawe kama nilivyo kuagiza. Utawaweka kwa kazi takatifu siku saba.
36 Amo eso fesuale ganodini, eso afae afae huluane wadela: i hou gogolema: ne olofoma: ne, bulamagau gawali afadafa gobele salasu hamoma: ne medole legema.
Kila siku utamtoa ng’ombe wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho; nawe utaisafisha hiyo madhabahu, hapo utakapofanya upatanisho kwa ajili ya hiyo madhabahu; nawe utaitia mafuta, ili kuitakasa.
37 Eso afae amo hamoma, amola aya eso eno medole legema, asili eso fesuale hamosea fisima. Amasea, oloda da hadigidafa ledo hamedei agoane ba: mu. Amola ea hadigi da gasa bagadeba: le, nowa dunu o liligi da amo oloda digili ba: sea, e da se nabasu ba: mu.
Utafanya upatanisho kwa ajili ya hiyo madhabahu muda wa siku saba, na kuitakasa; ndipo madhabahu itakapokuwa takatifu sana; kila kitu kiigusacho madhabahu kitakuwa kitakatifu.
38 Eso huluane mae yolesili, dilia da sibi mano aduna amo da ode afadafa esalu amo medole legele oloda da: iya gobele salima.
Lazima utoe kwenye madhabahu wana-kondoo wa mwaka mmoja wawili siku baada ya siku
39 Sibi mano afadafa amo hahabe gobele salima. Eno da daeya gobele salima.
daima. Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni
40 Sibi mano hahabe gobele salasea, amo gilisili widi falaua l gilogala: me amola ‘lida’ afae olife susuligi ima. Amola waini ‘lida’ afae amo Hina Godema ima: ne sogadigima.
Pamoja na mwana-kondoo mmoja utatoa vibaba vitatu vya unga mzuri uliochanganyika na mafuta yenye kupondwa, kiasi cha kibaba na robo kibaba; na divai kiasi cha kibaba na robo kibaba, iwe sadaka ya kinywaji.
41 Daeya amo sibi mano eno gobele salasea, hahabe defele widi falaua, olife susuligi amola waini amo gilisili ima. Amo da ha: i manu Na, Hina Godema iasu. Na da amo gabusiga: hahawane naba.
Na huyo mwana-kondoo wa pili utamchinja wakati wa jioni. Nawe utamfanyia vivyo kama ile sadaka ya unga ya asubuhi, na kama ile sadaka yake ya kinywaji. Hii itatoa harufu nzuri, ni dhabihu ya kusongezwa kwangu kwa njia ya moto.
42 Amo eso huluane mae yolesili, amo gobele salasu gobei dilia Na Abula Diasu Holeiga Nama iasu hamonanoma. Na da amo Logo Holeiga Na fi dunu gousa: le, ilima sia: sa: imu.
Itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa milele katika vizazi vyenu vyote mlangoni pa ile hema ya kukutania mbele ya Yahweh, hapo nitakapokutana nanyi, ili niseme na wewe hapo.
43 Na da amogai Na fi Isala: ili amo gousa: mu. Amola Na hadigi sinenemegi da amo sogebi hadigi hamomu.
Nami nitakutana na wana wa Israeli hapo; na hiyo hema itafanywa takatifu na utukufu wangu. Nami nitaitakasa hiyo hema ya kukutania, na hiyo madhabahu.
44 Na da Abula Diasu amola oloda amo hadigi hamomu. Amola Na da Elane amola egefelali eno dunuma afafane, ilia Na gobele salasu hawa: hamoma: ne, momogili gagale ilegemu.
Pia Aruni na wanawe nitawatakasa, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
45 Na da Isala: ili fi dunu ilia gilisisu ganodini esalumu amola Na da ilia Gode esalebe ba: mu.
Na mimi nitakaa kati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.
46 Na da ilia Hina Gode amola Na da ilia gilisisu ganodini esalumusa: , Idibidi sogega fisili masa: ne gadili asunasi, amo ilia da dawa: mu. Na da ilia Hina Gode!”
Nao watanijua kuwa mimi ndimi Yahweh, Mungu wao, niliyewaleta watoke katika nchi ya Misri, nipate kukaa kati yao. Ni mimi Yahweh, Mungu wao.

< Gadili Asi 29 >