< Gadili Asi 28 >

1 Gode da eno amane sia: i, “Dia ola Elane amola egefelali amo Na: ida: be, Abaihu, Elia: isa amola Idama amo misa: ne sia: ma. Ilia da Nama gobele salasu hawa: hamosu hamoma: ne, Isala: ili dunu fi eno ilima afafama.
“Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
2 Abula noga: iwane dia ola Elane salima: ne hahamoma. E da amo ga: sea, mimogo amola isisima: goi ba: mu.
Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
3 Na da abula hahamosu dunu mogili ilima noga: le hawa: hamoma: ne, gasa i dagoi. Amo misa: ne sia: ne, ilia da Elane ea abula noga: i amo hamomu. Bai Na da e Na gobele salasu hawa: hamomusa: ilegemu gala.
Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.
4 Ilima amane adoma, ‘Dilia bidegi dedebosu, ‘ifode’, abuladafa, da: i salasu amoga da dedene amuni, abula habuga amola abula bulu amo hahamoma. Amo liligi Elane amola egefelali da Nama gobele salasu hawa: hamoma: ne salimusa: , noga: le hamoma.
Haya ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na mshipi. Mavazi haya yatashonwa kwa ajili ya ndugu yako Aroni na wanawe ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
5 Amo bagade dawa: su abula hahamosu dunu da sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amola gouli gobiaha: i amola abula noga: idafa amoga gobele salasu dunu ilia abula hahamomu.
Waambie watumie dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani safi.
6 Ilia da ‘ifode’ amo sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi, amola abula noga: i amoga hamomu. Noga: i ba: ma: ne ilia da abula amo da: iya dedene amunimu.
“Tengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.
7 Bulu aduna amo da ‘ifode’ amo gobele salasu dunu ea gida adunaga la: gilisimusa: hamoma.
Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kufungia kisibau.
8 Abula bulu da ‘ifode’ amoma madelagi ba: mu.
Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi utafanana nacho: utakuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao utengenezwe kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri.
9 ‘Ganilia: ne’ igi aduna noga: iwane lale, amoga Ya: igobe egefelali fagoyale gala ilia dio dedema.
“Chukua vito viwili vya shohamu, na uchore juu yake majina ya wana wa Israeli
10 Magobo mano hidadea dedema. Amalu, magobo bagia amalu amo baligia asili ufi mano dedema.
kufuatana na walivyozaliwa: majina sita katika kito kimoja, na mengine sita katika kito kingine.
11 Igi dedesu dunu noga: idafa da amo hawa: hamoma: ne sia: ma. Amo igi gouli bai hahamone, amo ganodini salima.
Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya vito hivyo viwili kama vile sonara anavyochonga muhuri. Kisha uvitie vito hivyo katika vijalizo vya dhahabu,
12 Amasea, amo igi da ‘ifode’ bulu amo gida da: iya lala: gilisima. Amasea, Elane da Isala: ili fi huluane ilia dio amo gisa masunu. Amola, Na, Hina Gode, Na da mae yolesili, Na fi dunu dawa: lalumu.
na uvifungie juu ya vipande vya mabega ya kisibau yawe kama vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli. Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake kama kumbukumbu mbele za Bwana.
13 Gouli bai aduna hamone,
Tengeneza vijalizo vya dhahabu
14 gouli sia: ine aduna, gobiaha: i defele bione hamone, amo baiga lala: gilisima.
na mikufu miwili ya dhahabu safi iliyosokotwa kama kamba, na uifunge mikufu hiyo kwenye vijalizo.
15 Gobele salasu Ouligisu dunu amo salima: ne bidegi gaga: su amoga e da Gode Ea hanai dawa: mu, amo ‘ifode’ ea sibi hinabo abula amola amunisu amo defele hamoma.
“Fanyiza kifuko cha kifuani kwa ajili ya kufanya maamuzi, kazi ya fundi stadi. Kitengeneze kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.
16 Amo ea defei da la: di afae da 22 sedimida amola la: di eno da defele 22 sedimida. Amo abula dogoa selefale abula aduna agoane ba: mu.
Kitakuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja na upana wa shibiri moja, na kikunjwe mara mbili.
17 Amoga igi noga: iwane dadalesu biyaduyale gala bulufalegele la: gilisima. Dadalesu age ganodini, igi udiana amo ‘lubi’, ‘douba: se’ amola ‘ganede’ la: gilisima.
Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
18 Dadalesu ageyadu ganodini igi udiana eno amo ‘emelalede’, ‘sa: faia’ amola ‘daimode’ la: gilisima.
katika safu ya pili itakuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
19 Dadalesu osoda ganodini igi udiana amo ‘degaoise’, ‘a: gade’ amola ‘a: midiside’ la: gilisima.
safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
20 Dadalesu biyadu amo ganodini igi udiana eno amo ‘belile’, ‘ganilia: ne’ amola ‘ya: sabe’ la: gilisima. Amo noga: i igi huluane afae afae gouli bai amoga madelagima.
na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.
21 Amo igi fagoyale gala huluane afae afae amoga Ya: igobe egefelali ilia dio huluane dedema. Amo dio da Isala: ili fi fagoyale gala ilia dio.
Patakuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kwa jina mojawapo la wana wa Israeli, kila kimoja kichorwe kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.
22 Bidegi gaga: su amoga gouli sia: ine gobiaha: i defele bione lala: gilisima.
“Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani, tengeneza mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.
23 Gouli gasisalasu aduna gouliga hamoi amo bidegi gaga: su ea gado hegomai aduna amoga lala: gilisima.
Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili yake, uzifungie kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.
24 Gouli sia: ine aduna amo gasisalasuga lala: gilisima.
Funga ile mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete zilizo katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,
25 Gouli sia: ine aduna eno bidi amo gouli bai aduna amoga lala: gilisima. Amasea, ilia da ‘ifode’ ea gida bulu amoga lala: gilisi ba: mu.
nazo zile ncha nyingine za mkufu zifunge kwenye vile vijalizo viwili, na uzishikamanishe na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.
26 Amasea, gouli gasisalasu aduna eno hamone, bidegi gaga: su ea gudu hegomai aduna ganodini ‘ifode’ dafulili amoga lala: gilisima.
Tengeneza pete mbili za dhahabu, uzishikamanishe kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.
27 Gouli gasisalasu aduna eno hamone, amo da ‘ifode’ ea gida bulu ea gududi bulu eno amoga gadodili lala: gilisima.
Tengeneza pete nyingine mbili za dhahabu, na uzishikamanishe sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.
28 Bidegi gaga: su amo ea gasisalasu amo ‘ifode’ ea gasisalasu amoga mola: ya: i gobiaha: i amoga lala: gilisima. Bai agoane hamosea, Bidegi Gaga: su da bulu gadodili dialumu. Amola e da hoholei hame ba: mu.
Pete za kifuko cha kifuani zitafungwa kwenye pete zile za kisibau kwa kamba ya buluu, ziunganishwe na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau.
29 Elane da Hadigi Malei Sesei amo ganodini golili dasea, e da Bidegi Gaga: su amoga Isala: ili fi ilia dio dedei ea dogo gadenene salawane golili sa: imu. Amaiba: le, Na, Hina Gode da Na fi eso huluane mae yolesili dawa: lalumu.
“Wakati wowote Aroni aingiapo Mahali Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya kudumu mbele za Bwana.
30 Igi aduna amo Ulimi amola Damini amo Bidegi Gaga: su ganodini salima. Amasea, Elane da Hadigi Malei Sesei (amo ganodini Hina Gode da esalebe) amo ganodini masea e da ea dogo dafulili Ulimi amola Damini gaguli misunu. Amasea, e da Na da Na fi dunu ilia hou hamoma: ne ilegei, amo dawa: digimu.
Pia weka Urimu na Thumimu ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za Bwana. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa Israeli mbele za Bwana.
31 Hina Gode da eno amane sia: i, “Gobele salasu dunu ilia abula amo ‘ifode’ dedebosu da sibi hinabo mola: ya: i amoga fawane hamoma.
“Shona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu,
32 Gobele salasu dunu ilia dialuma salimusa: gelabo da abula ganodini ba: mu. Amo gelabo da mae gadelama: ne ea fe amo gasa ima: ne noga: le amunima.
na katikati uweke nafasi ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe uliofumwa, unaofanana na ukosi kuizunguka nafasi hiyo, ili isichanike.
33 Abula ea fe gudu diala amoga ‘bomigala: nidi’ ifa fage agoane liligi sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amoga hamoi lala: gilisima. Sibi hinabo hamoi ‘bomigala: nidi’ afadafa amalalu, gouli belo afadafa amalalu, ‘bomigala: nidi’ eno agoane fega lala: gilisima.
Tengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo joho, na uweke pia vikengele vya dhahabu kati ya hayo makomamanga.
Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.
35 Elane da gobele salasu hawa: hamosea, e da amo abula salawane hamomu. E da Na ba: ma: ne Hadigidafa Momei Sesei ganodini golili dasea o gadili ahoasea, belo sia: da nabimuba: le, e da fanelegei dagoi hame ba: mu.
Ni lazima Aroni alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo vikengele itasikika anapoingia na kutoka Mahali Patakatifu mbele za Bwana, ili asije akafa.
36 Noga: i ba: su liligi gouliga hamoma. Amo da: iya agoane dedema, “Hina Godema hadigi hamoma: ne mogili gagai dagoi.”
“Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
37 Amo nina: hamoi liligi Elane ea abula habuga ba: le gaidiga lala: gilisima.
Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.
38 Isala: ili dunu da Na, Hina Gode, hahawane udigili iasu Nama imunu, be eso enoga ilia da giadofale Nama imunu. Be Na da ilia hahawane udigili iasu hahawane lama: ne, Elane da amo nina: hamoi liligi ea odagi da: iya ligisi gaguli ahoanumu.
Aroni alivae bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina yoyote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni daima ili zikubalike kwa Bwana.
39 Elane ea da: i salasu amo abula noga: iwane amoga hamoma. Ea habuga amola abula bulu amo abula noga: iwane amoga hamoma. Abula bulu amo da: iya sibi hinabo amoga amunima.
“Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.
40 Da: i salasu, abula bulu amola habuga, Elane egefelali salima: ne hamoma. Ilia da mimogo amola dunu eno amoga fonobahadi afafane momogili gagai, amo ba: ma: ne hamoma.
Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima.
41 Amo abula liligi huluane, di amo dia ola Elane amola egefelali ilima gasisa: lima. Amasea, ilia da Na gobele salasu dunu hawa: hamomusa: momogili gagama: ne, ilia dialuma da: iya olife susuligi sogadigima.
Baada ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki. Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
42 Ilia selefa dunumuni, abula amoga hamoma. Amo selefa da ilia hagomo asili ilia masele amoga doaga: mu. Ilia sema mae ba: ma: ne agoane hamoma.
“Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani.
43 Elane amola egefelali da eso huluane Na Abula Diasu ganodini golili dasea o oloda amoga gobele salasu hamoma: ne amo gadenene masea, ilia da amo selefa salawane misunu. Bai ilia da ilia sema olelesea, fanelegei dagoi ba: sa: besa: le, agoane hamomu da defea. Amo da sema amo Elane amola egaga fi da mae yolesili hamonanoma: mu.
Aroni na wanawe ni lazima wavae haya kila wanapoingia katika Hema la Kukutania au wanaposogelea madhabahu wakati wa kutoa huduma katika Mahali Patakatifu, ili wasije wakafanya kosa wakafa. “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni na vizazi vyake.

< Gadili Asi 28 >