< Gadili Asi 26 >

1 Gode da eno amane sia: i, “Nama Abula Diasu (Da: bena: gele) gaguma. Abula Diasu ea gano la: di agoane hamoma. Abula nabuane gala amo da: iya sibi hinabo gobiaha: i, mola: ya: i amola oga: iyei amola yoi amoga amunima. Dilia ougia gala ‘sielabe’ agoai liligi amo abula da: iya dedene amunima.
Lazima ufanye hiyo maskani iwe na mapazia kumi ifanye ya nguo ya kitani nzuri ya kusokota, pamoja na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, pamoja na makerubi. Kazi ya fundi stadi.
2 Amo abula nabuane gala ea defei amo mida fagoyale agoane gala amola la: di da mida ageyaduyale agoane gala, amo defele hamoma.
Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.
3 Abula biyale gala amo disimusa: nodomema. Amola eno biyale gala amo defele hamoma.
Mapazia matano yataungwa pamoja, na mapazia matano mengine yataungwa pamoja.
4 Abula mola: ya: i amoga gasisalasu agoane hamoma. Amo gasisalasu, dilia abula afae hamoi amo ea gadili fe amoga nodomema. Amola abula eno defele hamoma.
Lazima ufanye tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake. Vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.
5 Abula afae gilisi amoga gasisalasu 50 agoane nodomema. Amola abula gilisi enoga gasisalasu 50 eno musa: abula defele amoga nodomema.
Fanya matanzi hamsini katika pazia moja, na matanzi hamsini katika upande wa mwisho wa ile pazia iliyo katika kuungana kwa pili.
6 Ma: go 50agoane amo abula gilisi aduna madelagima: ne amo gouliga hamoma.
Fanya hivi ili hizo tanzi zielekeana. Kisha ufanye vifungo hamsini vya dhahabu, na kuunganisha hayo mapazia pamoja kwa vile vifungo na hiyo maskani itakuwa ni moja.
7 Abula Diasu dabua gadili dedebomusa: , abula gidayale gala amo goudi hinabo amoga hamoma.
Lazima ufanye mapazia ya nywele za mbuzi yawe hema juu ya maskani. Lazima ufanye mapazia kumi na moja.
8 Amo abula gidayale gala afae afae ea defei da mida 13 sedade fe amola mida aduna ea dunumuni fe amo defele hamoma.
Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Hayo mapazia kumi na moja yatakuwa ya kipimo kimoja.
9 Amo abula biyaduyale gala disimusa: nodomema. Amola eno biyale gala amo disimusa: nodomema. Abula gafe amo disisu ganodini, amo selefale, Abula Diasu ea midadi dedeboma.
Lazima utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.
10 Amo dedebosu abula aduna hamoi afae amoga gasisalasu 50 agoane la: diga nodomema amola afae eno amoga gasisalasu 50 agoane ea la: diga nodomema.
Ufanye tanzi hamsini upande wa mwisho wa pazia lile lililo la mwisho katika hayo yaliyounganywa pamoja, na tanzi hamsini upande wa mwisho wa lile pazia lililo nje katika hayo ya pili yaliyounganywa pamoja.
11 Ma: go 50 balasega hamoma. Amo gasisalasu ganodini amo abula disisu madelagima: ne amola dedebosu afadafa hamoma: ne, salima.
Kisha ufanye vifungo hamsini vya shaba, na kuvitia vile vifungo katika zile tanzi, na kuiunganya ile hema pamoja, ili iwe hema moja.
12 Abula da amo Abula Diasu ea fe baligisa amo Abula Diasu ea baligiduga gosagisima.
Kipande kile kilichosalia, kile kiangukacho, cha yale mapazia ya hema, itaanguka huko upande wa nyuma wa maskani.
13 Abula da Abula Diasu la: di la: di fe sedade amo 50 sedimida agoane baligi ba: mu. Amo da fe la: di la: di amoga dedebomu.
Lazima kuwe na dhiraa moja upande mmoja, na ile dhiraa moja upande wa pili - ya urefu wa mapazia ya hema uliosalia, zitaanguka katika ubavu wa maskani upande huu na upande huu, ili kuifunika.
14 Dedebosu eno aduna gadili dedeboma: ne hamoma. Afadafa da sibi gawali gadofo yoi maga: mega ulasi amoga hamoma. Eno da bulamagau gadofo noga: iwane amoga hamoma.
Nawe fanya kifuniko cha ile hema, cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
15 Abula Diasu ea dobea hamoma: ne, aga: isia ifa amoga abula: ime hamoma.
Nawe lazima ufanye hizo fremu za maskani za mti wa mjohoro.
16 Amo dobea abula: ime ea defei da golasu ifa la: di mida ageyaduyale gala amola dunumuni disisu la: di da 66 sedimida.
Kila fremu utakuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wake kila ubao utakuwa dhiraa moja na nusu.
17 Abula: ime madelagimu liligi da golasu ifa amoga ifa da amo liligi bugima: ne fonobahadi baligimu. Abula: ime huluane madelagima: ne agoane hamoma.
Kila fremu itakuwa na ndimi mbili, zenye kuunganishwa huu na huu. Ndivyo utakavyozifanya mbao zote za maskani.
18 Abula Diasu ea gano la: di dobea gaguma: ne abula: ime 20 hamoma.
Kisha ufanye zile mbao za maskani, mbao ishirini kwa upande wa kusini kuelekea kusini.
19 Amo abula: ime bugima: ne, silifa bai amo ganodini gelabo gala 40 agoane hamoma. Amo da abula: ime afae afae hagudu aduna ligisima.
Lazima nawe ufanye vitako arubaini vya fedha chini ya zile fremu ishirini. Vitako viwili chini ya fremu moja, kupokea zile ndimi zake mbili, na vitako viwili chini ya fremu nyingine kupokea zile ndimi zake mbili.
20 Abula Diasu ea gano la: di eno dobea gaguma: ne, dobea liligi (abula: ime) 20 eno amola silifa bai eno 40 (aduna aduna abula: ime afae afae hagudu ligisima: ne) amola hamoma.
Kwa upande wa pili wa maskani, upande wa kaskazini, mbao ishirini
na vitako vyake vya fedha arubaini. Lazima kuwe na vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya fremu nyingine.
22 Abula Diasu baligidu la: di amoga bugima: ne, abula: ime gafeyale gala hamoma.
Ufanye fremu sita kwa ajili ya upande wa nyuma wa maskani kuelekea magharibi.
23 Amola abula: ime aduna sisigagala: su (corner) aduna la: di amola la: di disila afufuma: ne hamoma.
Tena ufanye fremu mbili kwa ajili ya hizo pembe za maskani zilizo upande wa nyuma.
24 Amo sisigagala: su (corner) abula: ime ela bai da la: di abula: ime amoga disila afufuli amasea gadodili heda: sea, huluane noga: le madelagili disima.
Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja.
25 Amasea Abula Diasu baligidu la: di da abula: ime godoane gala amola silifa bai 16 amo da aduna aduna abula: ime afae afae hagudu ligisi ba: mu.
Fremu zitakuwa ni nane, na vitako vyake vya fedha. Vitako kumi na sita, vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya ubao wa pili.
26 Aga: isia ifa amoga dobea gagoi noga: le la: gimusa: hamoma. Sedade la: di gadili amoga biyaduyale gala ifa hamoma. Eno sedade la: di gadili eno biyaduyale gala hamoma. Amola baligidu la: di guma: dini amoga legema: ne, biyaduyale eno hamoma.
Lazima ufanye mataruma ya mti wa mshita- mataruma matano kwa ajili ya mbao za upande mmoja wa maskani,
na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa pili wa maskani, na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa maskani ulio nyuma kuelekea magharibi.
28 Abula: ime huluane da silifa bai amoga bugisia, amo ifa bulufalegele madelagima. Dogoa bulufalegei ifa da sedade la: di amo ea defei defemu.
Na hilo taruma la katikati lililo katikati ya zile fremu, litapenya toka mwisho huu hata mwisho huu.
29 Abula: ime huluane amo gouliga dedeboma. Amoga, gouli gasisalasu madelagima. Bulufalegei ifa da amo gasisalasu ganodini salimu. Amola bulufalegei ifa gouliga dedeboma.
lazima uzifunuke hizo fremu kwa dhahabu. Nawe lazima ufanye maduara yake ya za dhahabu, kuwa kama vishikizo, na hayo mataruma utayafunika dhahabu.
30 Amo Abula Diasu (Da: bena: gele) ea fedege Na da Goumia dima olelei. Amo defele di noga: le hahamoma.
Nawe utaisimamisha hiyo maskani sawasawa na mfano wake uliooneshwa mlimani.
31 Abula noga: iwane Abula Diasu ganodini gosagisimusa: lama. Amoga sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi, ‘sielabe’ fedege agoane amunima.
Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, litafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi.
32 Golasu ifa biyaduyale gala aga: isia ifa amoga hamoma amola gouliga dedeboma. Amo ifaga ma: go la: gilisima. Amola golasu ifa amo silifa bai gelabo ifa salasu amoga salima. Abula noga: i amo golasu ifa ma: goga gosagisima.
Kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika vitako vya fedha vinne.
33 Abula amo ma: go da Abula Diasu gado dedebosu ma: go hagudu gosagisima. Abula ea baligiduga Gode Ea Gousa: su Sema Gagili (amo ganodini da sema dedei igi gasui aduna) amo ligisima. Abula da dogoa gosagi dialebe ba: mu. La: di da Hadigi Malei Sesei, la: di da Hadigidafa Momei Sesei. Amola abula da dogoa gigeigi dialebe ba: mu.
Nawe tungika lile pazia chini ya vile vifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda. Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahali patakatifu sana.
34 Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ga: luga ga: ma.
Nawe lazima utaweka kiti cha rehema juu ya lile sanduku la ushuhuda ndani ya mahali pale patakatifu sana. Na ile meza utaiweka nje ya pazia.
35 Hadigidafa Momei Sesei gadili (Hadigi Malei Sesei ganodini) amo ea ga (north) la: di guga fafai hamoi ligisima amola gamali bai amo ea ga (south) la: di guga ligisima.
Lazima uweke kinara cha taa kuikabili ile meza upande wa maskani wa kuelekea kusini. Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.
36 Da: bena: gele Abula Diasu amo ea logo holei amoga gosagisima: ne, abula noga: i hamoma. Amoga sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amunima.
Kisha utafanya kisitiri kwa mlango wa hema, cha nyuzi za rangi ya buluu, zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji wa taraza.
37 Amo abula gosagisima: ne golasu ifa biyale gala aga: isia ifa amoga hamoma. Amo ifa gouliga dedeboma amola gouli ma: go amoga la: gilisima. Amola amo golasu ifa bugima: ne, balase ifa salasu bai biyale gala hamoma.
Nawe fanya nguzo tano za mti wa mshita kwa kile kisitiri, na kuzifunika dhahabu; kulabu zake zitakuwa za dhahabu. Nawe utasubu vitako vya shaba vitano kwa ajili yake.

< Gadili Asi 26 >