< Gadili Asi 24 >

1 Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Di, Elane, Na: ida: be, Abaihu amola Isala: ili asigilai ouligisu dunu 70, goumiba: le heda: le, Nama misa. Be dilia da fonobahadi Nama sedagawane esalea, dilia da Nama nodomusa: beguduma.
Kisha Yahweh akamwabia Musa, “Njoo juu kwangu -wewe, Aruni, Nadabu, Abihu, na wazee sabini wa Israeli, na kuniabudu kwa mbali.
2 Di fawane, eno dunu hame, di Nama gadenene misa. Dunudafa da goumiba: le hame heda: mu.”
Musa peke yake anaweza kuja karibu yangu. Wengine hawapaswi kuja karibu, wala watu kuja juu na yeye.”
3 Mousese da asili, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i liligi amola sema huluane dunu huluane ilima olelei. Ilia gilisili amane sia: i, “Ninia da Hina Gode Ea sia: huluane nabawane hamomu.”
Musa akaenda juu na kuwaambia watu maneno yote ya Yahweh na amri zake. Watu wote wakajibu kwa sauti moja na kusema, “Tutafanya maneno yote Yahweh aliyo tuamuru.”
4 Mousese da Hina Gode Ea sia: i liligi huluane meloaga dedene legei dagoi. Aya hahabedafa, e da goumi ea bai gadenene oloda hamoi. E da Isala: ili fi fagoyale gala amo ilegema: ne, igi fagoyale gala ligisi.
Kisha Musa akaandika chini maneno yote ya Yahweh. Asubui mapema, Musa akajenga madhabahu chini ya mguu wa mlima na kupanga nguzo kumi na mbili za mawe, ili mawe yawakilishe makabila kumi na mbili ya Israeli.
5 Amalalu, e da ayeligi dunu asunasili, ilia da Hina Godema gobele salasu hamoma: ne ohe gobesi, amola Hina Godema hahawane gousa: musa: bulamagau gobele salasu.
Aliwatuma vijana Wakiisraeli kutoa sadaka ya kuteketeza na kutoa dhabihu za ng'ombe za sadaka ya ushirika kwa Yahweh.
6 Mousese da ohe ilia maga: me dogoa mogili la: di afae ofodo gilisi ganodini sali. La: di eno e da oloda amoga ha: digi.
Musa allichukuwa nusu ya damu na kuweka kwenye mabeseni; alinyunyuzia nusu ingine kwenye madhabahu.
7 Amalalu, e da gousa: su buga (amo ganodini Gode Ea sema dedei dagoi ba: i) amo lale, ea dedei amo dunu huluane nabima: ne idi. Ilia da amane sia: i, “Ninia da Hina Gode Ea sia: i liligi huluane nabawane hamomu.”
Alichukuwa kitabu cha agano na kuwasomea kwa nguvu watu. Walisema, “Tutafanya yote Yahweh aliyo sema. Tutakuwa watiifu.”
8 Amalalu, Mousese da maga: me amo ofodo ganodini diala, amo lale, dunuma adagaga: la: su. E amane sia: i, “Hina Gode da dilima gousa: su hamonoba, E da amo hamoma: ne sia: i dilima i dagoi. Amo maga: me da amo gousa: su ilegesa.”
Kisha Musa akachukuwa damu na kunyunyiza kwa watu. Alisema, “Hii ni damu ya agano Yahweh alilo lifanya nanyi kwa kuwapa hii ahadi kwa maneno yote haya.”
9 Mousese, Elane, Na: ida: be, Abaihu amola Isala: ili asigilai ouligisu dunu 70 agoane da goumiba: le heda: le,
Kisha Musa, Aruni, Nadabu, Abihu, na wazee sabini wa Israeli wakaenda juu ya mlima.
10 ilia Isala: ili Gode ba: i dagoi. Ea emo hagudu da igi noga: idafa (Sa: faia - amo da mola: ya: i mu amo defele ba: su) amoga fa: i.
Walimuona Mungu wa Israeli.
11 Gode da amo Isala: ili asigilai dunu hame gugunufinisi. Ilia da Gode ba: i dagoi. Amalalu, ilia da amo sogebiga gilisili ha: i manu amola waini mai.
Chini ya miguu yake kulikuwa na sakafu iliyo jengwa kwa jiwe la yakuti samawi, safi kama mbingu yenyewe. Mungu hakugusa na mkono kwa hasira viongozi Waisraeli. Walimuona Mungu, na wakanywa na kula.
12 Hina Gode da Mousesema amane sia: i “Di da goumiba: le heda: le, Nama misa. Di da guiguda: esalea, Na da igi gasui aduna amoga Na da Isala: ili dunuma olelema: ne dedei, amo Na digili imunu.”
Yahweh akamwambia Musa, “Njoo juu kwangu mlimani na ubaki pale. Nitakupa saani za mawe na sheria na amri nilizo ziandika, ili uwafundishe.”
13 Mousese amola ea fidisu dunu Yosiua da momagele, Mousese da hadigi goumiba: le heda: musa: ha: esalu.
Hivyo Musa akaenda na msaidizi wake Yoshua na kwenda juu mlima wa Mungu.
14 Mousese da Isala: ili asigilai dunuma amane sia: i, “Dilia da ninia abula diasu gagui sogebi amoga ouesaloma. Elane amola He ela da dili sigi esala. Nowa da sia: ga gegesu galea, elama masa: ne sia: ma.”
Musa akawaambia wazee, “Baki hapa na mtusubiri hadi tutakapo warudia. Aruni na Huri wapo nanyi. Kama kuna mtu mwenye malalamiko, acha awaende.”
15 Mousese da Sainai Goumiba: le heda: le, goumi da mumobi amoga dedeboi dagoi ba: i.
Hivyo Musa akaenda juu ya mlima, na wingu likafunika.
16 Hina Gode Ea hadigi si nenemegi da goumiga sa: i dagoi. Isala: ili dunu da amo hadigi lalu agoane goumi da: iya gado nenanebe ba: i. Mumobi haguli da goumi eso gafeyale gala amoga goumi dedeboi dagoi ba: i. Eso fesu amoga, Hina Gode mumobi amoga Mousesema wei.
Utukufu wa Yahweh ukabaki juu ya Mlima wa Sinai, na wingu likafunika kwa siku sita. Siku ya saba alimuita Musa kutoka ndani ya wingu.
Utukufu wa Yahweh ulikuwa kama moto ulao juu ya mlima kwenye macho ya Waisraeli.
18 Mousese da goumiba: le heda: le, mumobi amo ganodini golili sa: i. E da eso 40 amola gasi 40 amogai esalu.
Musa akaingia kwenye wingu na kwenda juu ya mlima. Alikuwa mlimani siku arobaini na usiku arobaini.

< Gadili Asi 24 >