< Gadili Asi 20 >
Mungu alisema maneno yote haya:
2 “Na da dilia Hina Gode. Dilia da Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu dunu esalu. Be Na da dili gadili oule asi.
Ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa katika ardhi Misri, nje ya nyumba ya utumwa.
3 Dilia eno ‘gode’ agoane liligi ilima mae nodone sia: ne gadoma.
Msiwe na miungu mingine ila mimi tu.
4 Dilia Godema dawa: ma: ne, osobo bagade liligi agoaila o mu amoga agoaila maedafa hamoma.
Msijitengenezee sanamu za kuchonga kufananisha na kitu chochote kilichopo juu ya mbingu, chini ya ardhi, au ndani ya maji.
5 Loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima mae beguduma amola mae nodone sia: ne gadoma. Bai Na da dilia Hina Gode amola Na da nowa da Na defele hi dawa: sa, amo dunu higasa. Nowa da Na higasea, ema Na da se nabasu imunu amola egaga fi amo asili fi osodayale amola biyaduyale egaga fi ilima se nabasu imunu.
Msipinde na kuabudu sanamu, mimi Yahweh Mungu wenu, ni Mungu mwenye wivu. Nitaadhibu uovu wa mabubu kwa kuleta adhabu juu ya kizazi, cha tatu hadi kizazi cha nne kwa wale wanao nichukia.
6 Be nowa da Nama asigi galea amola Na hamoma: ne sia: i nabawane hamosea, Na da ema amola egaga fi osea: idafa ilima asigi hou olelemu.
Ila nitaweka agano la uaminifu kwa maelfu watakao nipenda na kushika amri zangu.
7 Na Dio amo mae giadofale sia: ma amola udigili mae sia: ma. Na, Hina Gode da nowa Na Dio udigili sia: sea, ilima se nabasu imunu.
Usilitaje bure jina la Yahweh Mungu wako, sitkuwa na hatia kwa yeyote atakaye taja jina langu bure.
8 Sa: bade eso da hadigi eso. Amaiba: le, Sa: bade eso ea hou mae giadofama!
Ikumbuke siku ya Sabato, na kunitengea.
9 Eso gafeyale gala amoga hawa: hamoma.
lazima ufanye kazi zako zote kwa siku sita.
10 Be eso fesu da Nama dawa: ma: ne helefisu eso gala. Amo esoga, dunu huluanedafa da hawa: hamosu hame hamoma: mu. Amo di, dia mano, dia udigili hawa: hamosu dunu, dia ohe fi amola ga fi dunu dia soge ganodini esala huluanedafa, mae hawa: hamoma: mu.
Ila siku ya saba ni Sabato kwaajili ya Yahweh Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, au mwana wako, au binti yako, au mtumishi wako wakiume, au mtumishi wako mwanamke, au ng'ombe zako, au mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Na, Hina Gode da eso gafeyale gala amoga osobo bagade, mu, wayabo bagade amola amo ganodini liligi huluane hamoi dagoi. Be eso fesu amoga Na da helefi dagoi. Amaiba: le, Na da Sa: bade eso hahawane dogolegei amola sema hadigi ilegei dagoi.
Kwa siku sita Yahweh aliumba mbingu na nchi, bahari, na vitu vyote vilivyomo, na siku ya saba alipumzika. Kwa hiyo Yahweh aliibariki siku ya Sabato na kuitenga.
12 Dia ada amola ame elama nodone asigima. Bai di agoane hamosea, di da soge amo Na da dilima imunu, amo ganodini ode bagohame esalumu.
Waheshimu baba na mama yako, ili uweze kuishi miaka mingi duniani Yahweh Mungu wako ametoa.
13 Eno dunu mae medole legema.
Usiue.
14 Inia uda mae adole lama.
Usifanye uasherati (usizini).
15 Wamolasu hou mae hamoma.
Usiibe kwa mtu yoyote.
16 Eno dunu amo mae ogogole diwaneya udidima.
Usishuhudie uongo dhidi ya jirani yako.
17 Dia dogo ganodini inia liligi lamusa: ne mae dawa: ma. Eno dunu ea diasu o ea uda o ea udigili hawa: hamosu dunu o ea dougi o liligi huluanedafa amo mae hananelamusa: dawa: ma.
Usitaman nyumba ya jirani yako; usitamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wakiume, mtumishi wake mwanamke, ng'ombe wake, punda wake, au chochote cha jirani yako.
18 Dunu huluane da gugelebe amola dalabede fulabosu nabaloba, amola ha: ha: na amola goumia lalu mobi ba: loba, ilia da beda: iba: le yagugui amola sedagawane lelu.
Watu wote waliona radi na umeme, na kusikia sauti ya mbiu, na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hivo, walitetemeka na kusimama mbali.
19 Ilia da Mousesema amane sia: i, “Di da ninima sia: sea, ninia da nabimu. Be ninia da bogosa: besa: le, Gode da ninima sia: mu ninia higa: i.”
Wakamwambia Musa, ongea na sisi, na tutakusikiliza; lakini usiruhusu Mungu kuongea nasi, ama tutakufa.
20 Mousese da bu adole i, “Mae beda: ma! Gode da dilima ado ba: musa: misi dagoi. E da dilia hou amo dilia da Ea sia: noga: le nabima: bela: ? amola wadela: i hou hame hamoma: bela: ? E da amo ado ba: musa: misi.”
Musa akawaambia watu, “msiogope, Mungu alikuja kuwajaribu ili heshima yake iwe ndani yenu, kwa hiyo msitende dhambi.”
21 Be dunu huluane da gadenene hame misi, sedagawane lelu. Mousese hi fawane da bunumai mumobi mogomogoi Gode esalebe sogebi amo gadenene asi.
hivyo watu walisimama mbali, na Musa alikaribia giza nene Mungu alipokuwa.
22 Hina Gode da Mousese amo Isala: ili dunuma amane sia: musa: sia: i, “Na, Hina Gode da Hebene amoga dilima sia: i. Amo dilia da ba: i dagoi.
Yahweh alimwambia Musa, “Ni lazima uwaambie hili Waisraeli: 'Wewe mwenyewe umeona niliongea na wewe kutoka mbinguni.
23 Dilia gouli o silifa ‘gode’ agoane liligi ilima nodone sia: ne gadomusa: maedafa hamoma.
Misjitengenezee miungu mingine pamoja nami, miungu ya fedha au miungu ya dhahabu.
24 Dilia osobo ganumugini, oloda bi hamoma. Amo da: iya, dilia sibi amola bulamagau gobele salasu hamoma: ne amola dilia gilisili na: iyado hahawane hamoma: ne, gogo gobele salima. Adi sogebi dilia Nama nodone sia: ne gadomusa: Na da ilegesea, Na da dilima hahawane fidimusa: misunu.
Tengenezeni madhabahu ya udongo kwa ajili yangu, na lazima mtoe sadaka ya kuteketeza, sadaka ya ushirika, kondoo, na ng'ombe. kila sehemu ntakapotaka jina langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na kuwabariki.
25 Dilia da Nama oloda igiga hamosea, amo igi mae debema o hedofama. Di da igi gobihei o eno liligi amoga hedofasea, Nama imunu da hamedei.
Kama mtatengeneza madhabahu ya mawe, msijenge na mawe yaiyokatika, na kama mtatumia vyombo vyenu juu yake, mtaweka unajisi.
26 Oloda hamosea, amo da: iya heda: ma: ne fa: gu mae hamoma. Di da amo heda: sea dia gogosiasu ba: sa: besa: le, fa: gu mae gaguma.”
msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu; hii ni ili msioneshe sehemu zenu za siri.”