< Gadili Asi 2 >

1 Amo esoga, Lifai fi dunu afae da Lifai fi a: fini lai.
Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,
2 Amo uda da ema dunu mano lalelegei. E da ea mano da noga: i mano ba: beba: le, e da oubi udiana amoga mano wamolegei.
naye mwanamke huyo akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Alipoona mtoto huyo ni mzuri, akamficha kwa miezi mitatu.
3 Be bu wamolegemu hamedei ba: loba, e da daba saga: amoga amuni lale, hano da amoga mae ha: ina sa: ima: ne edele amoga legei. E da ea mano amo ganodini sanasili, Naile hano bega: saga: sedade amo ganodini ligisi.
Lakini alipoona hawezi kumficha zaidi, akamtengenezea kisafina cha mafunjo, akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto ndani yake, akakificha katikati ya matete kando ya ukingo wa Mto Naili.
4 Mano dudubu ea dalusi da fonobahadi sedagawane fa: no misunu hou ba: musa: lelu.
Dada ya huyo mtoto akasimama mbali ili kuona kitakachompata mtoto.
5 Felou idiwi da hano ulimusa: misi. Ea hawa: hamosu a: fini ilia da hano bega: lalu. E da daba amo saga: ganodini dialebe ba: i. E da ea udigili hawa: hamosu a: fini afae amo lama: ne asunasi.
Ndipo binti Farao akateremka mtoni Naili kuoga, nao wahudumu wake wakawa wanatembea ukingoni mwa mto. Binti mfalme akaona kisafina katikati ya manyasi, akamtuma mmoja wa watumwa wake wa kike kukichukua.
6 Felou idiwi da daba ea figisu doagadole, dunu mano dudubu ganodini dialebe ba: i. E da dinanu amola Felou idiwi da e asigili ba: i. E amane sia: i, “Amo da Hibulu mano esala.”
Alifungua kisafina akaona mtoto ndani yake. Mtoto alikuwa akilia, akamhurumia. Akasema, “Huyu ni mmoja wa watoto wa Kiebrania.”
7 Amalalu, amo mano dudubu ea dalusi da Felou idiwi ema amane adole ba: i, “Na da Hibulu uda amo di fidima: ne, amo manoma dodo ima: ne misa: ne sia: mu da defeala: ?
Ndipo dada wa huyo mtoto akamuuliza binti Farao, “Je, niende nikakutafutie mmoja wa wanawake wa Kiebrania akulelee huyu mtoto?”
8 Felou idiwi da bu adole i, “Defea! Amo misa: ne sia: ma.” Amalalu, mano ea dalusi da asili, mano dudubu hi amedafa ema oule misi.
Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.” Yule msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.
9 Felou idiwi da amo udama amane sia: i, “Di amo mano dudubu lale, nama bu imunusa: ouligima. Na da dima bidi imunu.” Amalalu, e da mano dudubu lale, dodo ianu.
Binti Farao akamwambia, “Mchukue huyu mtoto unisaidie kumlea, nami nitakulipa.” Basi yule mwanamke akamchukua mtoto na kumlea.
10 Fa: no, mano da fonobahadi asigilaloba, ea ame da e Felou idiwima bu oule asi. Amalalu, e da amo mano fofoi dagoi. E da hima adole i, “Na da amo mano hano ganodini dialu lai. Amaiba: le, na da ema Mousese dio asula.” (Mousese dawa: loma: ne Idibidi sia: ga da ‘lalelegei’ amola Hibulu sia: ga da ‘ganodini dialu lai.’)
Mtoto alipokua, akampeleka kwa binti Farao, naye akawa mwanawe. Akamwita jina lake Mose akisema, “Nilimtoa kwenye maji.”
11 Mousese da asigi laloba, e da ea fi dunu (Hibulu dunu) amo ba: musa: sofe asi. E da Idibidi dunu da ilima gasa fili, hawa: hamosu gasa bagade ilima i, amo ba: i dagoi. Amola Idibidi dunu afae e da Mousese ea fi Hibulu dunu amo fanelegei dagoi, amo Mousese da ba: i dagoi.
Siku moja, baada ya Mose kukua, akaondoka kwenda walikokuwa watu wake, na akachunguza jinsi walivyokuwa wakifanya kazi ngumu. Akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmojawapo wa watu wake.
12 Mousese da la: idi ba: lega, la: idi ba: lega hogolalu, dunu eno hame ba: beba: le, e da amo Idibidi dunu fanelegele, ea da: i hodo wamolegemusa: , sa: i boso amoga uli dogone sali.
Mose akatazama huku na huko asione mtu yeyote, akamuua yule Mmisri, akamficha mchangani.
13 Aya esoga, e da bu asili, Hibulu dunu aduna gegenanebe ba: i. E da giadofale hamoi dunuma amane sia: i, “Dia da abuliba: le dia Hibulu na: iyado fananala: ?”
Kesho yake akatoka, akaona Waebrania wawili wakipigana. Akamuuliza yule aliyekosa, “Mbona unampiga Mwebrania mwenzako?”
14 Amo dunu da bu adole i, “Di da ninia fofada: su dunu amola ouligisu dunu, nowa da hamobela: ? Di da aya Idibidi dunu medole legei amo defele na amola medole legema: bela: ?” Amalalu, Mousese da beda: i ba: i. E da ea dogo ganodini amane sia: i “Dunu huluane da na hamoi dawa: dagoi.”
Yule mtu akamjibu, “Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu? Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri?” Ndipo Mose akaogopa na kuwaza, “Jambo lile nililofanya lazima limefahamika.”
15 Felou da amo hou nababeba: le, e da Mousese fanelegema: ne sia: i, be Mousese da hobeale asili, Midia: ne sogega wamoaligimusa: asi. Eso afaega, Mousese da hano nasu uli dogoi gadenene esalu. Yedelou (Midia: ne gobele salasu dunu) amo ea uda mano fesuale gala da ilia ada ea sibi amola goudi, hano nasu ofodoga nabama: ne, hano dimusa: misi.
Farao aliposikia jambo hili, alijaribu kumuua Mose, lakini Mose akamkimbia Farao na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani, akaketi kando ya kisima.
Kuhani wa Midiani alikuwa na binti saba, nao wakaja kisimani ili kuchota maji na kujaza hori kwa ajili ya kunyweshea mifugo ya baba yao.
17 Be sibi ouligisu dunu eno da Yedelou ea uda manolali sefasi. Amalalu, Mousese da ili gaga: musa: misini, ilia lai gebo amoma ima: ne hano dili i.
Baadhi ya wachungaji wakaja wakawafukuza hao wasichana. Ndipo Mose akainuka, akawasaidia na kunywesha mifugo yao.
18 Ilia da ilia adama bu misini, e fofogadigili ilima amane, adole ba: i, “Dilia da habodane hedolo bu misibala: ?”
Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo mmerudi mapema hivyo?”
19 Ilia da bu adole i, “Sibi ouligisu dunu da nini sefasisia, Idibidi dunu afae da nini gaga: i dagoi. Amola e da ninia lai gebo moma: ne, hano dili i.”
Wakamjibu, “Mmisri mmoja alituokoa kutoka mikononi mwa wachungaji. Pia mtu huyo alituchotea maji na kunywesha mifugo.”
20 Yedelou da ea idiwi amoma amane adole ba: i, “E da habila: ? Dilia da abuliba: le e gadili leloma: ne yolesila: ? Masa! E da nini gilisili ha: i manusa: misa: ne sia: ma.”
Akawauliza binti zake, “Yuko wapi? Mbona mmemwacha? Mkaribisheni ale chakula.”
21 Amaiba: le, Mousese da Midia: ne soge ganodini esalumusa: dawa: i galu. Amalalu, Yedelou da idiwi Siboula e lama: ne Mousesema i dagoi.
Mose akakubali kukaa kwa huyo mtu, ambaye alimpa Mose binti yake aliyeitwa Sipora amwoe.
22 Siboula da ema dunu mano lalelegei. Mousese da ea dogo ganodini amane sia: i, “Na da amo soge ganodini ga fi esala. Amaiba: le, amo manoma na da Gesiome (ga fi dunu) dio asula.”
Sipora alizaa mtoto wa kiume, naye Mose akamwita Gershomu, akisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.”
23 Ode eno ilia da gidigili, Idibidi hina bagade (Felou) da bogoi. Be gasa bagade udigili hawa: hamosu hamobeba: le, Isala: ili dunu da gogonomane, Gode fidima: ne dinanawane wesu.
Baada ya muda mrefu, mfalme wa Misri akafa. Waisraeli wakalia kwa huzuni katika utumwa wao, walilia na kilio chao cha kutaka msaada kwa ajili ya utumwa kikamfikia Mungu.
24 Gode da ilia dinanawane wesu nabi dagoi. E da Ea gousa: su, amo E da A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima hamoi bu dawa: i.
Mungu akasikia kilio chao cha huzuni, akakumbuka Agano alilofanya na Abrahamu pamoja na Isaki na Yakobo.
25 E da Isala: ili dunu amo ilia se nabawane udigili hawa: hamosu ba: i dagoi. Amola E da ilima bagade asigisu.
Kwa hiyo Mungu akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia.

< Gadili Asi 2 >