< Gadili Asi 13 >
1 Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
2 “Magobo dunu mano huluane, Na ouligima: ne Nama ima. Bai Isala: ili dunu mano magobo huluane amola ohe fi magobo gawali huluane da Na:
“Nitengee wazaliwa wote wa kwanza, kila mzaliwa wa kwanza wa Waisraeli, watu na wanyama. Mzaliwa wa kwanza ni wangu.”
3 Mousese da Isala: ili dunu ilima amane sia: i, “Wali eso mae gogolema. Dilia da Idibidi ganodini se nabawane udigili hawa: hamosu dunu esalu. Be wali eso dilia da gadili misi. Hina Gode Ea gasa bagade amoga dili fisili masa: ne asunasi. Agi yisidi sali amo mae moma.
Musa akawambia watu, “Hii kumbukeni hii siku, siku mliyo toka Misri, kutoka nyumba ya utumwa, kwa mkono hodari wa Yahweh amewatoa kutoka hii sehemu. Hakuna mkate wa hamira waruhusiwa kuliwa.
4 Dilia da wali eso oubi age amoga (oubi dio da Abibi) Idibidi soge yolesili gadili ahoa.
Mnatoka Misri hii siku, mwezi wa Abibu.
5 Hina Gode da dafawane sia: i. E da Ga: ina: naide, Hidaide, A:moulaide, Haifaide amola Yebusaide amo dunu fi huluane ilia soge dilima imunu ilegele sia: i. E da dili amo soge noga: idafa amoga oule ahoasea, dilia da wali lolo nabe gilisisu ode huluane oubi age amoga hamoma.
Yahweh atakapo waleta nchi ya Wakanani, Wahiti, Waamori, Wahivi, na Wayebusi, nchi aliyo waapia mababu zenu kuwapa, nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali - kisha wapaswa kuadhimisha hili tendo la ibada kila mwezi.
6 Eso fesuale amoga dilia yisidi hame sali agi fawane moma. Eso fesu amoga dilia Hina Godema nodomusa: gilisima.
Kwa siku saba utakula mkate bila hamira; siku ya saba kutakuwa na maakuli ya kumuadhimisha Yahweh.
7 Eso fesuale ganodini dilia yisidi sali agi maedafa moma. Dilia soge ganodini, yisidi amola agi yisidi sali liligi da sema bagade.
Mkate usio na hamira wapaswa kuliwa kwa siku saba zote; hakuna mkate ulio na hamira wapaswa kuliwa miongoni mwenu. Hakuna hamira yapaswa kuonekana kwenye mipaka yenu.
8 Ode huluane, amo gilisisu dilia hemosea, dilia egefe ilima dilia da Hina Gode Ea dili Idibidi yolesili gadili masa: ne fidisu amo dawa: ma: ne, agoane hamoma amo dilia egefelali ilima olelema.
Hiyo siku utasema kwa watoto wako, 'Hii ni kwasababu ya kile Yahweh alichofanya kwangu nilipo taka Misri.'
9 Amo gilisisu da dilima liligi dilia loboga o odagiga ga: i agoai gala ba: mu. Dilia da Hina Gode Ea hou (E da Ea gasa bagade amoga dili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasi) amo bu dawa: sea, dilia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i idimu amola dawa: ma: ne sia: mu.
Hii itakuwa kumbukumbu mkononi mwako, na kumbukumbu kwenye paji la uso wako. Hii ni ili sheria ya Yahweh iwe kinywani mwako, maana kwa mkono hodari Yahweh amewatoa kutoka Misri.
10 Dilia eso ilegei ode huluane amoga, amo lolo nabe gilisisu hamoma.
Kisha basi wapaswa kushika hii sheria kwa wakati uliyo kusudiwa kutoka mwaka hadi mwaka.
11 Hina Gode da dilia aowalali ilima, E da dili Ga: ina: naide fi ilia soge ganodini oule misunu ilegele sia: i. Amo E da hamomu. E da amo soge dilima iasea,
Yahweh atakapo waleta kwenye nchi ya Wakanani, kama alivyo apa kwenu na kwa mababu zenu kufanya, na atakapo wapa nchi ninyi,
12 dilia da magobo dunu mano huluane Ema ima. Ohe fi magobo gawali huluane da Gode Ea: liligi.
lazima umtengee mzaliwa wa kwanza mtoto na uzao wa kwanza wa wanyama wenu. Wakiume watakuwa wa Yahweh.
13 Be magobo gawali dougi amo dilia Ema bu bidi lama: mu. Dilia dougi bu lale, sibi mano Godema ima. Be dilia da dougi bu lamu higasea, defea, ea galogoa fima. Dilia dunu magobo mano amo huluane Godema bu bidi lama: mu.
Kila mzaliwa wa kwanza wa punda lazima umnunue tena na mwana kondoo. Kama hautamnunua tena, lazima uivunje shingo yake. Lakini kila mzaliwa wa kwanza wakiume miongoni mwenu - lazima umnunue tena.
14 Hobea, dia gofe da dima amo hou ea bai adole ba: sea, ema bu adole ima, ‘Ninia da musa: Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu dunu esalu. Be Hina Gode Ea gasa bagade amoga E da nini fisili masa: ne gadili asunasi dagoi.
Mwanae atakapo kuuliza baadae, 'Hii ina maana gani?' kisha utamwambia, 'Ni kwa mkono hodari Yahweh katutoa Misri, kutoka nyumba ya utumwa.
15 Idibidi hina bagade (Felou) da gasa fili ninia fisidigimu higaloba, Hina Gode da magobo dunu mano huluane Idibidi soge ganodini esalu, dunu amola ohe medole legei dagoi. Amaiba: le, ninia da wali ohe mano magobo gawali huluane Godema gobele salasu iaha. Be magobo dunu mano huluane ninia bu bidi laha.
Farao alipo kataa kwa ujeuri kutuachia twende, Yahweh aliwaua wazaliwa wa kwanza wa nchi ya Misri, wazaliwa wa kwanza wa watu na wa wanyama. Ndio sababu ninatoa dhabihu kwa Yahweh kwa kila mzaliwa wa kwanza wa kila mnyama, na pia sababu nina nunua wazaliwa wa kwanza wa wanangu tena.'
16 Amo hou ninia hamonana da ninia liligi ninia lobo o odagia ga: i agoai ganumu. Amo dawa: sea, ninia Hina Gode da Ea gasa bagade amoga nini Idibidi soge fisili masa: ne gadili asunasi dagoi dawa: sa.’”
Hii itakuwa kumbukumbu mikononi mwako na kumbukumbu kwenye paji lako la uso, kwa kuwa ni kwa mkono hodari Yahweh alitutoa kutoka Misri.”
17 Idibidi hina bagade (Felou) da Isala: ili dunu gadili masa: ne fisidigiloba, Gode da ili logo dunumuni (amo da hano wayabo bagade bega: Filisidia sogega ahoasu) amoga hame oule asi. Gode da amane dawa: i, “Isala: ili dunu da se nabasea amola gegesu ba: sea, ilia asigi dawa: su sinidigili, Idibidi sogega bu hagimu Na higa: i hodosa.”
Farao alipo waachia watu waende, Mungu akuwaongoza kwa njia ya Wafilisti, japo hiyo njia ilikuwa karibu. Kwa kuwa Mungu alisema, “Labda watu watabadili nia zao watakapo ona vita na watarudi Misri.”
18 Amaiba: le E da guga: loi ahoasu amo da wadela: i hafoga: i sogega asili Maga: me Hanoga doaga: musa: , amo logoga oule asi. Isala: ili dunu da ilia gegesu liligi gaguiwane ahoasu.
Hivyo Mungu akawaongoza watu kuzunguka nyikani kupita Bahari ya Shamu. Waisraeli waliondoka kutoka nchi ya Misri wakiwa wamejiami kwa pambano.
19 Mousese da Yousefe ea bogoi da: i hodo gaguli asi. Yousefe da esaloba, e da Isala: ili dunuma amane sia: i dagoi, “Gode da dili gaga: sea, amola dilia ga ahoasea, na da: i hodo amola gaguli masa.”
Musa akachukuwa mifupa ya Yusufu pamoja naye, kwa kuwa Yusufu aliwaapisha Waisraeli na kusema, “Mungu atawaokoa, na muibebe mifupa yangu na nyie.”
20 Isala: ili dunu da Sagode moilai yolesili, asili, wadela: i hafoga: i soge bega: doaga: i. Ilia da Ida: me sogega abula diasu gilisisu gaguli, ouesalu.
Waisraeli walisafiri kutoka Sakothi na kuweka kambi Ethamu pembezoni mwa nyikani.
21 Esoga, Hina Gode da mumobi mogomogoi amo ganodini logo olelemusa: , ili bisili asi. Amola gasi ganodini E da lalu sawa: mogomogoi ganodini ilima hadigi olelemusa: bisili asi. Amalalu, ilia da eso amola gasia amoga hahawane ahoasu.
Yahweh alitangulia mbele yao mchana kama nguzo ya wingu kuwaongoza njiani. Usiku alienda kama nguzo ya moto kuwapa mwanga. Kwa namna hii waliweza kusafiri mchana na usiku.
22 Eso huluane, mumobi mogomogoi da Isala: ili dunu bisili ahoanebe ba: i. Amola gasia huluane lalu sawa: mogomogoi agoane ili bisili ahoanebe ba: i.
Yahweh hakuchukuwa kutoka kwa watu nguzo ya wingu mchana wala nguzo ya moto usiku.