< Gadili Asi 10 >

1 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Felou ba: la masa! Na da e amola ea eagene ouligisu dunu ilia dogo ga: nasi agoane hamoi. Bai Na da ilia gilisisu ganodini musa: hame ba: su gasa bagade hou hamomusa: dawa: lala.
Yahweh akamwambia Musa, “Nenda kwa Farao, kwa kuwa nimeufanya moyo wake mgumu na moyo wa watumishi wake. Nimefanya hivi kuonyesha hizi ishara za nguvu zangu miongoni mwao.
2 Bai eno da dilia fa: no dilia mano amola aowa ilima Na da musa: hame ba: su hou hamobeba: le, Idibidi dunu da gagaoui dunu agoane ba: i, amo dilia da diligaga fi ilima olelemu. Dilia huluane da Na da Hinadafa amo dawa: mu.”
Pia nimefanya hivi ili muwaambie watoto wenu na wajukuu wenu vitu nilivyo fanya, jinsi nilivyo itendea Misri kwa ukali, na jinsi nilivyo onyesha aina tofauti za ishara za nguvu zangu miongoni mwao. Kwa hili mtajua kuwa mimi ni Yahweh.”
3 Amaiba: le, Mousese amola Elane da Felouma asili, amane sia: i, “Hibulu dunu ilia Hina Gode da amane sia: sa, ‘Di da habogala Na sia: nabima: bela: ? Di da Na fi dunu Nama nodone sia: ne gadoma: ne amo fisidigima.
Hivyo Musa na Aruni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: 'Kwa muda gani utaendelea kukataa kujinyenyekesha mbele zangu? Acha watu wangu waenda ili wakaniabudu.
4 Be di da higasea Na da aya danuba: dilima se nabasu ima: ne asunasimu.
Lakini ukikataa kuwaruhusu watu wangu kwenda, sikiliza, kesho nitaleta nzige kwenye nchi yako.
5 Danuba: da bagohamedafa ba: mu. Ilia da osobo huluane dedebomu. Ilia da liligi huluane amo mugene da hame gugunufinisi amola ifa huluane hame wadela: lesi amo na dagomu.
Watafunika ardhi ya juu ili kwamba mtu asiweze kuona udongo. Watakula mabaki yote yalio salia kwenye mvua ya barafu ya mawe. Pia watakula kila mti unaokua shambani.
6 Ilia dia diasu amola dia ouligisu dunu ilia diasu huluane nabamu. Ilia dilima se nabasu imunu da dilia musa: ba: i liligi huluane baligimu.’” Amo sia: nanu, Mousese da Felou yolesili asi.
Watajaza nyumba zenu, zote za watumishi wenu, na zote za Wamisri wote - jambo ambalo baba zenu wala mababu zenu hawakuwai kuona, jambo ambalo halikuwai shuhudiwa toka walipo kuwa duniani hadi leo.”' Kisha Musa akaondoka na kutoka kwa Farao.
7 Felou ea eagene ouligisu dunu ilia da ema amane sia: i, “Amo dunu da habowali seda ninima se nabasu ima: bela: ? Di Isala: ili dunu ilia Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: fisidigima. Ninia Idibidi soge da gugunufinisi dagoi.”
Watumishi wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mwanaume ata kuwa msumbufu kwetu? Acha Waisraeli waende wakamuabudu Yahweh Mungu wao. Bado haujatambua kuwa Misri imeharibiwa?”
8 Amaiba: le, ilia da Mousese amola Elane amo Felouma oule misi. Felou da elama amane sia: i, “Defea! Dilia da dilia Hina Godema sia: ne gadomusa: masunu da defea. Be nowa da masa: bala: ?”
Musa na Aruni wakaletwa tena kwa Farao, ambaye aliwaambia, “Nendeni amkamuabudu Yahweh Mungu wenu. Lakini watu gani wataenda?”
9 Mousese da amane adole i, “Ninia huluane, dunu, uda, mano amola da: i hamoi da masunu. Ninia da ninia dunu mano, ninia uda mano, ninia sibi, goudi amola bulamagau huluane oule masunu. Bai ninia da lolo nasu gilisisu Hina Godema nodomusa: hamomu.”
Musa akasema, “Tutaondoka na wadogo wetu na wakubwa wetu, pamoja na wana wetu na mabinti zetu. Tutaondoka na ng'ombe na kondoo zetu, maana lazima tufanye siku kuu ya Yahweh.”
10 Felou da amane sia: i, “Na da Hina Gode Ea Dioba: le gasa bagade sia: sa. Dilia da dilia uda amola mano hamedafa oule masunu. Ninia ba: i dagoi. Dilia da odoga: su hou hamomusa: dawa: lala.
Farao akawaambia, “Yahweh kwa kweli awe nanyi, kama nitawaacha muende na wadogo zenu waende. Angalia, una uovu kwenye nia.
11 Hame mabu! Dilia amo hanai galea, dunu fawane da dilia Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: masa!” Amo sia: beba: le, Idibidi dunu da Mousese amola Elane ela Felou fisimusa: , gadili sefasi.
Hapana! Nenda, wanaume tu miongoni mwenu, na mmuabudu Yahweh, kwa kuwa hilo ndilo mnalo litaka.” Kisha Musa na Aruni wakaondolewa uweponi mwa Farao.
12 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Danuba: misa: ne sia: musa: , dia lobo amo Idibidi soge da: iya amoga ligia gadoma. Ilia da misini, liligi huluane mugene amoga hame gugunufinisi, amo ilia da na dagomu.
Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kwenye nchi ya Misri palipo na nzige, ili washambulie nchi ya Misri na kula kila mmea, kila kitu barua ya mawe iliyo acha.”
13 Amaiba: le, Mousese da ea dagulu ligia gadole, Hina Gode da fo amo gusudili misi da amo eso amola gasi ganodini Idibidi sogega fofosu. Hahabe aya danuba: foga gaguli misi doaga: i dagoi ba: i.
Musa akanyoosha na gongo lake juu ya nchi ya Misri, na Yahweh akaleta upepo wa mashariki juu ya nchi mchana wote na usiku mzima. Palipo kuwa asubui, upepo wa mashariki ulileta nzige.
14 Ilia da gilisisu osea: le misi amola soge huluane dedeboi dagoi. Ilia idi bagadedafa amo da musa: hame ba: su amola amo defele bu hamedafa ba: mu.
Nzige wakaenda nchi yote ya Misri na kuharibu sehemu zote. Hapajawai kuwa na kundi kama hilo la nzige juu ya nchi, hakuna kama tena kama hilo litawai kutokea.
15 Ilia da osobo huluane dedeboiba: le, osobo da bunumai agoane ba: i. Ilia da liligi huluane amo mugene da hame gugunufinisi amola ifa fage dialu huluane na dagoi. Mola: ya: i liligi amo ifa o gisi da: iya Idibidi soge ganodini da hamedafa ba: i.
Walifunika ardhi yote ya juu ikawa giza. Walikula kila mmea na kila tunda la miti ambayo barafu ya mawe ilibakiza. Kila eneo la nchi ya Misri, hakuna mmea wa kijani ulibaki, wala mti au mmea wa shambani.
16 Amalalu, Felou da hedolowane Mousese amola Elane ema misa: ne sia: i. E da elama amane sia: i, “Na da Hina Gode amola alima wadela: le hamoi dagoi.
Kisha Farao akawaita Musa na Aruni na kuwaambia, “Nimefanya dhambi dhidi ya Yahweh na dhidi yako.
17 Be wali afadafa fawane na wadela: i hou gogolema: ne olofoma. Ali Hina Godema E da amo bogosu se nabasu fadegale fasima: ne sia: ma.
Kisha sasa, nisamehe dhambi yangu wakati huu, na uombe kwa Yahweh Mungu wako aondoe hichi kifo kwangu.”
18 Mousese da Felou yolesili asili, Hina Godema sia: ne gadoi.
Musa akaondoka kwa Farao na kumuomba Yahweh.
19 Amalalu, Gode da gusudili mabe fo afadenene, bu guma: dini mabe fo hamoi. Amo da danuba: fi huluane lale Suese (Gulf) amo foga mini asi. Danuba: afadafa da Idibidi soge ganodini esalebe hame ba: i.
Yahweh akaleta upepo mkali wa magharibi ulio wachukuwa wale nzige na kuwapeleka Bahari ya Shamu; hakuna nzige ata mmoja aliye baki eneo la Misri.
20 Be Hina Gode da Felou ea hou bu ga: nasi hamone, e da Isala: ili dunu hame fisidigi.
Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na Farao hakuacha Waisraeli waende.
21 Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dia lobo muagado ligia gadoma. Amasea, gasi dunasi bagadedafa da Idibidi soge huluane dedebomu.”
Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kuelekea mbingu, ili kuwe na giza nchi yote ya Misri, giza linalo weza kuhisiwa.”
22 Mousese da ea lobo muagado ligia gadole, gasi dunasi bagadedafa da Idibidi soge ganodini eso udianaga dialebe ba: i.
Musa akanyoosha mkono wake kuelekea mbingu, na kulikuwa na giza nene nchi yote ya Misri kwa siku tatu.
23 Idibidi dunu huluane da ilia na: iyado dunu ba: mu gogolei amola amo eso udianaga ilia da diasu fisili gadili masunu hamedei ba: i. Be Isala: ili dunu ilia esalebe soge ganodini hadigi galebe ba: i.
Hakuna aliye muona mwingine; hakuna aliye toka nyumbani mwake kwa siku tatu. Walakini, Waisraeli wote walikuwa na taa katika sehemu walizo ishi.
24 Felou da Mousese ema misa: ne sia: i. E da ema amane sia: i, “Defea! Di da Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: masunu da defea. Dilia uda amola mano masunu da defea. Be dilia sibi, goudi amola bulamagau da guiguda: esaloma: mu.”
Farao alimuita Musa na kusema, “Nenda umuabudu Yahweh. Ata familia zenu za weza kwenda nanyie, lakini ng'ombe zenu na kondoo zenu zitabaki.”
25 Be Mousese da bu adole i, “Agoane hamomu ganiaba, di da ninima ohe fi ninia Hina Godema gobele salasu hamoma: ne ia: noba.
Lakini Musa akasema, “Lazima utupe wanyama kwa ajili ya dhabihu na sadaka za kuteketeza ili tuwatoe dhabihu kwa Yahweh Mungu wetu.
26 Hame mabu! Ninia ahoasea ninia da ohe fi huluane amola oule masunu. Ninisu da Hina Godema nodomusa: , ohe fi afae afae amo ilegema. Amola ninia da Hina Godema gobele salasu sogebi amoga doaga: sea fawane, ohe fi ilegemusa: dawa: mu.”
Mifugo yetu lazima iende na sisi; ata mmoja hawezi kubaki, lazima tuwapeleke wakamuabudu Yahweh Mungu wetu. Kwa kuwa hatujui tutakacho muabudu nacho Yahweh mpaka tufike pale.
27 Hina Gode da Felou ea dogo bu ga: nasi hamoi amola e da Isala: ili fi fisidigimu higa: i.
Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na hakuwaacha waende.
28 E da ougili Mousesema amane sia: i, “Dia odagi na siga mae ba: ma: ne, masa! Na da di bu ba: mu higa: i gala mabu! Eso enoga na da di bu ba: sea, di da bogomu!”
Farao alimwambia Musa, “Toka kwangu! Kuwa muangalifu na jambo moja, kwamba usinione tena, kwa kuwa siku utakapo uona uso wangu, utakufa.”
29 Mousese da bu adole i, “Di da dafawane sia: i dagoi! Di da na hamedafa bu ba: mu.”
Musa akasema, “Wewe mwenyewe umesema. Sitauona uso wako tena.”

< Gadili Asi 10 >