< Eseda 7 >
1 Amola hina bagade Segesisi amola Ha: ima: ne da Eseda ea lolo nabe eno amoga asi.
Kwa hiyo mfalme na Hamani wakaenda kausherekea na malkia Esta.
2 Ilia da gilisili waini nana, hina bagade da Esedama bu adole ba: i, “Hina bagade uda, Eseda di! Adi lama: bela: ? Dia hanai adole ba: sea, na da dima imunu. Di da na fifi asi gala dogoa fili, la: idi digili ima: ne sia: sea, na da dima imunu.”
Katika siku ya pili, baada ya kuletwa mvinyo, mfalme akamwambia Esta, “Ni nini haja ya moyo wako? Na nini ombi lako? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
3 Hina bagade uda Eseda amane adole i, “Hina bagade noga: idafa! Di da na asaboi adole ba: su liligi nama imunusa: hanai galea, na da na amola na fi dunu da mae bogole esaloma: ne hanai.
Kisha Malkia amwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, na kama ikikupendeza, nipewe maisha yangu, na hili ndio haja ya moyo wangu, na hili pia ni ombi kwa watu wangu pia.
4 Na fi dunu amola na, ninia da medole legemusa: bidi lai dagoi. Ninia da udigili hawa: hamomusa: bidi lai dagoi ganiaba, na da dima hame sia: na: noba. Be nini da enoga gadenenewane medole lelegemu galebe.”
Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa, ili tuharibiwe, tuuwawe, na tungamizwe. Kama tungeuzwa utumwani, kama wanaume na wanawake, ningenyamaza kimya, na nisingeweza kumsumbua mfame.”
5 Amalalu, hina bagade Segesisi da hina bagade uda Eseda ema fofogadigili, amane adole ba: i, “Nowa da agoane hamoma: ne sia: bela: ? Amo dunu da habila: ?”
Kisha Mfalme Ahusiero akamwambia malkia Esta, “Ni nani huyo? Ni nani aliyekusudia moyoni mwake kutenda jambo hili?
6 Eseda bu adole i, “Ninia ha lai dunu amola ninima se iasu dunu da amo wadela: i dunu Ha: ima: ne, e fawane.” Ha: ima: ne da fofogadigili beda: ne, hina bagade amola iduama sosodolaligi.
Esta akasema, “Ni huyu mwovu Hamani, adui!” Hamani akashikwa na Hofu mbele za mfalme na malkia.
7 Hina bagade da baligili bagadedafa ougili wa: legadole, moia gadili asi. Ha: ima: ne ea ba: loba, hina bagade da dafawane ema se imunu ba: i. Amaiba: le, e da mae asili, Esedama e fidima: ne, ema adole ba: musa: dawa: i galu.
Na kwa ghadhabu mfalme akatoka karamuni katika sehemu ya mvinyo na akaenda katika bustani ya ikulu, Lakini Hamani alibaki akimsihi Malkia Esta ili aokoe maisha yake. Kwa sababu aliona mfalme amemkusudia ubaya.
8 E da Eseda ea ema asigima: ne adole ba: musa: , Eseda ea fisu fafai amo bega: hisu gala: la sa: i. Amalalu, hina bagade da bu ganodini golili misi. E da ba: loba, Ha: ima: ne da Eseda ea fisu fafai amo bega: gala: la sa: i dialebe ba: beba: le, e da ha: giwane ougili halale sia: i, “Amo dunu da na uda ni ba: lea, na diasu ganodini, wadela: lesima: bela: ?” Hina bagade da amo sia: noba, ea gulusu danai hawa: hamosu dunu da misini, Ha: ima: ne ea odagi dofoga: i.
Mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ikulu, na kuingia katika chumba ambamo kulikuwamo mvinyo. Hamani alikuwa ameanguka chini ya kochi alilokuwa ameketi Esta. Mfalme akakasirika na kusema, “atamdharirisha malkia mbele zangu katika nyumba yangu?” Mara tu maneno haya yalipotoka kinywani mwa mfalme, watumizhi wakafunika uso wa Hamani.
9 Amalalu, hina bagade ea gulusu danai hawa: hamosu dunu afae ea dio amo Habona, da amane sia: i, “Hina bagade! Modigai da dia esalusu gaga: i dagoi. Be Ha: ima: ne da amo mae dawa: le, Modigai fuga: musa: , ifa duni bugili fugalegei amo 22 mida sedade defei gagula heda: i dagoi.” Hina bagade da amane sia: i, “Defea! Ha: ima: ne amoga fuga: musa: hegoa: nesima!”
Kisha Habona, mmoja wa watumishi aliye mtumikia mfalme akamwambia mfalme, “Mti wenye urefu wa futi hamsini uko nyumbani kwa Hamani. Ulikuwa umeandaliwa kwa ajili ya Modekai, aliye toa taarifa kuhusu mpango wa kuangamizwa kwako.” Mfalme akesema,”Mtundikeni Hamani juu yake.”
10 Amalalu, ilia da Modigai hegoa: nesimusa: fafai, amoga Ha: ima: ne galogoaga hegoa: nesi dagoi. Amalalu, Segesisi ea ougi da gumina sa: i.
Kwa hiyo wakamtundika Hamani kwenye mti aliuandaa kwa ajili ya Modekai. Na hasira ya mfalme ikatulia.