< Eseda 6 >

1 Amo gasia, hina bagade da golamu hamedei ba: i. Amaiba: le, e da ea hawa: hamosu dunuma, ilia da ea fifi asi gala hou hamoi dagoi meloa dedei, amo ema gaguli misini, ea nabima: ne idili ima: ne sia: i.
Usiku ule mfalme hakupata usingizi, hivyo akaagiza aletewe kitabu cha kumbukumbu za matukio ya utawala wake, asomewe.
2 Ilia da ema idili ianu, e da Bigada: ina amola Dilese (gulusu danai dunu ela da musa: hina bagade ea sesei logo holei sosodo aligisu) ela da musa: hina bagade fane legemusa: ilegesu, be Modigai da ela ilegesu hedofai, amo sia: dedei, hina bagade da nabi.
Kitabu hicho kilikutwa na kumbukumbu kwamba Mordekai alikuwa amefichua jinsi Bigthana na Tereshi, waliokuwa maafisa wawili wa mfalme, walinzi wa lango walivyokuwa wamepanga hila ya kumuua Mfalme Ahasuero.
3 Hina bagade da amane adole ba: i, “Modigai da agoane hamobeba: le, ninia da habodane ema nodoma: ne bidi ibala: ?” Ea hawa: hamosu dunu ema bu adole i, “Ema liligi hamoi da hame.”
Mfalme akauliza, “Je, ni heshima na shukrani gani Mordekai alipokea kwa ajili ya jambo hili?” Watumishi wake wakajibu, “Hakuna lolote alilofanyiwa.”
4 Hina bagade da amane adole ba: i, “Na eagene ouligisu dunu oda da hina bagade diasu ganodini esalabala?” Ha: ima: ne da wahadafa hina bagade ea diasu gagoi ganodini golili sa: i ba: i, e da ifa duni bugili fugalegei amo hahamoi dagoiba: le, Modigai hegoa: nesima: ne hina bagadema adole ba: la misi.
Mfalme akasema, “Ni nani yuko uani?” Wakati huo huo Hamani alikuwa ameingia ua wa nje wa jumba la mfalme kusema na mfalme kuhusu kumwangika Mordekai katika mahali pa kuangikia watu alipokuwa amepajenga kwa ajili yake.
5 Ea hawa: hamosu dunu da Segesisima bu adole i, “Ha: ima: ne da goea, di ba: musa: oulela.” Hina bagade da amane sia: i, “Oule misa!”
Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
6 Amalalu Ha: ima: ne da misi, amalu hina bagade da ema agoane sia: i. “Dunu noga: i afae esala. Na da ema nodone bidi imunu hanai bagade gala. Di adi dawa: bela: ? Na da ema adi hamoma: bela: ?” Ha: ima: ne hisu wamo amane dadawa: i, “Hina bagade da nowama nodone bidi ima: bela: ? Na agoane dawa: , e da nama fawane imunu.”
Hamani alipoingia, mfalme alimuuliza, “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu?” Basi Hamani akawaza moyoni mwake, “Ni nani mwingine ambaye mfalme angemheshimu kuliko mimi?”
7
Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
8 Amaiba: le, e da hina bagadema adole i, “Amo dunu ema agoane nodone bidi ima. Dia hina bagade abula igili ga: simusa: , gaguli misa. Ilia da dia hosi dialuma da: iya habuga noga: idafa figisimusa: , gaguli misa: ne sia: ma.
aletewe joho la kifalme ambalo mfalme ameshalivaa na farasi ambaye mfalme alishampanda, ambaye amevikwa taji ya kifalme kichwani mwake.
9 Amasea, dia ouligisu dunu hina afae amoea misini, e da amo dunuma abula ga: sili, amola amo dunu da hosi da: iya fila heda: i, amo moilai bai bagade gagoi ganodini oule, olelela masa: ne sia: ma. Amola ouligisu dunu hina da amane sia: mu, “Huluane ba: ma! Hina bagade da amo dunuma nodomusa: hanaiba: le, ema agoane nodoma: ne bidi iaha!”
Kisha joho na farasi vikabidhiwe kwa mmojawapo wa wakuu wa mfalme anayeheshimika sana. Nao wamvike mtu yule ambaye mfalme anapenda kumheshimu, na aongozwe akiwa juu ya farasi kupitia barabara za mji, wakitangaza mbele yake, ‘Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu!’”
10 Amalalu, hina bagade da Ha: ima: nema amane sia: i, “Hedolo! Abula amola hosi lale, amo nodoma: ne bidi iasu amo Yu dunu Modigai, ema dia sia: i liligi, amo huluane ema hamoma. Di da e, hina bagade ea diasu logo holei gadenene esalebe ba: mu.”
Mfalme akamwamuru Hamani, “Nenda mara moja, chukua joho na farasi na ufanye kama vile ulivyopendekeza kwa Mordekai Myahudi, akaaye langoni mwa mfalme. Usipuuze kufanya kitu chochote ulichoshauri.”
11 Amaiba: le, Ha: ima: ne da abula amola hosi lai. Amalu e da amo abula lale, Modigaima ga: si. Modigai da hosi da: iya fila heda: i. Amola, Ha: ima: ne da Modigai moilai gagoi ganodini oule olelela asi. Asili, e da dunu huluane nabima: ne, amane sia: i, “Huluane ba: ma! Hina bagade da amo dunuma nodomusa: hanaiba: le, ema agoane nodoma: ne bidi iaha!”
Hivyo Hamani akachukua joho na farasi. Akamvika Mordekai, na kumpandisha juu ya farasi akamtembeza katika barabara za mji akitangaza mbele yake, “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme anapenda kumheshimu!”
12 Amalalu, Modigai da hina bagade ea diasu logo holeiga bu asi. Be Ha: ima: ne da gogosiane, odagi dofoga: le, hi diasuga hobeale asi.
Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme. Lakini Hamani akakimbia nyumbani, akiwa amejaa huzuni,
13 E da iduama, amola ea dogolegei fi ilima huluane, ema hamoi hou olelei. Amalalu, ea uda amola ea dogolegei fi ilia da ema amane adoi, “Modigai ea gasa da dia gasa baligimusa: hamonana. E da Yu dunu, amola di da ema hasanasimu da hamedei. E da dafawane dia hou baligimu.”
naye akamweleza Zereshi mkewe pamoja na rafiki zake wote kila kitu ambacho kimempata. Washauri wake pamoja na Zereshi mkewe wakamwambia, “Kwa kuwa Mordekai, ambaye mbele yake umeanza kuanguka ni wa asili ya Kiyahudi, huwezi kushindana naye; kwa hakika utaanguka!”
14 Ili da adodaloba, hina bagade ea gulusu danai hawa: hamosu dunu da hedolowane misini, Ha: ima: ne amo Eseda ea lolo nabe amoga oule masusa: lala misi.
Walipokuwa bado wakizungumza naye, matowashi wa mfalme wakaja na kumharakisha Hamani aende katika karamu aliyoiandaa Esta.

< Eseda 6 >