< Eseda 10 >

1 Hina bagade Segesisi ea da hano wayabo bagade bega: fi, amola ea soge huluane ganodini dunu, ilima ha: giwane udigili hawa: hamoma: ne gasa fili sesesu.
Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
2 Hina bagade Segesisi ea da gasa bagade hawa: hamosu, amola e da Modigai amo da ouligisu bagade hawa: hamosu hamoma: ne asunasi dagoi. Amo hou huluane da ‘Besia hina bagade amola Midia hina bagade ilia hawa: hamonanu’ meloa dedei, amo ganodini dedene legei diala.
Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 Yu dunu Modigai da Hina bagade Segesisi ea bagia aligili fawane hawa: hamosu. Modigai ea fi (Yu dunu) da ea hou hahawane ba: su amola ema nodosu. Yu dunu da hahawane ba: ma: ne, amola iligaga fa: no fifi misunu amo da gaga: iwane amola mae beda: iwane esaloma: ne, e da noga: le hawa: hamosu. Sia: ama dagoi
Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

< Eseda 10 >