< Mousese Ea Malasu 6 >

1 “Amo da sema huluane dilia Hina Gode da na dilima olelema: ne sia: i. Dilia soge dilia wali gesowale fimu amo ganodini, amo sema nabawane hamoma.
Sasa haya ni maagizo, amri, na sheria ambazo Yahwe Mungu wetu ameniamuru mimi kuwafundisha ninyi, ili kwamba muweze kuzishika katika nchi ambayo mnaenda ng'ambo ya pili ya Yordani kumiliki,
2 Dilia amola diligaga fi, da amo soge ganodini ode bagohame esaloma: ne, dilia Hina Gode Ema nodoma, amola Ea sema na da wali dilima iaha amo nabawane hamoma.
ili kwamba mpate kumheshimu Yahwe wenu, ili muzishike amri zake zote na maagizo ninayowaamuru-ninyi, wana wenu na wana wa wana wenu, siku zenu zote za maisha, ili kwamba siku zenu ziongezeke.
3 Isala: ili dunu! Amo sema noga: le nabima amola hamoma. Amasea, dilia da hahawane ba: mu amola dilia da gasa bagade fi hamone amola dilia aowalali ilia Hina Gode Ea sia: defele, amo soge noga: idafa amo ganodini esalumu
Kwa hiyo wasikilizeni, Israeli, na kuzishika ili kwamba iweze kuwa vizuri kwenu, ili kusudi muweze kuzidi mno kwenye nchi itiririkayo maziwa na asali, kama Yahwe Mungu wa Baba zenu, amewaahidi atafanya.
4 Isala: ili fi! Noga: le dawa: ma! Hina Gode E fawane da ninia Gode.
Sikiliza, Israel: Yahwe Mungu wetu ni mmoja.
5 Dilia dogo huluane amoga, dilia a: silibu huluane amoga amola dilia gasa huluane amoga, dilia Hina Godema asigima.
Mtampenda Yahwe Mungu wenu kwa moyo wenu wote, kwa roho zenu zote, na kwa akili zenu zote.
6 Amo hamoma: ne sia: i na da wali eso dilima iaha, amo maedafa gogolema.
Maneno ninayowaamuru ninyi leo yatakuwa katika moyo wenu;
7 Dilia mano ilima olelema. Amo sema noga: le dawa: ma: ne, eso huluane amo sema dilia lafidili sia: ma - dilia moilaiga esalea, ga ahoasea, helefisia amola hawa: hamosea, dawa: ma: ne sia: ma.
na mtayafundisha kwa bidii kwa watoto wenu, mtayazungumza wakati mkaapo katika nyumba zenu, wakati mlalapo, na wakati mwinukapo.
8 Sema dedei amo dilia lobo amoga la: gima amola dilia odagiga dawa: ma: ne legema.
Utazifunga kama ishara juu ya mkono wako, nayo yatakuwa utepe kati ya macho yako.
9 Dilia moilai logo holei mimogodi ifa amoga amo sema dedema amola dilia gagoi logo ga: su amoga dedema.
Utaziandika kwenye miimo ya mlango ya nyumba yako na kwenye malango.
10 Dilia Hina Gode da dilia aowalali A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe ilima hahawane imunu sia: i, amo defele, E da dilima soge amoga da bagade gagui moilai bai bagade (amo dilia loboga hame gagui) amo dilima imunu.
Wakati Yahwe Mungu wako akuleta kwenye nchi ambayo aliaapa kwa baba zako, Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwamba angekupa, pamoja na miji mikubwa na mizuri ambayo hamkuijenga,
11 Amo ganodini, diasu da liligi dilia hame ligisi amoga nabaiwane ba: mu. Dilia da hano nasu uli dogoi dilia da hame dogoi amo ba: mu. Amola waini sagai amola olife ifa sagai amo dilia da hame sagai ba: mu. Hina Gode da dili amo soge ganodini oule ahoasea, amola dilia da sadi dagoi ba: sea,
na nyumba zilizojaa kila aina ya vitu vizuri ambavyo hamkuzifanya, visima ambavyo hamkuvichimba, mashamba na miti ya mizeituni ambayo hamkuipanda, mtakula na kutosheka-
12 Hina Gode mae gogolema. Dilia da musa: Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu dunu esalu amola Hina Gode da dili gaga: i.
basi iweni makini ili kwamba msije kumsahau Yahwe, aliyewaleta toka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
13 Dilia Hina Godema beda: ma! Ema fawane nodone sia: ne gadoma. Amola hahawane hou o liligi imunusa: ilegesea, Ea Dioba: le fawane hamoma.
Mtamheshimu Yahwe Mungu wenu, yeye mtamwabudu, na mtaapa kwa jina lake.
14 Eno ogogosu ‘gode’ liligi (amoma eno fi dunu dili fi sisiga: le esala da sia: ne gadosa), amoma maedafa nodone sia: ne gadoma.
Hamtawaendea miungu mingine, miungu ya watu wanaowazunguka wote-
15 Be dilia da amo liligima nodone sia: ne gadosea, Gode Ea ougi bagade da dilima lalu agoane doagala: mu amola dilia da gugunufinisi dagoi ba: mu. Bai dilia Gode dili amola gilisili esala da eno liligi Ea sogebi lamu bagadewane higasa.
kwa kuwa Yahwe Mungu wenu katikati yenu ni Mungu wa wivu- kama mtafanya, hasira ya Yahwe Mungu wenu atawasha dhidi yenu na atawaangamiza kutoka kwenye uso wa dunia.
16 Dilia da Masa sogega Godema ado ba: su hou hamoi. Agoaiwane bu mae hamoma.
Hamtamjaribu Yahwe Mungu wenu kama mlivyomjaribu huko Massah.
17 Sema huluane E da dilima i amo noga: le hamoma.
Kwa bidii mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, maagizo yake makini, na amri ambazo amewaamuru.
18 Adi hou Hina Gode da moloi amola noga: i sia: sea, amo hou dilia hamoma. Amasea, dilia da hahawane ba: mu. Dilia da soge noga: i amo Hina Gode da dilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo dilia da amo gesowale fimu defele ba: mu.
Mtafanya kile kilicho sahihi na kizuri katika macho ya Yahwe, kwamba iwe vizuri kwenu, na kwamba muweze kuingia na kumiliki nchi nzuri ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu,
19 Amola Gode Ea dilima ilegele sia: i defele, dilia da dilima ha lai dunu amo gadili sefasimu.
kuwaondoa maadui zenu wote mbele zenu, kama Yahwe alivyosema.
20 Fa: nohobea, dilia mano da dilima amane adole ba: mu, ‘Ninia Hina Gode da abuliba: le amo sema huluane nabawane hamoma: ne sia: bela: ?’
Wakati mwana wako auliza kwa wakati unaokuja, kusema,”Ni zipi amri za gano, sheria, na amri zingine ambazo Yahwe Mungu wetu alituamuru?
21 Amasea, ilima amane adoma, ‘Ninia da Idibidi hina bagade dunu ea udigili hawa: hamosu dunu esalu. Be Hina Gode da Ea gasa bagade amoga nini gaga: i.
Basi utasema kwa mwana wako, tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, Yahwe alitutoa Misri kwa mkono wa uweza,
22 Ninia siga ninia ba: i dagoi. E da musa: hame ba: su hou Ea gasa bagade amoga hamoi. E da Idibidi dunu beda: ma: ne, ilima, ilia eagene ouligisu dunu amola Idibidi hina bagade amoma hamoi.
na alionesha ishara na maajabu, makuu na makali, Misri kwa Farao, na kwa nyumba yake yote, mbele ya macho yenu,
23 E da nini Idibidi sogega fisili masa: ne, amo nini guiguda: amo soge E da ninia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo ninima imunusa: oule misi.
na alitutoa kutoka huko, ili kwamba atulete ndani, kutupa nchi ambayo aliaapa kwa baba zetu.
24 Amalalu, ninia Hina Gode da ninima amo sema huluane nabima: ne amola Ema beda: ma: ne sia: i. Amane hamonanu, E da eso huluane ninia fi noga: le ouligimu amola ninia mae ha: ne bagade gaguiwane esaloma: ne fidimu.
Yahwe alituamuru daima kuzishika amri hizi, kumuogopa Yahwe Mungu wetu kwa uzuri wetu, ili kwamba atuweke hai, kama tulivyo leo.
25 Ninia da mae yolesili, Gode Ea sema ninima i amo huluane noga: le nabasea, E da ninima hahawane ganumu.’”
Kama tutashika maagizo haya yote mbele ya Yahwe Mungu wetu kama alivyotuamuru, hii itakuwa haki yetu.

< Mousese Ea Malasu 6 >