< Mousese Ea Malasu 5 >
1 Mousese da Isala: ili dunu huluane gilisili, ilima amane sia: i, “Isala: ili fi huluane. Nabima! Na da wali eso, sema huluane dilima imunu. Amo noga: le dawa: ma amola nabawane hamoma.
Mose akawaita Israeli wote, akawaambia: Ee Israeli, sikilizeni amri na sheria ninazowatangazia leo. Jifunzeni, na mwe na hakika kuzifuata.
2 Ninia Hina Gode da Sainai Goumia gousa: su hamoi.
Bwana Mungu wetu alifanya Agano nasi katika mlima wa Horebu.
3 Amo gousa: su da ninia ada amoga fawane hame hamoi. Be ninia huluane wali eso esalebe, ninima amolawane hamoi.
Si kwamba Bwana alifanya Agano na baba zetu, bali alifanya nasi, nasi sote ambao tuko hai hapa leo.
4 Amo goumia Hina Gode da amo esoha lalu amoga dilia odagia sia: i.
Bwana alisema nanyi uso kwa uso kutoka moto juu ya mlima.
5 Amo esoha dilia da amo laluba: le beda: i amola goumiba: le heda: mu hamedei ba: i. Amaiba: le dilia da la: idi amola Hina Gode da la: idi amo na da dogoa, Hina Gode Ea sia: dilima alofele olelemusa: lelu. Hina Gode da amane sia: i,
(Wakati huo nilisimama kati ya Bwana na ninyi kuwatangazia neno la Bwana, kwa sababu mliogopa ule moto, nanyi hamkupanda mlimani.) Naye Mungu alisema:
6 ‘Na da dilia Hina Gode. Dilia da Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu dunu esalu. Be na da dili gaga: le, gadili oule asi.
“Mimi ndimi Bwana Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.
7 Dilia eno ‘gode’ agoane liligi amoma mae nodone sia: ne gadoma.
Usiwe na miungu mingine ila mimi.
8 Liligi amo da mu amo ganodini o osobo bagade amo ganodini o hano osobo bagade hagudu dialu amo defele, loboga hamoi liligi mae hedofale hamoma.
Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni au duniani chini au ndani ya maji.
9 Loboga hamoi ‘gode’ liligi amoma mae beguduma amola ilima mae nodone sia: ne gadoma. Bai Na da dilia Hina Gode amola Na da nowa da Na defele hi dawa: sea, Na higasa. Nowa da Na higasea, amoma Na da se nabasu imunu amola egaga fi amo asili fi osodayale amola biyaduyale egaga fi ilima se nabasu imunu.
Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
10 Be nowa da Nama asigi galea amola Na sema nabawane hamosea, Na da ema amola egaga fi osea: idafa ilima Na asigi hou olelemu.
lakini ninaonyesha upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanipendao na kuzishika amri zangu.
11 Na Dio amo mae giadofale sia: ma amola udigili mae sia: ma. Na, Hina Gode da nowa Na Dio udigili sia: sea, ilima se nabasu imunu.
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, kwa kuwa Bwana hataacha kumhesabia hatia yeye alitajaye jina lake bure.
12 Sa: bade eso da hadigi eso. Amaiba: le, Na, dilia Hina Gode, Na hamoma: ne sia: i defele, Sa: bade eso bagade dawa: ma amola ea hadigi noga: le ouligima.
Adhimisha siku ya Sabato na kuiweka takatifu, kama Bwana Mungu wako alivyokuagiza.
13 Eso gafeyale gala da dilia hawa: hamosu eso.
Kwa siku sita utafanya kazi na kutenda shughuli zako zote.
14 Be eso fesu da Nama dawa: ma: ne helefisu eso gala. Amo esoga dunu huluanedafa da hawa: hamosu hame hamoma: mu. Amo dilia amola dilia mano amola dilia udigili hawa: hamosu dunu amola dilia ohe fi amola ga fi dunu dilia soge ganodini esala, huluanedafa mae hawa: hamoma.
Lakini siku ya Saba ni Sabato kwa Bwana, Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi yoyote, wewe, wala mwanao au binti yako, wala mtumishi wa kiume au mtumishi wa kike, wala ngʼombe wako, punda wako au mnyama wako yeyote, wala mgeni aliyeko malangoni mwako, ili kwamba mtumishi wako wa kiume na wa kike wapate kupumzika kama wewe.
15 Dilia da musa: udigili hawa: hamosu dunu Idibidi soge ganodini esalu. Amola Na, dilia Hina Gode, Na gasa bagadega dili gaga: i, amo mae gogolema. Amaiba: le, Na da dilima Sa: bade eso noga: le ouligima: ne sia: sa.
Kumbuka mlikuwa watumwa huko Misri, na Bwana Mungu wenu aliwatoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa. Kwa hiyo Bwana Mungu wako amekuagiza kuiadhimisha siku ya Sabato.
16 Dilia ada amola ame elama nodone asigima. Bai dilia agoane hamosea, hahawane ba: mu amola soge amo Na da dilima iaha amo ganodini ode bagohame esalumu.
Waheshimu baba yako na mama yako, kama Bwana Mungu wako alivyokuagiza, ili siku zako zipate kuwa nyingi na kufanikiwa katika nchi Bwana Mungu wako anayokupa.
17 Eno dunu mae medole legema.
Usiue.
18 Inia uda mae adole lama.
Usizini.
19 Wamolasu hou mae hamoma.
Usiibe.
Usimshuhudie jirani yako uongo.
21 Dilia dogo ganodini inia liligi hanaiwane mae ba: ma. Eno dunu ea diasu, ea uda, ea udigili hawa: hamosu dunu, ea dougi, ea bulamagau o liligi huluanedafa, amo hanane lamusa: mae dawa: ma.’
Usitamani mke wa jirani yako. Usitamani nyumba ya jirani yako au shamba lake, mtumishi wake wa kiume au wa kike, ngʼombe au punda wake, wala kitu chochote cha jirani yako.”
22 Hina Gode da amo hamoma: ne sia: i huluane dilia da goumia gilisila: loba, dilima i. E da lalu amola mobi bagade, amo ganodini sia: bagadega sia: i, amola amo hamoma: ne sia: i fawane - eno dilima hame olelei. Amalalu, E da amo hamoma: ne sia: i, gele gasui aduna amoga dedene, nama i dagoi.
Hizi ndizo amri alizozitangaza Bwana kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lenu lote huko mlimani kutoka kwenye moto, wingu na giza nene, wala hakuongeza chochote zaidi. Kisha akaziandika juu ya vibao viwili vya mawe, naye akanipa mimi.
23 Goumi huluane da laluga nenanebe ba: loba amola sia: da gasi ganodini misi amo nabaloba, dilia asigilai amola fi ouligisu dunu da nama misini,
Mliposikia sauti kutoka kwenye giza, mlima ulipokuwa ukiwaka moto, viongozi wenu wote wa makabila yenu na wazee wenu walinijia mimi.
24 amane sia: i ‘Ninia Hina Gode Ea sia: lalu ganodini misi nabi dagoi. Amoga E da Ea gasa bagade amola Ea hadigi, ninima olelei dagoi. Ninia wali eso ba: i dagoi. Gode da osobo bagade dunuma sia: sea, amo dunu da mae bogole bu esalumu defele gala.
Nanyi mkasema, “Bwana Mungu wetu ametuonyesha utukufu na enzi yake, nasi tumesikia sauti yake kutoka kwenye moto. Leo tumeona kwamba mwanadamu anaweza kuishi hata kama Mungu akizungumza naye.
25 Be ninia da bu bogosa: besa: le, abuliba: le amo sia: bu nabima: bela: ? Lalu bagade da nini gugunufinisimu. Ninia da ninia Hina Gode Ea sia: bu nabasea, dafawane bogomu.
Lakini sasa, kwa nini tufe? Moto huu mkubwa utatuteketeza sisi na tutakufa kama tukiendelea kusikia sauti ya Bwana Mungu wetu zaidi.
26 Osobo bagade dunu afae da Gode Esalebe amo Ea sia: laluga misi, amo nabaloba, bu esalebe ba: bela: ? Hame mabu!
Ni mtu yupi mwenye mwili ambaye amewahi kuisikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza kutoka kwenye moto, kama sisi tulivyoisikia, naye akaishi?
27 Mousese! Di bu sinidigima! Ninia Hina Gode Ea sia: huluane nabima. Amasea, ninima bu misini, Ea sia: huluane ninima alofele olelema. Ninia da nabimu amola hamomu!’
Sogea karibu usikie yale yote asemayo Bwana Mungu wetu. Kisha utuambie chochote kile ambacho Bwana Mungu wetu anakuambia. Tutasikiliza na kutii.”
28 Hina Gode da dilia sia: nabaloba, nama amane sia: i, ‘Na da ilia sia: nabi dagoi. Amo da moloi.
Bwana aliwasikia wakati mlipozungumza nami, na Bwana akaniambia, “Nimesikia kile hawa watu walichokuambia. Kila kitu walichokisema ni kizuri.
29 Ilia da eso huluane agoaiwane dawa: mu, Na da hanai. Ilia da eso huluane Nama nodone Na sia: nabawane hamomu da defea. Amasea, ilia da eso huluane ilia amola iligaga fi da hahawane esalumu.
Laiti kama mioyo yao ingekuwa na mwelekeo wa kuniogopa na kuzishika amri zangu zote daima, ili kwamba wafanikiwe wao pamoja na watoto wao milele!
30 Di masa amola ilia da ilia abula diasu bu sinidigima: ne sia: ma.
“Nenda uwaambie warudi kwenye mahema yao.
31 Be di! Mousese! Di guiguda: esalu, Na da Na sema amola hamoma: ne sia: i huluane dima olelemu. Amasea, amo huluane di alofele ilima olelema. Bai ilia da amo huluane soge Na da ilima iaha amo ganodini fa: no bobogemu da defea.’
Lakini wewe baki hapa pamoja nami ili niweze kukupa maagizo yote, amri na sheria ambazo utawafundisha wazifuate katika nchi ninayokwenda kuwapa waimiliki.”
32 Isala: ili dunu fi! Dawa: ma! Dilia Hina Gode Ea sia: dilima sia: i amo huluane nabawane hamoma. Sema afae amoma hame nabasu hou maedafa hamoma.
Hivyo kuweni waangalifu kuyafanya yale Bwana Mungu wenu aliyowaagiza; msigeuke upande wa kuume wala wa kushoto.
33 Huluane nabasu hou hamoma. Amasea, dilia da hahawane ba: mu amola soge dilia da waha gesowale fimu amo ganodini mae fisili esalalalumu.”
Fuateni yale yote ambayo Bwana Mungu wenu aliwaagiza, ili mpate kuishi, kustawi na kuziongeza siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.