< Mousese Ea Malasu 25 >

1 Dunu da sia: ga gegesea, ilia da amo gegesu fofada: musa: fofada: su sogebi amoga ahoasea amola fofada: su dunu da fofada: lalu, wadela: i hame hamosu dunu hahawane halegale masa: ne sia: sea be wadela: i hamosu dunu amo se imunusa: sia: sea,
Iwapo kutakuwa na malumbano kati ya wanaume na wakaenda mahakamani, na waamuzi wakawahukumu, basi watamwachilia mtakatifu na kumhukumu muovu.
2 fofada: sea, wadela: i hamosu dunu da fegasuga famusa: ilia da ilegesea, fofada: su dunu da amo dunu diasa: imusa: sia: sea, e da fegasu fasu idi ea wadela: i hou amo defele lamu.
Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa, basi muamuzi atamfanya alale chini na kupigwa mbele zake kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake.
3 Be fofada: su dunu da amo dunuma efegasuga fasu idi amo 40baligi hame imunu. E da fegasuga fasu 40baligi lasea, dilia fi dunu da dunu huluane ba: ma: ne, gugunufinisi dagoi ba: mu.
Muamuzi anaweza kumpatia mapigo arobaini, lakini hapaswi kuvuka idadi hiyo; kwa maana akivuka idadi hiyo na kumpiga kwa mapigo mengi zaidi, basi Muisraeli mwenzako atakuwa kaaibishwa mbele ya macho yenu.
4 Bulamagau da gagoma oso fadegama: ne, gagoma fai amoma osa: la ahoasea, amo e da gagoma mae moma: ne, ea lafi mae la: gilisima.
Haupaswi kumfunga punda wako pua na mdomo anapokuwa akilima shamba lako.
5 Olalali aduna da soge afae amoga esalea, afae da dunu mano mae lalelegele bogosea, ea didalo da sosogo fi eno dunu amoga hame fima: mu. Be egoa ola o eya da amo didalo lale ea esoa: ea hou ema hamomu.
Iwapo kaka wanaishi pamoja na mmoja wao akafariki bila kuwa na mwana, basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu nje ya familia. Badala yake, kaka yake mumewe anapaswa kulala naye na kumchukua kuwa mke wake na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake.
6 Amasea, ea magobo mano da egoa bogoi amo ea dio lale, ea dio da Isala: ili fi amoga hame fisimu.
Hii ni kwamba mtoto wa kwanza atakayezaliwa arithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki, ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli.
7 Be dunu da yolalali didalo amo lamu higasea, amo didalo da asigilai dunu moilai logo holeiga esala amoga asili amane sia: mu, ‘Nagoa yolaliya da yolalali amo ea dio Isala: ili fi amo ganodini dialumu higasa. E da nama bae sia: mu higasa.’
Lakini kama mwanamume hataki kumchukua mke wa kaka yake awe wake, basi mke wa kaka yake anapaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee na kusema, “Kaka wa mume wangu amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake humu Israeli; hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu”.
8 Amasea, moilai asigilai da amo dunu ilima misa: ne sia: sea, ema sia: mu. Be e da amo hou mae fisili, ‘Amo uda na da hame lamu,’ sia: sea,
Kisha wazee wa mji wake wanapaswa kumuita na kuzungumza naye. Lakini tuseme atasisitiza na kusema, “Sitaki kumchukua”.
9 Yolalalia didalo da asigilai dunu ba: ma: ne, ea emo salasu afae fadegale, ea odagi amoga defo aduga: le, amane sia: mu, ‘Ninia da dunu da yolalali fi hame hamosa ilima agoane hamosa.’
Basi mke wa kaka yake anatakiwa kuja kwake mbele ya wazee, kumvua ndara zake miguuni mwake, na kumtemea usoni. Anapaswa kumjibu na kusema, “Hivi ndivyo kinachofanyika kwa mwanamume asiyetaka kujenga nyumba ya kaka yake”.
10 Amasea, amo dunu ea fi Isala: ili soge amo ganodini ilia da ‘Emo Salasu Fadegai Fi’ ilima sia: mu.
Jina lake Israeli litaitwa, “Nyumba ya mtu aliyevuliwa ndara zake”.
11 Dunu aduna da gegesea amola dunu afae ea uda da egoa fidimusa: , eno dunu ea gulusu gaguba: sea,
Iwapo wanamume wamepigana wao kwa wao, na mke wa mmoja wao kaja kumkomboa mumewe dhidi ya yule aliyempiga, naye akanyosha mkono wake na kumshika sehemu za siri,
12 ema mae asigima. Ea lobo damuni fasima.
basi unapaswa kuukata mkono yake; jicho lako halipaswi kuwa na huruma.
Haupaswi kuwa na mizani ya uzito tofauti katika mfuko wako, mkubwa na mdogo.
14 Dilia da dioi ilegei o hano defei ilegei hamosea, mae ogogoma.
Hautakiwi kuwa na vipimo tofauti ndani ya nyumba yako, vikubwa na vidogo.
15 Be moloidafa defei amola ilegei hamoma. Bai agoane hamosea, dilia da ode bagohame soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha amo ganodini esalumu.
Unatakiwa kuwa na uzito kamili na wa haki; unatakiwa kuwa na vipimo kamili na vya haki, ili siku zako ziwe ndefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupatia.
16 Dilia Hina Gode da nowa dunu da ogogosu o moloihame hou hamosea, bagadewane higasa.
Kwa maana wote wanaofanya vitu hivi, wote wanaovunja haki, ni chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
17 Musa: dilia da Idibidi soge yolesili, logoga ahoanoba, A:malege dunu da dilima wadela: le hamosu. Amo bu dawa: ma!
Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako barabarani ulipokuwa ukitoka Misri,
18 Dilia da da: i dioi amola bagade helei galea, ilia da dunu helebeba: le fa: no bobogei, amo hedofai. Ilia da Godema beda: su hou hame dawa: i.
jinsi alivyokutana na wewe barabarani na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma, wale waliokuwa wamelegea nyuma, mlipokuwa dhaifu na kuchoka, hakumheshimu Mungu.
19 Mae gogolema! Dilia Hina Gode da soge E da dili gesowale fima: ne iaha, amo ganodini dilima ha lai huluane hasali dagoiba: le, dilia helefisu ba: sea, amo A: malege dunu huluane fane legema. Amasea, fa: no dunu fi da ilia dio hamedafa dawa: mu.
Kwa hiyo, Yahwe Mungu wako atakapowapa pumziko kutoka kwa maadui zako kila sehemu, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia kumiliki kama urithi, hautakiwi kusahau kuwa unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu.

< Mousese Ea Malasu 25 >